ความคิดเห็น •

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 11 หลายเดือนก่อน +130

    Qur'an inataka heshima na kuizingatia, na sio kuisoma tu kama mnavyoimba mziki.. Allaah awaongoze nyinyi na mimi pia tuwe wenye kufuata sheria zake.. Hii Dunia ni fupi sana na inahadaisha sana.. Sijawadharau ila nawaombea Dua nyie nami na Waislaamu wote tumtwii Mola wetu..

    • @elallymoussa2980
      @elallymoussa2980 11 หลายเดือนก่อน +7

      Kwanza hapo wamesoma makosa kibao kwnye matamshi

    • @shamsajuma
      @shamsajuma 11 หลายเดือนก่อน +5

      Kama konde ndo amezidi kusoma gani qur'ani huku jmn khaa!

    • @cactuswest271
      @cactuswest271 11 หลายเดือนก่อน

      damn true

    • @toomaaloufi6221
      @toomaaloufi6221 11 หลายเดือนก่อน

      Subhanna Llah... Ameen yaarabb

    • @Jowelia
      @Jowelia 11 หลายเดือนก่อน

      Ameen🤲🏼🤲🏼🤲🏼

  • @HumoudSeifSuqry
    @HumoudSeifSuqry 5 หลายเดือนก่อน +1

    Alie soma Qur'an vizuri kabisa lava lava
    Pamojaa Hussein machozi Masha Allah

  • @kuvadorothy1636
    @kuvadorothy1636 ปีที่แล้ว +44

    i admire Lava Lava recitation of Qur'an. It 💪really touches my heart... I wish he could continue reciting more of it. Big up bro✌✌

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 ปีที่แล้ว +3

      It seems like you don't know Qur'an as Lavalava, coz he recites wrong but you have been just impressed by his voice without knowing that he is reciting wrong😢

    • @RamadhaniSalehe-o8t
      @RamadhaniSalehe-o8t 11 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@abdulmohd6880sure once I heard people said, he recite well I was so interesting to hear what he recite but, I could realize that he recite wrong

    • @khatijakhatija3481
      @khatijakhatija3481 11 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah lavalava anasaut nzur yakusoma Qur an kuliko kuimba

    • @SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm
      @SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm 11 หลายเดือนก่อน

      Allah awaongoze kuifuata haki

    • @mohamedabdullahi8874
      @mohamedabdullahi8874 11 หลายเดือนก่อน

      Wote ni mahafidh Quran

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 11 หลายเดือนก่อน +41

    Husen machozi jenifa na lavalava ndo 3 bora wengine wamepuyanga wajifunje kuisoma quran na sote tuisome na tuizingatie InshaAllah ❤❤❤

    • @habibuhabibu9728
      @habibuhabibu9728 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa

    • @fathiyamohamed7919
      @fathiyamohamed7919 11 หลายเดือนก่อน

      Na uyo machozi pia co sauti yke hpo ni lavalava na Jenifer tu

    • @komboally3499
      @komboally3499 11 หลายเดือนก่อน

      Lavalava ndio hayumo kabisa anasoma ndivyo sivyo, sauti ndio yawakoroga

    • @ramasarai7875
      @ramasarai7875 11 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

    • @barakathdthekinda3722
      @barakathdthekinda3722 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@fathiyamohamed7919lava lava kasoma nn wakat anakosea kusoma ana makosa kibao

  • @humphreymtowela6293
    @humphreymtowela6293 11 หลายเดือนก่อน +14

    Hussein machozi
    You killed it man🙌🙌🙌🙌

  • @papaismael397
    @papaismael397 9 หลายเดือนก่อน +4

    Harmonize arudi madrasa ajui inakaa iko na mda mrefu asomi quran penye surat fatiah inamtatiza hali ningumu kwake alhamdulillah naona wengine wamejitahidi

  • @abbasnguma6646
    @abbasnguma6646 10 หลายเดือนก่อน +6

    Hussein jazzakallahu hairan.Allah awafanyie wepesi ya dunia yatapita muda mfupi sana.

  • @RamadhaniIsmaily-h3y
    @RamadhaniIsmaily-h3y 11 หลายเดือนก่อน +12

    Hakika huseni machozi allah kakujalia sauti yan unapo isoma quran inakuwa niyenye kupendeza sana.tumuombe Allah atusamehe makosa yetu tuwe niwenye kulejea kwake tukiwa tufitiwa madhambi yetu Ameen.

