SNAKE BOY | ep 27 | SEASON TWO

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 2.5K

  • @khalifkhalidsalah
    @khalifkhalidsalah 14 วันที่ผ่านมา +128

    Achilieni mara mbili kwa wiki jameni hii inachelewa sana kama mnaniunga nipe like❤

    • @LewiiBrizy
      @LewiiBrizy 14 วันที่ผ่านมา +3

      Pia na kubaliana na wewe .....msichukue mda mrefu kuwachilia iyo sehemu ingine.....sinema zote za kakoso na zipenda Sana ..asanteni wausika wote ..

    • @saidathmurekatete938
      @saidathmurekatete938 13 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli wanatukawiza sana

    • @Merry-ek5mj
      @Merry-ek5mj 13 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa yani wanachelewesha sana angalau kwa wiki mara mbili

    • @AugustinNduwayezu
      @AugustinNduwayezu 10 วันที่ผ่านมา +1

      Nikweli

    • @iqttanzania
      @iqttanzania 8 วันที่ผ่านมา +1

  • @kingcicero1708
    @kingcicero1708 14 วันที่ผ่านมา +409

    Nilisema kwamba NTANZI ajamezwa na nyoka ile ilikuwa ni ndoto, kumbe ni mawazo na MWASI, leo mmeona acheni kuomba likes tu, muda mwingine toeni maono ndugu zangu.
    One love from Mozambique 🇲🇿🇲🇿

  • @AdrianodePaul
    @AdrianodePaul 14 วันที่ผ่านมา +136

    Hongera snake boy ina views weng kuliko nyimb za bongo flavour wapi team clam🎉🎉🎉

    • @janviernzosaba7145
      @janviernzosaba7145 12 วันที่ผ่านมา +1

      Big up sana clam vevo unakipaji ca hali ya juu sana

    • @Mr.D.N.A
      @Mr.D.N.A 12 วันที่ผ่านมา +1

      Unajisahau sana wew,sensema siku Moja ilikua na viewers 1M

  • @jordanbarweta3429
    @jordanbarweta3429 14 วันที่ผ่านมา +35

    Kuna jamaa mmoja ana manywele kibao na mandevu mengi amevaa kanzu fulan hivi sijui anaitwa Tanna sijui nan Dah Jamaa anaigiza vizur kinoma,Ana composer sana mwamba maua yake❤❤❤ 🔥 🔥

    • @sirviadominick
      @sirviadominick 13 วันที่ผ่านมา +1

      Namm nampenda

    • @HubaMsangi
      @HubaMsangi 13 วันที่ผ่านมา

      Tanu

    • @user-es7xd3bg7c
      @user-es7xd3bg7c 12 วันที่ผ่านมา

      Tanuuu❤❤❤ msaliti 😅

  • @jacksonmassato8017
    @jacksonmassato8017 14 วันที่ผ่านมา +320

    Tunaosubiria vita ya zinga na chief, gonga like hapa

    • @Kingmbayo
      @Kingmbayo 14 วันที่ผ่านมา +4

      😂

    • @CandyLoud
      @CandyLoud 13 วันที่ผ่านมา +3

      😂🤣🤣😂😂 ila yahitaji wanao ona mbali ndo wataelewa nini umemaanisha😜

    • @bashirunakona2945
      @bashirunakona2945 13 วันที่ผ่านมา

      Zinga kaenda kujipanga

    • @jescahaule4802
      @jescahaule4802 13 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @hamisichipa9008
      @hamisichipa9008 10 วันที่ผ่านมา

      Na inapoelekea Zinga atashirikiana na Ntanzi. Itakuwa noma

  • @lemmyajabu8348
    @lemmyajabu8348 14 วันที่ผ่านมา +832

    Tangu nianze kufautilia snake boy sijai pata like ata moja... 254 fans let's gather here

    • @zeyruqhassan4629
      @zeyruqhassan4629 14 วันที่ผ่านมา +17

      Tuko

    • @BarackZephania
      @BarackZephania 14 วันที่ผ่านมา +10

      Huo ni ushamba kiwango cha lami

    • @SHEDDTz-k8g
      @SHEDDTz-k8g 14 วันที่ผ่านมา +4

      Weee ni mshamba

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 14 วันที่ผ่านมา +4

      Hovyo kenge manyoya inaomba like 😅utadhani kacheza 😅vya bure utauponza mk... We omba tu

