Nenda kigoma ndgu yangu hawa watu hawafai kabsa,ata km kwa hii ni uongo lkn hawa jamaa ni hawafai,me nlijionea mambo mengi ya tofaut na ya ajabu.lkn kwa huyu jamaa ni km anasimulia tyu ili kujuza watu kuwa haya mambo yapo lkn yeye km yeye czan km anaweza hayo mambo,yan ni km kavaa Uhusika tyu
Kwa watu wa kigoma tunamuelewa sana huyu jamaa, mambo ya vidono yapo kigoma, ni kweli kabisa mi nakumbuka tulipo kuwa tunasoma shule ya msingi kigoma kuna Watu walikuwa wanachanjwa vidono akichapwa na mwalimu wala hajigusi anapopigwa yani anasimama mwalimu anachapa fimbo zake hadi anamaliza 😂😂 na tulikuwa tunawajua kabisa wanafunzi waliokuwa na vidono, da nimekumbuka mbali sana😂😂
Kuna jambazi furani alikuwa sumbawanga miaka ya 2007 alikuwa anaitwa Sei Sei huyo jamaa alikuwa ni hatari nahis alikuwa anatumia hizo dawa alikuwa anakamatwa anapigwa unasema amekufa baada ya siku 3 anarudi Mtaani polisi nimewai shughudia Kwa macho yangu polis wanakimbia jamaa Yuko Pekeyake
Nipo Congo 🇨🇩 jamaha anasema kweli kbs
We mzee wacha chai
kachukue kidono hlf uje hpa tukushughulikie
unaongea tu hivi unadhani ule mzuka ukipanda kuna mtu atakaa eneo la tukio, haha haha hiyo kitu sio poaaa
Uongo tu hamna lolote
Nenda kigoma ndgu yangu hawa watu hawafai kabsa,ata km kwa hii ni uongo lkn hawa jamaa ni hawafai,me nlijionea mambo mengi ya tofaut na ya ajabu.lkn kwa huyu jamaa ni km anasimulia tyu ili kujuza watu kuwa haya mambo yapo lkn yeye km yeye czan km anaweza hayo mambo,yan ni km kavaa Uhusika tyu
@@simonjustin5921 oh kweli ndugu yangu? Mbona kila siku majambazi wanakufa kwa kupigwa risasi mbona hawaendi uko hahaha
Hio kwel kabisa
HuongoJameni.
Kwa watu wa kigoma tunamuelewa sana huyu jamaa, mambo ya vidono yapo kigoma, ni kweli kabisa mi nakumbuka tulipo kuwa tunasoma shule ya msingi kigoma kuna Watu walikuwa wanachanjwa vidono akichapwa na mwalimu wala hajigusi anapopigwa yani anasimama mwalimu anachapa fimbo zake hadi anamaliza 😂😂 na tulikuwa tunawajua kabisa wanafunzi waliokuwa na vidono, da nimekumbuka mbali sana😂😂
Labda hiyo bastola nisiwe nimeishika mimi 😂😂😂
Mushikaji inaonekana yukonacho hayo yte nisahihi
So Kisamvu kinaua nguvu za uchawi?
Ungemjaribu kumtwanga jiwe la komo ingekuwaje ili tuwsmini
Kwahiyo ata Mtoa roho akija awezi kufanikiwa kuitoa roho yako sababu unacho kidono 😂
😂😂😂
Kuna jambazi furani alikuwa sumbawanga miaka ya 2007 alikuwa anaitwa Sei Sei huyo jamaa alikuwa ni hatari nahis alikuwa anatumia hizo dawa alikuwa anakamatwa anapigwa unasema amekufa baada ya siku 3 anarudi Mtaani polisi nimewai shughudia Kwa macho yangu polis wanakimbia jamaa Yuko Pekeyake
Hiyo nikweli kabisa ipo
Mimi nataka kidono nko kenya ntai pata vipi
nitafute
Mbona bunduki Akua???, 🇹🇿🇬🇷
we danganywa tu haipo hiyo ss wauko uko
Mbna wewe mtangazaji namba zao mbona hutangazi
Kweli kbs
UNGEMJARIBU NA PANGA
Brother tuletee story za mabaria bwna ani
1st #Comment 🖐
Huoni ni uchawi ni
kwel kbs
Hee bwana nataka kidono 😂💪🏿
Nenda kigoma uvinza mlela kazuramimba uvinza wapo wengi wana juwa hizo ngoma
@@bahatywasofia4155 mambo dear hapo ulipo elekeza ni kigoma mjini?
@@bahatywasofia4155 namba dear
Abuu
Nataka kidono
Toa nambazake
kidono ipo kweli kigoma
Toa ujinga hapa 😅
Ipo kigoma hiyo
Nataka kidono
ninacho
2 no
Kigoma ipo kweli
Vipi mtu akipata ajali ya gari, bodaboda anadhurika?