Sauti Ya Jangwani -- Sasa Nasimulia

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 19

  • @pagiMussa
    @pagiMussa 7 วันที่ผ่านมา +1

    Niliutafuta sana tangia niusikie kizota net event, mbarikiwa

  • @ezrafrancis9519
    @ezrafrancis9519 6 หลายเดือนก่อน +4

    Huu nilikua nautafuta sana mbarikiwe posti na sitaionea haya injili

  • @ShidaMapalala
    @ShidaMapalala 6 หลายเดือนก่อน +2

    Solo imekaa vyema sana. MUNGU awabariki na kuwalinda sauti ya jangwani sda choir, nabarikiwa mno na nyimbo zenu ni nzuri mno

  • @MuhindoEmmanuelronald
    @MuhindoEmmanuelronald 3 หลายเดือนก่อน +1

    mubarikiwe zaidi watumishi wa Mungu

  • @pinifapegospelmusic
    @pinifapegospelmusic 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana nilikua natafuta hizi nyimbo mbarikiwe sana

  • @juliajerusio6509
    @juliajerusio6509 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @EdinaNyaruga
    @EdinaNyaruga 4 หลายเดือนก่อน

    Nlikutafuta Kwa muda sanaaa huu Wimbo na Leo nimeupata

  • @breaking13327
    @breaking13327 5 หลายเดือนก่อน +1

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nakumbuka wimbo huu kipnd nasikia nirikua mdogo Sana nimeglahi kuuskia Tena jamani .saivi naulm wa34. Wengi wamelala uti Mimi nikohaii. Nakushukuru YEHOVA. Kwa Uzima huu

  • @yusuphmapesa5337
    @yusuphmapesa5337 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huu wimbo unanikumbusha Magu Mwanza kwenye makambi 2005! Lakini pia huwa namkumbuka rafiki yangu Leonard James Alikuwa anapenda sana Kuuimba tukiwa O’level pale Nyakato boys Secondary School-Bukoba. Ubarikiwe sana Ndugu uliyepost huu wimbo.

  • @tumainshaban6568
    @tumainshaban6568 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba muweke na ule wimbo wa "kama wangetokea Adam naye Hawa" upo katika albumu ya Fuata biblia

  • @spelansiandanzi204
    @spelansiandanzi204 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana aidi kuwabariki

  • @kishepokishepo4971
    @kishepokishepo4971 5 หลายเดือนก่อน

    MOYO WANGU piah muitume jamani

  • @IbrahimOnguti
    @IbrahimOnguti 4 หลายเดือนก่อน

    A very good item

  • @Amospius-r3y
    @Amospius-r3y 2 หลายเดือนก่อน

    jamani wimbo wa kisukuma wa albam hii mbona haupo?