MTOTO “ALIYEKIRI KUIBA WATOTO WAKACHINJWA”, POLISI “HAMNA UTHIBITISHO”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 442

  • @HappyElias-t9f
    @HappyElias-t9f 2 หลายเดือนก่อน +39

    Naivunja laana kwenye uzao wangu ktk jina la Yesu amen

    • @augustuscaesar2816
      @augustuscaesar2816 2 หลายเดือนก่อน

      We chizi au😂😂

    • @lavieestbelle3263
      @lavieestbelle3263 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 hii nchii kha

    • @lovelynnadia7238
      @lovelynnadia7238 2 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @MegaNasri-bv7tc
      @MegaNasri-bv7tc หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @EllyCantonaCantona
      @EllyCantonaCantona หลายเดือนก่อน

      Umetisha sana milad ayo.. ndiomaananapendagasana kufatilia Chanel yako kwani niamini huto taalifa za kipuuzi za uongo au za kuedit..usiache kutupa mlejesho wa uchunguzi.

  • @MaishaBabu-m2g
    @MaishaBabu-m2g 2 หลายเดือนก่อน

    Mtoto anaota huyu sio kweli

  • @SIFAFANUEL
    @SIFAFANUEL 2 หลายเดือนก่อน +4

    Eee mungu nijalie uzao wungu usije kupatwa nahii roho kwajina layesu naivunja 🙏🙏🙏🙏

  • @FghgRyy
    @FghgRyy 2 หลายเดือนก่อน +7

    Subhana Allah 😢 ya'Rabby wanusuru watoto wetu Aamiyn ya'Rabby

  • @wemamtundu7906
    @wemamtundu7906 2 หลายเดือนก่อน +11

    Siwezi sema sana ila huyu mtoto anatumiwa tu, huyu mtoto anahaki zake, mbona wale Afande hawakupigwa na kuhojiwa kama huyu mtoto. Mungu tupe uelewa

    • @charleskikoti5635
      @charleskikoti5635 2 หลายเดือนก่อน

      Uzuri anaonesha anaongea ukweli ko halali yake

    • @Abdalakangile1
      @Abdalakangile1 หลายเดือนก่อน

      Inauma kweli

  • @Sophia-w5k4i
    @Sophia-w5k4i 2 หลายเดือนก่อน +21

    Uyo mwiz tu wanguo Lakin ayo mengine sina Imani nayo mbona kama amebanwa aongee ivo mchunguzen jaman sio kweli akubali kuiba watoto kwa elfu tano apana nakataa

    • @m2pc
      @m2pc 2 หลายเดือนก่อน +1

      na mimi kama sijaelewa sasa jose anaibagacwatoto kuhusu nguo tena vp jmn

    • @barakadonald1768
      @barakadonald1768 2 หลายเดือนก่อน +4

      ndugu hawa wattoto wana mind set ndogo sana ye anaiba hatak kingi anachopewa anaridhika...ilimradi apate hela ya kuspend hayo mengine ye hayamhusu...me nakadogo kangu haka kapo lapili imagine anaiba anapeleka alipo agizwa i mean wenzake walomtuma ...anaiba hata 30K anapewa mia mbili bro imagine( 200 ) and he is happy anaend kunywa barafu👋🥺...ko hajar anapewa shingap as long as kalipwa no doubt.

    • @givenessdavid3743
      @givenessdavid3743 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbuka yeye sio muuaji kwahyo anaona kazi ndogo sana kumkamata tu

    • @jacquelinegg327
      @jacquelinegg327 2 หลายเดือนก่อน

      Well said​@@barakadonald1768

    • @jacquelinegg327
      @jacquelinegg327 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa sio watu tunapigwa upofu gani mpka anabisha

  • @SHALIFUSHALIFU-id9ku
    @SHALIFUSHALIFU-id9ku 2 หลายเดือนก่อน +3

    Uyu mtt amepigwa hadi anajieleza mbona wale walombaka bint wayombo hawapigwi wanasindikizwa kama mabihalusi hata kofi hawajapigwa jmn nyie mtafika mbinguni mmechoka 😅😅😅😅

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 หลายเดือนก่อน +1

      Unalinganisha wauaji na mbakaji!!!

