BINTI CLEOPATRA: (DADA WA KAZI)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2023
- Binti Cleopatra ukipenda mwite Cleo.. Anatoroka kijijini kwao huko bukoba akiwa na marafiki zake wawili.. wa kike na wakiume wanazamia jijini Dar... ktk kupigika na maisha cleo anapata kazi ya ndani yani House girl kwenye jumba moja la kitajiri.. Sasa huko ndani ndiko Simulizi ya Cleaopatra inako kolea.... Kwanza familia ina baba , mama na vijana wa kiume watatu.. Ukiacha hao kuna huyu bibi hapa mwenye kiranga na gubu lililokubuhu mwite Bi Tunu.. Amaa walijua kukomeshana na Cleopatra.. Kubwa kuliko ni kwamba hii familia humo ndani kila mtu anaishi kimpango wake.. Vijana kwanza hawaongeleshani wala kuwasemesha wazazi wao.. Yani mradi tu Tafrani.. Cleopatra anasimulia aliyoyashuhudia huko ndani. . Sikiliza hii ni kwa ajili yako.
Asee nimecheka saana ...ukizingatia iwas in abad mood jaman😂😂...Thank you beatrice mshana
Nipo namie
Shukran. Vsan
Nimewahi kwa beck Tatu mwezangu❤❤❤
Kufanyaje 😀
Unyama🎉🎉
Bi Tunuu 😅😅we kiboko
Jamn love🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
😂😂😂😂😂inachekesha mwanzo mwisho inahuzunisha
😂😂bi Tunuuuu
shepu imeamia usonii😂😂.....nimeipenda iyoo❤😂😂
Nipo jana na leo 😂😂😂💥💕
Ni kila siku 😅
Nihatal jaman duuuh ety shepu
Nimesherewa❤❤
😂😂😂😂😂Nyiee mwatuuwa na kuchek na huy bb na cleopatra
Wawoooo 🎉🎉🎉🎉🎉
Inasikitisha sna story
Asante sana na wewe piya
😂😂😂😂😂😂 uyu Cleo sio mzima kabisaaa mtama tena jamani
Bi tunuuu kwr umenifurahisha 🤣🤣🤣
😊😊😊
❤❤❤❤❤❤
Jamani bi tumu kaniacha hoi
Nipo pia namie jamani uuuii
❤❤❤
Asate sana simlizi fupi
Nimejikuta nazimba mdomo kwa mikono yote miwili😂😂 juu kwa huy website wangu kama vile bibi ananisema mm😂😂😂😂
🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤
😂😂😂
Khaaa bi chausiku lami tena😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉
jaman nyie
❤❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉
😂😂😂🎉
Haa jamani wazizi hawana hashima Kwa watoto wao biblia Iina Sama enyi Akina baba msiwachokoze watoto wenu Bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana yesu. Tana dada hukimiwi hunapona Kwa maombi tu yesu hanawezi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🎉🎉
❤❤❤❤
Nimenda mwanzo hadi mwisho
❤
Huyu baba angefilia hapo juu yapanga boy hana maana yan wazee wengine bn haya ushagawanyia mkeo haya mkumbushanege doz Cleopatra ndoa njema halafu huyo bi tunu jamani kaa yani bs sumbua tariff lkn amekusaidia hadi ukaoleka hapo
😂😂😂