Wimbo mzuri Sana imebeba maneno mazuri mmejipa sawasawa Mungu awaongeze ujuzi wa kueneza injili ya Mungu Ahsante Sana Jennifer kurudi katika ubora wako
Amen 🙏 amen 🙏 ubalikiwe sana Jennifer , malikia wa waimbaji nakupenda sana nyimbo zako zina faliji sana yani mimi sito kusahau wewe ndie mwimbaji wa kwanza tanzania kila mwimbaje ana fuata wewe usi simamishe kalama yako endelea kumtumikia mungu yani na kupenda sana yani sana 🙏💕💯 I love you so much Jennifer You are my sister watching from America 🇺🇸
Imenikunbusha miaka 6 bila mtoto walikuwa nakuombea twakuombe kumbe wanafiki nilipojifungua walishindwa kunijulia a daughter mwenye afya mzuri mno nilijifungua wakasema jitoto libonge hatulipendi heri asingekuwa mwa jina wangu 😂😂😂😂 wacheni Mungu aitwe Mungu
Amen ubarikiwe sana Mama 🙏 ila mimi natamani tu Mama mngeachana na hayo mapambo siku ya mwisho kazi yenu isiwe bure kwa sababu tu ya mapambo ,nimesikiliz ushuhuda nyingi za watumishi wa Mungu wanasema wamewakuta wanawake wengi waliomtumikia Mungu vizuri kabisa wapo kuzimu wanateseka kwa sababu tu ya mapambo,natamani umuulize Mungu kuhusu hili siku ya mwisho usiende motoni kwa sababu tu ya mapambo. wanasema lisemwalo lipo na pia kitu kikisemwa na watu zaidi ya watatu kitu hicho ni kweli 🙏🙏
Mary mwapiya@ mi pia nilitaka kuwaambia hivi nikaona umesema tyr kwa kweli wanawake tuwache mapambo yatatupeleka jehanamu kazi yetu itakuwa ni bure juu hukumu itakuwa sawa na Ile ya makahaba itakuwa ni hasara kwa kweli😭😭😭😭 moyo unaniuma Sana nkifikiria juu ya hili.
Iwe kwa hila iwe kwa hujuma injili lazima ihubiriwe ndo maana Paul akasema anayaona yote km mavi, Sasa waspojoamba Nani atanunua cd na flash kiufupi NI biashara hakuna mwenda mbngun
Amen 🙏🏾 amen! Nikweli binadamu tu wanafiki Mungu atuhurumiye anatulinda badolishe Mungu wa mbinguni akuinuwe zaidi Mutu mishi naakutiye nguvu tele Amen 🙏🏾!!!
Mume wangu amefariki ghafla mwezi wa nne mwaka huu nilimtegemea kiuchumi. Video hii imenikumbusha nimeyopitia. MUNGU azidi kukuinua Mtumishi wa MUNGU 🙏🏾
walaka wa kwanza wa Petro 3:3,,,nayo inasema...kujipamba kwenu kusiwe kujipamba kwa nje,,yaani kusuka nywele na kujitia dhahabu na kuvalia mavazi...Roho mtakatifu awatie nguvu na kuwaongoza
Mh Jennifer hongera sn kwa kuinuka sijui sn ktk hili la kupendeza mnaotuambia mnafanya vzr kutuambia but Adam na hawa wapokosea bustanini turudi huko ndiyo uasilia hawakupewa nguo walipewa ngozi ya mnyama niwaulize kwann mnavaa nguo vueni ht hizo hatukupewa na Mungu tulipewa ngozi .mnavaa viatu kwann msiangalie tu Heleni za Jennifer nywele nguo huo ni unafiki.acheni kutuvuruga km mnaenda mbinguni mnarudia nn?kila mtu Ana roho wake anayeshuhudia pamoja na roho zetu ndani yako unajiremba ili nini Nia zao huwezi kuzileta iwe Nia ya kila muamini songa mbele Jennifer .siku roho akishuhudia utaacha km ulivyoacha dhambi hawakuwepo ah msitusumbue namungu wenu wa kuangalia mwili siyo roho tena
Mungu akubariki sana dada na kukutia nguvu,yeye hatakupungukia wala hatakuacha,NA HUU NDIO UJASIRI TULIO NAO KWAKE,SONGA MBELE
Amen AMEN,MUNGU WA MBINGU NA NCHI AENDEREE KUKUTUMIA SANA KUKUTUKUZA KWA JINA LAKE YESU
Amen kweli Mungu anatenda... alafu mama amenenepa si kama vile akitaka pombe yake wakati wa maombi....
