Belle 9 - DADA (Official Video)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • Follow me on Instagram: @belle9tz
    Follow me on Twitter @bellenine

ความคิดเห็น • 516

  • @shadeemzawa2321
    @shadeemzawa2321 6 ปีที่แล้ว +1

    Umeuwaaa mzeee 9_
    Tulikumiss sana
    Kama unamkubali BELLE LIke kama zoote

  • @emmanuelmajovenee8954
    @emmanuelmajovenee8954 6 ปีที่แล้ว +43

    ni kaliii lakin cjui tuu yaan bell9 kunakitu knamis we still need you kwa game broda,,,,kama unamkubali mwana mji kasoro maji ya blue gonga like hapa

  • @lilianmichael5568
    @lilianmichael5568 6 ปีที่แล้ว +4

    Balaaaaaaaa my dear unajua sikuingia kuitazama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @cloneltv
    @cloneltv 6 ปีที่แล้ว +5

    Katika watu wanaojua kuimba ambao hawajawah kuharbu Belle 9 salute, Af haupendag kiki za kiboya keep on moving forward

  • @basheer4278
    @basheer4278 6 ปีที่แล้ว +4

    Huyu ndo belle tunayemtaka sasa....umetisha sana King is back

  • @fatmajoram1631
    @fatmajoram1631 6 ปีที่แล้ว +1

    Dada weeeee umenifanya mi nikae machooo we noma sanaaaaa

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 ปีที่แล้ว +7

    jamani me namoendaga mpka naumwa #belle 9 mambo huku kwetu ni fire🔥🔥🔥🔥👌

  • @husseinkarisha
    @husseinkarisha 6 ปีที่แล้ว +3

    Belle 9 nakupa big up sana,hujawah kiniangusha unakaa muda hutoi ngoma mpaka kuna wasanii wana replace nafasi yako kwenye game...haiwezekani wasanii wachanga including wa WCB wakuzidi wapate mileage kwenye game alafu wewe mtu mwenye kipaji na na sauti ya kipekee wakukimbize please hebu angalia ni wapi panaenda wrong.. flava yako hua ni kali sana kaka....much respect

  • @masalumasunga8969
    @masalumasunga8969 6 ปีที่แล้ว +4

    Umeuwaaa mzee,big up I like it ghafla

  • @hometvonline5378
    @hometvonline5378 6 ปีที่แล้ว +9

    The coming back ya mnyamwezi belle 9 ndio hii kama unakubaliana na mimi gonga like wanangu

  • @isayamvungi5518
    @isayamvungi5518 6 ปีที่แล้ว +1

    Ngoma Kali sana hii big up bele tisa

  • @petermsongo3087
    @petermsongo3087 6 ปีที่แล้ว +1

    Mwenye mziki wake karudi, hongera Belle 9

  • @abdurinassoro6141
    @abdurinassoro6141 6 ปีที่แล้ว +1

    Daaa uyu jamaa najua mbka anaboa yani kama unamkubali belle gonga like twende sawa

  • @prosperdeogratius4888
    @prosperdeogratius4888 6 ปีที่แล้ว +3

    When everyone is a diamond and Alikiba fan..uku me nipo kwa Belle9.big up mwanangu

  • @youngmeku5159
    @youngmeku5159 6 ปีที่แล้ว +7

    Nlikuwa nasubiria hilo chungwa apewe Dada kipande kimoja, alaf apige bite kwa mapozi... Daaah!!

  • @lynneaniceth9238
    @lynneaniceth9238 6 ปีที่แล้ว +3

    Nilikumiss saanaa!!!! Belle9 🙋🙋🙋🙋🙋

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 6 ปีที่แล้ว +3

    Wanaokosea acha wakosee,lakini huyu jamaa ni fimbo sana,Belle 9 yule yule na mziki wake mzuri ule ule.big up brother.