    • @timemakame-d2y
      @timemakame-d2y 8 หลายเดือนก่อน

      Nakusuport wallah yan nimependa usomaji wa Husseni

  • @Officiallmyra
    @Officiallmyra 11 หลายเดือนก่อน +8

    Hossein machozi, lavalava, Jenifer 👏👏👏👏👏 🔥🔥🔥

  • @zassyhushy4640
    @zassyhushy4640 10 หลายเดือนก่อน +8

    Mashaallah! Achaneni na muziki wa duniya murudi kwa Allah

  • @Storeman7thFloor
    @Storeman7thFloor 10 หลายเดือนก่อน +10

    Hussen machozi ndo ameua sana❤🎉🎉🎉

  • @davidkg2909
    @davidkg2909 11 หลายเดือนก่อน +12

    Hussein machozi upo vizuli ningekushauli uludi hapo ndio sehem sahihi kwako Allah akufanyie wepesi inshallah

  • @hamiduibrahim7092
    @hamiduibrahim7092 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Hussein machozi, Jennifer kanumba na Bi zuhra

  • @zoab2699
    @zoab2699 11 หลายเดือนก่อน +1

    ماشاء الله تبارك الله lavalava na huyo bint alie vaa hijabu ya kijivu allah awabarik mnasoma vizuri

  • @masoudhamoud9381
    @masoudhamoud9381 10 หลายเดือนก่อน +12

    Laiti wangelijifunza qur - an kama wanavopigania mziki basi wangepata faida kubwa Sana, Allah awaongoze wote

  • @mwartoumyusuf4009
    @mwartoumyusuf4009 10 หลายเดือนก่อน +4

    MashaAllah lava lava Allah akuongoze kwenye dini

  • @KhalifaSimai
    @KhalifaSimai ปีที่แล้ว +7

    Mashaallah kaka hussen Allah akuzidishie

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 8 หลายเดือนก่อน +1

    MASHALLAH . ILA HASARA YAKO UNGEKUA UNASOMA QRUANI KULIKO KUIMBA NAUNAJUA YAKUA KUIMBA NAUNAVO VAA NIKINYUME NA DINI. MNADANGANYIKA NA DUNIA MNASAHAU AKHERA. ALLA AWAONGOZENI

  • @AbduliPili
    @AbduliPili 8 หลายเดือนก่อน

    Moment soma vzr mashaallha Mungu awazidishiee amini

  • @mamuamtoto
    @mamuamtoto ปีที่แล้ว +5

    MASHA ALLAH ❤,Kipindi kiendelee,Jambo la kheir haliwachwi.Allah atuongoze sisi na nyinyi.Muwache kuvaa Herini,Vidani wanaume,sio mapambo yenu ni ameumbiwa Mwanamke.

  • @Richblood97
    @Richblood97 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hussein Machozi Masha'Allah ❤️💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕 jazzakallahu heir

  • @MohamediHakundwa
    @MohamediHakundwa 9 หลายเดือนก่อน

    Husein machoz ameisoma qur ani kwaunyenyekevu sana mungu atuongoze katka njia ilonyooka tusiwemiongoni mwa waliopotea

  • @icone1122
    @icone1122 ปีที่แล้ว +3

    Hosseni machozi namekuelewa shekh wangu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁

    • @gaudensiakaselema
      @gaudensiakaselema 9 หลายเดือนก่อน

      😮😢😢😅😊😮🎉❤kgdfnj

  • @mashakalonka7767
    @mashakalonka7767 8 หลายเดือนก่อน

    Lava lava,Hussain Machozi, Jennifer Kanumba&Zuchu mnajua kusoma Qur'an kwa ahkami zake,naomba Allah awaongozeni inshaAllah !.