Alikuwa msumbuvu sana
Vizuri Jenifer,bibi Esther na bukuku na wengine wamefanya pia vizuri.
From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nawe penda buree 😄😄 this is lesson.
Asante kwa massage kubwa hii
Kwanza Pole sana dada Jennifer kwa kumpoteza mwenzi wako na asante kwa wimbo mzuri Bahati mama Esther mko vizuri
Amefiwa lini mwaka gani sijasikia janani😭😭😭
Amen. Hongeleni Mzakazi wa Mwenyezi Mungu. Wimbo zako zna mafundisho sana tena sana.
Mama wimbo una ujumbe mahususi kabisa...kwa nyakati tulizonazo.....nimebarikiwa
Hongera sana Kwa kuirudia kazi Yako ya uimbaji🙏🙏
Napenda Sana mnavopendana na Bahati Bukuku, nawapenda Sana
Mungu akiruhusu jaribu.Ibilisi naye hujihuzurisha.cha msingi ni kumpuuza kwa haraka,na kutokufungua mlango kwa wakala wake. Amen
Wimbo mzuri Sana imebeba maneno mazuri mmejipa sawasawa Mungu awaongeze ujuzi wa kueneza injili ya Mungu Ahsante Sana Jennifer kurudi katika ubora wako
Barikiwa Sana madame Jennifer in short umeimba!!Nakupenda sana
Amen dada Jeniffer barikiwa sana wewe u wa baraka kwangu
Amen amen God bless you my mother 👩🙏❤🙌❤❤❤
Tunakupenda sana kuanzia kwa mavazi .from Australia unapendwa😍😍😍
You are agift to the kingdom 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Daah namwona apo malkia wa dunia wa gospel aka Dada bahati bukuku mm hip hop sana lakini nyimbo zake zote nko nazo.
Amen fanya kazi my dada Mungu akuinuwe zaidi 💥💥💥🙏
Wimbo mzuri mungu akubariki pia hongera kuvaa vizuri dada
Amen Bwana amenivusha Nga,mbo mshukuru Mungu pamoja nami
Bahati bukuku una maneno mzito🤣🤣
Ujembe konkiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Unafiki ndio unaoendelea makanisani MUNGU atusaidie
Waaaaooo nivizuri kushukuru,maana bwana amenivusha,gd song
Bibi esta kanenepa ivi?🤔🤣 nimefurahi sana kuwaona tena nyinyi wote mpaka leo mungali hayi my favorites love you from congo 🇨🇩🇨🇩
Ubalikiwe sana nyimbo nzuri sana inafaliji mungu akubaliki sana
Ameni dada yangu uwa unanibania Sana nyimbo zako zinaniponya Sana Mungu akutunze
Ameen mungu azidi kukupa pumzi dada yangu
Ahuja wai kosea kwa nyimbo zako maman 🙏🙏🙏
Emen and emen mama uzidi kuinuliwa
Mmhh kweli Mungu anawabadilisha watu huyo mama aliyevaa gauni la madoa meusi alikuwa amechoka ila saizi amenawili sana
Mabest kama best mnapendana sana Bahati Bukuku na Jenipher
Mungu pekee ndiye anayefanya maishani mwetu barikiwa samtumishi
Ujumbe mzuri kweli kabisa haka katabia kameshik kas
Haya ndy mambo yangu god bless u llove u jenifa
Amen 🙏 amen 🙏 ubalikiwe sana Jennifer , malikia wa waimbaji nakupenda sana nyimbo zako zina faliji sana yani mimi sito kusahau wewe ndie mwimbaji wa kwanza tanzania kila mwimbaje ana fuata wewe usi simamishe kalama yako endelea kumtumikia mungu yani na kupenda sana yani sana 🙏💕💯 I love you so much Jennifer You are my sister watching from America 🇺🇸
Ī
😂😂😂😂ila mama angu bahati amejua kunichekesha 😂😂😂
Ila wimbo umejaa ujumbe kweli kabsa
Yesu atusaidie zama hizi
Watu Kama hao no wengi mama songa mbele Kama mungu Alisha toa kibali hakuna wa kuzuia
Yan huyo Bibi anaesema pole ni jiran yangu anakaa kibaha mailimoj Yuko peace Hatar Ila anafurahisha😅😅😅
Amen 🙏🙏🙏 nyimbo zako ni za mafunzo mungu asidi kuinua huduma yako.
