MANENO MAZITO NA MAONYO KWA KANISA, TOKA KWA ASKOFU MKUU WA KWANZA WA KANISA LA TAG

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
  • Maneno mazito na maonyo kwa Kanisa la TAG toka kwa Askofu Emmanuel Lazaro

ความคิดเห็น • 59

  • @bethuelkonyuniofficial7930
    @bethuelkonyuniofficial7930 2 ปีที่แล้ว +7

    Ukristo wenu uwe katika nguvu za Mungu Na sio katika theolojia,, amen baba askofu Lazaro.

  • @mnanze
    @mnanze 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu awabariki sana NYTV,mnasaidia sana kizazi chetu cha sasa,kuwajua Mababa wa Imani TZ,na kujifunza kwao
    Ahh huu ndiyo uzee wa IMANI bado ana atamani tujae nguvu za Mungu na Moto wa Bwana.💥💥💥💥💥💥

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 ปีที่แล้ว +2

    Woow nilikums Askofu wangu Imanuel Lazaro..nilifurahi Sanaa kukuona ile mwez wa 11 ulpokuja church maana ilkua kitambo Sana sikukuona... barikiwa Sana bishop Lazaroo..bdo YESU yu pamoja nawe Bishop Lazaroo.tunakupendaa na Revival tumekums Sana mahubir yako..GOD bless you Bishop Lazaro.

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakumbuka nilikuchukua kwenye pikipiki yangu hadi Kanisani ulipokuja Mbulu ulipokuwa unahubiri ujumbe maalum kwa Watz kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Vyama vingi 1995. Hukujivuna! Kabla ya hapo nilifurahia huduma yako tangu 1990 hadi 1993 nikiwa mwanafunzo wa Chuo,Moshi. Na baadaye 2002-2003. Huduma yako ya kichungaji ni ya kipekee sana!!!
    Mungu akubariki na kukutunza milele!!!

  • @richardkaula6847
    @richardkaula6847 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen Baba yetu wa Imani .mwili umechoka lkn moyo umejaa madini adimu Sana, interview imejaa uwepo wa kutosha.Barikiwa Sana Baba tunakupenda.

  • @musajonas9397
    @musajonas9397 2 ปีที่แล้ว +1

    my God bless you Bishop Emanuel lazaro nimejifunza mengi kutoka kwa MUNGU kupitia wewe nakumbuka mikutano mungu aliyekutumia na WEWE ni mtumishi ambaye ni mfano wa kuiga ktk kiroho na kiuduma barikiwa Sana Sana Sanaaaaaaaa

  • @nokianokia993
    @nokianokia993 2 ปีที่แล้ว +2

    Ameeen, Mungu atukuzwe kwaajili ya baba yetu aliejaa maneno ya hekma na busara 🙏🙏🙏🙏

  • @habibkuya3327
    @habibkuya3327 2 ปีที่แล้ว +2

    Maneno ya hekima Sana kutoka kwa mtangulizi wetu! May God bless you our dear Godly General!

  • @elisantennko8222
    @elisantennko8222 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen Mzee wetu nakumbuka tuliongea kidogo 1987 semina ya Aril Edvedsen AICC,nikiwa Ushers.Baraka Sana hii documentary .NY TV hongera kazi njema.

  • @janen.mwangi5572
    @janen.mwangi5572 2 ปีที่แล้ว

    Praise God all the way from Kenya. Dad i just feel the power of God is guiding all u say n i pray he continues to protect you amen

  • @janepaul6877
    @janepaul6877 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina baba yetu tunakupenda na tunamwamini Yesu uliyenaye Mungu azidi kukutunza na kukuimarisha katika imani baba hadi utakaponyakuliwa kwenda mbinguni

  • @edithamosha4109
    @edithamosha4109 2 ปีที่แล้ว +3

    We love you Dady may the Lord be with you forever

  • @lilianwilfred3271
    @lilianwilfred3271 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante Yesu baba yetu anaendelea vizuri