  • @SephZungwa
    @SephZungwa 9 หลายเดือนก่อน

    Lava lava umetisha san saut pia mashaallah ushaur achen mizik mrudien mola, allah awafanyie wepes inshaallah Amiin 🙏🙏🙏

  • @SaudaMwachuma
    @SaudaMwachuma 10 หลายเดือนก่อน +5

    Zuchu jamani hat amma lavalava good na jeniferchukua maua yako🎉 but all in all mashallah❤❤

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 9 หลายเดือนก่อน

    Lavalava na jinifa kanumba mumewaoiga pin wenzenu wote akifatia zuchu jitahidini sana kukumbuka na ya akhera allah akusimamieni❤❤❤❤nimeshindwa kuzuia chozi langu nilipowasikia munavyosoma

  • @HalimaAdam-v7e
    @HalimaAdam-v7e 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah useni machoz

  • @HidayaHashim-g3w
    @HidayaHashim-g3w 9 หลายเดือนก่อน

    ivi mkisoma kur an na kuimba ipi bora msipende sana dunia mukumbuke alla.anawasubiri ishallah mungu akushushieni neema zake

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 11 หลายเดือนก่อน +1

    Naelenizako kma jagwa Masha allah mnasoma vzr atamicjui allah awajalie mtoke mlipo

  • @SirajuMsolokelo-ic6zd
    @SirajuMsolokelo-ic6zd 11 หลายเดือนก่อน +4

    Inshallah Allah awaongoze zaidi ili mzid kujifunz qur,an na kuzid kufa yaloo mazur

  • @jaliabahat1520
    @jaliabahat1520 ปีที่แล้ว +2

    allahuakibar nyie watoto huyu Alie fata baada ya lavalava subhanallah

    • @hawamatuta1905
      @hawamatuta1905 11 หลายเดือนก่อน

      Hussein machozi uyo kama cjakosea

  • @raphaeljeremiah8161
    @raphaeljeremiah8161 ปีที่แล้ว +10

    mashaalllah ila namuomba alllah atulinganie kweli kweli tuachane na mahaba ya dunia . amen

  • @SalmaTelkom
    @SalmaTelkom ปีที่แล้ว +13

    SUBHANALLAH HAWA WTE N WAISILAMU KISHA WANAIMBA NYIMBO WALLAH TUNAITHALILISHA DINI YETU TWAMUOMBA ALLAH ATUJAALIE TUWE WENYE KUFUATA MAADILI Y DINI YETU

  • @maryammtumwa8278
    @maryammtumwa8278 10 หลายเดือนก่อน

    Subhana Allah akuongoze Rrabbi sisi nasi na akutoeni huko mliko si kwema njooni huku ktk kheri mtajuta mkiwa huko hadi umauti ukikufikeni

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 11 หลายเดือนก่อน

    Hussein machozi ....you have made it bro...nice tone 😅😅

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hang kill ameua Safi bonge la shekh akiacha muziki

  • @HilalZaid-z2k
    @HilalZaid-z2k 8 หลายเดือนก่อน

    Hamonaze jitathimini,hata Alhamdulilah haujui kusoma,hii ndio sura ya msingi ktk kusali,bado hujachelewa,Allah atakuongoza,Amin

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q ปีที่แล้ว +23

    "Inna shaytwana ala l-insani a'duwan mubin(Hakika ya Shaytwani kwa binaadamu ni adui mkubwa/ aliye wazi)." Lakini nyote nyie mlio jinafikisha kusoma Qur'an ndiyo wafuasi wakubwa wa shetwani. Mumekatazwa kuimba, mnaimba na kutunga tungo zenye kumomg'onyoa maadili mema kwa makusudi.. Huku viongozi wa nchi wakikuangalieni. Ni kama wanakuogopeni. Au sijui mmewazidi ukubwa kivipi?

    • @kassimiddi5294
      @kassimiddi5294 11 หลายเดือนก่อน +4

      Allah awaongowe awajazie nuru icho kidgo walichonacho kiwe ni ukombozi kutoka kwenye giza la sheitwani hadi kwenye Qur ani ya Rahmani

    • @SirajuMsolokelo-ic6zd
      @SirajuMsolokelo-ic6zd 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@kassimiddi5294amiin😂

    • @fellixgakwandi2885
      @fellixgakwandi2885 8 หลายเดือนก่อน +1

      Awa ni manafiki majubwa wanajifabya wayisaramu kumbi madui ya uwuyisaramu

  • @HassanNtunda
    @HassanNtunda 9 หลายเดือนก่อน

    Ustaa wa Akhera ni Bora kwenu kuliko mnachokifanya Duniani. Mcheni ALLAH.

  • @ZubeirAbdallah
    @ZubeirAbdallah 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hussen machoz Mashallah 😮

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid 11 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanah Allah ....kumbe wote ni waislam hawa...doh kesho kuna kazi..mbele y Allah.hujafa hujaumbika Allah awaongoze njia iliyonyooka.yarab haki muifuate...batili muiepuke.

