K 🎉🎉❤❤ mimi hapa
ni kweli
😂kweli napenda hivyo nipate mtu wa hivyo
Hongera sana lakini je herufi ya k inaweza kuendana na kukaa kamamke namume,napia( k na k) pamoja na( s na k )niipi yenye nguvu zakukaa pamoja
Ndio kaka
😅ndo kaka yangu k alikuwa anapenda kusaidia rafiki zake anaenda kwa baba anamwambia rafiki yangu anaumwa msaidie hela baba naye akawa anamsaidia
Ndio sio uongo napataga wanaume wenye umri mdogo na wenye kipato
Ndio napenda kusaidia watu na nilikuwa na tabia ya kugawa pesa paka mama alikuwa anasema nipunguze
Kwel wanaume inakuwa ugomvi
Ndio naambiwa mkarimu
😂 wivu
K.tujuane 📌
Barikiwa baraka kuu.