Amen Amen Amen umenena nami mtumishi barikiwa Sana sana kama Kuna kitu nahitaji MUNGU akufanyie n akupe maisha marefu ili uzidi kuponya nafsi za wengi ndilo ombi langu kwa Jina la YESU
Barikiwa sana Apostle , Mafunzo yako yanajenga ,yana bariki na kubadilisha maisha yangu.I was going into Depression ,mwili ikaisha but kwa sasa imeisha,na naona mwili wangu unarudi tangu nianze kufuata mafunzo yako ,Na nina imani mungu anenda kutenda Mengi juu ya maisha yangu.Amen 🙏
Nakushukuru Mungu Kwa ajili ya mtumishi wako apostle dionis mtalemwa unayemtumia Kwa viwango vya juu sana kutufundisha siri za ufalme wako ,mbariki ,mtunze endelea kumpa mafunuo Kwa ajili yetu watoto wako amen
Bwana YESU na akuzidishie kuishi, amin, unanibariki Sana na umetumiwa na Mungu kunibadirisha sana yaani ubada zenu zinanigusa sana, nami huku huwa nafanya kama niko hapo nikiamini kiroho tupo pamoja, amuna KUBWA kwa utukufu wa MUNGU
Ubarikiwe Sana mtumishi, Somo ni zuri Sana, tumesoma Sana maandiko lakini hatujayafanyia kazi, tunayaacha badala ya kukiri na kuamini maandiko. Barikiwa
Asante sana mutumishi, leo umenifundisha kitu kikubwa sana katika kusoma neno la Mungu. Ubarikiwe Bwana YESU akuzidishie ufahamu zaidi. I am Desire from Germany 🇩🇪🇩🇪 🇩🇪 🇩🇪.
Asante Sana apostle, umenigusa katika sehemu Fulani, I declare I'm a more than a conquerer, every plans of the wicked against my life ,will not stand neither will it come to pass according to Isaiah 7:7. No weapon fashioned against my marriage , ministry, calling, business, career, marriage, family will Prosper according to Isaiah 54:17 in Jesus mighty name. I PREVAIL in Jesus mighty name amen
Asante kwa neno zuri mtumishi wa MUNGU. Mungu amesema nami na kunifundisha Nlikua kwenye maombi wiki mbil zilizo pita na nkapata msukumo wa kufanya hivi ulivyo fundisha nkawa nkisoma neno na usiku wa sasita naipokea sikj na kuisemea kulingana na neno la Mungu lilivyo andikwa na nalifanya kua langu na ninatembea nayo kwa siku hiyo nzima nikaona baraka kwenye kazi yangu ya udereva tax (uber&bolt) Lakini sasa siku ya ijumaa ya tareh 18 Feb nkafanya kosa nkasoma neno nkaomba lkn nilipo ingia kazini nkakaa na madeleva wenzangu nkanena tofauti kwamba siku sio nzur abilia hamna na kilicho nikuta nlimaliza siku hiyo kwa hasala paka mtaji wa mafuta ukakatika, lakin leo tareh19 Feb nimeona ujumbe huu nimeona nlipokosea jana. Asante kwa neno zuri sito rudia kosa. Ubarikiwe.
Mungu akubali sana kwaneno hili mimi nilikuwa nasoma2 nikimaliza kusoma bibilia hiyo itoka nashukulu sana kumbe ukisoma 2 hapohapo unatakiwa kunena ulicho kisoma Mungu akupe maisha malefu ili tujifunze kwako Ameni 🙏
Thank you so much for this revelation...I've got the key to success though saying the written words into my tongue through prayer immediately after reading...God bless you more.
I'm Kenya in Arabian but I love your sermon I gain a lot I say thanks you
Eemwenyezi MUNGU nisaididaima nisomapo nenolako nilielewenakulishika nalitende kazi maishani mwangu katika jina la YESU kristo AMEN
Asante mtumish wa Mungu,imekuwa
Amen Amen Amen umenena nami mtumishi barikiwa Sana sana kama Kuna kitu nahitaji MUNGU akufanyie n akupe maisha marefu ili uzidi kuponya nafsi za wengi ndilo ombi langu kwa Jina la YESU
Barikiwa sana Apostle , Mafunzo yako yanajenga ,yana bariki na kubadilisha maisha yangu.I was going into Depression ,mwili ikaisha but kwa sasa imeisha,na naona mwili wangu unarudi tangu nianze kufuata mafunzo yako ,Na nina imani mungu anenda kutenda Mengi juu ya maisha yangu.Amen 🙏
Wow chief nilikuwa na hio shida nikianza kusoma hata sielewi nashikwa na usingizi. Nashukuru sana kwa mafundisho nitabatilika
Twambie apostle maana uvivu umezidi sikuhizi kuchukua bible ni shida Asante na Mungu atuponye barikiwa sana apostle Mungu akutunze na familia yako
Barikiwa mtumishi
Asnte mchj,
Kutukumbusha nguvu ya kunena (matunda ya mdomo kwa neno la Mungu)
*Imenenwa🔥🔥🔥🔥*
Nakushukuru Mungu Kwa ajili ya mtumishi wako apostle dionis mtalemwa unayemtumia Kwa viwango vya juu sana kutufundisha siri za ufalme wako ,mbariki ,mtunze endelea kumpa mafunuo Kwa ajili yetu watoto wako amen
Dakika tatu za mwanzo aki Apostle huyo ni mimi,asante kwa somo hili.
