Hotuba ya Rais Ruto! Uchambuzi na Ushauri kwa Ruto kutoka kwa DJ Sma

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 125

  • @Moseskoome-l1t
    @Moseskoome-l1t 17 วันที่ผ่านมา +7

    dj smaa ndomaana nakupenda 🇰🇪🇰🇪🇰🇪ruto asipofanyia Hilo kazi tunaenda State House this time mungu

  • @DavidKinyua-oo9hg
    @DavidKinyua-oo9hg 17 วันที่ผ่านมา +5

    Raisi wa wanainzi Ruto ogera and God bless you so much ❤

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 17 วันที่ผ่านมา +8

    Good job from 🇧🇮🙏🔥 tunakupenda san

  • @janechegechege9584
    @janechegechege9584 17 วันที่ผ่านมา +2

    Well done 👏 ✔️ you have analyzed that perfectly. I agree with you 💯

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 17 วันที่ผ่านมา +5

    Nyie watanganyika ni waajabu sana.tanganyika yetu imeuzwa kila kona, mmeshindwa kukemea ila vya kenya mnajitia uchambuzi #NONSENSE

    • @eben_ezer8853
      @eben_ezer8853 17 วันที่ผ่านมา

      Yaaan nashangaa eti wanamshauri Ruto nyie kama nani vile huko kwenu hata albino bado wananyongwa na serikali ipo tu kila siku mama mama wacha ya Kenya hayawahusu🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

    • @nomoboy152
      @nomoboy152 17 วันที่ผ่านมา

      Umeongea ukweli lakini tunatakiwa tufanye wote brother #Letsdoittogether

    • @soudmoshmnyika5813
      @soudmoshmnyika5813 17 วันที่ผ่านมา +1

      Watu hawafahamu , kwa mtambuzi anafaham alivyo zungumza katoa mpaka ushauri kwa nchi yetu ya Tanzania kwa kusema hata viongozi wetu nawashauri kufanya hivi , au mnataka afanyaje yani

  • @TIZZOBOYOFFICIAL
    @TIZZOBOYOFFICIAL 17 วันที่ผ่านมา +7

    ata kama hio fince bill ingepita still angekopa anatupima huyu msee

  • @TalesofNasinka
    @TalesofNasinka 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi nzuri sana Dj SMA🎉🎉🎉🎉🎉

  • @wycliffhezron7378
    @wycliffhezron7378 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kazini nzuri dj sma 💪🤝

  • @waendaotvcom204
    @waendaotvcom204 17 วันที่ผ่านมา +5

    Mbona usitoe huu ushauri kwa raisi wako... au unaogopa kutekwa😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 17 วันที่ผ่านมา

      Hana mwanasheria 😂😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 17 วันที่ผ่านมา

      Hana mwanasheria 😂😂😂

    • @sund2553
      @sund2553 17 วันที่ผ่านมา

      kuchambua ya watu tu ya nchin kwake kimyaa juzi katekwa kijana na kupelekwa kituo cha police lkn kimy hakuna hat chomb cha habar wamejitokeza kuhoji ,badget ya Tz ilitoka mlivyo wanafik hata kutoa elimu watu wapate uelew kimya ila ya nchi za jiran mpo busy kuelezea watu 👎🏿👎🏿👎🏿

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 17 วันที่ผ่านมา

      Si kuna muda anashauri Afrika nzima au hujasikia... Anamtaja Ruto sana kwakuwa yuko kikaangoni

  • @AliAbdallah-yo8dx
    @AliAbdallah-yo8dx 17 วันที่ผ่านมา +4

    Hapo kwenye ufisadi, atakapo fukuza na kuchukuliwa hatuwa mafisadi, mm nitampa kura yangu tena....🫡

  • @musalumbi8490
    @musalumbi8490 17 วันที่ผ่านมา +7

    Ruto alikuwa amelala Gen Z wakamwamusha🤣🤣🤣

  • @user-ql7wu9vm5s
    @user-ql7wu9vm5s 17 วันที่ผ่านมา +1

    Merci mon frere. From France

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 17 วันที่ผ่านมา +3

    Kumbe DJ anaweza kuwa Mbunge , keep it up bro. Shida ukiingia mjengoni usije kaa kimya😂👍