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo หลายเดือนก่อน

    Mungu tunusuru na hawo watu makatili subhaana llah

  • @paulojohn-bh2vz
    @paulojohn-bh2vz 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ili hii hali isiendelee jmn hebu Hawa wakamatwe kifungo Cha maisha maana mkiwaachilia wataingia matani kuendelea nakazi hiyo na hao walio tajwa wakamatwe wahojiwe kwakituo nahisi Hadi huyo boss wako anaweza kupatikana dah 😢😢

  • @aberemanwer2939
    @aberemanwer2939 2 หลายเดือนก่อน +23

    Mnajikosha tu, yaubakaji mbona hamkutuonyesha mnavyowahoji acheni unafki

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa jishaue sasa

    • @abdrahmandammbaya1517
      @abdrahmandammbaya1517 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli wanazuga wabakaji wamekaa kimya

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 2 หลายเดือนก่อน

      Huamini Nini video yake nnayoo Mimi nicheki humo

    • @kelvinngenzi8578
      @kelvinngenzi8578 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@abuushakiraddausiy8666mkali naomba nione mkuu

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 2 หลายเดือนก่อน

      kubaka ni inshu tofauti lkn pia iko maakamani sasa unataka wahoji nn wakati tayali wameshakamatwa

  • @PendoMatemba
    @PendoMatemba 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtoto anasema kweli, Mungu tusaidie

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 หลายเดือนก่อน +19

    Polis kama wako makini na ueledi huyu mtoto( kijana)
    wasimshurutishe bali wamtumie ktk kuwabaini wahusika huyu n mtoto tu!
    Lkn utaona polis wanamuharass huyu na kuacha WAHUSİKA
    THİS İS TOTALLY SHAME ON OUT POLİCES

    • @41Company-g5d
      @41Company-g5d 2 หลายเดือนก่อน +2

      Huna uwezo wa kuwaagiza polisi, kwani huyo mtoto mpaka hapo ulitoa maoni au ulisaidia kumkamata. Acha kufundisha kazi usizozifahamu.

    • @Joycemabula-tc9gt
      @Joycemabula-tc9gt 2 หลายเดือนก่อน

      Jamani si ni maoni yake lakini kasema ukweli ​@@41Company-g5d

    • @SadaHasimu
      @SadaHasimu 2 หลายเดือนก่อน

      Jamni kawakamateni wausika nao ila na wale waliyomfanyiya yule Binti ukatili mgewaazimu kama hivyo

    • @Keyjop
      @Keyjop 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona kama hujaelwa kinachofanyika hapo

    • @mariammmbaga976
      @mariammmbaga976 2 หลายเดือนก่อน

      @@41Company-g5d UWEZO GANI?

  • @rosinamtauka9933
    @rosinamtauka9933 2 หลายเดือนก่อน +7

    mtu katili kama huyu kwa nini mnamficha sura?

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 2 หลายเดือนก่อน +20

    Ndiyomaana imetangazwa Ajira mkuranga ya kuzika maiti zisizojulikana kumbe maiti zinatoka sehemu tofauti tofauti 😢😢😢 Mungu tusaidie tunusuru na vizazi vyetu 😢😢..

    • @njuka3515
      @njuka3515 2 หลายเดือนก่อน +2

      What zimetangazwa ajira???!!!

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 2 หลายเดือนก่อน +6

      @@njuka3515 Ww uko wapi hujaona tangazo au??

    • @stephenrwaich1078
      @stephenrwaich1078 2 หลายเดือนก่อน +2

      ni kweli hata mm nimeona hilo tangazo nipo Arusha

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@stephenrwaich1078 Kumbe hata ww umeona kwakweli changamoto

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน

      Subuhanallah mm sijaona hilo tangazo​@@AlHamra-k4u

  • @elymollel
    @elymollel 2 หลายเดือนก่อน +8

    Ndio maana kesi kama hizi tunamalizaga Kweny mahakam zetu za mtaani.

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 2 หลายเดือนก่อน +25

    Wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 หลายเดือนก่อน

      Mpaka utumbo unanicheza jamani mtihani huu Allah atupe mwisho mwema

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 หลายเดือนก่อน +1

      sio makosa yao njaa ndio sababu maisha yamekua juu sana wananchi wa chini hawafikii gharama za chakula biashara unafanya ndogo ndogo pesa zinaishia kwenye ushuru 😢

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 2 หลายเดือนก่อน

      Amina eehe Mungu inatisha hii hari, 😢 kuchinja watu iwe kawaida kweli?