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 6 ปีที่แล้ว +15

    Mapenzi Mbegu Ya Muwa Aisee Ni Ngumu Kuipata Dada Weeeee .....unanifanya usiku kucha Me Nachati Tuuuuuuu Dada wweeeeeeee........ BELLE 9 Umeuaaaaaaaaa

  • @chrismuchiri5756
    @chrismuchiri5756 6 ปีที่แล้ว +2

    bro. hujawahi niangusha tangia mwanzo, pasina yote, we need more n more hits like that.. n make it unstoppable...

  • @nawinahke710
    @nawinahke710 6 ปีที่แล้ว +6

    Mimi kam fan wke sugu wa Belle 9...nakkubal sna mnyamwezi

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 6 ปีที่แล้ว +23

    Daaaah bro belle unajua sana...Wimbo mzuri sana...Keep good music alive🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 ปีที่แล้ว +1

    Dada we uliyenifanya nilale macho where are you??? Leo niko kwa hii song ya moment.... Neo jmn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @pilimbaruck3318
    @pilimbaruck3318 6 ปีที่แล้ว +1

    hongera sana video kali na nyimbo nzuri sanaaa@belle9tz

  • @samorakigosi336
    @samorakigosi336 6 ปีที่แล้ว

    Thanks belle 9 ww ndo mfalme hapa tz sema kuna wachawi wanao kuloga mzee baba dada ni bonge la ngoma zee asante kwa nyimbo mzur

  • @peterfujokalogi7821
    @peterfujokalogi7821 6 ปีที่แล้ว +1

    Iko poa sana mzee baba hongera sana

  • @richardjulius8123
    @richardjulius8123 6 ปีที่แล้ว +1

    daaah ili ngoma kali sana la kibabe kama jamaica vileeeee

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 ปีที่แล้ว

    *Hufanani kuumia mapenzi mbegu ya mua na sirahisi kuyapataaa*
    🔥🔥🔥🔥 *Shika moo belle 9*

  • @rinnionnTV
    @rinnionnTV 6 ปีที่แล้ว +1

    Huwa sipendi kutoa machozi ya hisia ila this one made me drop tears sick beats, sick lyrics, sick video sick swagg sick everything.

  • @richarvalsn7944
    @richarvalsn7944 6 ปีที่แล้ว +5

    +254 ngoma kali sna👏👏👏👏🔥🔥🔥✔✔✅✅

  • @mahamoudjacob1983
    @mahamoudjacob1983 6 ปีที่แล้ว +7

    Wow unanirudisha TBT Fulani hiviiiii amazing 🔥 🔥

  • @KatempaOfficial
    @KatempaOfficial 6 ปีที่แล้ว

    Wasafi should sign this guy. Commenting from kenya

  • @BrotherHaron
    @BrotherHaron 4 หลายเดือนก่อน

    Showing my love from Kenya....natamani belle 9 yule wa kitambo......2024 still listening

  • @josekaminsa3630
    @josekaminsa3630 6 ปีที่แล้ว +1

    Bonge ya ngoma, na jiwe la musimu, coz its nice and very romantic, haichoshi kusikia, Big up brodah!!!!

  • @erastomlimbila1765
    @erastomlimbila1765 6 ปีที่แล้ว

    daaaaa Belle 9 unajua na nd msanii nnae mkubal bongo hii
    kwel mapenz km. mbegu za miwa

  • @azizjuma7678
    @azizjuma7678 6 ปีที่แล้ว +1

    Kama unamkubali huyu jama ngonga like apa 🤦‍♂️👍
    Big up belle 9

  • @najida7170
    @najida7170 6 ปีที่แล้ว

    Belle9 huanakuelewa sana big up sana broo kwa hilisong una2lidhixha mashabiki zako

  • @promramson80
    @promramson80 6 ปีที่แล้ว +4

    Wanaoujua muziki hawapewi promo wasioujua ndo kila siku wako maredioni wanapewa promo ..daaaaaaaa this track is lit🎶🎶🎶👏👏kama unakubali gonga like hapa

  • @nawinahke710
    @nawinahke710 6 ปีที่แล้ว +4

    mapenzi ya ukweli ni mbegu ya muwa so rahis kuyapatA....gonga like ya 254 hpa Kama unamkubal uyu dangerous chorus maker

  • @mtoleraclassictz506
    @mtoleraclassictz506 6 ปีที่แล้ว

    Ngoma Kali Sana ...ujawahi kuniangusha Belle 9....