Kabisa ameen nakupenda sana daa wangu
Wimbo mzuri sana Mungu akubariki ❤🎉
Imenikunbusha miaka 6 bila mtoto walikuwa nakuombea twakuombe kumbe wanafiki nilipojifungua walishindwa kunijulia a daughter mwenye afya mzuri mno nilijifungua wakasema jitoto libonge hatulipendi heri asingekuwa mwa jina wangu 😂😂😂😂 wacheni Mungu aitwe Mungu
Amen ubarikiwe sana Mama 🙏 ila mimi natamani tu Mama mngeachana na hayo mapambo siku ya mwisho kazi yenu isiwe bure kwa sababu tu ya mapambo ,nimesikiliz ushuhuda nyingi za watumishi wa Mungu wanasema wamewakuta wanawake wengi waliomtumikia Mungu vizuri kabisa wapo kuzimu wanateseka kwa sababu tu ya mapambo,natamani umuulize Mungu kuhusu hili siku ya mwisho usiende motoni kwa sababu tu ya mapambo. wanasema lisemwalo lipo na pia kitu kikisemwa na watu zaidi ya watatu kitu hicho ni kweli 🙏🙏
Barikiwa sana, injili lazima ihubiriwe kwa namna yeyote
Amen kubwa natumai wangesoma hii comments waneelewa zaidi 😢
Mary mwapiya@ mi pia nilitaka kuwaambia hivi nikaona umesema tyr kwa kweli wanawake tuwache mapambo yatatupeleka jehanamu kazi yetu itakuwa ni bure juu hukumu itakuwa sawa na Ile ya makahaba itakuwa ni hasara kwa kweli😭😭😭😭 moyo unaniuma Sana nkifikiria juu ya hili.
Sikilizeni shuhuda za kweli za makatazo ya mapambo kwa (PROMOVER TV)
Iwe kwa hila iwe kwa hujuma injili lazima ihubiriwe ndo maana Paul akasema anayaona yote km mavi, Sasa waspojoamba Nani atanunua cd na flash kiufupi NI biashara hakuna mwenda mbngun
Mungu akubariki Kwa nyimbo zuri🙏🙏
Amen🙏 Bwana amenivusha.🤲 Zidi kubarikiwa . Tujifunze kufurahia mafanikio ya wengine
Hsanteni. Dadayangu. Ubarikie. Sanatunakupenda🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🇹🇿🇹🇿💋💋💋💋💋
Nakubali saana kazi za Jeniffe na wenzako wote
Mungu akuinue san
Mungu akutie nguvu san
Nime pendA wimbaji wak
Bonjour Madame cemoi Dédé kasongo bonne journée merci beaucoup pour votre Shanson
Nzur sana hii ila huyo mama ile teke la mama video 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bahati bukuku ana miezi hii 👌🏾hajaoga😅😅😅😅
I just love this woman,,her voice 🥰🥰🥰🥰👌 barikiwa sana mama,nakupenda 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Balikiasana mamudogo nagupendasana
Amen amen,,nami naamini kupitia huu wimbo ata nivusha kiwango kigne amen
Nyimbo zako zinanifariji sana
Mungu akutie nguvu dada naitwa debora
Amen 🙏🏾 amen! Nikweli binadamu tu wanafiki Mungu atuhurumiye anatulinda badolishe Mungu wa mbinguni akuinuwe zaidi Mutu mishi naakutiye nguvu tele Amen 🙏🏾!!!