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@aishaalbalushaishabalush8291weeee sio kweli ugumu WA maisha ndio uchinje wenzio? Hivi unajua maisha magumu wewe? Nenda Malawi , Mimi sikubariani eti kisa maisha magumu ndio niende kuchinja watu,

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 หลายเดือนก่อน

      @@dianajohnson7268 nadhani unaongea kujifurahisha tu sasa we unaweza kufanya kazi ngumu kama hiyo kwa elfu 5 tu ? nahawa hawachinji wao wanaochinja hao wenye kutaka mali kupitia binadam wenzao nilicho maanisha wenye njaa nihawa watoto wa shule wanaoteka watoto nakuwapelekea wanao watuma nakupewa elf 5 halafu dada kama kwenu mnakula mkadhiba kwa sasahivi tanzania mshukuru sana Mungu kunafamilia zinalalia maji kwa wek wanakula siku 4 na nimlo mmoja 1 tanzania unayoiyona sio ile yamiaka 4 nyuma we idadi ya watoto wenye utapia mlo imeongezeka mara 3 unadhani kuna shibe kama unavodhani wewe dar tu kunafamilia zinalala njaa vyakula bei sana na kipato kidogo mno

  • @jamesnkii4539
    @jamesnkii4539 2 หลายเดือนก่อน

    Mmh hata hawa watoto wanaofanya haya wazaz wao hawapendi!
    Zaidi Mungu wa mbinguni atulindie watoto wetu jmn awaepushe na mabaya ya ulimwengu 🙏🙏

  • @gloriaamase9764
    @gloriaamase9764 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bwana yesu nifunikiye mtoto wangu na damu yako takatifu😢🙏🏼

    • @yvonnefabian9511
      @yvonnefabian9511 2 หลายเดือนก่อน +1

      Amen😢

    • @frankmlalila1705
      @frankmlalila1705 2 หลายเดือนก่อน +2

      Amen🙏

    • @KhalfaniFarisy-c3w
      @KhalfaniFarisy-c3w หลายเดือนก่อน

      Acha kukufuru Yesu siyo Mungu. Soma Yohana 17:3) katumwa na Mungu. Soma Luka 6:12,13) Yesu alisali. Husipoyakubali hayo, utakuwa kafiri.

    • @gloriaamase9764
      @gloriaamase9764 หลายเดือนก่อน

      @@KhalfaniFarisy-c3w and so what??

  • @lilmojr7
    @lilmojr7 2 หลายเดือนก่อน +22

    Sasa polisi msikatae huyu dogo anachoongea fatilieni hao aliowataja wakamateni muwahoji

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 2 หลายเดือนก่อน

      Sio tanzania ww subiri hadi rais au waziri fulan aingilie kati kinyume na hapo tuendelee kulinda watoto wetu. Hatuna polisi hii nchi

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 2 หลายเดือนก่อน

      Unadhani wasema hivyo hawafutaaitilii ? Hata kama ni kweli wanafanyia kazi very serious ila hawawezi kusema kwenye jamii hilo lipo itazua taharuki

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 2 หลายเดือนก่อน

    Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana3598 2 หลายเดือนก่อน +31

    Polisi mnasemaga ooohhh habari za kuzusha vp hapo bado ni uzushi?

    • @charlesmpemba9387
      @charlesmpemba9387 2 หลายเดือนก่อน +5

      Polis hata ni kweli hawawezi kusema ukweli itakuwa taharuki.tuliosoma Cuba tunajua

    • @stephenrwaich1078
      @stephenrwaich1078 2 หลายเดือนก่อน +2

      polis ndio waliotengeneza hii acha ushamba wee

    • @Daniella249
      @Daniella249 2 หลายเดือนก่อน

      Bado watasema wanatafuta ushahidi bado kuna wakutetea kesi nyie 🙌 tz yangu

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 2 หลายเดือนก่อน +1

      😏Amna kitu hapo yani wanatufanya sisi kama wajinga ipo siku mtajibu iyo ukumu mungu amfichi mnafki

    • @mwanaidngapula1092
      @mwanaidngapula1092 2 หลายเดือนก่อน

      Kwachalinze sio kwer mm naishi huko

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hyo ni kwel yanayoendelea,msitupange Wala hatupangiki tutakutana kwenye uchaguz mwakan shwain

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 2 หลายเดือนก่อน

      bro acha hizo mambo ata uko marekani watu wanatekwa wanakufa kila leo unaposema tukutani kwenye uchaguzi alafu ndio ufanye nn we nenda kapige kura kwa umpendae lkn usitishe watu