  • @seducerkapero7306
    @seducerkapero7306 6 ปีที่แล้ว

    bombakratttttttt come again selector ....welcome the king of dancehall belle9 for 9belles fayaaaaaaa

  • @historianyeusi9524
    @historianyeusi9524 6 ปีที่แล้ว +1

    unajua sana broh!👏👏

  • @aliandafrancis
    @aliandafrancis 6 ปีที่แล้ว +1

    Song kali hii... Big up Belle 9

  • @michaelkastochannel8054
    @michaelkastochannel8054 6 ปีที่แล้ว +3

    Kiukweli hua sichoki kusikiliza nyimbo zako tangia Sumu ya Penzi, I'm your big fan! Please don't stop giving us good Music like this! Belle9, from City Without Ocean but we have an Ocean 'Mindu! 💪😁

  • @M-double
    @M-double 6 ปีที่แล้ว +2

    Nice Track Belle 9👌🔥👌 Respect From Finland 🇫🇮

  • @kashswedi3711
    @kashswedi3711 6 ปีที่แล้ว +1

    Ngoma kali.
    Idea ya video nayo ni kali mno.
    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kennedylealmusia2244
    @kennedylealmusia2244 6 ปีที่แล้ว +4

    That is why I love belle Tisa songs,brother u r real,have been listening ur songs since 2006,man u r amaixing,keep up with spirit

  • @gaudencehaule7398
    @gaudencehaule7398 3 หลายเดือนก่อน

    Oyaaaa BELLE NAGO 2024 hii nachek ngoma

  • @ashleykipuge1246
    @ashleykipuge1246 6 ปีที่แล้ว +1

    ngoma kali sana big up mzee

  • @nickymeel986
    @nickymeel986 6 ปีที่แล้ว +5

    What a song🔥🔥..good Job Belle tisa

  • @paulsantanatzee8301
    @paulsantanatzee8301 6 ปีที่แล้ว

    Belle anajua sana good vibe umeamsha mzee napenda pale unalap kidogo

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 6 ปีที่แล้ว +1

    My best of my best nakuaminia sana bro nakubali sana since day from +254 kenya nakubali belle9

  • @trendsnew2140
    @trendsnew2140 6 ปีที่แล้ว

    Wimbo huu first time nausikia niliona wakawaida du nimeusikia zaidi ya marambili aisee nimeuelewa kuliko big up Sana B9n

  • @moshibakari8602
    @moshibakari8602 6 ปีที่แล้ว +5

    #ngoma kaliii inajielezea yenyewe sio kushinda clouds fm kupiga promo ili ngoma ikkiki lakn wapi #imepotea kwa aibu @belle9 -dada is my vitamini music sichoki kusikiliza

    • @ambokilemussa2180
      @ambokilemussa2180 5 ปีที่แล้ว

      Jamaa anakua ndio maana hatumii sana kiki mziki wake unaeleweka

  • @abouranotz520
    @abouranotz520 6 ปีที่แล้ว

    Dada weeee,leo Belle nae anaiimba oouyeah.. daaada umetuleevya\we dada, ni murder.... bless sana bro..... ITS BIG!

  • @evergreenmagingila8756
    @evergreenmagingila8756 6 ปีที่แล้ว

    daah belle 9 unakipaj kaka hila sjui ndo bahat haun ya tuzo yaan mm kwenye kuimba hapa Tanzania nakuweka kwenye tano bora ya waimbaji nyimbo zako huwa ni firee fireeee sauti ndo htriiii lakin sjui kwann tuzo inakupita kando jmn daaah haya ban

  • @hhfamily7835
    @hhfamily7835 6 ปีที่แล้ว +2

    groove ni kali manze..keep it up

  • @silwimbasunday5485
    @silwimbasunday5485 6 ปีที่แล้ว +1

    i lov his movement toka long time anaweza alikuwapi uyu nyiee

  • @directorhodari1099
    @directorhodari1099 3 ปีที่แล้ว

    belle9 kusemakweli wewe ndio unahisitahiri hata tuzo upewe maana wewe kazi zako zaukweli sana hauimbi matusi music uawa sani bazi haswa kwasasa matusitu nakupenda Belle'karibu geita

