Alie soma Qur'an vizuri kabisa lava lava
Pamojaa Hussein machozi Masha Allah
i admire Lava Lava recitation of Qur'an. It 💪really touches my heart... I wish he could continue reciting more of it. Big up bro✌✌
It seems like you don't know Qur'an as Lavalava, coz he recites wrong but you have been just impressed by his voice without knowing that he is reciting wrong😢
@@abdulmohd6880sure once I heard people said, he recite well I was so interesting to hear what he recite but, I could realize that he recite wrong
Husen machozi jenifa na lavalava ndo 3 bora wengine wamepuyanga wajifunje kuisoma quran na sote tuisome na tuizingatie InshaAllah ❤❤❤
Lavalava ndio hayumo kabisa anasoma ndivyo sivyo, sauti ndio yawakoroga
@@fathiyamohamed7919lava lava kasoma nn wakat anakosea kusoma ana makosa kibao
Hussein machozi
You killed it man🙌🙌🙌🙌
Harmonize arudi madrasa ajui inakaa iko na mda mrefu asomi quran penye surat fatiah inamtatiza hali ningumu kwake alhamdulillah naona wengine wamejitahidi
Hussein jazzakallahu hairan.Allah awafanyie wepesi ya dunia yatapita muda mfupi sana.
Hakika huseni machozi allah kakujalia sauti yan unapo isoma quran inakuwa niyenye kupendeza sana.tumuombe Allah atusamehe makosa yetu tuwe niwenye kulejea kwake tukiwa tufitiwa madhambi yetu Ameen.
Mashaallah! Achaneni na muziki wa duniya murudi kwa Allah
Hussen machozi ndo ameua sana❤🎉🎉🎉
Hussein machozi upo vizuli ningekushauli uludi hapo ndio sehem sahihi kwako Allah akufanyie wepesi inshallah
Mashallah Hussein machozi, Jennifer kanumba na Bi zuhra
ماشاء الله تبارك الله lavalava na huyo bint alie vaa hijabu ya kijivu allah awabarik mnasoma vizuri
Laiti wangelijifunza qur - an kama wanavopigania mziki basi wangepata faida kubwa Sana, Allah awaongoze wote
MashaAllah lava lava Allah akuongoze kwenye dini
Mashaallah kaka hussen Allah akuzidishie
MASHALLAH . ILA HASARA YAKO UNGEKUA UNASOMA QRUANI KULIKO KUIMBA NAUNAJUA YAKUA KUIMBA NAUNAVO VAA NIKINYUME NA DINI. MNADANGANYIKA NA DUNIA MNASAHAU AKHERA. ALLA AWAONGOZENI
Moment soma vzr mashaallha Mungu awazidishiee amini
MASHA ALLAH ❤,Kipindi kiendelee,Jambo la kheir haliwachwi.Allah atuongoze sisi na nyinyi.Muwache kuvaa Herini,Vidani wanaume,sio mapambo yenu ni ameumbiwa Mwanamke.
Hussein Machozi Masha'Allah ❤️💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕 jazzakallahu heir
Husein machoz ameisoma qur ani kwaunyenyekevu sana mungu atuongoze katka njia ilonyooka tusiwemiongoni mwa waliopotea
Lava lava,Hussain Machozi, Jennifer Kanumba&Zuchu mnajua kusoma Qur'an kwa ahkami zake,naomba Allah awaongozeni inshaAllah !.
Lava lava umetisha san saut pia mashaallah ushaur achen mizik mrudien mola, allah awafanyie wepes inshaallah Amiin 🙏🙏🙏
Zuchu jamani hat amma lavalava good na jeniferchukua maua yako🎉 but all in all mashallah❤❤
Lavalava na jinifa kanumba mumewaoiga pin wenzenu wote akifatia zuchu jitahidini sana kukumbuka na ya akhera allah akusimamieni❤❤❤❤nimeshindwa kuzuia chozi langu nilipowasikia munavyosoma
Mashaallah useni machoz
ivi mkisoma kur an na kuimba ipi bora msipende sana dunia mukumbuke alla.anawasubiri ishallah mungu akushushieni neema zake
Naelenizako kma jagwa Masha allah mnasoma vzr atamicjui allah awajalie mtoke mlipo
Inshallah Allah awaongoze zaidi ili mzid kujifunz qur,an na kuzid kufa yaloo mazur
mashaalllah ila namuomba alllah atulinganie kweli kweli tuachane na mahaba ya dunia . amen
SUBHANALLAH HAWA WTE N WAISILAMU KISHA WANAIMBA NYIMBO WALLAH TUNAITHALILISHA DINI YETU TWAMUOMBA ALLAH ATUJAALIE TUWE WENYE KUFUATA MAADILI Y DINI YETU
Subhana Allah akuongoze Rrabbi sisi nasi na akutoeni huko mliko si kwema njooni huku ktk kheri mtajuta mkiwa huko hadi umauti ukikufikeni
Hussein machozi ....you have made it bro...nice tone 😅😅
Hang kill ameua Safi bonge la shekh akiacha muziki
Hamonaze jitathimini,hata Alhamdulilah haujui kusoma,hii ndio sura ya msingi ktk kusali,bado hujachelewa,Allah atakuongoza,Amin
"Inna shaytwana ala l-insani a'duwan mubin(Hakika ya Shaytwani kwa binaadamu ni adui mkubwa/ aliye wazi)." Lakini nyote nyie mlio jinafikisha kusoma Qur'an ndiyo wafuasi wakubwa wa shetwani. Mumekatazwa kuimba, mnaimba na kutunga tungo zenye kumomg'onyoa maadili mema kwa makusudi.. Huku viongozi wa nchi wakikuangalieni. Ni kama wanakuogopeni. Au sijui mmewazidi ukubwa kivipi?