  • @PetrolinaSipriani
    @PetrolinaSipriani 2 หลายเดือนก่อน

    Dahhh jamani polisi fanyeni kazi yenu uy mtoto amekiri mwenyewe watoto wadogo hawana hatia jamani😭😭😭

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo หลายเดือนก่อน

    Inna lilaahi waina ilayhi raajiuun
    Msiba mkubwa
    Ukatili mkubwa
    Mungu atawalipa kwa ukatili mnaofanya

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 หลายเดือนก่อน

    I'm speechless 🙊

  • @HadijaMamafey
    @HadijaMamafey 2 หลายเดือนก่อน

    Siku mtoto wangu akipotea sijuw itakuwaje aiseeee mungu walinde watoto WETU ila wanangu Zaid maaan nawapenda San

  • @HolidayYusuhp
    @HolidayYusuhp หลายเดือนก่อน

    Du mungu bariki kizazi changu

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s หลายเดือนก่อน

    Mtoto mdogo sana huyu hastaili adhabu cha msingi watafutwe wanaowatuma wakamatwe. Wala hastairi kuteswa hata kidogo 😢

  • @JosephChabai
    @JosephChabai หลายเดือนก่อน

    Hata watoto wadogo wauwaji kweli ufarme WA mungu unakaribi tatizo la wawa hawa hawana hufu ya mungu malezi mabovu

  • @esterkalinga-zu9ve
    @esterkalinga-zu9ve หลายเดือนก่อน

    Mungu tusimamie mwenyew mambo yanayoendelea yanatisha😢

  • @godrinshine3604
    @godrinshine3604 หลายเดือนก่อน

    Shenz kabisa c angepigwa mpka afe mpumbavu uyo

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 2 หลายเดือนก่อน

    Matukio nimengi ya kutisha tumuombeni mungu hatupe mwishomwema. Amiin

  • @solomonpeter8843
    @solomonpeter8843 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi yetu wengine ni kuombea taifa letu tu Leo hii imeonekana si kweli 😢sawa sisi hatuwezi kujua ukweli ila Mungu anayaona wakati wake ni mchache tu yatakuwa bayana

  • @rithaurassa
    @rithaurassa หลายเดือนก่อน

    Mbona mengine hamjaweka waz juma ya MTOTO kuna jambo hatufanganyiki jaman. Ilituseme ni wao jamani!!! Mmmhh acheni hizo hatudanganyiki.

  • @ShamsaFahad-n8v
    @ShamsaFahad-n8v 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani mtoto mdogo unakua narohobaya mungu nusuru kizazi changu😭😭😭🙏

  • @rastapeace9616
    @rastapeace9616 หลายเดือนก่อน

    Na wao wakikamtwa auliwe

  • @mariammmbaga976
    @mariammmbaga976 2 หลายเดือนก่อน +17

    Mnaokataa Kuwa sio UKWELI basi nyie leteni UKWELI

  • @isaackemanuel3712
    @isaackemanuel3712 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kuna ukweli mkubwa sana. Sasa mbona na serikali wametoka na tangazo la kutafuta watu wa kuzika watu wasiotambulika.

  • @shalomkind4575
    @shalomkind4575 หลายเดือนก่อน

    Basi kenya hili janga ni kama kawaida sasa ..inatisha sana .

  • @patisondidas6720
    @patisondidas6720 2 หลายเดือนก่อน +4

    Du hiii dunia jaman khaaa mungu tuepushe na haya mabalaa kwakweli 😢 jamn

  • @annamshana
    @annamshana หลายเดือนก่อน

    Jamani Mungu utuhurumie na Mungu uwalinde watoto wetu jamani,😭😭

  • @DavidMasawe-l9w
    @DavidMasawe-l9w 2 หลายเดือนก่อน

    Hakun kitu hapo ya kutengenezwa anatajaje watu ambao hamja wakamat kuna upelelezi kweli au zuga tu wausik wat wazima achen zuga

  • @stephenrwaich1078
    @stephenrwaich1078 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna Hakuna Hakuna.Police wanajaribu kutuliza moto wa watanzania kwa kutuhadaa kwa kusingizia wanafunzi.Tafuteni ukweli utakaowaweka watanzania wazi kwani hata nyie ni sehemu ya hili tatizo

