Kuna watu wamejaliwa kipaji cha kuandika nyimbo. Huu wimbo umeyabeba vizuri maudhui ya "Yatosha Jangwani". Mpangilio wake, instrumental ilivyopigwa, waimbaji walivyouimba, video setting yake, aaah vyote ni HALELUYA tu.
Haleluya kwa Bwana ! Mungu na azidi kuwaangazia Nuru yake hakika mmetubaririki sana sana sana! Mwl hakika pamoja na wanakwaya wote mnatumika vyema shambani mwa Bwana!❤️
Mungu azid kuwabariki katika utendaji kazi wake! Karibuni tena Musoma mtaa wa Makoko
Tutakaribia maana huko pamekuwa nyumbani kwetu tumepamis
@@elikanashadrack4678 amina!!! Nitatuma mtu anaitwa Teriza afikishe salaam zangu kwa kwaya
Amina, Yatosha jangwani. Mungu awabariki
Mbarikiwe sana na Mungu awatunze
Hallelujah... Nyinyi sasa ndio tulikuwa tunawatafuta mkatubariki MAKAMBI 2024. hapo july. Amen.
Amen Bwana na atende
Simu ziite😂😂
Amina tubarikiwe sote
Nawapenda watu baba, Mungu wa Mbinguni azidi kuwatumia.mmetisha kweli yatosha jangwani
Wimbo mzuri sana, mbarikiwe sana Nyasubi
Amen tubarikiwe sote
Wimbo mzuri sana hongerani Nyasubi mungu awabariki
Bwana Mungu awabariki sana chama.langu
Amen
Hongerenii kwa wimbo mzurii mbarikiwe
Barikiwa mkuu
Ameni
Good song
Ouyeah!!.... Hallellujah mubarikiwe sanaa wapendwe!!
Mungu wabariki Sana nyimbo nzuri
Hakika jangwani kuna changamoto nyingi mno. Barikiweni sana waimbaji.
Beautiful song,bravo to the song writer but glory is to our almighty God
Amen! Let's our almighty bless us all
Jangwani kunachosha mie huyo nakimbia zangu kwenda kaanani😊
Karibu yatosha jangwani
MBARIKIWE SANA NYASUBI SDA CHOIR
Wimbo unaujumbe unaogusa sana
YATOSHA JANGWANI YESU TUVUSHE🙏
Amen tubarikiwe sote
Ngelela has Never Disappoint Us, Mungu Awabariki Nyasubi
Ama kweli Yesu yu karibu kurudi ili haya yote tunayopitia kama wanaisraeli yatafika mwisho...
Wanishangaza kijana , heko sana wananyasubi
Hongera nyasubi mubarikiwe.
Kwaya yangu pendwa mbarikiwe Sana na Bwana 🔥🔥🔥
Nawapenda mnooo nyasubi. Barikiweni mnooooo
Amina tubarikiwe sote
Wimbo umeenza kunibariki kabra haujatolewa .jaman nabarikiwa Sana sana
Amen tubarikiwe sote
Niwe Mkweli Mnanibariki sana Nyasubi.
Nikweli yatosha jangwani 🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana kwa wimbo huo mzuri
Mbarikiwe sana wimbo mzuri sana
Nabalikiwa sana nahuu wimbo jaman Amina sana
Wimbo makini mbarikiwe sana
Mungu awabariki sna watu wa mungu
Mungu awabariki sana watu wa mungu
Mbarikiwe sanaaa nyasubi kahama.
Jamani msiishie tu kukoment. Hebu twendeni tu like subscribe na kisha kushare wimbo wa maana kabisa huu.
Nmebalikiwa sana
Mbarikiwe sana nawapenda
Nawapenda sana nyasubi sda
Kuna watu wamejaliwa kipaji cha kuandika nyimbo. Huu wimbo umeyabeba vizuri maudhui ya "Yatosha Jangwani". Mpangilio wake, instrumental ilivyopigwa, waimbaji walivyouimba, video setting yake, aaah vyote ni HALELUYA tu.
Barikiwa Sana mtumishi Kwa kututia moyo sifa na heshima zimrudie Mungu aliyewekeza karama hii takatifu
Namuona baba yangu MUGUSIMungu akupe nguvu
Amina...Yesu tuvushe ng'ambo ya pili, yatosha sasa jangwani'
Amen tubarikiwe sote
namuona msafili na ngelela salam ziwafkie jamn
Amina
Mungu awabariki sana watumishiii
Tubarikiwe sote
Amina Nyasubi
Ameen sanaaa
Kwaya yangu pendwa.....Mungu awainue kwa ujumbe mzuri....Yatosha kukaa jangwani
Amina
Hongereni sana nyasubi kwa wimbo wenu mzuli sana sasa YATOSHA JANGWANI
Amina tubarikiwe sote
Amen tubarikiwe sote
This is Powerful
Mbarikiweeee sanaaaa🎉🎉🎉pr ngelela na kwaya kwa ujumla Bwana na awape upendeleoo kwa kila muhitajilo kama kwaya🙏🙏🙏
Amina askof wangu
Mbarikiwe sana nyasubi choir hakika mmegusa mioyo na Mungu ametukuzwa
Amina tubarikiwe sote
MUNGU awabariki
🎉 Tunasubiri Album ya mwaka huu
munanikumbusha mbali san jaman wapendwa
Yatosha jangwani mbarikiwe Sana
Waoooo! Wimbo mzuri umenigusa sana MUNGU AWABARIKI NYASUBI🙏,GOD BLEES U NGELELA KEEP IT UP👊🙏
Amen, tubarikiwe sote... Wasalimie watumishi wote wa TRVF
Well composed and touching song. God bless you!
🔥🔥🔥
Huu wimbo kwa mtazamo wa kibinadamu sijaona Kama Kuna kwaya imeimba vizuri wimbo wa Jangwani kama nyie
Bwana ni mwema wakati wote❤
Haleluya kwa Bwana ! Mungu na azidi kuwaangazia Nuru yake hakika mmetubaririki sana sana sana! Mwl hakika pamoja na wanakwaya wote mnatumika vyema shambani mwa Bwana!❤️
Amen.
Mbarikiwe kwa wimbo mzr🎉
Amen tubarikiwe sote
Nawapenda sana nyansubi
Karibu Sana tubarikiwe sote
Wimbo mzuri na mmeimba vizur sana wanakwaya wote mbarakiwe🙏
yatosha jangwani
Mbarikiwe sana kwaya yng pendwa nimewamis sana Mungu atuvushe salama jangwani
Amen tubarikiwe sote
Mwaweza kumbuka tulikoanzia nawaombea Msonge mbele mwl wenu Yohana wanda mji vzr mbarkiwe tuko pamoja
Barikiwa Sana mwlm wetu karibu tuendelee kulisongesha gurumu la Bwana
Mbrikiwe sana watumishe wa Mungu
Safi Sana watu Wangu wanguvu,
❤
Ame amen
Wimbo mzr sana mbarikiwe sna nyasubi choir
Amina
Amen tubarikiwe sote
Amina