    • @gracedzombo5772
      @gracedzombo5772 14 วันที่ผ่านมา +4

      Huwa mkipewa hizi like munashiba ama😂😂😂😂

  • @aishasyala1547
    @aishasyala1547 14 วันที่ผ่านมา +41

    Siku bila akikufa naacha kuangalia snake boy....."waachaaa".....nampenda sana bilaa

  • @MtiliCharles
    @MtiliCharles 11 วันที่ผ่านมา +9

    Tangu nianz kufuatilia snake boy sijai pat like at moj from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @mauaharun5564
    @mauaharun5564 14 วันที่ผ่านมา +315

    From Kenya kama wakubali snake boy gonga like tukipita🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇶🇦🇶🇦🇶🇦

    • @holykidke
      @holykidke 14 วันที่ผ่านมา +1

      From kenya 🎉🎉clam snake boy the best

    • @GilbertKasina
      @GilbertKasina 14 วันที่ผ่านมา +1

      Nakubali

    • @mtasha5886
      @mtasha5886 14 วันที่ผ่านมา +1

      😂 😂 Ruto must go..... Anguka nayo

    • @user-ck8ld8nz6o
      @user-ck8ld8nz6o 14 วันที่ผ่านมา

      Ww uliekuepo kenya unapata angalau kuanglia snake boy naona mupo vitani saivi sizan kam munaweza shuhulikia filam

    • @joshuasakwa1548
      @joshuasakwa1548 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ck8ld8nz6oTuko Kwa vita na nani wakati mandamano yenyewe tuko na simu na power bank data ikiwa on

  • @DonMapro-d6y
    @DonMapro-d6y 14 วันที่ผ่านมา +105

    Waliogundua camera ya Leo ina balaa weka like

  • @ArafaKajoki
    @ArafaKajoki 14 วันที่ผ่านมา +23

    Nilikuwa nasoma comment tu lkn niwambieni kuwa naipenda sana snake boy, mungu awabaliki wahusika nawafatiliaji poa❤️‍🔥

  • @djsonofficial5487
    @djsonofficial5487 14 วันที่ผ่านมา +48

    Kazi nzuri sana clam👋ila director😂😂waliopenda namna singo(bubu) alivyoweza kuongea like zenu hapa😂👉

  • @Mzalendotanzania
    @Mzalendotanzania 14 วันที่ผ่านมา +292

    Kama unamkubali clam weka like hapo

    • @IsackDevidiMc
      @IsackDevidiMc 14 วันที่ผ่านมา +7

      🎉

    • @Sempai_Adui
      @Sempai_Adui 14 วันที่ผ่านมา +6

      Mwambie awaishe kaziiii,asikae muda mrefu

    • @Maunya530
      @Maunya530 14 วันที่ผ่านมา +5

      Tunasubr hd tunasahau matukio yaliyopita.

    • @nyereremkama3845
      @nyereremkama3845 14 วันที่ผ่านมา +4

      Toa na wewe like na watu wakupe usiwe mchoyo wakati wewe unataka like

    • @hansmgaya4704
      @hansmgaya4704 14 วันที่ผ่านมา +2

      Tuna sahau matukio ya nyuma

  • @KizaRachid
    @KizaRachid 14 วันที่ผ่านมา +147

    Namimi leo naombeni like zangu vipenzi vya snake boy japo nimechelewa dakika 40 tu a boy from 🇱🇷🇱🇷

    • @Wmoviesrecap9
      @Wmoviesrecap9 14 วันที่ผ่านมา

      Aaaah noma sana

  • @ErickEzekiel-lj8mu
    @ErickEzekiel-lj8mu 13 วันที่ผ่านมา +10

    Clamo vevo na timu nzima hakika mmeuwa sana snake boy bonge la movie haijawahi tokea yani inafatiliwa na Africa nzima pig up sana kaka clam 🔥👍🙌

  • @machotz1113
    @machotz1113 14 วันที่ผ่านมา +14

    This is the real meaning of series
    I never thought of return of SHAHIDI and his family
    Ngoma inazidi kunoga

  • @julzproperties3744
    @julzproperties3744 14 วันที่ผ่านมา +38

    Nimekuwa wa kwanza leo Director Kasoso nipe like zako from Kenya 🇰🇪 twawatazama

  • @freddedresscode2951
    @freddedresscode2951 14 วันที่ผ่านมา +147

    Wakwanza kutoka burundi Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮nipeni like zangu