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 หลายเดือนก่อน +8

    😫😫😫 Police Police Police! 😳

  • @SamsunGalaxy-e5k
    @SamsunGalaxy-e5k 2 หลายเดือนก่อน

    Ndio hivo huyo ni mtt kweli

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 2 หลายเดือนก่อน +1

    Inauma sana mungu wang tusaidie😢😢😢😢😢

  • @MalikAbdullahman
    @MalikAbdullahman หลายเดือนก่อน

    Hiy hatar kubwa dh huyo mtoto vp mbona anajieleza kwa Mba anawajuwa hawo watu awo wengne vp kaka matwa ye tu mpaka saiv au vp dh Yani hili jambo linatisha sana kwa toto wetu hatar lazima tuji engz

  • @rashidalmas3792
    @rashidalmas3792 2 หลายเดือนก่อน +15

    Ila Tz Ni serikali ya Hovyo mbona siksii serikali iki leta Sheria Kali kama za kunyogwa kwa wanao fanya ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto mfano kesi kama: Mtoto wa miaka nane wa kiume ka lawitiwa na mtu mzima na ndevu zake baaadae huiskii Tena anakuja kuambiwa ilisuluhiswa kindugu huu Ni uwaki for real.

    • @RamadhaniSuru
      @RamadhaniSuru 2 หลายเดือนก่อน

      Eti wao mtu akimtomba mwanake kwanguva au hiariyake sheria kali kinoma hata ukicngiziwa umelawiti tu umekoma unafungwa miaka ya shetani

    • @rashidalmas3792
      @rashidalmas3792 2 หลายเดือนก่อน

      Hii nchi nikufanya mapinduzi ya Tanzania.

  • @EsterMsuya-kn7tm
    @EsterMsuya-kn7tm 2 หลายเดือนก่อน

    Inawezekana ikawa kweli au sio kweli . maana kunakipigo unakipata hadi unaongea uwongo

  • @paulojohn-bh2vz
    @paulojohn-bh2vz 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenyezi mungu atusimamie waja wake na viongozi sijui wachike lipi waache lipi maana matukio ni mengi jmn dah😢😢

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 2 หลายเดือนก่อน

      wao ndio sababu wahaya unajua unapopandisha gharama za maisha watizame wananchi wako wataweza kumudu sio kufata mkumbo wa nchi fulan wamepandisha gharama vitu nawe unakurupuka kiongozi asie wahurumia wananchi huyo ndio chanzo cha yote mabaya yanayofanyika

  • @LazandaSweety
    @LazandaSweety 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani vizazi vyetu mungu atuepushe hays mtoto mdogo fo two anaiba watoto ili apewe 5000 jamani

  • @mansooraziz7966
    @mansooraziz7966 2 หลายเดือนก่อน

    Yani unatoa uhai wa mtu kwa sh 5000? 😭 mi naona watu kama hawa hukumu zao hata zisinge kuwa znacheleweshwa ni kunyongwa papo hapo

  • @MbarakAhmedAbdalla
    @MbarakAhmedAbdalla หลายเดือนก่อน

    Sai akunakupeleka mtu polisi akishikwa namatukio kama hayo achomwe moto kama kuku washenzi serekali yasamia haina maana nayy pia ndio ikaambiwa mwanamke kuonfoza kidini haifai nisababu kama hizi mtu amepoteza mtoto wake ajampata kachinjwa alafù munasema hakuna kidhibitisho

  • @ElizabethMasala-op3vd
    @ElizabethMasala-op3vd 2 หลายเดือนก่อน

    Ila mlicho fanya ya kumuhoji na kumlekodi ni makosa, hata km ni kweli hao wengine wangesha toloka

  • @EVALSTIGNONDOA
    @EVALSTIGNONDOA หลายเดือนก่อน

    uyo.mtt sio mwizi jamani wewe unae mhoji umembana sana mwachieni akasome bhana pumbavu zenu mnaacha majambaz mnawaonea watt😢

  • @RoseKaiza-g2j
    @RoseKaiza-g2j 2 หลายเดือนก่อน

    Mhhh! Mi mgeni!

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu Nuzuru ichi yetu serikali hatuna kila siku watoto wetu wanachishwa mpka mtaani wakitolewa viugo vi mwili na washirikina Samia na serikali yake imevupia macho

  • @marwawambura2880
    @marwawambura2880 หลายเดือนก่อน

    Ana miaka 13 yuko sekondari alianza la kwanza akiwa na miaka mingapi mitano au????
    Kawaida mtotio anaanza shule ya msingi na miska 7 anamaliza msingi na 14 kajitahidi 13 huyu alianza shule na miaka mingapi au kadanganya umri wake???

