ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
SIMULIZI YA KUSISIMUA: JAMAA ALIPATA DEMU MAKABURINI USIKU.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ค. 2023
- Kwa jina naitwa Hassan; Hassan Rahim. Ni mzaliwa wa Kijiji cha Lutindi kilichopo Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga. Maisha ya utoto pamoja na elimu ya msingi, nilivipata huko na hata ukubwa wangu kiasi niliujua nikiwa bado Lutindi.
Wakwanza jamanii😅😅😅😅😅😅 Leo nko na Raha anko nipe like zangu mana hata siamini kama nimekuja wakwanza aki
I see my dear congratulations 🎈 ❤😂
❤
Shukran sana anko Jay shukran pia Mwandishi wetu Juma cha muhimu ni kumtegemea ALLah Alietukuka, kufanya Adhkar kwa wingi asubuhi na jioni na pia kuswali sana na kuwacha zinaa
Wow...kila uchao tunaburudishwa na simulizi kali zaidi thanks uncle J plus your team ❤
Hongara sana kaka hasani kwa kumurudiye mungu wa binguni na duniani shatani Hana nguvu kuliko mungu. Halihakusha kutoka binguni
Ank j dah ulituliza kwanza ulete usiku or sisi tulosema lete usiku aisee tukaisikiliza usiku niliota bwan niliweweseka hadi kushituk usiku huuuii 😅😅 nipeni like zangu kwa wale tulosikiliz usiku afu tuka wewesek 😅
Sauti yako nzuri sana… yan simulz zako nasklzaga tu usku…. ❤ Sauti imetuliaa yan mtu anaweza Aka imagine how the story is going on
Aaaaaa hii story ni ya kutisha sna mm cha msingi kumuweka mungu mbele
Present as always...hii nayo inakaa kutisha but pia itaelimisha..thing to do and not to do.thanks Anko❤❤❤❤❤❤❤❤
Ni vyema kumtumainia Mungu tu. Shukran Mr jay na mwandishi
Asante kwa simulizi nzuri sana, na naipenda sana sauti yako.
Congrats anko jay simulizi nzuri sana nimeipenda na pia nimechigunza mengi sana kubitia hio simulizi hongereni smx Kwa kutuburudiaha🥰🌹🌹
Kaka hongera sana ila nimecheka kwa sauti kubwa sana baada ya kupiga simu namba ya Judi ikapokewa na zima moto
😂😂😂
😂😂
😮😅
😂😂😂😂😂😂 Anko jay leo umeniumiza mbavu sana ..nilidhani hii simulizi niyakutisha kumbe lahasha 😂😂😂😂hassan limekukuta jambo baba..Anko jay na juma hiza kunyweni soda naja kulipa
😂😂😂😂
Hiii simulizi nimecheka sana kweli Hassan ni muoga
Kidumee kimelipua mamisile 💣😂😂😂🙆🏿♂️🤦🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Mabomuu ya hewa safii 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wow khongera Sana anko J nowadays unatuelewesha Sana na hizi simuliz zaa kichiwi❤❤❤
Much love kwa anko jay na mwandishi Juma Hiza ❤❤
Waaaauuu ankojay nipe yako basi hiyo lake nakupenda bure babaa❤❤🎉🎉🎉
Yeeee ankojay unanitiya uwoga 😢unajuwa na mimi nikienda chuo huwa napitiya kaburini kwa sababu ni njiya ya karibu saaana,yatakuja kunikuta na mimi mungu wangu weeee😢😢😢
daaa sijui kama nsemeje,simulizi hii imenikumbusha mbali kuhusu maisha nilio ya pitia,uncle j Allah akujalie Kila lakheri katika maisha ya hapa duniani na kesho akhera nimejifunza mengi kupitia darasa lako❤.
Pole sana mzee
Simulizi tamu
Huyo Mariamu atakuwa jini sio bure😂😂😂
Thank youuuuuuu so much 💞❤❤❤🎉🎉🎉
Ohoo active subscribers kitu chetu Cha kutisha tisha😂 Sasa twende kaziiiii🎉🎉🎉🎉
Napenda sana uncle jay simulizi uishi maisha mareeefuu ❤❤❤uncle
Thanks ank simuliz nzuli sana💙💚💙💚💙💛💚
Asante kwa simulizi ila mimi napenda kusikiliza lakini kichwa kinaniuma alafu naota ndoto zajabu
anko jey sahii watuletea vitu mfululizo tunaenjoy asante sana ankojy ❤😂😂😂
YAÀAAA RABB ❤❤❤ KAKA KARIM WEWE NI MWANAUME HODARI KABISAÀA 😂❤❤❤
Pole kaka hassani ❤
I need more from you anko j.....😂😂😂 U are the best of the best.....🥰 Best in east,south,north and west 💋💋😘😘👍
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉 ankojay 17k subscribers ❤❤❤❤❤❤
Thank you so much 😀
@@ankojay_you're welcome 😊😊😊😊😊
YAAANI STORY YAKO NZURI SANAAAAA 😂😂😂😂😂😂IMEISHA SAFI SANAAAA 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂 ila dah nacheka kama mazuri huku nikiwa nasubiri simulizi ya lisa najipooza na hii