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 17 วันที่ผ่านมา

      Umeona mbali bro, tunahitaji MP wa hv tz ila wawe opposition

    • @BakariMbamba
      @BakariMbamba 17 วันที่ผ่านมา

      Tatizo mafisadi ukiwa mjengoni ukiyapinga yanakuuwa

  • @liannnjery9037
    @liannnjery9037 17 วันที่ผ่านมา +1

    Sns always on top of it's game,great analysis Sam.

  • @abudoeugenio6903
    @abudoeugenio6903 17 วันที่ผ่านมา +2

    Apo kwenye kununua magari tuko pamoja. Viongozi wetu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 sisi wamekuwa vichaa, eti wanaacha kununua madawati na madaftar , madawa mahospitalini, kutengeniza mabarabara, wao kila mwezi kunuriana magari. Yahni hakuna nchi yenye uwongo mpuuzi kama nchi yetu🇲🇿🇲🇿😭😭😭😭😭😭.

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764 17 วันที่ผ่านมา +2

    Very very nice dj sma. Then In Kenya, a "confidential budget" refers to funds allocated for activities deemed sensitive or of a national security nature, which are not openly detailed in public financial statements. These budgets are often managed by security agencies such as the National Intelligence Service (NIS), the military, and sometimes other government departments. The specifics of how these funds are used are typically classified to protect national security interests. Consequently, oversight and accountability mechanisms for confidential budgets can be limited, raising concerns about transparency and potential misuse of funds.

    • @djsma255
      @djsma255 17 วันที่ผ่านมา

      Thank u very much for this nice explaination

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 17 วันที่ผ่านมา +1

    Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    +254

  • @rogersanga3235
    @rogersanga3235 17 วันที่ผ่านมา +1

    nikisikia shalom..na download zangu naenda kuangalia nyumbaniiiiii

  • @michaelseti3475
    @michaelseti3475 16 วันที่ผ่านมา +1

    confidential budget ni budget kwa ajili ya usalama wa taifa {specifically NIS ya kenya, ila its powers zinakuwa extended to MPS, na members of cabinet, mfano paying for vital information , ila so far hawa MPS wana imissuse, ili wajilipe hela, ndomana watu wanataka iondolewe
    sincerly
    MIKE BEATS

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 17 วันที่ผ่านมา +2

    Upo sahih coca cola pia tunafanya hvo magar tume rent

  • @djafro8729
    @djafro8729 17 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa wa fuse and logic atampoteza. Mimi ni mkenya najua ruto mzuri.
    Huyu jamaa wa logic hawezi sema kitu mbaya kuhusu Putin ama Ruto

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 17 วันที่ผ่านมา

    Exactly, Outsourcing

  • @sanitakarisa9660
    @sanitakarisa9660 17 วันที่ผ่านมา +16

    Dj sma baado hujamjua huyu Wiliam ruto vizuri, nikama umemjua juzi tuu. Na ukitaka kukubaluana na wakenya wote mfuatilie kwa muda mrefu . Hata Julius Malema (south Afrika) anamjua Wiliam ruto ni muongo

    • @WazirBoy-fe5ew
      @WazirBoy-fe5ew 17 วันที่ผ่านมา

      Mimi kwa kipindi kifupi tu nimemjua huyu mtu ruto

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 17 วันที่ผ่านมา

      Kivipi. Twende kwa facts sio mihemko. Uongo upi?

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 17 วันที่ผ่านมา +1

      Hujaeleweka, hajamjua kivipi? Mbona kama vile wakenya hamjulikani mnataka nini? Kwahyo unataka kusema aliyoyangea Dj Smaa ni uongo? Elewekeni mnataka nini wajinga ninyi. Mim nilijua mnatuchukia utendaji wa serikali kwa ujumla kumbe mnamchukia Ruto personal.