Allah awaongowe awajazie nuru icho kidgo walichonacho kiwe ni ukombozi kutoka kwenye giza la sheitwani hadi kwenye Qur ani ya Rahmani
Awa ni manafiki majubwa wanajifabya wayisaramu kumbi madui ya uwuyisaramu
Ustaa wa Akhera ni Bora kwenu kuliko mnachokifanya Duniani. Mcheni ALLAH.
Hussen machoz Mashallah 😮
Subhanah Allah ....kumbe wote ni waislam hawa...doh kesho kuna kazi..mbele y Allah.hujafa hujaumbika Allah awaongoze njia iliyonyooka.yarab haki muifuate...batili muiepuke.
Hussen machozi lavalava jenifa Mashaallah nyieee mumejuwa kuitendea haki quran
Sasa mbon mmeicha AKHERA mmekimbilia Dunia?😭bdo mna MUDA wa kubdilk fany toba Rudi kwa ALLAH
Waliotenda haki kuisoma vzr 1 Hussein machoz na jenifa k
Lava lava masha'allah Yuko street ❤❤
Lavalava hosen machozi mashallah 🎉🎉🎉
Wallah machozi yamenitoka nikiskiliza qur an roho yangu inaskkia raha adi natokwa na machoz
Hatuwakatii tamaaa InshaAllah siku moja kabla ya kifo mtarudi katika njia sahihi
Hayuko siriazi kusoma harmonize wengine good
Mtihani ila binaadam chakuomba ni mwisho mwema Allah atujalie mwisho mwema sisi navizazi vyetu amn
Surah ya 2 Aya ya286 inasema ""Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi yoyote ila kwa kadiri ya iwezavyho. Faida ya iliyo yachuma ni yake, na khasara ya iliyo yachuma ni juu yake pia. (Ombeni:) Mola wetu Mlezi! Usituchukulie tukisahau au tukikosea. Mola wetu Mlezi! Usitubebeshe mzigo kama ulio wabebesha wale walio kuwa kabla yetu. Mola wetu Mlezi Usitutwike tusiyo yaweza, na utusamehe, na utughufirie, na uturehemu. Wewe ndiye Mlinzi wetu. Basi tupe ushindi tuwashinde kaumu ya makafiri."" 🙏
Mtu hnapokosea. Uomba msamaha kwa Allah n usirudie... Tena Allah umsamehee mtu uyo ss Kuna mwengine waomba msamaha leo kesho wamevaa uchi. Wamerudi kule kule uko n kumchezea Allah ndugu zangu.... Km Kuna mahali nimesem vipaya anhaswifaah. Waislam wenzangu
Soma kwa.heshima.na.sauti.nzur
Harmonizee suraty fatiha kasomà ovyoo ihdinaà sijaskiaà
Mungu.awalinde
Harmonize babake shekhe na karuka hapo Ayah moja 😢😢🥺🥺
Mna zani nimijimbo 2 kuna mungu mm nawaombeni mungu awaongo namipia
Hussein machozi Jennifer na lavalava Allah azid kuwabless ❤
Husen machoz good
Husein machoz 🎉🎉
Kwa usomaji huu wa maneno ya allah mumetukosea sana waislam ila wapo baadhi wana muelekeo allah awaongoze inshallah
Lavalava ,,husein machozi ,, Jennifer Mashallah ❤❤❤
Wapo vizuri hao uliowatag ila huyu wa mwisho na harmonize ni msiba mzito kwa kweli
Mashaallah Allah atuhidi kwa sote yaa raab Amiin
Inshallah Mungu atujaalie mwisho mwema🙏🏻🙏🏻
Lavalava na Hussein wanasoma vizuri na kwa kutulia sio harmo anasoma kama anaimba bongo fleva. Allah atunusuru
Hussein Machozi yuko vizuri kinoma
Sivo anavyo soma @hamonize mungu akuongoe