Asante uncle j❤
Anko jay,,, Hongera sana unajua kusimulia simulizi kila sehemu unaongea kama inavyotakiwa penye huruma unatia huruma,kweny huzuni unafanya kam ilivyo,,,kweli Mungu amegawa vipaji mbalimbali
Huyu uncle j anajua kusimulia jmn yan anajua mpaka anakera😂😂😂🙌🙌
Ahsante Sana 😊
Mmmmh. Inatixh lkn nime like hii simuliz😊
Anko j jaman tuletee bint mina na jin mahaba tunaisubilia kwa amu ❤❤❤❤❤ nakupenda sana
Daah kaka hongera
Fundisho zuri sana
❤❤❤❤ tulikua tunaingojea
Hello guys nyng tena thank you anko jay asante kwa kutupnd tunakupnd pia
Kwa kwel simuriz atari sana❤❤
mambo ni motoo motoo🔥🔥🔥🤣🤣🤣
Jamani mm nimechelewa nilikua naisubir kwa ham ila mambo yameingiluana ndio nasikiliza mda huu usiku cjuw nitalala😂😂😂
Kaz nzuri 🎉🎉🎉 kaka 🎉🎉🎉
Umetisha
Samahani kaka Jeshi la polisi tukusaidie nini jamani mara zima moto😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😊😊😊😅🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅
Congratulations ankojay ❤❤
Anko Jay Simulizi ya Leo imenipa uwoga sanaaaaaa 😢😢😢😢😢😢
mmmmh cyoo wakina mariamu wakwetu uku buza kaka
😢😢 kesho na mimi nitalala TH-cam iliniwe wa kwanza...wacha nisikilize kwanza hiyo njia ya makaburini iko je..ina miba au mabonde 😂 Ahsante msimuliaji wetu maarufu Mr.Anko jay..bila kumsahau mwandishi wetu mahiri Mr juma hiza😊
😂😂😂😂 ulale humu humu ausio
@@ankojay_ ndio Anko jay..nasikia uchungu kila siku mimi ni mkia 😒😒sai nataka kukua kichwa 🤣🤣
Nice 🎉🎉🎉🎉
vizuri sana ancojei
Ndokuingia sijachelewa sanaaaa ❤❤❤
Anko jay! Nakupenda sanaaa,❤ umenichekesha sanaa apo Hassan! Aliporipuwa bomu!!😂🤣👍🏻alivyokuwa anatowa hewa chafu..😅
asatesana anko simulizi hi zuri asate kwa sauti yako zuri mungu akubariki
Ki2 hko ❤❤❤
Niceee.! 💜❤️💙
Thanks 🔥
Eeh yarab 😭 ninapishi njia kubwa ni makaburini 😭
waooo simlizi nzuri jmn khaaa zimenivutia hatari 😍
😂😂😂😂ulimuowa Mariam thanks ankojey 🙏🙏🙏🇰🇪
Mm wa mwisho kwenye top ten😂😂😂
Hongera sana anko jay
Uncle nimecheka na ambavyo kijana wa wenyewe anapopatwa na mauzauza
Pole sana
Nice
Anko j tuletee part 2 ya jini mahaba
story nzr, asante
Tulimis simuliz Kama hizo Anko
Pole hassan wangu nina mtoto anaitwa hassani
Ii simuliz mwenzenu siisikizi maana najua nita ota 😢😢😅😅
,kaka wa mimi❤❤❤😂😂
Yan ni 🔥🤭😂😂🤣🤣🤣
Mungu mkubwa kabisa 🙏🙌
Jamani wajina wangu zuwena 😭😭😭😭😭
Uncle j tunaomba simuliz za kutisha za kichawi ziwe nyingi please 🙏
Khaaaa!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂
❤❤❤❤,🇸🇦
Polee sana kaka
Anko j hii simulizi inachekesha 😂😂😂
Wadau mnamakusudi sio kwa kuwahi namna hii, vijicho vyote kwa anko jay🥰🥰🥰😅
Nimecheka sn leo wallah😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥kilicho nichekesha hapo jamaa kamtukana jini et we bwege nn huyu jamaa noma et
😅😅😂😂😂😂😂mmmmmh jamn nimecheka sanaa leooo nimedhani inatisha
Ank jay huna by😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Nakupenda sn uncle ubarikiwwe cn na kipaji chako kimarike mwaaaàaaaah
Juu ya mti 😂😂😂
Mwanzo skupata kuelewa kama Mamu wenda angelikuwa jini ivyo nilijikuta naumia sana apo kwenye usaliti Ila dooh akika dunia inamambo makubwa sana
Asante sana ila rudi kwa imani yako kaka umuabudu Mola wako kwani hakuna dini ya haki km sio uislamu.
Hapo kwa huduma ya wazima moto na sauti ya jeshi heeee wololo 😂😂😂😂😂
Jaman Hassan alikua anagongaa mbuyuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Shukran sanaa Ankojay Nimejikuta Nachekaa mbayaa
😂😂😂😂jini anafaa kula kisamvu 😂😂😂anko jay
Plzzzzzz Kama part 2 Iko achiya
Hi guys hope kwema Anko twende nalo😊
Wow aina kama hizi kwenye you tube adimu sana big up 2:48
Duuh nimechukia jinsi sarah anavyomtumia rodney
😂😂😂😂yani jamani nimecheka😂😂du
Mm wamwishoo jamani kwann Kila siku mm 2 😂😂😂😂
Weka kaz anko jay
Asate sana ako Jay
To be continued