    • @user-mv6vi1gv6f
      @user-mv6vi1gv6f 14 วันที่ผ่านมา +1

      Ibuja majahe 😂😂naguhaye izo like

    • @milliardere9177
      @milliardere9177 14 วันที่ผ่านมา +1

      Niko buja tujuwane

    • @milliardere9177
      @milliardere9177 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-mv6vi1gv6fatubwire tugemure

    • @MayaOuthman-bd8bg
      @MayaOuthman-bd8bg 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@milliardere9177 Tujuane kbs😂😂

    • @MayaOuthman-bd8bg
      @MayaOuthman-bd8bg 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-mv6vi1gv6f Maramvya 😂😂😂

  • @sivamusic2234
    @sivamusic2234 12 วันที่ผ่านมา +17

    Dah mbn mnabagua jamani ebu nipe like ata 1000 kama kweri ww mfatiliaji mzuri wa #snakeboy #sivamusic #mama #mamaamina

  • @rachelpaul460
    @rachelpaul460 13 วันที่ผ่านมา +17

    Wanaoumia kuona snake boy wanachelewa kutoa vipande wa like ili watuwahishie kaz

  • @pkcamlesh2465
    @pkcamlesh2465 14 วันที่ผ่านมา +61

    Hivi hizi likes mnaombaga huwa mwazipeleka wapi,Clam much love from Kenya 🇰🇪nakukubali sana

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 14 วันที่ผ่านมา +31

    Moto ni ule ule ukija kuuzima umekoleza zaidi😂😂

  • @user-dq8sy1ey5u
    @user-dq8sy1ey5u 13 วันที่ผ่านมา +11

    Wenye hawakwamini mtanzi alimezwa na nyoka mpo,hongera sana Clamvevo❤❤❤

  • @user-zq9fi4io2i
    @user-zq9fi4io2i 12 วันที่ผ่านมา +10

    Aliowaza sanura yupo kwe kipande kijacho gong like❤🎉

  • @mash02canada
    @mash02canada 14 วันที่ผ่านมา +38

    Mimi ni wa kwanza leo mnipe likes from Canada 🎉

  • @Walao9Abu_maurice
    @Walao9Abu_maurice 14 วันที่ผ่านมา +38

    Kazi_njema_vijana_mnajitahidi_ila_sijapata_sifa_zangu_zakutajwa_huko_sisi_wakongomani_tunao_fuatililia❤

  • @sweetbabymwangi8373
    @sweetbabymwangi8373 14 วันที่ผ่านมา +28

    Maskini Ntanzi. Nakuhurumia. Hii Snake Boy inazidi kuwa tamu. Ama kwa hakika mna ubunifu wa hali ya juu. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @abudailamy2577
    @abudailamy2577 14 วันที่ผ่านมา +24

    Huyu jamaa ni fala sana yaan ameigiza ufala sana yaani mkewe amekuwa dadake fala sana

    • @AminaSadallah-yi1dv
      @AminaSadallah-yi1dv 13 วันที่ผ่านมา

      Wee aseme ili afe kumbuka nabii Ibrahim na mkewe

    • @EnikahGeorge-fj6ow
      @EnikahGeorge-fj6ow 11 วันที่ผ่านมา

      So sad

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@AminaSadallah-yi1dv Ep iliyo pita mwanamke Ali mtoa Mumewe sadaka kwa mizimu ili Laaana itoweke kwa Hiyo jamaa yupo Sahihi tu..kusema huyo Ni Dada yake..una weza kuvimba mwishowe kifo ksicho na Faida yoyote..

    • @PetroMarko-x3g
      @PetroMarko-x3g 10 วันที่ผ่านมา

      Kaka hiyo nizuri sasa ila unaichelewesha sana

    • @PetroMarko-x3g
      @PetroMarko-x3g 10 วันที่ผ่านมา

      Kaka wahi kuitoa hiyo inayofuata

  • @shebbylegrand
    @shebbylegrand 14 วันที่ผ่านมา +100

    Wakenya wenzangu wa Team Vevo,gonga likes zako hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @user-he3nz6gt3d
      @user-he3nz6gt3d 14 วันที่ผ่านมา +2