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mwenye simu ni msenge sana kwanin uweki simu silent

    • @ZulfaHamisi-f3k
      @ZulfaHamisi-f3k หลายเดือนก่อน

      😂😂😂imenikera balaa

  • @barnabasstanslaus6895
    @barnabasstanslaus6895 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hilo li simu sasa 😢😢😢😢

  • @eunicesemere5555
    @eunicesemere5555 หลายเดือนก่อน

    Nilidhani huu wizi wa watoto ni kenya pekee

  • @user13375
    @user13375 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna kitu hapo😅😅😅😅,,ukiwa na msomi utajuwa😂😂😂

  • @JanethAmosi-i1f
    @JanethAmosi-i1f 2 หลายเดือนก่อน

    Awa watot watakua wanauzwa kam nyama jmn khaaaaaa

  • @jbdedon
    @jbdedon 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 Sinaga Imani na Police aiseee ona sasa Taarifa ni tofauti

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 หลายเดือนก่อน +2

    dunia ina mambo mengi saan

  • @fawaaidibnjuma8716
    @fawaaidibnjuma8716 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe chalinze ndio limetokea hili tatizo😢

  • @MefakiMgandi
    @MefakiMgandi 2 หลายเดือนก่อน

    Pengine awe mwizi wa nguo tu lkn sio watoto

  • @Ibbz-sk3vv
    @Ibbz-sk3vv 2 หลายเดือนก่อน

    duh, hizi kali khee

  • @furahamwikombo-p7g
    @furahamwikombo-p7g 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa mmewakata walio kuwa wanahoji ili iweje??.... Walio mkamata ni msaada kwa polisi.. Ndio maana Raia wengine wanaona matukio wanashindwa kuwambia kwakuwa nao mmewakamata....

  • @MinaMasha-z4p
    @MinaMasha-z4p 2 หลายเดือนก่อน

    Atapelekwa mahakaman akitoka hapo anaenda magereza, anakula ugali wa bure, analala bure, na analindwa yan kiufupi anakua sehem salama,
    Wakati kakatisha maisha ya watu😭😭😭watu kama haya kwanini wasiwe wananyongwa tuu?? Inauma sana😢

  • @joaskisas7765
    @joaskisas7765 หลายเดือนก่อน

    Mungu okoa kizazi hiki

  • @Movies-k5y
    @Movies-k5y 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa milio ya Nini iyoo ndiiihii sijui

  • @gloryeliaita8938
    @gloryeliaita8938 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa akili ya mtoto wa miaka 13, hawez kukariri umri wa watu kias hko. Hili lifuatiliwe asee

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yote hii sisi baadhi yawatanzania tunaetaka utajiri wakishirikina

  • @SamsunGalaxy-e5k
    @SamsunGalaxy-e5k 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani kwanini mtt mdogo hivi anashirikishwa vitendo hivi

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu wala wasimpige ili awambie Mengi

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwanini polisi wanatoa kauli ya kukataa inamaana wanatetea haya maovu au jamii unaweza kueleea nini juu ya utetezi wa polisi kwa hawa wauaji

  • @khadijahamisi5561
    @khadijahamisi5561 2 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢duh elfu 5 mama weeèee naumia san

  • @Lily-s8u
    @Lily-s8u 2 หลายเดือนก่อน

    Eee mungu wangu tusaidie sisi waja wako tupe mwisho mwema

  • @JoramBasso
    @JoramBasso 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo mtoto tuseme kuwa kila anayefanya naye kazi ni lazima ajue umri wake etii!

  • @tabutabu8900
    @tabutabu8900 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmh police wana kazi kubwa sana mungu awalindeni nyote maana kaz mnayo fanya ni kubwa japo Kuna watu hawawapendi kuhusu kazi zenu

  • @RamsoIkombe-q6o
    @RamsoIkombe-q6o หลายเดือนก่อน

    Kidato chapili miaka 13 mbona haiingii akilini ,darasa la kwanza miaka 4 ? Inafikirisha sana .

  • @rajabumtuga7372
    @rajabumtuga7372 2 หลายเดือนก่อน

    Mtoto ameongea kwa kunyoosha maelezp bila kupindapinda. Na kama unaijua pschology vizur utaelewa mtoto kaongea kilakitu. Lakin kwann wanatypotosha kuw sio kweli??

