Shida inakuja pale unapomwita mwenzako kafiri au kumuona hana ilmu kwa jambo la ikhtilafu.waislamu tabia hii itatupeleka pabaya. Sisi sote ni ndugu tupendane na tuheshimiane.
Wakiwa huko lazima wafuate mwezi wa huko shekh mbn hlo lipo wazi maana hata wa saudia wenyewe walio nje na saudia wanafuata kuonekana kwa mwez wa eneo hlo walipo upotoshshaji nikuwalazimisha watu wote wafuate mwandamo wa makkah hapo ndo penye shida na upotoshaji
Sheikh sisi wengine hatukusoma ila tunajua kwamba unapotoka sehemu moja kwenda sehemu nyengine ni lazima ubadilike sasa usilete vijembe kama sio msomi vile
Mzee ww hujaji umenda makkah fuata makkah na wengine tutafuata muandamo wa nwezi pale tupo kama Africa na mashekhe wakubwa wakiwahabi pia wao wasema hivo kila mtu afuate pale upo kwa sababu masaa tuko sawa ila kuna sehemu saa tisa na nusu usikukwa pambazuka mapema kwengine saa kumi na moja unusu kwengine kumi na mbili sasa matlai hayako sawa mungu awapeleke salama insha Allah murudi salama
Ulimwengu mzima tunatofautiana masaa tu lkn siku ni moja halafu kama kuna uwezekano wa kuungana pamoja kiibada kwanini wew ugande kwenye mazoea yako?dunia iko waz mno kwasasa kilakitu kinaonekana unapataje ugumu wa kukubali tarehe ya saudi ambayo ndoinatumika ktk hii ibada tukufu? Ni mda sasa waislam tuungane tuache maubishi
@kichanganionlinetv8023 Sio masaa tu inakuwa mpaka siku, kama New Zealand , Australia na nchi nyengine za East, siku inaanza mwanzo masaa kabla suudia , ikiwa suudia saa 12 jioni jumamosi kule kunakuwa saa 2 asubuhi jumapili , na wa west wao wanakuwa nyuma, sasa vipi kote kutakuwa sawa ??? Sasa siku ya Arafa wao waianze mwanzo kabla ya suudia ????
@@kichanganionlinetv8023kila watu wafuate muandamo wake kama ilivyothubutu.hakuna aya au hadithi inayosema fuateni muandamo wa makkah .acheni kupotosha ummah
Sasa wew ambaye masaa yako na siku inalingana na saudia ugumu gani unapata kuungana na waislm wenzako shida enu kwasababu ya chuki tu mnaamua kila atakayefanya huyo Answar lazima nyie mtofautiane naye mwisho wa siku mnapotoka jumla yanapokuja mambo na ibada muhimu kama hizi mnajiamulia kukwepesha ukweli
Shida yiko wapi na ikhtilaf yiko kila afuate ni kile anaona ni sawa, bila ku kufriashana au kutupiana maneno chafu atakaie kufuata saudia afuate atakaie afrika mashiriki afuate
Akuna arafa ya afrika mashariki na akuna arafa 2 arafa ni moja tu siku yajumamosi kama unavyomsikia mzungumzaji mtume amesema funga yasiku ya arafa sio funga baada baada ya arafa
Sioubishi watuwanasiasa na wanataasub na mashekhezao na sikuimenasibiswa na Arafat na sikuhio Sisi tuliokuwa hayupo ktk viwanja hivyo Sisi tunatakiwa kuwaungamkono kwa kufungasikuhio na Allah nimjuzi zaid
Si hoja za kielimu Ni hoja za kishabiki Huyu anafanya ulaghai Ili kuwapumbaza wafuasi wao Kuhusu Arafah mwezi 9 Hilo halina ikhtilafu Ikhtilafu iliyopo kuna wanaosema Popote ulipo unatakiwa ufuate mwezi 9 ya Saudia Na wengine wanasema Unatakiwa kufuata mwezi 9 ya mji uliopo Wakati huo.
Ikiwa dini ilikamilishwa na mtume Muhammad Sallallahu Allayh wasalaam,tena haya ya maulidi kayaleta nani???.na ukaidi na ulazima unaotengeneza chuki kwa waislamu???.
@@fadhilimusa9732 Ikiwa dini ilikamilishwa na mtume Muhammad Sallallahu Allayh wasalaam,tena haya ya maulidi kayaleta nani???.na ukaidi na ulazima unaotengeneza chuki kwa waislamu???.
Al Maida 3(Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu.)