    • @zaggytv7012
      @zaggytv7012 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@rumdeesonsoa1811 Ana maana Kwa dj sma hajajua kwamba ruto ni muongo kupitiliza,, kwamba amfatilie hapo nyuma ndio atajua ruto ni mtu wa aina gani,,mwanzo Mimi yote aliyoyasema naona anakulia TU wananchi njaroo

    • @user-dg7wf6fg2j
      @user-dg7wf6fg2j 17 วันที่ผ่านมา

      Kenya wamechoka yatazunguka Africa walianza warabu zamu ya africa

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 17 วันที่ผ่านมา +1

    hii Ilicit Financial Flow iko kwetu Tanzania sana. 10 months ago Madam President aliiongelea ikiwa sourced Mtwara kikipanda mpaka west Mara region..na huo ni mfano tuu

  • @Is-hakaAbdallah
    @Is-hakaAbdallah 17 วันที่ผ่านมา

    Big up bro

  • @appolonation
    @appolonation 17 วันที่ผ่านมา +1

    Dj Sma Ruto Ni Muongo Sana Anataka Watoke balabalani Awafunge wachache na habadilishi kitu 😂

  • @user-qb8fx9np5x
    @user-qb8fx9np5x 17 วันที่ผ่านมา

    Goodwork

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 16 วันที่ผ่านมา

    Kuishauri Kenya tu Tanzania aaah

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona kauza inci hakusema marekani siku sinyingi wataleta vitæ kubwa Kenya

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM 17 วันที่ผ่านมา +1

    Africa tunatofautiana majina ya nchi ila viongozi wengi ni vubaraka 89%

  • @jeremiahmsemwa8323
    @jeremiahmsemwa8323 17 วันที่ผ่านมา

    Ruto ni mzuri sana wa speech, lakini sio vitendo. Anawafariji tu.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 17 วันที่ผ่านมา

    Kwastail iyo wakenya walikuwa wanampenda Sana magufuli na utendaji wake..mana ilikuwa dhahabu yetu...mungu amlaze mahali pema pepon

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 17 วันที่ผ่านมา

    Wana Raha mpka vouch..wananchi wadogo wanaumia

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 17 วันที่ผ่านมา +1

    Dj smaa uchambuzi wako ni kuntu,wana Kenya wamethubutu,sasa Ruto analo hata awe muongo kuliko shetani,hatoboi bila kutekeleza matakwa ya wananchi. Utapanyaji wa mali na kodi unaofanywa na watawala wa Kenya ndiyo yanayofanyika Afrika,East Afrika,hata kwetu Tanzania kwa miaka yote. Sasa kuna usemi:Mwenzako akinyolewa,..... Marais wengine wa east Afrika wajipange wasifikirie wananchi wakiamua watajali mauaji yao kwa risasi yatawarudisha nyuma wataua lakini watajiharibia zaidi bora waingie mezani na waliowachagua wakubaliane, waondoe uchafu wao,kila mtu aheshimu haki,sheria na katiba iliyowapa ridhaa kupitia watu! Mungu ibariki East Afrika,ibariki Tanzania

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 17 วันที่ผ่านมา

    Sasa kutoka hapa, tuende wapi? Jumuiya ya Afrika Mashariki? Ama nini labda?

  • @aidanmbilinyi8184
    @aidanmbilinyi8184 17 วันที่ผ่านมา

    Huu uchumbuzi ni mzurii vipi kuhusu nchini kwwtu mpo kimya

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 17 วันที่ผ่านมา

    Ruto must gooo

  • @hameedm8361
    @hameedm8361 17 วันที่ผ่านมา

    Confidentian budget matumizi ya serikali ambayo hayana uwajibikaji au accountability,

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 17 วันที่ผ่านมา

    Dj sma is very smart

  • @marymayeye5940
    @marymayeye5940 17 วันที่ผ่านมา +1

    DJ, usijifanya wewe unajuwa sana mambo ya wakenya pls tuwachani ya kwenyu hamyaoni ? Wakenya HATUPANGUNGE.