Yaani hapo jenifa walau mashallah husein kama sio ulikua unafata record pia mashallah ila shost zuchu mmmmh na wewe harmonize qurani inasomwa hivyo wallah mtihani na kuna aya umeiruka basi sijui ndio umesahau kwa mbwembwe..... na kama suratul fatiha tu ambayo ni sura muhimu kuihifadhi mana haikamiliki swala yako bila ya suratul fatiha hali ni hiyo si mtihani huu eeh Allah tuongoze waja wako
Mashaallah ninawaombea muachane na mbo ya kishetwani muwe wenyekukisona kitabu Cha allah
Mungu awasamehe make ni uzunii mnatia huruma amna hata eshima kwa mwenyezi mungu😢😢😢
Jenefa safiiii alfu zote zinapatikana
Lava lava masha Allah, Allah amjaalie katk kher
Hishamlaah mungu hawajalie musisahau vidhuli
Mkiwa mnasoma quran mhakikishe mnafata sheria sio mahadhi ya nyimbo mnasomea quran haifai ata kdg na msome kwa ufasaha kabla hamjaricord quran mungu awafanyie wepes na awaongoze na sotw kwa pamoja amiin
Lava lava na jenifer kiboko❤
Mashaallah ila kijana TOA HIYO HERENI UNASOMA QUR AN AN HAIFAI UNAJIPA LAANA
Hussein machoz, lava lava, Jennifer na young kila kdgo❤❤❤❤ mnaisoma qur an Mara kwa mara, inaonekana
Kassim mashallah unajua kinoma
Subhanallah nyie watoto nimekwambua na nini na sauti zeñu nzuri kusoma Quran kuliko hayo mashetàni ya nyimbo hebu Rudi kwa mola wetu I'll nipate raha ya akhera
Lavalava and Hussein hiyo tajwid ameweza
Jiwaz sasa kwasabab amezowey kuyimb mizik mpak Koran inamushind anayisom kam muzki Allah akuongoz harmonaiz nawenzak
Lavalava is the best of any way mungu Adele kuakumbusha wutukufi wa koraan
Husein machozi na hanifa bad mupo vzr rudini kw mola we2 bad hamjachelew
Maashallaah mbona Hussein na lavalava mnajua kingine nawausia Nafsi zenu na kuiusia Nafsi yangu kumuogopa allaah maisha ya dunia yasiwatoe Iman zenu kwasababu dunia nistarehe kidoogo naniyenye kuisha kunamaisha yaakhera hayahitajii pesa ispokuwa amali njemapale kaburini kunamaswali hautoulizwa uliimba nyimbo ngap wala nyimbo gani Bali utaulizwa tofauti na hayo
Kaka husseni upovizuli sana Mashaallah achamuziki Mludie Allah Kaka
Una sema mashallah ume msikiliza vzr lkn hvo anavo soma hizo ayya
Mungu awajaalie khaki kuwa ni khaki uifwata namebatwili kuwani jambo baya muweze kuepuka
ingekua qur an inasomwa hivo bac ingekua raha sana
Harmonize nawamwisho noma wameshindikiza wezaho😂😂😂
Msi.tanie Allah
Na kuisoma ovyo qur an
Pamoja na kufanya riyaa
Youngkiller anajua wallah maskin af nlijuaga youngkiller mkristo duh kumbe muslim
Lavalava you are the best
Hussein pia wow.❤
Kuwen Makin mnaharibu
kazi iiipo tafteen usahh upo waap sio mnasoma tuu mfanyie kaazi
😂😂😂nicheke mnafikiri mungu shemeji yenu
Qur'an inataka heshima na kuizingatia, na sio kuisoma tu kama mnavyoimba mziki.. Allaah awaongoze nyinyi na mimi pia tuwe wenye kufuata sheria zake.. Hii Dunia ni fupi sana na inahadaisha sana.. Sijawadharau ila nawaombea Dua nyie nami na Waislaamu wote tumtwii Mola wetu..
Kwanza hapo wamesoma makosa kibao kwnye matamshi
Kama konde ndo amezidi kusoma gani qur'ani huku jmn khaa!
damn true
Subhanna Llah... Ameen yaarabb
Ameen🤲🏼🤲🏼🤲🏼