  • @sofrinasway1808
    @sofrinasway1808 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana baba,mungu akutie nguvu hakika umeifanya kazi ya mungu🥰🙏

  • @emanuelmwanandenje2144
    @emanuelmwanandenje2144 2 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukutunza kwa kazi yake uliyo ifanya pia akupe afya nzuri na miaka mingi

  • @lolll5998
    @lolll5998 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe moyo mkuu Baba nakupenda Sana

  • @wilsonmichael1156
    @wilsonmichael1156 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen. Nguvu za Mungu

  • @emmanuelmeishaa1189
    @emmanuelmeishaa1189 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kukuonekania. Umalize mwendo salama. Na ufike Mbinguni

  • @stephanoedward5763
    @stephanoedward5763 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ampe kumaliza vizuri Baba yetu.

  • @derickerastus7662
    @derickerastus7662 2 ปีที่แล้ว

    Amen baba yetu asante kwa ujumbe wa muhimu sana huu kwetu

  • @samuelmtasha9272
    @samuelmtasha9272 2 ปีที่แล้ว +1

    Wow! Glory to God!!!

  • @freddymihayo2192
    @freddymihayo2192 3 หลายเดือนก่อน

    Amen UKRISTO NI nguvu za Mungu. Matendo 1:8

  • @joycemshana4028
    @joycemshana4028 ปีที่แล้ว

    Nimefurahi sana kumuona..maana nimekuwa na maswali mengi...mbona amemtumikia Mungu na anapitia magumu...ila...naamini Mungu ana kila kusudi jema kwa haya...na kweli Mungu amemjalia afya..pamoja na kuugua...bado Mungu amemtunza..hata sasa!! JINA LA BWANA LIBARIKIWE!!

  • @ErickEliabu
    @ErickEliabu 5 หลายเดือนก่อน

    Mungo azid kumtunza asikofu wetu kwakaz ya mungu12:03 mungu amlinde nakumtunza wotetuseme amen

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa,tumtake Bwana na Nguvu zake,Ameni

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Sana babu yetu

  • @Rmollelmichael
    @Rmollelmichael 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze na kukubariki Babu wetu

  • @sakandalinus3125
    @sakandalinus3125 2 ปีที่แล้ว +2

    Hata sasa wewe Yesu ni Ebenezer.
    Hapa askofu wetu baba yetu alipofikia ni nguvu zako Yesu.
    TUMTAKE MUNGU NA NGUVU ZAKE HAKKA.

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze baba wa imani

  • @elizabethlazaro6639
    @elizabethlazaro6639 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweli tunahitaji nguvu za Mungu si kitu kingine. Hakuna ukristo pasipo nguvu za Mungu!

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 5 หลายเดือนก่อน

      Kongole baba

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna ukristo kama hakuna nguvu za Mungu

  • @johnsebastian5686
    @johnsebastian5686 2 ปีที่แล้ว

    Amina baba

  • @user-wc4cw4qn7k
    @user-wc4cw4qn7k ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze Babu yetu

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 2 ปีที่แล้ว

    Mzee wetu ♥️♥️♥️

  • @janepaul6877
    @janepaul6877 2 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa sana kusikia sauti yako baba

  • @danielnassoro1123
    @danielnassoro1123 2 ปีที่แล้ว

    Mungu amfunike Kwa neema yake Mzee wetu

  • @anithafrank5533
    @anithafrank5533 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe baba wa kiroho wa t a g

  • @christinamlwilo9835
    @christinamlwilo9835 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akutie nguvu baba yetu wa imani

  • @YusuphMwashambwa
    @YusuphMwashambwa 27 วันที่ผ่านมา

    Ahimidiwe Bwana aliepamoja na baba yetu

  • @ErickEliabu
    @ErickEliabu 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu nimwema