Ebu jiuliz kwa nn shekh katahadharisha kakataza tawasuli za kitwarika mukiwa pale viwanjani arafat ? Kwani allah hapokei maombi ya tawasuli za jaha ya watu wakiwa hapo arafat? N a apokee tawasuli hizo za jah ya fulani akiwa nje ya viwanja arafat? JAWABU ALLAH HAKATAI KUOBWA CHOCHOTE KTK VIWANJA VYA ARAFAT ILA DUWA ZA TAWASULI KWA JAHA ZA WATU SI DUA NI USHIKINA SASA MPKA KTK VIWAJNA VYA ARAFA KWELI UKATAWASALI KWA JAHA ZA VIUMBE WAKTI MAJINA 99 YA ALLAH YAPO ... JEE HAYAKUTOSHI ? Hii itakuwa ni hasara kubwa kwa mtu kwenda hijja akakosa kusamehewa na badala yake akfanya shirki
Kwa nyinyi muliopo huko Hija ni lazima na sio khiari kufuata mwandamo wa hapo mulipo.
Shekh mbona hakuna apingae akiwa hapo suudia lazima ufuwate taratibu zahuko ugomvi nikulazimisha watu popote walipo wafuate suudia hapo ndo vurumai shekh twaha kipanzi changu
Huko wanatumia kalenda sio Sunnah katika kuangalia mwezi.
C kweli suala hilo wao wanangalia kalenda kakwambia nan wakati wao wanakalenda moja tu ya kiislam cyo km nyinyi
Bane ni muhabi tunamjua huyo
Bac cku ukienda ww hijja ucfate maelekezo halafu utaona mpumbavu wahid
Shida inakuja pale unapomwita mwenzako kafiri au kumuona hana ilmu kwa jambo la ikhtilafu.waislamu tabia hii itatupeleka pabaya. Sisi sote ni ndugu tupendane na tuheshimiane.
Cio cc,Allah Mwenyewe ndio Alioita hvyo,lkn cio lugha nzur kumwta hvy,bal Tunapaswa kulngania hak Waijue na waifuate,islam
SHUKRAN MKUU TUKO PWMOJQ
Shehe ina maana umetoka kwenu Tanzania na jazi yako ili kuendeleza ushindani uwanja wa ugenini?
Wasoma maulid ndiyo shida na wana Arafa yao wakati mashekh zao wakifika huko tarehi zao wanaziacha kwnye makoti
Wakiwa huko lazima wafuate mwezi wa huko shekh mbn hlo lipo wazi maana hata wa saudia wenyewe walio nje na saudia wanafuata kuonekana kwa mwez wa eneo hlo walipo upotoshshaji nikuwalazimisha watu wote wafuate mwandamo wa makkah hapo ndo penye shida na upotoshaji
Jambo lahijja nilahija halis7mbui linajulikana shida nikupendekeza vitu vya huku tuliko twaiyelewa talehe 9huko maka fanyeni invyotakikana makka
Sheikh sisi wengine hatukusoma ila tunajua kwamba unapotoka sehemu moja kwenda sehemu nyengine ni lazima ubadilike sasa usilete vijembe kama sio msomi vile
Anawaambia mahujaji wenzake na sio wewe
Je kwa wale wamepishana kama masaa kumi kuna siku wataipata arafa kweli?
Saa ingine muangalie poiti zenu twapenda mashehe zetu
Mzee ww hujaji umenda makkah fuata makkah na wengine tutafuata muandamo wa nwezi pale tupo kama Africa na mashekhe wakubwa wakiwahabi pia wao wasema hivo kila mtu afuate pale upo kwa sababu masaa tuko sawa ila kuna sehemu saa tisa na nusu usikukwa pambazuka mapema kwengine saa kumi na moja unusu kwengine kumi na mbili sasa matlai hayako sawa mungu awapeleke salama insha Allah murudi salama
Nafikili maneno anayosema ni kwajili ya mahujaji wenzake na sio sisi
Ulimwengu mzima tunatofautiana masaa tu lkn siku ni moja halafu kama kuna uwezekano wa kuungana pamoja kiibada kwanini wew ugande kwenye mazoea yako?dunia iko waz mno kwasasa kilakitu kinaonekana unapataje ugumu wa kukubali tarehe ya saudi ambayo ndoinatumika ktk hii ibada tukufu? Ni mda sasa waislam tuungane tuache maubishi
@kichanganionlinetv8023 Sio masaa tu inakuwa mpaka siku, kama New Zealand , Australia na nchi nyengine za East, siku inaanza mwanzo masaa kabla suudia , ikiwa suudia saa 12 jioni jumamosi kule kunakuwa saa 2 asubuhi jumapili , na wa west wao wanakuwa nyuma, sasa vipi kote kutakuwa sawa ??? Sasa siku ya Arafa wao waianze mwanzo kabla ya suudia ????
@@kichanganionlinetv8023kila watu wafuate muandamo wake kama ilivyothubutu.hakuna aya au hadithi inayosema fuateni muandamo wa makkah .acheni kupotosha ummah
Sasa wew ambaye masaa yako na siku inalingana na saudia ugumu gani unapata kuungana na waislm wenzako shida enu kwasababu ya chuki tu mnaamua kila atakayefanya huyo Answar lazima nyie mtofautiane naye mwisho wa siku mnapotoka jumla yanapokuja mambo na ibada muhimu kama hizi mnajiamulia kukwepesha ukweli
Tuambie na marekani ua kanada nivipi inakuwaje?
