KIDONO: DAWA YA KUZUIA RISASI/MASHARTI MAZITO/MGANGA ASIMULIA/INATISHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 44

  • @AlembeModeste
    @AlembeModeste 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nipo Congo 🇨🇩 jamaha anasema kweli kbs

  • @hishamally4846
    @hishamally4846 3 ปีที่แล้ว

    We mzee wacha chai

  • @adamally6
    @adamally6 2 ปีที่แล้ว

    kachukue kidono hlf uje hpa tukushughulikie

    • @jumaissa90
      @jumaissa90 ปีที่แล้ว +1

      unaongea tu hivi unadhani ule mzuka ukipanda kuna mtu atakaa eneo la tukio, haha haha hiyo kitu sio poaaa

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 ปีที่แล้ว +1

    Uongo tu hamna lolote

    • @simonjustin5921
      @simonjustin5921 3 ปีที่แล้ว +1

      Nenda kigoma ndgu yangu hawa watu hawafai kabsa,ata km kwa hii ni uongo lkn hawa jamaa ni hawafai,me nlijionea mambo mengi ya tofaut na ya ajabu.lkn kwa huyu jamaa ni km anasimulia tyu ili kujuza watu kuwa haya mambo yapo lkn yeye km yeye czan km anaweza hayo mambo,yan ni km kavaa Uhusika tyu

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 3 ปีที่แล้ว

      @@simonjustin5921 oh kweli ndugu yangu? Mbona kila siku majambazi wanakufa kwa kupigwa risasi mbona hawaendi uko hahaha

    • @andersonsadock1573
      @andersonsadock1573 3 ปีที่แล้ว

      Hio kwel kabisa

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 2 ปีที่แล้ว

      HuongoJameni.

  • @starlily07
    @starlily07 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa watu wa kigoma tunamuelewa sana huyu jamaa, mambo ya vidono yapo kigoma, ni kweli kabisa mi nakumbuka tulipo kuwa tunasoma shule ya msingi kigoma kuna Watu walikuwa wanachanjwa vidono akichapwa na mwalimu wala hajigusi anapopigwa yani anasimama mwalimu anachapa fimbo zake hadi anamaliza 😂😂 na tulikuwa tunawajua kabisa wanafunzi waliokuwa na vidono, da nimekumbuka mbali sana😂😂

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 24 วันที่ผ่านมา

    Labda hiyo bastola nisiwe nimeishika mimi 😂😂😂

  • @ErnestKosima
    @ErnestKosima 3 หลายเดือนก่อน

    Mushikaji inaonekana yukonacho hayo yte nisahihi

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 24 วันที่ผ่านมา

    So Kisamvu kinaua nguvu za uchawi?

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 ปีที่แล้ว +1

    Ungemjaribu kumtwanga jiwe la komo ingekuwaje ili tuwsmini

  • @domykimata5768
    @domykimata5768 ปีที่แล้ว +1

    Kwahiyo ata Mtoa roho akija awezi kufanikiwa kuitoa roho yako sababu unacho kidono 😂

  • @chrispinkakwaya6216
    @chrispinkakwaya6216 ปีที่แล้ว

    Kuna jambazi furani alikuwa sumbawanga miaka ya 2007 alikuwa anaitwa Sei Sei huyo jamaa alikuwa ni hatari nahis alikuwa anatumia hizo dawa alikuwa anakamatwa anapigwa unasema amekufa baada ya siku 3 anarudi Mtaani polisi nimewai shughudia Kwa macho yangu polis wanakimbia jamaa Yuko Pekeyake

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 3 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo nikweli kabisa ipo

  • @kennedyodera7555
    @kennedyodera7555 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nataka kidono nko kenya ntai pata vipi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว

    Mbona bunduki Akua???, 🇹🇿🇬🇷

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 ปีที่แล้ว

    we danganywa tu haipo hiyo ss wauko uko

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 ปีที่แล้ว

    Mbna wewe mtangazaji namba zao mbona hutangazi

  • @shahaduhamis9040
    @shahaduhamis9040 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kbs

  • @abdulkadirhaji1098
    @abdulkadirhaji1098 10 หลายเดือนก่อน

    UNGEMJARIBU NA PANGA

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 3 ปีที่แล้ว

    Brother tuletee story za mabaria bwna ani

  • @jumongjr5837
    @jumongjr5837 3 ปีที่แล้ว +2

    1st #Comment 🖐

  • @boazyephrahim8991
    @boazyephrahim8991 3 ปีที่แล้ว +1

    kwel kbs

  • @malonemalone1067
    @malonemalone1067 3 ปีที่แล้ว +2

    Hee bwana nataka kidono 😂💪🏿

    • @bahatywasofia4155
      @bahatywasofia4155 3 ปีที่แล้ว

      Nenda kigoma uvinza mlela kazuramimba uvinza wapo wengi wana juwa hizo ngoma

    • @mariamwakabuta1034
      @mariamwakabuta1034 2 ปีที่แล้ว

      @@bahatywasofia4155 mambo dear hapo ulipo elekeza ni kigoma mjini?

    • @fatumaaugustine4441
      @fatumaaugustine4441 2 ปีที่แล้ว

      @@bahatywasofia4155 namba dear

  • @GhettinhoGhet
    @GhettinhoGhet 7 หลายเดือนก่อน

    Abuu

  • @WekoWeko-v6v
    @WekoWeko-v6v 8 หลายเดือนก่อน

    Nataka kidono

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 11 หลายเดือนก่อน

    Toa nambazake

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 ปีที่แล้ว

    kidono ipo kweli kigoma

  • @antidiusegbert5562
    @antidiusegbert5562 ปีที่แล้ว

    Toa ujinga hapa 😅

  • @nkulikandusi5282
    @nkulikandusi5282 2 ปีที่แล้ว

    Ipo kigoma hiyo

  • @husenirashidi9757
    @husenirashidi9757 2 ปีที่แล้ว +1

    Nataka kidono

  • @mauwa4394
    @mauwa4394 ปีที่แล้ว

    2 no

  • @SalumuSalehe-om8zh
    @SalumuSalehe-om8zh 4 หลายเดือนก่อน

    Kigoma ipo kweli

  • @morrisonvictor4704
    @morrisonvictor4704 2 ปีที่แล้ว

    Vipi mtu akipata ajali ya gari, bodaboda anadhurika?