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 2 ปีที่แล้ว

    Yesu aendelee kumtunza baba yetu

  • @japhetthabit9428
    @japhetthabit9428 2 ปีที่แล้ว

    Mi nafikiri angeenda mtumishi wa Mungu kufanya nae mazungumzo ndo ungekuwa vizuri zaidi ili kumshauri aendelee kuishi maisha ya utakaso, huku akiomba Mungu amkumbushe makosa ambayo alifanya ambayo hakutubu ili atubu kwasababu kuna wakati mwingine unaweza kujiona uko sawa kumbe kuna kosa ulifanya bila kujua n'a Mungu anakusubiria utubu
    Ezekieli 33:15-16 hii ezekieli ukisoma katika bible ya kingereza imeeleza vizuri new international version.
    Waebrania 12:14

    • @munuoisaack418
      @munuoisaack418 2 ปีที่แล้ว

      Umejuaje kwamba hajatubu au ulitaka aje akatubu kwako? Mambo mengine

    • @joshuaswai8203
      @joshuaswai8203 2 ปีที่แล้ว

      Amekosea wapi na lini hivyo unamhukumu wewe ni nani br

    • @japhetthabit9428
      @japhetthabit9428 2 ปีที่แล้ว

      @@joshuaswai8203 wasiwasi ni akili" kuhukumu ni nini? Usikurupuke tuu, huo ni ushauri wangu Kwa mzee wetu

    • @princepaschal9963
      @princepaschal9963 ปีที่แล้ว

      @@japhetthabit9428 kwani wewe unamshauri kama nani? Kazi aliyofanya mpaka leo umemlinda wewe? Umekuwa unamshauri wewe? Kwani Mungu aliye muhita alikuweka kuwa mshauri wake? Au ujasoma kisa cha musa, aruni, na niliamu?

  • @mch.JaphetSebastian
    @mch.JaphetSebastian ปีที่แล้ว

    Kazi yoko itakumbukwa sana

  • @benjaminmwaipungu279
    @benjaminmwaipungu279 ปีที่แล้ว

    Askofu wa kwanza alikuwepo huyu ni wa pili. Tunampenda sana ila tusipotoshe historia , kama tulivyopotosha tuliposema TAG imetimiza miaka 75 miaka nane iliyopita, wakati ukweli ni kwamba TAG ilianza rasmi mwaka 1952, na itatimiza miaka 75 ifikapo 2025.

  • @babumrisha
    @babumrisha 2 ปีที่แล้ว

    Ni seme ukweli tangu nilipoanza kuabudu Kilimanjaro Revival Temple 2000 wakati huyu mtu alipokua bado na nguvu alinijenga sana kiroho, na kila ijumaa na jumapili akisimama nilikua sikosi kitu na maisha yanabadilika kabisa. Nakiri kwamba hatumjui huyu mtu vile tulivyopaswa kumjua.

  • @sophiajonas3459
    @sophiajonas3459 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubadiki sana babu yetuuuuu

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu3822 2 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe ni wewe uliyemtesa Moses kulola naomba ukaekae duniani kwanza, maana ulimtendea vibaya sana mtumishi wa MUNGU,eti waangalie mwenendo, mbona wewe hukuangalia mwenendo na ukampa mwenzio ukilema mpaka kufa, alikufa akiwa na chuma kwenye mwili wake, weweeee

    • @simioneliufoo4517
      @simioneliufoo4517 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu, muogope sana Mungu. Unaweza kujitwalia laana ikatafuna maisha yako na kizazi chako.

  • @MjungumabebaNyamuko
    @MjungumabebaNyamuko ปีที่แล้ว

    Lakini mwandishi ujamwuliza juu ya aliyekuwa makamu wake Dr Moses kulola kutoelewana kwake mpaka kupelekea matatizo ktk imani

  • @tabiarajabu6855
    @tabiarajabu6855 ปีที่แล้ว

    Ila hizo nywele zako apn haina utukufu wa Krixto

  • @bethuelkonyuniofficial7930
    @bethuelkonyuniofficial7930 2 ปีที่แล้ว

    Muasisi Wa imani