Lucas na baby love leo nimecheka na kulia kwa pamoja baby love ahsante kwa kupa maarifa na mafunzo mengi pia.Lucas pia hongera kwani bila wewe hatungefikiwa na huu ujumbe
@@LUCAS_LUMBASI kaka furaha wakati mwingine inategemea mtu mwenyewe nakwa vile atakavyo kuwa amejiweka na kuikubali hali alio nayo kwa kipindi kile anachokipitia
Ila shida ni chanzo na mwisho wa matatizo kwani shida huzitenganisha familia na wapenzi kisa kutafuta maisha hata kuingia kwenye biashara haram kisa tuu ugumu wakuusaka na kuupata ugali
Simuliz nzur San ❤❤❤ inafundisha
😂😂😂😂😂
Naomi😂😂😂😂mkongo na mnejeria😂😂😂😂❤tam simlizi hili mwisho wake😂😂😂😂❤
@LUCAS LUMBASI 😂😂😂
Hio Ni Kali poa sana Lucas
Lucasi lumbasi wawatu huyooooo🎉🎉🎉
Woow!! My boòo😋🙏🎧🇰🇪🇰🇪
Baby
I'm so happy kuhisikiliza simulizi hii.
God is good and great. Congratulations Cay you are the best!!!!!
Kuna simulizi nikiskiza najistukia😂😂😂😂.ebu nikaskize siri hii imenishida 😊😊asante Lucas
@@lucaslumbasi7876 aahm unajua wewe unasimulia tuh omba basi yasikukute😌ebu nikafanye kazi maids zngu zikiwa fresh 😊badaye kidogo
Kwann ujishtukie @vero756
❤❤😂😂mwana wa lumbas🎉🎉 sauti yako tu
Mashabiki vipi na like zenu mpokee maua🎉🎉
Kwani gari shiling ngapi mpaka udange mm nainunua mwenyewe na kazi ya ukadama Alhamdhulilah
@@LUCAS_LUMBASI ndoto ya mwanamke mvivu ni kuolewa na tajir
❤❤
Ila hawa watot jamani
Heri kuosha vyombo Kwa warabu kuliko kudanga
Jamani huyo shem hana musada
Kweli kabisa ila nimejifunza subra muhim katika maisha km vile kidunda alvyokua nayo kwa mke wake😊😅
Haaaa. Nmecheka walahi simulizi yako tamu kweli
😂😂😂😂😂😂mm ndio nimecheka gafla wakati ameambiwa na mumewe abebe magari zake waende 😂😂😂😂😂😂
Mmm atr nanusu kity kumoyo
Naisi ni tamu ndo naanza
Mimiwakwanza nasikiliza
Lucas na baby love leo nimecheka na kulia kwa pamoja baby love ahsante kwa kupa maarifa na mafunzo mengi pia.Lucas pia hongera kwani bila wewe hatungefikiwa na huu ujumbe
Asante kipenzi enjoy😍😍
@@marrygasirigwa9309
Shukran kefhahki hamdullah
@@LUCAS_LUMBASI
kaka furaha wakati mwingine inategemea mtu mwenyewe nakwa vile atakavyo kuwa amejiweka na kuikubali hali alio nayo kwa kipindi kile anachokipitia
MashaaAllah hii Kali love you all❤
Watoto hatar baba jiongeze toba
@@LUCAS_LUMBASI 😀😀😀 ndio yalio nishinda mm nikaamua kukaa arabun mwaka wa kumi sasa
Ikosawa
Yaan najiuliza mumewe akute anagombaniwa hivyo jamn ,, loo atamnyoa
😍😍Lukas lumbas
Tamu haki❤❤❤
Mambo ni moto na ww danga
Unajua kuna wivu umezidi wa Caine juu wake uliishia palepale ila sasa wa wanadamu mtu ana wivu na mwengne .mpaka adange ndio,,,,,
Na ww danga
❤
Ila shida ni chanzo na mwisho wa matatizo kwani shida huzitenganisha familia na wapenzi kisa kutafuta maisha hata kuingia kwenye biashara haram kisa tuu ugumu wakuusaka na kuupata ugali
Kwel unacho sema Mana mapito ni magum sana😢
Hiikiboko
Wa congolais tuna tabus sis 🤣🤣🤣🤣 eti tuna pendaa sifa
Tupo na Babie love❤❤ni 💥
Love you🥰🥰🥰
@@marrygasirigwa9309 love t😘😘
Jamani hapo kwa kunnua gari amechemsha alikua hio pesa afungue biashara atelie na familiar yake
Baada amshauri dada yake anunu hata kajumba tu eti wakanunue gari
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤
❤