    • @Khalidniya380
      @Khalidniya380 17 วันที่ผ่านมา

      Acha kisirani wew nani amekuleta hapa Acha ujinga

    • @Moseskoome-l1t
      @Moseskoome-l1t 17 วันที่ผ่านมา

      wewe acha ufala dj smaa sisi Kama 🇰🇪🇰🇪tunampenda tunamkubali Nani mkenya mwenzetu na hapa ni nyumbani usije kujifanya hatujui umetoka wapi ghasia Kama wewe

  • @IdeaIncubator_id
    @IdeaIncubator_id 17 วันที่ผ่านมา

    Dj sma, vifungu vya confidentiality kwenye mikopo hayo ni matakwa ya mkopeshaji kwasababu suala hilo lipo kibiashara zaidi na ushindani katika Soko la fedha. So ni either uchukue na masharti au uache ukapambane na hali yako.
    Mfano, wachina hawataki mikataba yao iwe hadharani kwasababu ya uhasimu wao na nchi za wests, hilo pia lipo katika benki kubwa za kibiashara zinazokopesha Serikali duniani...Creditors wanapatikana kwa njia ya competitive bidding or ushindani...kuweka mkataba hadharani means unatoa siri ya kamb kwa kuonyesha the way financing ilivyokua structured etc.
    Kusisitiza ni nchi kufuata debt transparency framework iliyochini ya WB ambayo inataka kila nchi kutuma taarifa za deni na kuziweka wazi kila mwezi public.
    Sehemu pekee yakuweka mkazo katika nchi za Afrika ni kwenye miradi maana hapa studies nyingi zinaonyesha absorption capacity ni ndogo sana na hapa ndipo pesa zinapopigwa.

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka8418 17 วันที่ผ่านมา

    Dj smaa na nchi yetu unaiyambia nn au uku akuna shekh?

  • @tawfiqsaid4918
    @tawfiqsaid4918 17 วันที่ผ่านมา

    Mfumo wa Logistics sio mzuri kwa usalama wa viongozi.

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 17 วันที่ผ่านมา

    @dj sma should an african governments advisor

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 17 วันที่ผ่านมา +4

    Ruto ni mhuni

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 17 วันที่ผ่านมา

    Duh mnanunuaga magar mazuri sana duh,,,

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 17 วันที่ผ่านมา

    @dj sma serikali yetu ina manyanyaso sana hasa kwa walimu, madaktari na Polish na ndio maana ruto hakuliongelea hilo jambo la kupunguza mishahara

  • @hadahada4546
    @hadahada4546 17 วันที่ผ่านมา

    DJ SMS wacha ujinga ubmwa ww dj

  • @ibrahimsalim6835
    @ibrahimsalim6835 17 วันที่ผ่านมา

    Magari ya police ya Kenya yote yakukopwa huyaoni yote mapya sikuhizi but very expressive almost ksh15000/= per Day inafanya kazi

  • @robertnkyalu3241
    @robertnkyalu3241 17 วันที่ผ่านมา

    Muwe mnachambua na maovu ya nchi yetu sio za wenzetu hiyo sio sawa
    Kama kweli ninyi ni wapenda haki na watetezi wa mfumo gandamizi wa kimagharibi

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 17 วันที่ผ่านมา

    Apo ni kweli bro wanatanuwa wabunge kisa inatosha plz

  • @sophiemuthoni9841
    @sophiemuthoni9841 17 วันที่ผ่านมา

    We want the MPs senators ..cas governors and top government top dogs salaries slashed…

  • @ibrahimsalim6835
    @ibrahimsalim6835 17 วันที่ผ่านมา

    Corruption hawezi ingilia Kenya inaendeshwa na judiciary ambao yeye asema ikohuru kaiachia wahusika

  • @kungugeni
    @kungugeni 17 วันที่ผ่านมา +1

    Wakenya kitu kingine mhipinge NATO nishilika la majambazi linapola Mari za nchi. Pia litavuluga amani ya nchi kazi Yao NATO ni kuvuluga. Amani ya nchi usika Ili wapate laslimali za nchi

