Msigwa Aichakaza CHADEMA | Ayaanika Mapya ya Mbowe Hayajawahi Kusemwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024
- Mch. Peter Msigwa Atema Cheche kwa mara ya kwanza baada ya kupokelewa rasmi na Wananchi, wanachama na viongozi wa CCM Mkoa wa Iringa.
Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
Msigwa azitaja sababu zote zilizomfanya aondoke CHADEMA, amuita Mbowe "Mr. Nkurunziza", asema CHADEMA sio Chama cha Siasa bali ni SACCOS ya mtu.
Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
...
MCHUNGAJI MSIGWA AMVAA MBOWE kwa MARA ya KWANZA MKUTANONI kwa CCM - AFICHUA MADUDU YOTE
MSIGWA WA CHADEMA AIBUKIA CCM RAIS SAMIA AMPOKEA
Msigwa Aripoti CCM Iringa Mjini | Aahidi Kuitumikia CCM kwa Nguvu Zote kama Alivyokuwa CHADEMA
MSIGWA AMLIPUA VIBAYA MBOWE BAADA ya KUHAMIA CCM - AFICHUA MADUDU ya CHADEMA - ''HATUNA
CHADEMA Iringa Watoa Tamko na Msimamo Sakata la Msigwa Kuhamia CCM "Aache Kuitaja CHADEMA"
MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA"
Msigwa Karibu sana CCM
Njaaa mbayaa sana
Ccm oyeeeee
Safi sana mh Msigwa
Msigwa oyeeeeeh
Angeshinda uchaguzi Kanda ya nyasa asingehama
Hovyoo
Utakuwa namajigambo na amani hapo ulipo tu,ila ukitoka hapo huna amani nje na ndani ya nafsi yako
We mwongo tu
Achana,na,chadema,ongea,Sera,za,ccn😊
Mhuu tusemee maisha magumu sio kumsema mwenzio semea matatizo yetu kama umeme tozo watutilee Killa mwenzi acha kumsemamwenzio ongea yako
TAPELI LA KISIASA
Mbona huko uliko kwenda ni saccos ya watu Fulani tu wapwani,,wenye kufikiri hawababaishwi ,ngoja inyeshe tuone panapovuja
Hapa ndo Rowasa atakumbukwa sana kwa heshima aliyoiacha Ccm na chadema
Mchumia tumbo huyooo😂😂😂
Kwa maana ya ulaji wako msigwa umewini Ila kisiasa umeferi sio kidogo sana tuu haaàaa mnyalukolo😂😂😂😂😂
Ha haaaaaaaaa
Umepasua jipuuuuu
bwege tu
MwenyeziMungu amlaze mahali pema Nelson Mandela, alitokea kwenye familia Bora naalikuwa naelim nakazi nzuri lakini aliacha Raha zote akaamua kuwapigania masikini naakakubali kukaa Gerezani ili taifa likombolewe
Mbona chadema wanaisema ccm hawatangazi sera zao Kazi Yao kutukana tu
Ww nimalaya musehe Haina loloke ccm nini
HUO NDO MWISHO WAKO WADANGANYE HAO MATAHIRA WASIO JIEREWA
inaskitsha msgwa amekuwa mbeba mabango ya laisi duu
Sema matatizo ya chama ugomvi wako na m/kiti hayatuhusu kaa kimya
Msukuma ni msomi kuliko msigwa
Ivi kati ya msigwa na josephu msukuma nani mwenya akili,,
Musigwa mbona utwambii alingumu turionayo na kingine unasema utarii utwambii faida yabafari kigine wesilituganya kumbe na wewe undanganywa lakini ujue nijaa tu iyo inakusubua
Wewe ongea ushauri utakao mpa rais kuhusu tozo,,kupanda kwa mafuta na ugum wa maisha yetu hayo ya chadema uachane nayo ukiachana na mke ukaanza kumpakazia kuwa alikuwa na madhaifu huo ni ujinga na kujiabisha mwenyewe
Wee ndio una uozo kukosa madaraka tu ndio ulete yote hayo omba cheo acha kuponda wenzio
Msigwa wewe unafanana na mwanamke anayeachika na kuanza kutoa siri za ndani hata ccm asikuhusishe siri za chama ipo siku tena utatoka nje tena na kuanza kusema siri za ccm, wewe huaminiki hata kidogo ni mda wa ccm kuchukua tahadhari
Mbowe siri zako zasemwa hadhariani huku nenda mahakamani mhehe atakumaliza kisiasa huyu...😂😂
Hamna kitu kwa mhehe huyo anasubiri uteuzi tu hapo. Hajajua watu wanataka habari za maendeleo anadhani kusema watu ndio mtaji amekwisha Bora aanze kumfagiria mama amkumbuke kwenye ufalume. Wake kuliko anachokifanya leo, wakati alipokuwa anakula alikaa kimya
Kwisha habar mch msigwa fafaruka lkn moyo wako unakusuta nafs inajilaum ww ni mbaba wa hovyo
Tena wewe ikitokea ukawa rais utakuwa kama akina kagame maana hutaki kukaa bila cheo ulipokuwa na vyeo hukuhama baada ya kukosa kura hayo madhaifu ya chadema ndio umeyaona huna jipya na huko ulikoenda hutatoboa
Msigwa,Msigwa,Msigwa ni wewe au ni mwingine? ama kweli tamaa ya pesa ni chanzo cha mabaya yote, vipi uliacha uchungaji?
Hakuna cha tama wala och nini kawachoka masacos huku kuna maendeleo kwenu kuna matusi hakuna sera 🤣🤣🤣🤣
@@halimamasai2234 Ukichukuwa umri wa nchi tangu ipate uhuru mpaka sasa ukalinganisha na hali ya maendeleo ya nchi ilivyo havilingani hata kidogo,labda mtoto wa dalasa la chekechea unaweza ukamdanganya kuwa kuna maendeleo yamefanyika.
@@AllanLyombilembona Chadema hawajaonyesha uwezo wa kuweka sawa ikishinda wakati wao kwa wao Kuna ufisadi?
@@stevenjackson4985 Mtoto aitwae Tanzania tangu azaliwe 1961 hadi sasa ana umri wa miaka karibu 63 lakini ukimuangalia ndio kwaaanza anajifunza kusimama au kutembea swali ni nani aliyemubemenda huyu mtoto? kwahiyo Msigwa anaenda kuwaunga mkono waliolibemenda Taifa hili? AACHE KUJIITA MCHUNGANI.