Huyo Bane anazungumzia huko waliko na sio walio nje ya huko waliko. Sisi tulioko huku kwetu Zanzibar tutafunga Arafa kwa mujibu wa mwandamo wetu Mzee.
We hamada zuberi mche allah arafa ni cku 1 tu ikikupita imekupita
Shekh yupo sawa kabisa kuhusu mwezi kwani shida iko wapi
Shida yiko wapi na ikhtilaf yiko kila afuate ni kile anaona ni sawa, bila ku kufriashana au kutupiana maneno chafu atakaie kufuata saudia afuate atakaie afrika mashiriki afuate
Akuna arafa ya afrika mashariki na akuna arafa 2 arafa ni moja tu siku yajumamosi kama unavyomsikia mzungumzaji mtume amesema funga yasiku ya arafa sio funga baada baada ya arafa
mashallah shekh allah akufanyie wepesi kwenye mambo yako
Sioubishi watuwanasiasa na wanataasub na mashekhezao na sikuimenasibiswa na Arafat na sikuhio Sisi tuliokuwa hayupo ktk viwanja hivyo Sisi tunatakiwa kuwaungamkono kwa kufungasikuhio na Allah nimjuzi zaid
Asante sheikh kwa kuweka wazi mambo!!
Si hoja za kielimu
Ni hoja za kishabiki
Huyu anafanya ulaghai
Ili kuwapumbaza wafuasi wao
Kuhusu Arafah mwezi 9
Hilo halina ikhtilafu
Ikhtilafu iliyopo kuna wanaosema
Popote ulipo unatakiwa ufuate mwezi 9 ya Saudia
Na wengine wanasema
Unatakiwa kufuata mwezi 9 ya mji uliopo
Wakati huo.
Shkh kasema kweli 9 tisa ya pale maca siyo jangwani na twiga si ya chumbani kwako wa zee wa maulidi mupo? Acheni ujinga
Kwa hio tuna arafa wetu?
MashaAllah shekhe Allah Awajalien kher Mlpo,Na cc InshaAllah Tupo njian Allah Atupe uhai na uzma na Atujalie risk za Halal tupate kufka Makka🙏
Acheni mizozo angalieni yaliyowapeleka huko ubishi uwacheni huku kweno Africa
Kwanini Sheikh uruhusi tawassul za viumbe sehemu moja na hapo ukataze? Ebu tupe ukweli
Mpaka hapo tushaelewa kuwa tawasuli kwa jaha za watu si sahihi na Ndo maana shehe amezikataza kwa kifichoficho hakutaka kuwa muwazi
Shukran sana Mwenye akili iliyo na akili amewaelewa vizuri
Ma Sha Allah, Allah akulipe kheri SAIMU GWAO kwa kutupasha yanaendelea katika hijja
ALLAH awafanyie wepesi ktk ibada hii na aikubali.
Si useme tuu kuwa twasuli za kishirki wasitumie
Maasha ALLAH
Masha Allah
Takkabbalhahu
Ikiwa dini ilikamilishwa na mtume Muhammad Sallallahu Allayh wasalaam,tena haya ya maulidi kayaleta nani???.na ukaidi na ulazima unaotengeneza chuki kwa waislamu???.
Kayaleta babaako
@@fadhilimusa9732 Ikiwa dini ilikamilishwa na mtume Muhammad Sallallahu Allayh wasalaam,tena haya ya maulidi kayaleta nani???.na ukaidi na ulazima unaotengeneza chuki kwa waislamu???.
Al Maida 3(Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu.)
Maulidi ni mazazi ya mtume.unayakataa inamana hakuzaliwa?
@@fadhilimusa9732 kwa hili Sitokusamehe namuachia Allah kwa kumkashifu mzee wangu,mpaka uniombe radhi mimi na mzee wangu.
Ebu jiuliz kwa nn shekh katahadharisha kakataza tawasuli za kitwarika mukiwa pale viwanjani arafat ?
Kwani allah hapokei maombi ya tawasuli za jaha ya watu wakiwa hapo arafat?
N a apokee tawasuli hizo za jah ya fulani akiwa nje ya viwanja arafat?
JAWABU ALLAH HAKATAI KUOBWA CHOCHOTE KTK VIWANJA VYA ARAFAT
ILA DUWA ZA TAWASULI KWA JAHA ZA WATU SI DUA NI USHIKINA
SASA MPKA KTK VIWAJNA VYA ARAFA KWELI UKATAWASALI KWA JAHA ZA VIUMBE WAKTI MAJINA 99 YA ALLAH YAPO ... JEE HAYAKUTOSHI ?
Hii itakuwa ni hasara kubwa kwa mtu kwenda hijja akakosa kusamehewa na badala yake akfanya shirki