@Mrs Inziani sikatai na unacho kuamini, ila majini wazuri wapo ukiamua kujifunza utaelewa, wanamuabudu mungu kama vile sisi binadamu wapo kila mathehebu wapo waskisto wapo waisilamu... wapo walevi, wazizi, wezi, waganga wa hospital wajadi, yaani kama vile binadamu nawao watawala zao. Tafuta maarifa kwa wenye maarifa utaelewa tuu
Unajua huwa nacheka vipi??? Mtu anakwambia vitendo vya kishetani.... vitendo vya kiucha MUNGU... kwahiyo kama hakuna shetani mwenyewe hivyo vitendo vya kishetani vinatoka wapi???? Haya tuseme na vitendo vya kiucha MUNGU.... MUNGU pia ni sifa.... hata mtu anaweza... kuwa MUNGU???? Watu tumekwama wapi????
Inasikitisha Leo mtu anawezakujua kwamba anamjua MUNGU lakini ufahamu ukawa potofu au uzembe wa kujifunza. Hiyo siku maajabu tutayaona kweli ila MUNGU atusamehe.
Allah kasema wamakhalaktul jin wal ins ila liyaabudun. Tafsiri ni kua nimeimba Majini na Watu ili wapate waniabidu. So Majini wamegawika wema na wabaya. Na watu pia wema na wabaya. ukiwa na vitendo vibaya vya utakua shetwani jini wa kishetani wapo na mashetani watu wapo
Salute sana Mr captain...nakubaliii sana story za Hawa viumbe...pole sana kwa mkasa huo.all the way from kush land 👍
Utaponaaa inshaaalaaaaaaaaaah
Safi sna shaby ufike na pemba mastory kama yote nyumbani
Hatarii
Tunapenda story nzuri nzuri kupitia kwenu Davista 👏👏👏😀
😀😀🤝🤝
Salute kaka golden boy 🇰🇪 🇰🇪 dada
Nikweli kabisa mwenyezi mungu ameumba binadamu na majini bali kiumbe akiasi ndio anaitwa shetani
@Mrs Inziani sikatai na unacho kuamini, ila majini wazuri wapo ukiamua kujifunza utaelewa, wanamuabudu mungu kama vile sisi binadamu wapo kila mathehebu wapo waskisto wapo waisilamu... wapo walevi, wazizi, wezi, waganga wa hospital wajadi, yaani kama vile binadamu nawao watawala zao. Tafuta maarifa kwa wenye maarifa utaelewa tuu
Hapana. Sio kwel
Pole kaka tumia msipo na maji ya madafu Allah atakupa nafuu inshaallah
💃🏼
Pole sana kk allah atakulinda
Pamoja Sana Mr Sheby Alaw
sana
Twende Kazi...
pole bro wngu Allah akufanyie wepes🙏🙏🇪🇭🇪🇭
Aysha
@@fundiali4535 Naam wngu
@@fundiali4535 Za maxku?????
Ngoja tusikie kwanza 👂
Kwenye AT hapo mzee baba umeachwa nazan bado ujamjuwa kama ni yule wa mama nitilie au ni yup naona umekubali yaishe tu 😂😂
Pamoja sana bro
Ndio hom?
Number 3
Story ya Moto kweli yaani duu!
@@zachariafilberty2209 kwali
Mungu aku saidiye 🙏
🤔🤔🤔🤔🤔
Sawa
Naipenda sana Zanzibar
Zanzibar mashetani ndo yalipo zaliwa r na hapo yapo tele
😳🙄
N5 bora pamoja saana sheby 💪
Tumevuka maji sasa💪💪💪💪
🙇🙇🙇
🤗🤗
Naona tangazo la DSTV hapo
Huko zanz c ndio wamejaa Majini hatar
Majini wapo kila sehemu, hasa jirani na maji/bahari
Shida ya cc binadam tunapenda kuongelea vitu tusivyovifaham.....majini wapo kila sehem
NAIJUA KESHO
USHIRIKINA UMETAWALA MPAKA WATU HAWAOGOPI TENA KUSEMA 'WANAIJUA KESHO'
Kiushauli umtakiwa kuwaoji watu ambao wanajua kuongelea story vizur
Watu wana maumbile tofauti tunajifunza pia kuwaelewa watu wasiojua kujielezea vizuri pia.
Unajua huwa nacheka vipi??? Mtu anakwambia vitendo vya kishetani.... vitendo vya kiucha MUNGU... kwahiyo kama hakuna shetani mwenyewe hivyo vitendo vya kishetani vinatoka wapi???? Haya tuseme na vitendo vya kiucha MUNGU.... MUNGU pia ni sifa.... hata mtu anaweza... kuwa MUNGU???? Watu tumekwama wapi????
Inasikitisha Leo mtu anawezakujua kwamba anamjua MUNGU lakini ufahamu ukawa potofu au uzembe wa kujifunza. Hiyo siku maajabu tutayaona kweli ila MUNGU atusamehe.
@@oscarkibate1913 mie nilisha sema nikachoka eti hakuna shetani..ni sifa....
Allah kasema wamakhalaktul jin wal ins ila liyaabudun. Tafsiri ni kua nimeimba Majini na Watu ili wapate waniabidu. So Majini wamegawika wema na wabaya. Na watu pia wema na wabaya. ukiwa na vitendo vibaya vya utakua shetwani jini wa kishetani wapo na mashetani watu wapo
Hakuna Shwaitan? 🤣🤣🤣🤣