    • @bennygwasa4563
      @bennygwasa4563 17 วันที่ผ่านมา

      Wachache wanajua hilo

  • @mussajuma7460
    @mussajuma7460 17 วันที่ผ่านมา

    Ruto aseme afanye lolote ila lazima asepe maana kenya hatakiwi

  • @chande2k250
    @chande2k250 17 วันที่ผ่านมา

    Dj sma hujawahi kuniangusha serikali zetu zingefanya hivyo hz kesi zicngekuwepo
    Mkuu wa wilaya au engineer kupewa V8 haya ni matumizi mabaya sana ya madaraka

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 17 วันที่ผ่านมา

    Ninachojua hii ni opposite yaan ameambiwa na rais wa tz

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 17 วันที่ผ่านมา

    Zakayo ana mbinu 😂😂

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 17 วันที่ผ่านมา

    Nashindwa kuendelea kuwatch kuanza kusikiliza hizo hella inchi zetu zinapoteza ambazo ni zaidi ya madeni tunayodaiwa

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 17 วันที่ผ่านมา

    Sasa tungepata hisabu ya matumizi ya mapunguzo yote haya yaliyo fanyika then tujiwe katika mapunguzo ya hizi idara matumizi mengi so hizi billion 346 tujuwa zimebaki ngp ili tukope au kupunguza budget, cause km kuna mapunguzo katika izo sehemu nyingi bc kuna pesa nyingi zitakuwa free hazina matumizi tena.

  • @hadahada4546
    @hadahada4546 17 วันที่ผ่านมา

    DJ mjinga Sana sma

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 17 วันที่ผ่านมา

    Cause Kama tumepunguza matumizi mingi je kwel ndio billion 346 ndio bado zinahitajika km zilivyo apo tuwekane sw

    • @abdalahngozi5455
      @abdalahngozi5455 17 วันที่ผ่านมา

      Iyo ni ile majambazi wanaiba bank million 20 alafu bank manager anatangaza pesa zilizoibiwa ni million 120 😂😂

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 17 วันที่ผ่านมา

    Awafirisi Wala Rushwa

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 17 วันที่ผ่านมา

    Jamani rais na huongozi mzima wa Tanzania 🇹🇿 sibora waige kutoka kenya harafu kwanini wanini waajiliwa serikalini niwale wale harafu mafisadi watu wameisha kua wazee wameisha iba vyakutosha Jamani navijana wana Elimu yakutosha nahawapewi kazi?chugueni vijana walio maliza shule damu bado inachemka waitumikie nchi yao,wapumzishe hao wakina makonda wameisha iba vyakutosha

  • @user-pt8wo4ss2p
    @user-pt8wo4ss2p 17 วันที่ผ่านมา

    Kwa viongozi wa juu kuanzia wabunge makatibu wa wizala makamishina

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 17 วันที่ผ่านมา

    Ruto hawzi kuongelea ufisadi na wafisadi maana yeye mwenyewe ndie fisadi wa mwanzo,

  • @babemris2963
    @babemris2963 17 วันที่ผ่านมา

    Unamjua ruto nauongo wake ndugu??

  • @user-pt8wo4ss2p
    @user-pt8wo4ss2p 17 วันที่ผ่านมา

    Mishahala wapunguze kwa %40

  • @mohamedabdulkadir6186
    @mohamedabdulkadir6186 17 วันที่ผ่านมา

    Haezi fukuza wafisadi juu wafisadi wote ni washkaji wake wa mbavuni

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 17 วันที่ผ่านมา

    Dj sma nafuata nyayo zako

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 17 วันที่ผ่านมา

    WAKENYA WANADAI RUTO NI MUOMGO MUONGO SANA NDO MANA HAWATAKI HOJA ZAKE

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 17 วันที่ผ่านมา

    Hayo mapendekezo uliyoyataja ni kwa nini usimueleze Rais wako wa Tanzania. Imeandikwa "Ondoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kupangusa TONGOTONGO kwenye jicho la jirani yako". Mbona Viongozi Wakuu na Wabunge wa Tanzania wana mishahara na marupurupu karibu sawa na wa Kenya unaowashauri wapunguziwe Mishahara na marupurupu yao!!??