    • @theme-sk7zc
      @theme-sk7zc 10 หลายเดือนก่อน

      We ndo mtu

  • @aminasaid4174
    @aminasaid4174 11 หลายเดือนก่อน

    Hussen machozi lavalava jenifa Mashaallah nyieee mumejuwa kuitendea haki quran

  • @mrsahmadhajraah1550
    @mrsahmadhajraah1550 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mbon mmeicha AKHERA mmekimbilia Dunia?😭bdo mna MUDA wa kubdilk fany toba Rudi kwa ALLAH

  • @IddyNchama
    @IddyNchama 9 หลายเดือนก่อน

    Waliotenda haki kuisoma vzr 1 Hussein machoz na jenifa k

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 ปีที่แล้ว +7

    Lava lava masha'allah Yuko street ❤❤

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr 9 หลายเดือนก่อน +1

    Lavalava hosen machozi mashallah 🎉🎉🎉

  • @ZahraJongo-th8pq
    @ZahraJongo-th8pq 9 หลายเดือนก่อน

    Wallah machozi yamenitoka nikiskiliza qur an roho yangu inaskkia raha adi natokwa na machoz

  • @binseif2216
    @binseif2216 10 หลายเดือนก่อน

    Hatuwakatii tamaaa InshaAllah siku moja kabla ya kifo mtarudi katika njia sahihi

  • @ArafaIsmail-s7j
    @ArafaIsmail-s7j 9 หลายเดือนก่อน

    Hayuko siriazi kusoma harmonize wengine good

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 ปีที่แล้ว +3

    Mtihani ila binaadam chakuomba ni mwisho mwema Allah atujalie mwisho mwema sisi navizazi vyetu amn

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 ปีที่แล้ว +28

    Surah ya 2 Aya ya286 inasema ""Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi yoyote ila kwa kadiri ya iwezavyho. Faida ya iliyo yachuma ni yake, na khasara ya iliyo yachuma ni juu yake pia. (Ombeni:) Mola wetu Mlezi! Usituchukulie tukisahau au tukikosea. Mola wetu Mlezi! Usitubebeshe mzigo kama ulio wabebesha wale walio kuwa kabla yetu. Mola wetu Mlezi Usitutwike tusiyo yaweza, na utusamehe, na utughufirie, na uturehemu. Wewe ndiye Mlinzi wetu. Basi tupe ushindi tuwashinde kaumu ya makafiri."" 🙏

    • @siti3197
      @siti3197 ปีที่แล้ว +1

      Mtu hnapokosea. Uomba msamaha kwa Allah n usirudie... Tena Allah umsamehee mtu uyo ss Kuna mwengine waomba msamaha leo kesho wamevaa uchi. Wamerudi kule kule uko n kumchezea Allah ndugu zangu.... Km Kuna mahali nimesem vipaya anhaswifaah. Waislam wenzangu

    • @MukiBoy-fz5xw
      @MukiBoy-fz5xw 11 หลายเดือนก่อน

      Rr

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 11 หลายเดือนก่อน

      Ameen

    • @toomaaloufi6221
      @toomaaloufi6221 11 หลายเดือนก่อน

      @@siti3197, ni kweli kabisa

    • @rashidmabrouk-x8z
      @rashidmabrouk-x8z 8 หลายเดือนก่อน

      Amiin

  • @HusnaHiza-s2o
    @HusnaHiza-s2o 8 หลายเดือนก่อน

    Soma kwa.heshima.na.sauti.nzur

  • @gauchogaucho7583
    @gauchogaucho7583 11 หลายเดือนก่อน

    Harmonizee suraty fatiha kasomà ovyoo ihdinaà sijaskiaà

  • @HusnaHiza-s2o
    @HusnaHiza-s2o 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu.awalinde

  • @rasheedmackenzie547
    @rasheedmackenzie547 9 หลายเดือนก่อน

    Harmonize babake shekhe na karuka hapo Ayah moja 😢😢🥺🥺

  • @ZakariahakimuZakariahakimu
    @ZakariahakimuZakariahakimu 8 หลายเดือนก่อน

    Mna zani nimijimbo 2 kuna mungu mm nawaombeni mungu awaongo namipia

  • @Snow123-v6l
    @Snow123-v6l ปีที่แล้ว +5

    Lavalava , Hussein machozi and jinifer😢😢😢😢😢😢

  • @hadijamtambo5290
    @hadijamtambo5290 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hussein machozi Jennifer na lavalava Allah azid kuwabless ❤