Ahsante mtumishi wa Mungu umenitoa kichakani barikiwa sana
Amen Chief, kwa kweli sikuwa na maarifa haya, thank you very much, I am blessed, NEEMA YA MUNGU INI WEZESHE, KWA JINA LA YESU.
Yan Mungu nisaidie hakuna kitu napambana nacho kama nisome neno la Mungu na kuelewa na kulitamka.
Asante sana Apostle kwa somo la leo,nimejifunza kitu cha kunisaidia sana,God bless
Bwana YESU na akuzidishie kuishi, amin, unanibariki Sana na umetumiwa na Mungu kunibadirisha sana yaani ubada zenu zinanigusa sana, nami huku huwa nafanya kama niko hapo nikiamini kiroho tupo pamoja, amuna KUBWA kwa utukufu wa MUNGU
Barikiwa mtumishi nimejifunza jinsi ya kusoma bibilia. Sikuwa najua kabisa
Thank U alot Apostle. I'm blessed from DRC Goma
Amen nawafuatilia kutoka Saudi Arabia be blessed too
Ubarikiwe mtumishi nashukuru roho inapona ila usiku hua nasikia kishindo mapaka yanaangukia darini
Mungu nashukuru.unajua uliponitoa aposto.ubarikiweubarikiwe no
Ujumbe wangu.shetani nimekutsmbua.toka ktk maisha yangu.
Mafundisho mazuri sana,asante mtume
Asante Sana Apostle nimejifunza jambo..may our living God continue protecting you and bless you for us 🙏
Amen, Dady mahubiri nmeyapenda na nimeyaelewa na nitatok hapa nilipo
Ubarikiwe Sana mtumishi, Somo ni zuri Sana, tumesoma Sana maandiko lakini hatujayafanyia kazi, tunayaacha badala ya kukiri na kuamini maandiko. Barikiwa
Yaani itabidi tuanze kulipa ada maana sio kwa mafunuo haya
Hii sermon ni ya kwangu be blessed
Amina, ubalikiwe kwani sitakufa mapema. Mungu amekuongoza umeokoa maisha yangu naMungu akubaliki Sana
Amina Sasa nimeelewa
UBARIKIWE SANA MTUMISHI.UKO SAHIHI!!!!!NI 🔥🔥🔥
Napenda jinsi ya kusoma nilikuwa nakosea Sana umeniludisha kwenye kujitambua Tena
Ameen mtumishi nimepata kitu hapo nimejifunza jinsi ya kuomba mungu azidi kumuinua
Asante sana my mentor
nakushukuru apostle hakika umenifungua mno mungu akutunze uzidi kutufundisha.
😪😪😪leo nimejifunza kitu kikubwa sana nisichokuwa najua yani🙌🙌🙌 chief apostle Asante mungu baba kwa kutuletea.
Always teaching the real word and giving clarifications you made me understand everything.lwill change from today
GOD BLESS YOU CHIEF APOSTLE.
Jambo Mutumishi ,na shuku kwa mafundisho . asante kwa Mungu.
Amen Amen Amen baba Mimi APA asante kunifunza kusoma
Amen some nzuri sana
Ni kweli kabisa
Asante sana mutumishi, leo umenifundisha kitu kikubwa sana katika kusoma neno la Mungu. Ubarikiwe Bwana YESU akuzidishie ufahamu zaidi. I am Desire from Germany 🇩🇪🇩🇪 🇩🇪 🇩🇪.
God bless you much Servant of Holy God , I am blessed with your teachings. Thank you.
Barikiwa Mtumishi wa Mungu nimejifunza kitu
Mungu akulinde Mtumishi nakukuinua zaidi
Nimekuelewa sana pastor,ni kama vile Kirusi cha HIV,hakifanyi kazi nje ya mwili wa mwanadamu,kinapata nguvu tuu kikiingia ndani
Amen powerful teaching pst mungu akubariki saana . Watching from Saudi Arabia
Somo lina nguvu sana
Hata iwe usiku eeh asante kwa kunifundisha kunena ahaaaa😢😢😢Aaaaamen duh!! Nimeelewa
Every time I listen to your Sermon Apostle I get a New Revelation Glory to Jesus Forever I'm happy 🔥🔥🙌👌🇰🇪
Wonderful revaluation, thanks man of God
God bless you apostle
Mungu anisaidie kuanzia leo i reseev I reeeeesev it
Amen! Amen! Amen!