  • @qasimk2390
    @qasimk2390 17 วันที่ผ่านมา

    ukimuangalia kwa sura tu unajua kua ruto ni muongo na ni kibaraka wa nchi za magharibi na ni mshenzi

  • @ibrahimsalim6835
    @ibrahimsalim6835 17 วันที่ผ่านมา

    Mishahara hapa Kenya imeshinda USA huyo Ruto alipwa kushinda Biden ukweli kaka sio kuchochea Fanya utafiti

    • @djsma255
      @djsma255 17 วันที่ผ่านมา

      Nimejaribu jutafuta nimekosa mishahara ya wabunge wa africa na wa duniani sijapata

  • @saivellybrutally2994
    @saivellybrutally2994 17 วันที่ผ่านมา

    Tanganyika sisi tuko wap ndio migano iyo.

  • @mohammedshishishi6375
    @mohammedshishishi6375 17 วันที่ผ่านมา

    Jana likutafuta umwambie ruto ayo maneno

    • @djsma255
      @djsma255 17 วันที่ผ่านมา

      I wshi i could talk to him directly

  • @pantaleolaurentlaurentkavu2011
    @pantaleolaurentlaurentkavu2011 17 วันที่ผ่านมา

    Ushauri wako ni porojo.tu.utawala.popote ni eneo gumu.linahitaji kuwa na fedha nyingi.sawa na baba mwenye nyuma.

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 17 วันที่ผ่านมา

    Sasa mbona na kawapandishia mishahara wabunge wake

  • @ibrahimsalim6835
    @ibrahimsalim6835 17 วันที่ผ่านมา

    Mishahara yetu yanapitishwa na wabunge wenyewe kwanini yasiwe mikubwa

    • @djsma255
      @djsma255 17 วันที่ผ่านมา

      Kwasababu walizoea raia wanaonges bula vitendo ila raia wa kenya wamewafundisha funzi so anmini this time they wnt be arrogant!

  • @aminakenea9614
    @aminakenea9614 17 วันที่ผ่านมา

    Ruto ni maji yanafuata mkondo wa marais walitoka, woooote niwakosefu wa imani wamebeba tu uuwizi ( ILA WAJUE MUNGU HALALI DAMU ZA WANANCHI ZITAWAELELEKA )

  • @braysonminja
    @braysonminja 17 วันที่ผ่านมา

    Mbona kwa tz uongelei

    • @mytelecom2019
      @mytelecom2019 17 วันที่ผ่านมา

      utamuazima mwanasheria wako?

    • @yasminmustafa2282
      @yasminmustafa2282 17 วันที่ผ่านมา

      Anajua hatapata likes...Tanzanians don't like civic education kazi yanga na mondi

  • @animalchannel296
    @animalchannel296 17 วันที่ผ่านมา +1

    #we stand with Ruto
    Ruto must stay

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 17 วันที่ผ่านมา

    Jiadae nitakuwa mfuasi wako

  • @novusengineering_tz4523
    @novusengineering_tz4523 17 วันที่ผ่านมา

    Djsma, mbona nimemsikia mara kadhaa Ruto akihubiri kuwesesha vijana kwenda nje kufanya kazi. Do you think ni sawa, why tupeleke nguvu kazi nje kujenga uchumi wa wenzetu kwa kigezo cha wao kufanya kazi na kupata hela. Am sorry, mm ni mfuasi wa falsafa ya PAN AFRICA, nafikiri anapaswa kujenga uchumi, vijana wake wafurahie kukaa nyumban na kujenga uchumi nchi instead kuona ufarahi vijana kufanya kazi ya nchi. Tutakuja kulia kama wajapani sasa kwa baadhi ya maeneo hasa ya vijijini kutokuwa na watu kwa kigezo cha kufanya kazi ugaibuni

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 17 วันที่ผ่านมา

    Lakini in all honesty una tuadvise as who?do you know you will mever find any kenyan platform imekalia siasa ya tz hivi..DO BASIC EDUCATION TO YOUR CITIZENSeven if you get 2views it's atleast a step to the right direction..