  • @ZakariahakimuZakariahakimu
    @ZakariahakimuZakariahakimu 8 หลายเดือนก่อน

    Husen machoz good

  • @Zina-m2v
    @Zina-m2v 11 หลายเดือนก่อน

    Husein machoz 🎉🎉

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa usomaji huu wa maneno ya allah mumetukosea sana waislam ila wapo baadhi wana muelekeo allah awaongoze inshallah

  • @Moregun619
    @Moregun619 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hussein machoze all the way🙌🏽❤️

    • @christinemwita2079
      @christinemwita2079 11 หลายเดือนก่อน

      @Hussein Machozi, Rudi mtumikie Mungu!

  • @mjaweathman6519
    @mjaweathman6519 ปีที่แล้ว +3

    Lavalava ,,husein machozi ,, Jennifer Mashallah ❤❤❤

    • @maryamhawai4287
      @maryamhawai4287 ปีที่แล้ว

      Wapo vizuri hao uliowatag ila huyu wa mwisho na harmonize ni msiba mzito kwa kweli

    • @mjaweathman6519
      @mjaweathman6519 ปีที่แล้ว

      @@maryamhawai4287 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @oku4900
    @oku4900 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah Allah atuhidi kwa sote yaa raab Amiin

  • @nofaboy8624
    @nofaboy8624 8 หลายเดือนก่อน

    Inshallah Mungu atujaalie mwisho mwema🙏🏻🙏🏻

  • @Jamila96_juma
    @Jamila96_juma 11 หลายเดือนก่อน

    Lavalava na Hussein wanasoma vizuri na kwa kutulia sio harmo anasoma kama anaimba bongo fleva. Allah atunusuru

  • @Munyama675
    @Munyama675 11 หลายเดือนก่อน

    Hussein Machozi yuko vizuri kinoma

  • @kingjoker1904
    @kingjoker1904 11 หลายเดือนก่อน

    Sivo anavyo soma @hamonize mungu akuongoe

  • @SaidaKazuvi
    @SaidaKazuvi 11 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani hapo jenifa walau mashallah husein kama sio ulikua unafata record pia mashallah ila shost zuchu mmmmh na wewe harmonize qurani inasomwa hivyo wallah mtihani na kuna aya umeiruka basi sijui ndio umesahau kwa mbwembwe..... na kama suratul fatiha tu ambayo ni sura muhimu kuihifadhi mana haikamiliki swala yako bila ya suratul fatiha hali ni hiyo si mtihani huu eeh Allah tuongoze waja wako

  • @KassimJuma-h8p
    @KassimJuma-h8p 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ninawaombea muachane na mbo ya kishetwani muwe wenyekukisona kitabu Cha allah

  • @User7700
    @User7700 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu awasamehe make ni uzunii mnatia huruma amna hata eshima kwa mwenyezi mungu😢😢😢

  • @MOHAMEDYUSUPH-oq1th
    @MOHAMEDYUSUPH-oq1th 11 หลายเดือนก่อน

    Jenefa safiiii alfu zote zinapatikana

  • @MharramyMwadin-qu5nv
    @MharramyMwadin-qu5nv 11 หลายเดือนก่อน +1

    Lava lava masha Allah, Allah amjaalie katk kher

  • @sacurojafarmuamede3022
    @sacurojafarmuamede3022 11 หลายเดือนก่อน

    Hishamlaah mungu hawajalie musisahau vidhuli

  • @NasirOmar-hb4zb
    @NasirOmar-hb4zb 8 หลายเดือนก่อน

    Mkiwa mnasoma quran mhakikishe mnafata sheria sio mahadhi ya nyimbo mnasomea quran haifai ata kdg na msome kwa ufasaha kabla hamjaricord quran mungu awafanyie wepes na awaongoze na sotw kwa pamoja amiin

  • @MwajumaMapemba
    @MwajumaMapemba 11 หลายเดือนก่อน +1

    Lava lava na jenifer kiboko❤

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ila kijana TOA HIYO HERENI UNASOMA QUR AN AN HAIFAI UNAJIPA LAANA

  • @hassanikombe9053
    @hassanikombe9053 11 หลายเดือนก่อน

    Hussein machoz, lava lava, Jennifer na young kila kdgo❤❤❤❤ mnaisoma qur an Mara kwa mara, inaonekana