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu nimejifunza kitu na nimetoka mahali na kwenda viwango vingine
Hakika Leo nimepata kitu kipya na kinakwenda kubadilisha maisha yangu Mungu akubariki Sana Mtumishi
ASANTE my apostle umenifungua
Asante Sana apostle, umenigusa katika sehemu Fulani, I declare I'm a more than a conquerer, every plans of the wicked against my life ,will not stand neither will it come to pass according to Isaiah 7:7. No weapon fashioned against my marriage , ministry, calling, business, career, marriage, family will Prosper according to Isaiah 54:17 in Jesus mighty name. I PREVAIL in Jesus mighty name amen
Ningekuwa nasali hapa ningekuwa kiloho Sanaa maana unafundisha kwel kweli mungu akubaliki baba
umenisaidia sana mtumishi kweli kabisa nilikuwa nikisoma nikitaka kuliishi neno zinakuja taarifa napata msg cm ninapigiwa
Powerful Baba
Asante mtumishi nimepata kitu kikubwa hapa naona nimepona kabisa, katika mambo yote napokea mwaka huu. Katika Jina la Yesu Kristo. Ameen
Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana mtumishi nìlikua nikisoma bibilia ila sikua nikinena Eeeh mungu nsaidie niweza kunena si kukariri tu
Teach son of Major 1 ,,,,
I LOVE ECG ,I WILL NEVER BE THE SOME THANK YOU JESUS
Am so blessed from saudi Arabia I need more God's grace
Amina nimejifunza kwako asante
Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu kwamafundisho mazuri🔥🔥🔥
Inaniingia hiii mzee nashukuru mimi ndo naigwa duh nanunua biblia inabaki pambo ndani nampa mtu nanunua tena inabaki tuuu busy kusoma vitu visivyo na maaana asante baba 😭😭😭😭😭
Ubalikiwe sana mtumishi wa Bwana wa majeshi
Ameen Asante mtumishi wa Mungu kwa mafunuo haya 🙏🙏🙏
Thank you jesus to teach me 🙏🙏🙏
Barikiwa mtumishi wa Mungu.nabarikiwa Sana na mafundisho yako
Amen,, thnks for this revelation apostle 🙏🙏
Blessed much i get revelarion indeed
Ubalikiwe sana mtumishi
Ahsante sana Apostle leo nimesikiliza na nimejifuza somo zuri sana
MUNGU AZIDI KUKUINUA APOSTLE NAJIFUNZA MENGI KWAKO ,NAONA FAIDA KUBWA SANA KUJIFUNZA NA NAPATA MENGI SANA
Thank you for ur teachings man of God
Namshukuru Mungu Sana leo, nimepata maarifa ya neno la Mungu.🙏🙏
Thank you Apostle Mtalemwa
for your teaching, I receive
every word. Hallelujah 🕊
Oooh Yes.....asante Sana Chief for this Powerful revelation.....🙏🙏🙏
Napokea neema Kwa jina la YESU
Thank you Apostle 🙏
Nakupendaga bure baba
Asante kwa neno zuri mtumishi wa MUNGU. Mungu amesema nami na kunifundisha
Nlikua kwenye maombi wiki mbil zilizo pita na nkapata msukumo wa kufanya hivi ulivyo fundisha nkawa nkisoma neno na usiku wa sasita naipokea sikj na kuisemea kulingana na neno la Mungu lilivyo andikwa na nalifanya kua langu na ninatembea nayo kwa siku hiyo nzima nikaona baraka kwenye kazi yangu ya udereva tax (uber&bolt)
Lakini sasa siku ya ijumaa ya tareh 18 Feb nkafanya kosa nkasoma neno nkaomba lkn nilipo ingia kazini nkakaa na madeleva wenzangu nkanena tofauti kwamba siku sio nzur abilia hamna na kilicho nikuta nlimaliza siku hiyo kwa hasala paka mtaji wa mafuta ukakatika, lakin leo tareh19 Feb nimeona ujumbe huu nimeona nlipokosea jana. Asante kwa neno zuri sito rudia kosa.
Ubarikiwe.
Mungu akubali sana kwaneno hili mimi nilikuwa nasoma2 nikimaliza kusoma bibilia hiyo itoka nashukulu sana kumbe ukisoma 2 hapohapo unatakiwa kunena ulicho kisoma Mungu akupe maisha malefu ili tujifunze kwako Ameni 🙏
Thank you Verified Bible Teacher, I'm learning sir
Yaaniiii Nafurahi sana
Hapo baba umenisaidia ni Mimi mwanao ktk malawi
Read and confess it oooooh yeeeeees!!!!
Amen
Asante mtumishi kwa kutufungua
Asante Sana mtumishi wa MUNGU
Nkweli baba nikama umeniona mm yesu nisaidie
Amen 🙏🙏🙏🙏
Thank you so much for this revelation...I've got the key to success though saying the written words into my tongue through prayer immediately after reading...God bless you more.
Amen 🙏
Haleluyaaaaa ameeennn nashukuru sana!!!!
Ooooh Yes Malaki
🤣🤣👏👏👏Amen