  • @truemanfrank1332
    @truemanfrank1332 17 วันที่ผ่านมา

    Ruto seees far ruto must stay

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 17 วันที่ผ่านมา

    Elimu mbovu inatusadia sana kuleta Amani Tanzania Asante sana serikali yangu tungewafungua hawa watu yangetukuta ya kenya

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 17 วันที่ผ่านมา +1

      Hujui unachoongea vipi botswana wana elimu mbovu, vipi kuhusu south Africa wana elimu mbovu vipi kuhusu Naigeria wana elimu mbovu, je umeshaona botswana wanaandamana kiholela? Kinachotokea Kenya ni ahadi zote zilizoahidiwa na serikali hakuna kilichofanywa hata kimoja zaidi viongozi kujilipa pesa nyingi na kuongeza mpaka bei ya mkate na vitaulo vya wanawake, hivyo amehushishwa kulipa kodi ya juu mno mpaka mtu wa chini kabisa ikiwa watu wa serikalini hawalipi kodi na mishahara yao ya juu, sasa embu sema Tanzania tunaandamia nini kwa mfano, tulitaka ndege za kimataifa sasa tunazo tulitaka tren za haraka na usafiri wa uhakika tunazo tulitaka umeme usiwe wa mgao sasa bwawa linakaribia kuisha sasa lipo 98% tulitaka madaraja ya juu kupunguza foleni mjini sasa yapo tulitaka uborweshwaji wa hospitali sasa zimeboreshwa kila mkoa na kujengwa nyengine, na hata upandaji wa kodi kiasilimia haulimgani na majirani ingawa hatuwezi kukwepa ukweli maisha yamepanda sana hata nchi za ulaya na duniani kote sasa ndio maana wanalipa kodi kwa njia ya credit card ambayo ni ngumu sana kama ingekuwa hivyo kwetu unalipa madeni mpaka unakufa, mfano nchi niyopo nimefika soda ya kopo ilikuwa elf moja ya nyumbani na sasa ni elfu mbili ila huwezi ona watu wakiandamana na hospital bure ila gharama za madawa pharmarcy ni kubwa mno na hsp za pruvate ni juu mno kulingana na kwetu, me nadhani miradi ikisimamiwa vizuri na kodi zikitumika vizuri basi maisha yatakuwa nafuu na si swala la elimu, alijaribu magufuli akaitwa diktekta, leo Kenya imepunguza safari za kimataifa.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 17 วันที่ผ่านมา

      Elimu mbovu elimu bzuri haiwezi tufikisha popote kama hatuna nia thabiti na kuacha ubinafsi wa kujilimbikizia mali kuiba mpaka vya akiba ya uzeeni na wajukuu ingepitishwa tu sheria mtu atakae patikana na utapeli ufisadi matumizi mabaya ya ofisi za serikali matumizi mabaya ya pesa za uma, hawa watu wakishikwa na hatia basi hukumu yao iwe kunyongwa au kifungo cha maisha jela hakuna kukata rufaa kama ushahidi umekamilika, na hata kama ushahidi haukukamilika watu wote wa serikalini na binafsi wafwatiliwe mali walizo nazo na ulipaji wa kodi kama haulingani jela miaka 15 kukwepa kodi ni kuhujumu uchumi.

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 17 วันที่ผ่านมา +1

    mwamba HII ni PR SPEECH WE KNOW THIS GUY DEEP DOWN FROM HIS BEHAVIOUR

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 17 วันที่ผ่านมา

    Why dont you do this analysis about your own tz govt🙄what are you afraid of..why dont you docivic education in your own budget ilipitishwa juzi tu..lakini myofo nyofo kenya..utawafunza lini watanzania kuhusu sisa za kwenu..THE MORE I LISTEN TO YOU THE MORE AM CONVINCED YOU ARE JUST COWARDS.. why dont you use your platform for civic education...ohhhhh nimejus unajua hutapaya views😂😂😂😂

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 17 วันที่ผ่านมา

    Bajet ya tza nayo hovyo kabisa, ila kimyaaa