      Pamoja sana

    • @DausiDausi-n2g
      @DausiDausi-n2g 12 วันที่ผ่านมา +1

      hahahahah nzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 14 วันที่ผ่านมา +53

    Snake boy nikama haitawai isha kila siku iko tofauti, mko sawa sana

  • @user-xb3nk9cl6d
    @user-xb3nk9cl6d 13 วันที่ผ่านมา +7

    Utawa wa kibabe kwenda mbele jaman mtu anatetemeka had mke Anasema dada kwa uwoga ama kweli snake boy inafunza sana clam pokea🎉🎉🎉 yak

  • @Rigobertpanga9
    @Rigobertpanga9 14 วันที่ผ่านมา +41

    Nimeisubiria hii snake boy Kwa mda mrefu sana nimeukubali sana na wewe kama umeikubali mwaga like yako apa😂😂😂

  • @BRARITOHCOMEDY
    @BRARITOHCOMEDY 14 วันที่ผ่านมา +29

    Nimeingoja kwa hamu sana na kwa hakika imefika.asante sana group wa clam vevo..wap likes zangu kutoka kenya kisii

  • @Shizzoh-f4k
    @Shizzoh-f4k 14 วันที่ผ่านมา +31

    Kama unamini kuwa mungu anakupenda tujuane kwa like❤️

  • @yassinmuoki9982
    @yassinmuoki9982 14 วันที่ผ่านมา +10

    Nilikua Nisha Anza kusema Kama jamaa kamezwa Sito angalia tena. Leo nime enjoy nika mkoko umeanza UPYAAA😂😂😂

  • @BacarDaudo
    @BacarDaudo 14 วันที่ผ่านมา +21

    Eu só de Moçambique mais essa história gosto manique boa história bata palmas para Tanzânia❤

  • @sergesntunzwenimana
    @sergesntunzwenimana 14 วันที่ผ่านมา +48

    Leo ndohuu Mimi snake boy 2ep27 nigonge like

  • @SafariJamal
    @SafariJamal 14 วันที่ผ่านมา +24

    Kumbukumbu zangu zinanambia wewe n Odama,,,,sio wageni machoni mwangu.
    Ziambie zikwambie zaidi.... 😢😢 Noma sana aisee. Big up VEVO from+254🇰🇪

  • @user-eq6ju8qs2q
    @user-eq6ju8qs2q 14 วันที่ผ่านมา +15

    Bom trabalho pessoal 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Cabo Delgado_Mueda...🎉🎉🎉🎉🎉🎉Moçambique❤❤

  • @OmarJeshi
    @OmarJeshi 13 วันที่ผ่านมา +5

    Imagine Mimi tangu snake boy ianze sijapata likes ata mia😢bs acheni roho mbaya kiasi hicho maana nyie na mandug 5:32 u❤

  • @charlespatrick8632
    @charlespatrick8632 14 วันที่ผ่านมา +67

    Ubuntu botho Leo tupo pamoja nipeni like nikupe like bega kwa bega

  • @ZulfaMjege
    @ZulfaMjege 14 วันที่ผ่านมา +160

    Tulokuwa tunaisubri kwa ham snake boy tujuan kweny like ❤❤

    • @patrickkalu4477
      @patrickkalu4477 14 วันที่ผ่านมา +2

      Mmmmmmh

    • @LinaahSangah-ec2zw
      @LinaahSangah-ec2zw 14 วันที่ผ่านมา +2

      Mimi.hapa kipenz changu❤❤

    • @Kwaricha
      @Kwaricha 14 วันที่ผ่านมา

      Boa noite amigo

    • @silviaalphonce
      @silviaalphonce 14 วันที่ผ่านมา

      Nanii nae amekua wamwisho jmn 😎😊

    • @JUMAschibwanaChibwana1234
      @JUMAschibwanaChibwana1234 12 วันที่ผ่านมา

      Snake boy inatisha san alafu haina mpimzan viwaz nyingi san John Martin

  • @BushiriLouis
    @BushiriLouis 13 วันที่ผ่านมา +2

    Shaidi 😂😂😂 wewe ndie kiboko, nakukubali sana mshikajiwangu🎉🎉🎉

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 14 วันที่ผ่านมา +16

    safi mkuu kiliochangu ni kile kile muweke subtitle ya lugha ya kiingereza

    • @h.ghoyaa1110
      @h.ghoyaa1110 12 วันที่ผ่านมา

      Kwa ajili yako ama ndio world wide

    • @SobiTz
      @SobiTz 12 วันที่ผ่านมา

      Wazo Zuri pia

  • @muhiirwasadiki448
    @muhiirwasadiki448 14 วันที่ผ่านมา +19

    Congratulations, may Allah protect you and guide you in your activities. I am Congolese I really like your talents 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-nh5zw9fg1h
    @user-nh5zw9fg1h 14 วันที่ผ่านมา +96