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 หลายเดือนก่อน

    Anayerekodi hafungi data, atakuwa siyo kichwa box

  • @OmarySamata
    @OmarySamata 2 หลายเดือนก่อน

    Daaah😢😢😢😢😢

  • @AishaHussein-en3wf
    @AishaHussein-en3wf 2 หลายเดือนก่อน

    Kipigo kinauma,ila wachunguze kwa kina,ukweli utajulikana,maana sio kwa peresha aliyo nayo

  • @teller_julio
    @teller_julio 2 หลายเดือนก่อน

    Amini nakuambia .... Hao watoto wanao chkuliwa ni kwamba wanaenda kutolewa kafara ... Au hivyo viungo vyao ndio vinaenda kutumika kufanyia mazindiko ya kichawi katika biashara na mabasi ya matajiri

  • @TatuMkeso
    @TatuMkeso หลายเดือนก่อน

    Inalilah wa inailah rajuun

  • @AminaHamisi-j4w
    @AminaHamisi-j4w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hoji uyo mpaka awapeleke kwauyo Jose wazazi Awana amani nyumbani

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 หลายเดือนก่อน

    Polic kwann mnapenda kukanusha?

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa kama huyu kijana anavyo eleza kama wakipeleka hao watoto kwa jose.huyo jose anawapakia hao watoto kwenye mabox akiwa kesha wauwa.
    Sasa anapata faida gani kuwa peleka dar.
    Anauza nyama.
    Sija elewa hii stori ya huyu kijana anavyo elezea.
    Na kama alikwenda kuiba nguo sio mtoto ndio maana amekamatwa.
    Siamini hii stori kama ni ya huyu kijana.

    • @user-xy8kl9wd2i
      @user-xy8kl9wd2i 2 หลายเดือนก่อน

      Huenda wanachukua figo 😢

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 2 หลายเดือนก่อน

    kwanza serkal imuangalie huyo mtoto kwanini afanye kazi hiyo kwa elfu 5 inamaana kwa ajili ya njaa na njaa nani sababu serkal kupandisha gharama za vyakula wazazi biashara mmeziuwa za wazazi was ndogo ndogo sasa vijana wanakosa kula wakashiba kwanza mtoto mnamuona alivo na njaa napia haitakiwi washikwe hawa watoto hao wanao watuma wahuko dar ndio watekaji wakubwa hao wanabeba watoto kwenye mabix ndio watuhumiwa huyu mtoto mumwachie huru na mushushe get za vitu hadi mbolea ili vyakula vipatikane kwa urahisi mbona magu aliwasaidia sana gharama za bidhaa masikin wote waliishi kama matajir na wezi wakaisha kwanza muwarudishie vitambulisho vyao vya mwaka elfu 20 ili wauze biashara zao bila kugasiwa na ushuru zakila siku kuuwa vile vitambulisho vya wamasikin mmesababisha watoto wengi kurudi kufanya mambo mabaya kama haya nyie mnaongoza nchi awam hi ndio mmesababisha yote haya mwacheni huyo mtoto watafteni wanao watuma wahuko dar

  • @RamadhanKichele
    @RamadhanKichele 2 หลายเดือนก่อน

    Acha viongozi waendelee kukataa sababu watoto wao wanalindwa

  • @mwanaidngapula1092
    @mwanaidngapula1092 2 หลายเดือนก่อน

    Ameongelea uoga chalinze hakuna tukio lakupotea watt

  • @rogerslucas-yj3tz
    @rogerslucas-yj3tz 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani unamuuliza eti inakuingia akilini kulipwa elfu5..,Ulitaka alipwe kiasi gani ndio imuingie akilini?!

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 2 หลายเดือนก่อน

    Subahnallah ³

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani huku tz duuuuh mitihani tuu

  • @Nestoemanuel
    @Nestoemanuel 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona kama uwongo jamani

  • @BenardSadani
    @BenardSadani 2 หลายเดือนก่อน

    iyo tv atoagi taarifa ya kizushi..

  • @ibrahimkabeniani4934
    @ibrahimkabeniani4934 2 หลายเดือนก่อน

    Mnaaanza kukaataaa kwamba sio Kweli police ivi lini mtaacha kulinda waalifu wakati Kila siku watoto wanapotea yaani mm nikikuta mbwa na polisi bola nisaidie mbwa