  • @anthonmarwa4726
    @anthonmarwa4726 6 ปีที่แล้ว

    Hii ngomaa n kaleeeeee htr salute bell 9 kzaz xanaa

  • @drcma9273
    @drcma9273 6 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂😂,, kivingne kabisa belle,,, uko vzr sanaaa
    Kipaji kikubwa hiii

  • @michaelkastochannel8054
    @michaelkastochannel8054 6 ปีที่แล้ว +1

    Ww ndo Fundi Wa good Music, Don stop bro!

  • @ChettaFlyee
    @ChettaFlyee 6 ปีที่แล้ว +1

    Dada ngoma kali sema jamaa anaesukuma bike hamna uhalisia

  • @issamnyamamba3297
    @issamnyamamba3297 6 ปีที่แล้ว

    Braza belle 9 ngoma ni qaliii vibaya mno

  • @nascoobeats
    @nascoobeats 6 ปีที่แล้ว +3

    Mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @emmanuelmussa8331
    @emmanuelmussa8331 6 ปีที่แล้ว

    Huu ndo mziki tulioumiss..Keep it up belle 9

  • @labanijr5195
    @labanijr5195 6 ปีที่แล้ว +1

    nyimbo n nzur xanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @teresamaro9549
    @teresamaro9549 5 ปีที่แล้ว +4

    the way this HIT IS SWEET YOU DONT EVEN WISH it to end and you dont even know how it ends daaaamn

  • @beeniebvegasboi254
    @beeniebvegasboi254 6 ปีที่แล้ว

    from 254 tunakubali sana belle9 mkare wao... hiii kubwa dude aiseee!

  • @Pandumasoftware
    @Pandumasoftware 6 ปีที่แล้ว +2

    Huyu ndie yule belle ambae tulikuwa tumemmisi siku nyingi sana! Thank u kwa kutuletea mziki mzuri kutoka kwako,
    Big Up to you ma bro, bonge la ngoma Rnb! Nzuri sana!

  • @johnatosha1002
    @johnatosha1002 6 ปีที่แล้ว

    Nimeielewa sana hii ngoma mpaka video. Big up bell tisa

  • @inclyrics4384
    @inclyrics4384 6 ปีที่แล้ว +1

    Belle mnoma sn aseee maana sio kwa verse hizapa dooooooh

  • @sumatindwa2720
    @sumatindwa2720 6 ปีที่แล้ว

    shabik na1 pande za songea,, ****## ngoma kali sna!!!! @@belle9

  • @henryedmund1046
    @henryedmund1046 6 ปีที่แล้ว +1

    Wozaaa ngoma kalii. Motooo

  • @harunfamily3278
    @harunfamily3278 6 ปีที่แล้ว +5

    🔥🔥🔥🔥🔥bonge la nyimbo

  • @a.j9964
    @a.j9964 6 ปีที่แล้ว

    Unique sanaaaa hii VIDEO WAZEE KHAAAA BELE KAUA SANAAA

  • @kingwawi8977
    @kingwawi8977 6 ปีที่แล้ว

    Mtu wangu uko juu sana big up sana

  • @rashidkashumba6858
    @rashidkashumba6858 6 ปีที่แล้ว

    Uyu jaama anajua Ni nomaaaaaaaaa

  • @herlychavdy2932
    @herlychavdy2932 6 ปีที่แล้ว +1

    Saf sana mr unaweza

  • @Bijan93
    @Bijan93 6 ปีที่แล้ว +6

    Kubwaa.....where are my fellow Kenyans?