    Woyooo mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌🔥👌🔥👌🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👌👌👌👌👌👌👌gonga like hapa kama waipenda hii kazi❤❤❤❤❤❤

  • @Christine-ho5us
    @Christine-ho5us 13 วันที่ผ่านมา +6

    Kazi nzuri Vevo sijui mbona watu huomba likes si mnijanue guys 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-wh7jf1el8h
    @user-wh7jf1el8h 13 วันที่ผ่านมา +3

    One love 💕💕 from ndola district of Zambia 🇿🇲💯💯💯

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 14 วันที่ผ่านมา +85

    Clam unakitu baba utafika mbali Kaz nzuri sana mungu akuongezee ubunifu🎉🎉🎉🎉🎉

    • @nyamiziramadhani4232
      @nyamiziramadhani4232 14 วันที่ผ่านมา

      Anajua yaan katoa kitu cha kipekee sanaaaaa

  • @HappyNicholas-be2yn
    @HappyNicholas-be2yn 14 วันที่ผ่านมา +43

    Nikisema wakwanza nitakua nawadanganya naomben like team vevo❤

  • @apendwemwamahonje7650
    @apendwemwamahonje7650 13 วันที่ผ่านมา +4

    Watu wa mbaliz tujuan naifatilia San snake boy ❤❤❤❤

  • @user-gz5wr1bg3c
    @user-gz5wr1bg3c 13 วันที่ผ่านมา +6

    Na Mimi Leo niombe like Moja wakubwa

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 14 วันที่ผ่านมา +12

    Nakubali kazi nzuri clam n timu yote kwa kutuletea kazi nzuri ❤❤❤❤

  • @zephbaraka
    @zephbaraka 14 วันที่ผ่านมา +22

    Very amazing..... following this episode all the way from Kenya .

  • @EMANUELKibelenge-wr2ep
    @EMANUELKibelenge-wr2ep 14 วันที่ผ่านมา +3

    Nice job ❤ God bless more work that mnayo fanya 👏👏

  • @SharifuAlbughuli
    @SharifuAlbughuli 14 วันที่ผ่านมา +4

    Mbn kam adama kam Ana love bite 😂😂😂😂😂

    • @eviepretty2646
      @eviepretty2646 10 วันที่ผ่านมา

      Inaonekan kabla ya kuingia location alipigw shoo Kali Jana yake🤣🤣

  • @MohamedKalivata-qr6sr
    @MohamedKalivata-qr6sr 14 วันที่ผ่านมา +56

    Hana baya tajirii wanao amini snake boy ya moto wa like hapa

  • @hammyboyofficial885
    @hammyboyofficial885 14 วันที่ผ่านมา +52

    Wakwanza naombeni like zangu jamani...

  • @abdullyza532
    @abdullyza532 13 วันที่ผ่านมา +2

    yani snake boy inasisimuwa kila cku unatamani icmalize.....good talent creator director❤❤❤❤

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 13 วันที่ผ่านมา +4

    Hii Kali caméra ya Léo daah nipeni like zangu wazee
    From m23

  • @JescaIrakoze
    @JescaIrakoze 14 วันที่ผ่านมา +28

    Kazi nzuili lakini mbona mmepunguza tena dakika afu munayuacha njia panda kuwa munawahi bana gonga like basi hap

  • @Krod23-p8s
    @Krod23-p8s 14 วันที่ผ่านมา +28

    Uyo jamaa aliye mkana mke wake aseee💔🥺

    • @mwarabumbarak4342
      @mwarabumbarak4342 13 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa sababu angesema ni mkewe chifu angemuua.