  • @ShuraimSoud
    @ShuraimSoud 11 หลายเดือนก่อน

    Kassim mashallah unajua kinoma

  • @itaso-he5se
    @itaso-he5se 11 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah nyie watoto nimekwambua na nini na sauti zeñu nzuri kusoma Quran kuliko hayo mashetàni ya nyimbo hebu Rudi kwa mola wetu I'll nipate raha ya akhera

  • @bintikhamisi7806
    @bintikhamisi7806 10 หลายเดือนก่อน

    Lavalava and Hussein hiyo tajwid ameweza

  • @TwariqJamilu-jf4bd
    @TwariqJamilu-jf4bd 11 หลายเดือนก่อน

    Jiwaz sasa kwasabab amezowey kuyimb mizik mpak Koran inamushind anayisom kam muzki Allah akuongoz harmonaiz nawenzak

  • @superauto445
    @superauto445 11 หลายเดือนก่อน

    Lavalava is the best of any way mungu Adele kuakumbusha wutukufi wa koraan

  • @rukayyakassim269
    @rukayyakassim269 11 หลายเดือนก่อน

    Husein machozi na hanifa bad mupo vzr rudini kw mola we2 bad hamjachelew

  • @SalmaMsikiti-lu5eb
    @SalmaMsikiti-lu5eb 11 หลายเดือนก่อน

    Maashallaah mbona Hussein na lavalava mnajua kingine nawausia Nafsi zenu na kuiusia Nafsi yangu kumuogopa allaah maisha ya dunia yasiwatoe Iman zenu kwasababu dunia nistarehe kidoogo naniyenye kuisha kunamaisha yaakhera hayahitajii pesa ispokuwa amali njemapale kaburini kunamaswali hautoulizwa uliimba nyimbo ngap wala nyimbo gani Bali utaulizwa tofauti na hayo

  • @bihusiMshuza-ri7cz
    @bihusiMshuza-ri7cz 11 หลายเดือนก่อน

    Kaka husseni upovizuli sana Mashaallah achamuziki Mludie Allah Kaka

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 11 หลายเดือนก่อน

    Hapo mi walofanya vizuri nii husen"jenifa"zichu"kwa maoni yangu

    • @ramahaji2395
      @ramahaji2395 11 หลายเดือนก่อน

      Lavalava pia

  • @OthmanOmar-m7b
    @OthmanOmar-m7b 8 หลายเดือนก่อน

    Una sema mashallah ume msikiliza vzr lkn hvo anavo soma hizo ayya

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu awajaalie khaki kuwa ni khaki uifwata namebatwili kuwani jambo baya muweze kuepuka

  • @sudymohamedy9717
    @sudymohamedy9717 ปีที่แล้ว +2

    Killa,lava lava, Hussein 👍👍👍🙏

    • @Batuli-f4x
      @Batuli-f4x 11 หลายเดือนก่อน

      Safi sana hussein mungu akupe umri kaka❤❤❤❤❤❤

  • @saidmohamed804
    @saidmohamed804 11 หลายเดือนก่อน

    ingekua qur an inasomwa hivo bac ingekua raha sana

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 9 หลายเดือนก่อน

    Harmonize nawamwisho noma wameshindikiza wezaho😂😂😂

  • @أمطارقالبحرية
    @أمطارقالبحرية 11 หลายเดือนก่อน

    Msi.tanie Allah
    Na kuisoma ovyo qur an
    Pamoja na kufanya riyaa

  • @ZaituniRashidi-ry9vz
    @ZaituniRashidi-ry9vz 11 หลายเดือนก่อน

    Youngkiller anajua wallah maskin af nlijuaga youngkiller mkristo duh kumbe muslim

  • @anisajuma2776
    @anisajuma2776 8 หลายเดือนก่อน

    Lavalava you are the best

  • @waleed123said9
    @waleed123said9 8 หลายเดือนก่อน

    Hussein pia wow.❤

  • @SafinakiligoSafinakiligo
    @SafinakiligoSafinakiligo 11 หลายเดือนก่อน

    Kuwen Makin mnaharibu

  • @Abdul-azizAthuman
    @Abdul-azizAthuman 11 หลายเดือนก่อน

    kazi iiipo tafteen usahh upo waap sio mnasoma tuu mfanyie kaazi

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 11 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂nicheke mnafikiri mungu shemeji yenu