  • @sammytz1540
    @sammytz1540 6 ปีที่แล้ว

    *belle unajua mzee kichupa kimetulia 🔥*

  • @yohanalugesha2239
    @yohanalugesha2239 6 ปีที่แล้ว

    We mkal kweli berry9 big up kwko bro

  • @rehmadamian8020
    @rehmadamian8020 6 ปีที่แล้ว +5

    Hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv3914 6 ปีที่แล้ว +15

    BRAZA BELLE FANYA MPANGO UWE KWENYE LISY YA FIESTA BROO,WASIKUBANIEE BANAA WE NEED UU BROOO

    • @Pandumasoftware
      @Pandumasoftware 6 ปีที่แล้ว +2

      Gospel Vibes TV mwaka jana alipigiwa simu na B12 alitakiwa kwenye FIESTA, ila Ratiba ziligongana katika mikoa ambayo alitakiwa akapaform alikuwa na shows sehemu nyingine. Ila naimani mwaka huu tutakuwa nae!

    • @brendahajeso1390
      @brendahajeso1390 6 ปีที่แล้ว +1

      Yeah ! He should be on top of the list, uyu Jamaa nilimskia kitambo kabla chibu awe staa

    • @senimashauri6696
      @senimashauri6696 4 ปีที่แล้ว

      Kiukwel uyu bell9 inabidi wakiendelea kumbania kipaj chake sie mashabiki wake tufanye mpango tumpsapot kwa hali na mali

  • @DEGESTAR
    @DEGESTAR 6 ปีที่แล้ว +1

    Nani mwengine ka mkubali belle 9. ?????????????

  • @nicksanmkwam577
    @nicksanmkwam577 6 ปีที่แล้ว +1

    Naon kunashmbulio LA aib kwengom,,gong like kma umikubli

  • @adamzakaria2463
    @adamzakaria2463 6 ปีที่แล้ว

    Yesssssss
    bext
    amerud. hajawah angusha

  • @emmyliahbenson3801
    @emmyliahbenson3801 6 ปีที่แล้ว +1

    oyooooo ngoma Kali

  • @mirajikinuke5336
    @mirajikinuke5336 6 ปีที่แล้ว +1

    kazi nzuri sana ndugu... We are together..

  • @daudymswahela9189
    @daudymswahela9189 6 ปีที่แล้ว +4

    boy from home city (moro) big up... thank u 4 coming around thiz game

  • @vivapac1232
    @vivapac1232 6 ปีที่แล้ว +4

    Respect BROO
    Like zikuwapi za wabongo

  • @CapitalAdo
    @CapitalAdo 6 ปีที่แล้ว +26

    Ngoma kalii Big Up kwako S/O Belle 9 #Dada

  • @yasinjames556
    @yasinjames556 6 ปีที่แล้ว

    yap yap, kaz nzuri wenye nyumba washarudi mpangaji beba virago

  • @bennympanji6121
    @bennympanji6121 6 ปีที่แล้ว +1

    Ngoma kali mjomba bell9

  • @deuselizeo9694
    @deuselizeo9694 6 ปีที่แล้ว

    Ngoma Kali sana bele9.big up.

  • @noahkyando8401
    @noahkyando8401 6 ปีที่แล้ว +1

    umeuwaaaa broo

  • @steezymarafikiofficials321
    @steezymarafikiofficials321 6 ปีที่แล้ว

    Kali sana..belle 9 my best

  • @abassmakoko980
    @abassmakoko980 6 ปีที่แล้ว

    Daaaah bonge la ngoma hivi ndo tuvipendavyo

  • @premax_official
    @premax_official 6 ปีที่แล้ว +3

    My number one song in the play list. You kill it blood.

  • @newalakwetu9737
    @newalakwetu9737 6 ปีที่แล้ว

    watoto wa Morogoro mji kasoro meli,,,,wanajua sana sema nyota na kubaniwa zaidi,,,,Rich Mavoko from Kimamba kilosa,,,,Belle 9 from mkoani,, Stamina,,,,Samir na wengineo,,,,kuna football mkoa wetu tumejaza kinoma,,,,hila hipo siku,,,,moro ni mkoa wa vipaji

  • @renymusicofficial5476
    @renymusicofficial5476 6 ปีที่แล้ว +18

    Tisha sana mnyamwezi