    • @LovelyBabynino
      @LovelyBabynino 13 วันที่ผ่านมา

      Ndio

    • @DuniaMayombo
      @DuniaMayombo 4 วันที่ผ่านมา

      Nikweli lakini inaumiza sn😂

  • @NaaMakanu
    @NaaMakanu 14 วันที่ผ่านมา +5

    Mm wa mwixho naombeni like zangu❤❤❤❤❤

  • @davkatembobaba9338
    @davkatembobaba9338 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ongera sana kwa timu yote. Mchezo iko vizuri kabisa kabisa.🎉🎉🎉 Like moja itakuwa vizuri jamani

  • @AsiaOmar-mr7bk
    @AsiaOmar-mr7bk 14 วันที่ผ่านมา +23

    Ilikua nimeacha kuwangalia muvi za kiswahili baada yakumfuwatilia clam saiv siwezi kosa kuangalia waswahili wamerudi kwa moto kuna clam " rk & kp mungu awape maisha marefu na afya njema wazidi kutuburudisha

    • @BeatriceEmanuely-ow9bj
      @BeatriceEmanuely-ow9bj 14 วันที่ผ่านมา +1

      Fatilia ata mbwela media yuko vizur

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 8 วันที่ผ่านมา

      Kabisa yn wote hawa wana vipaji wameamua kurudisha tasnia ya filamu Tz wanastahili tuzo❤🎉

  • @Pazijr
    @Pazijr 14 วันที่ผ่านมา +19

    Natumai na mm leo nitapata like maana kila siku mnaomba nyie tu😢

  • @user-di5xq6xm3n
    @user-di5xq6xm3n 13 วันที่ผ่านมา +2

    Clam vevo tengeneza ata vi chekesho kidog watu wanagombania msemo huku badala ya kufanya kazi😂😅😅 nyoo naijua iyooo😂😂😂

  • @BeatriceMussa-y4b
    @BeatriceMussa-y4b 12 วันที่ผ่านมา +1

    mmh sasa baba ao na odama si alijinyonga akafa jaman 😂😂 kafufuka !!

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 14 วันที่ผ่านมา +30

    Mi wa kwanza Leo naomba like jamn ata mbili tu!

  • @FredYassineCheia-di7yj
    @FredYassineCheia-di7yj 14 วันที่ผ่านมา +14

    Wa kwanza kutok mozambique nipeni like Zang 🇲🇿🇲🇿 good job

    • @DadeMussa-n8k
      @DadeMussa-n8k 14 วันที่ผ่านมา

      Nikupe like kutenda kinani

  • @DavidJoseph-u1e
    @DavidJoseph-u1e 13 วันที่ผ่านมา +3

    Saizi naona mawenge mambo mengi manina 🙌

  • @jaffariomar4250
    @jaffariomar4250 14 วันที่ผ่านมา +3

    Hata kama kuigiza lkn hicho kipande cha kumkataa mke wangu hilo haliwezekani

  • @MayaOuthman-bd8bg
    @MayaOuthman-bd8bg 14 วันที่ผ่านมา +15

    Kama umefurahi kumuona Shahidi nipe lnk❤❤❤

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 14 วันที่ผ่านมา +37

    Genz 👊 wapi kelele kw clam vevo weeee nawapenda nikiwa gulf 🇰🇪🇸🇦♥️♥️♥️♥️💕💕💕💞💞pamoja saaaana watu wangu nawapenda nyote gonga like tukisonga mbele

    • @sajentfurecomedymzarendo1270
      @sajentfurecomedymzarendo1270 14 วันที่ผ่านมา +2

      Nime cherewa kidogo ira na mkubali clam vevo WACHEREWAJI KAMA MIMI LIKE❤❤ HAPA

    • @judithpendo9985
      @judithpendo9985 14 วันที่ผ่านมา +1

      💋❣️❣️ nkupenda bure ​@@sajentfurecomedymzarendo1270

  • @kipkiruibrian
    @kipkiruibrian 13 วันที่ผ่านมา +1

    🎉😂❤ wakenya mko wapi GENZ mnifollow 😮

  • @raymondlangatofficial3825
    @raymondlangatofficial3825 14 วันที่ผ่านมา +4

    Hii iko tamu sana naombeni likes jameni from Kenya

  • @alfredbaraha9244
    @alfredbaraha9244 14 วันที่ผ่านมา +15

    Kila mtu wa kwanza mmh jaman nyie vipi bandugu , hongera VEVO boy❤❤❤❤

  • @LamaMandenga
    @LamaMandenga 14 วันที่ผ่านมา +30

    Nakukbari sana pande za Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @DadeMussa-n8k
      @DadeMussa-n8k 14 วันที่ผ่านมา

    • @DuniaMayombo
      @DuniaMayombo 4 วันที่ผ่านมา

      Mukonagawa sana nakupenda clam ❤ ❤

  • @KisamakaFrancine-mt8vp
    @KisamakaFrancine-mt8vp 13 วันที่ผ่านมา +1

    Shadlove from America Yan ningekua najua kiswahili ningewashaur wayitoe marambiri kwa wiki kwamaana inacherea sana

  • @SusanChidodo
    @SusanChidodo 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu akufikishe mbali sana kaka clam unatupa burudan barabara...