#BibiKigaloni
Mume wangu amefariki ghafla mwezi wa nne mwaka huu nilimtegemea kiuchumi. Video hii imenikumbusha nimeyopitia. MUNGU azidi kukuinua Mtumishi wa MUNGU 🙏🏾
Polee
Mungu akuinue zaidi dada Jenifer Mgendi
Rip mume wa jenipher mgend mume wa ujana wake
bi Esther kanenepa
My lovely sister God bless you, nice song Bwana amenivusha ng'ambo Amina 🤲🙏❤
Nimebarikiwa sana .nimepata messeg pia.ubarikiwe mtumish
Paka wa muimbili bibi wewe😂😂😂😂😂🤣🤣
🤔🤔🤔🤔esta amenenepa
Nice message natural beauty ka baby face ❤ tangu utoto be blessed
Nice message natural beauty ka baby face ❤ tangu utoto be blessed
Asante sana mama yangu, nyimbo zako ni baraka kwangu, mungu aendeleye ku kubariki sana.
mungu awabariki kwamafundisho
Mama yangu wee huzeeki kwakuwa uko ndani ya yesu
Mubarikiwe🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
walaka wa kwanza wa Petro 3:3,,,nayo inasema...kujipamba kwenu kusiwe kujipamba kwa nje,,yaani kusuka nywele na kujitia dhahabu na kuvalia mavazi...Roho mtakatifu awatie nguvu na kuwaongoza
Amen my sister be blessed mumy
Ameen mungu mkubwa very nice
Ni wapi biblia inakemeya mapambo
Napendaga mishono yako🥰🥰
Mh Jennifer hongera sn kwa kuinuka sijui sn ktk hili la kupendeza mnaotuambia mnafanya vzr kutuambia but Adam na hawa wapokosea bustanini turudi huko ndiyo uasilia hawakupewa nguo walipewa ngozi ya mnyama niwaulize kwann mnavaa nguo vueni ht hizo hatukupewa na Mungu tulipewa ngozi .mnavaa viatu kwann msiangalie tu Heleni za Jennifer nywele nguo huo ni unafiki.acheni kutuvuruga km mnaenda mbinguni mnarudia nn?kila mtu Ana roho wake anayeshuhudia pamoja na roho zetu ndani yako unajiremba ili nini Nia zao huwezi kuzileta iwe Nia ya kila muamini songa mbele Jennifer .siku roho akishuhudia utaacha km ulivyoacha dhambi hawakuwepo ah msitusumbue namungu wenu wa kuangalia mwili siyo roho tena
Ameeeen hakika mungu ametenda very nice song big up from kenya i love the song be blessed
Beautiful Asante wadada
Bibi,esta☹️☹️😹😹😹😹😹😹😹nimeskia kucheka hongera dada ukojuu haswa
Wimbo mzuri. Ubarikiwe dada
Mngu akupe maishamalefu
Waoooo jenifaa mungu akutunze mtumishi wa mungu
Aleluya
Hayo ndio mambo ya wapendwa wanafiki kweli YESU KRISTO atusaidie
Bibi estar nskupenda
Asante mama umenibariki sana
Amen kweli mungu ndiye mvushaji wetu kwa kila jambo
Huyu bahati sauti yako kavu
Tunaomba movie ya huu wimbo please 🤣🤣🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ameren utukufu kwa Yesu
Amen amen! Safi sana. Na wataabishaji washindwe!
Ubalikiw kwa wimb mzuri
Iko sawa,nice Tena smart
jamn huyo mama kanenepa
Dada hongera xn . Mungu akupandishe viwango vya juu
Mama mkwe kanenepa 😍😃
Mungu aluminum ju jenifaa
Dieu vous bénisse richement napenda musique Yako saana
Mungu akubariki sanaaaaa my lovely mama
Bwana amenivusha nghambo
Wema niakiba pate tuu