  • @user-km5lu2es2d
    @user-km5lu2es2d 14 วันที่ผ่านมา +11

    Ayaaaa...
    Zinga atafutweeee😂😂😂
    .....................................

  • @AlgaWazamba
    @AlgaWazamba 14 วันที่ผ่านมา +8

    Number one from DRC je t'adore clam🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-bz6bl1xo2k
    @user-bz6bl1xo2k 14 วันที่ผ่านมา +2

    Aloooooo naona humu ndugu zetu wakenya mpo wengine kwer kwer dah mpaka tuajisikia faraja kwer yaan sis Tz kuwaona hum

  • @JamesReuben-gt8up
    @JamesReuben-gt8up 13 วันที่ผ่านมา +1

    Daaahh kama angemezwa kweli mda ulee movie ingepoa san

  • @ChingaKenboy-fz8yr
    @ChingaKenboy-fz8yr 14 วันที่ผ่านมา +15

    Twende nalo big up kwa washirika wote🎉🎉🎉#ChingaKenboy

  • @BahaDePrince
    @BahaDePrince 14 วันที่ผ่านมา +11

    First to watch in Kenya, please Si leo ata mnipe like 😢 ata 20 tu juu mi ndio shabiki number Moja Kenya uko fb na hapa you tube

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 11 วันที่ผ่านมา +1

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo ila?

  • @kipendimusic6859
    @kipendimusic6859 14 วันที่ผ่านมา +4

    Hii ya mfalme mpya kunyang'anywa mke imeni pain sana. Clam and your team mna akili nyingi atari. Big up!

  • @AugustinhoManyangaunitedboetz3
    @AugustinhoManyangaunitedboetz3 14 วันที่ผ่านมา +8

    Sanura is back kama unamkubali sanura gonga like kwa cram v❤❤

  • @isaactv1725
    @isaactv1725 14 วันที่ผ่านมา +18

    Good season ❤

  • @hafsahmassemoh3598
    @hafsahmassemoh3598 14 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂tulio cheka kwa Ajil ya kumuona bubu akisema tujuane 😂😂😂😂😂 Khah nimerudia mara tatu hk❤❤❤❤

  • @Daniel_kimambo
    @Daniel_kimambo 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kutoka marekani naomba like zenu😂😂

  • @Zezeta-yr3hy
    @Zezeta-yr3hy 14 วันที่ผ่านมา +10

    Kama unawatch ukisoma comments... nipee likes hapa 😂😂😂

  • @KlintonOwenss
    @KlintonOwenss 14 วันที่ผ่านมา +26

    This guy is a genius 🎉,If you agree press a like button all the way from kenya 🎉❤

  • @nationaltrendingmedia4603
    @nationaltrendingmedia4603 13 วันที่ผ่านมา +1

    Maudhui ya KISASI ..yameanza kujitokeza.. snake boy season 2 kweli n motooo

  • @EmmanuelCharo-to4ij
    @EmmanuelCharo-to4ij 14 วันที่ผ่านมา +2

    Wakenya oyee tuko na snake boy paa mwisho tujuane apo

  • @abduladinane
    @abduladinane 14 วันที่ผ่านมา +12

    Like nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿🔥💯

  • @noahkajinga7599
    @noahkajinga7599 14 วันที่ผ่านมา +30

    Wapili from Mozambique 🇲🇿

  • @user-gi1ov8of8d
    @user-gi1ov8of8d 13 วันที่ผ่านมา +2

    Wanao ukubali ujio wa shaibu na wanawe kwenye snake boy gogeni like tukisonga na utamu snake

  • @EmmanuelMasika-fx5wx
    @EmmanuelMasika-fx5wx 14 วันที่ผ่านมา

    Wow clam good job 🎉🎉❤❤❤nikupenda kaka