Hiyo ni solar power buckup system sio hybrid system,ilo neno hybrid sio jina la inverter ni neno linatumika technically kumjulisha mtumiaji kwamba hiyo inverter inaweza kufunction kupitia sources mbeli mbali za power mfano solar panels,umeme wa grid generator n.k sasa wewe hapo hiyo system chanzo chake cha umeme ni solar panels tu hujaconnect na umeme wa grid ndiyo maana imeondoa hilo neno hybrid japo inverter inao huo uwezo🚶🏻
Mmmh hiyo sio hybrid system (kama tu solar ndio zinatumika kuzalisha umeme hapo). hybrid system inatumia mifumo mingi ya umeme mfano (umeme wa tanesco, upepo au generator) ambayo itaunganishwa pamoja na solar , hii kumaanisha kwamba mfumo wa solar ndio kipaumbele na mifumo ningine inakuja kujazilizia pale ambapo solar itakapo kuwa Inafanya kazi kwenye performance ndogo. Huo mfumo ni off grid stand alone solar system ( yaan mfumo wa solar usio tegemea umeme mwingine kama wa tanesco). Kuwepo kwa inverter hauufanyi huo mfumo kuwa hybrid. Kazi ya inverter ni kubadilisha umeme mnyoofu DC current kutoka kwenye solar na kuwa Alternative current AC ili uweze kutumika na vifaa vingine vinavyo tumia umeme kama wa tanesco.
Ni kwelii solar ni solar tuu no matter ukubwaa wake. Yeye anaita hybrid ila ni solar fundi anatudanganya. Solar inapokuwa kubwaa haina haja ya kufunga vitu vya kutumia solar. Mchawi inverter hata kwenye solar ndogo vi inverter vipo. Ila fundi anatudanganyaa
Amesema Umeme wa tanesco upo na ndio umeunganishwa na jiko la umeme kwa sababu linakula sana umeme. Kwa hiyo kama umeme wa tanesco pia upo basi inahaki ya kuitwa Hybrid system ikimaanisha vyanzo vya umeme ni viwili, umeme wa tanesco na umeme wa solar.
Bro snash sola kali hi brid maisha yamekuwa raisi sana kama sisi hapa nyumbani tuna kisima cha maji kwa siku inatumia uniti 30 kwa ajili ya kunyeshea bustani garden bro hiyo tutaitafuta tutakuwa tunasevu 12000 kila siku itakuwa poa sana bro snash juzi ulnipa like kwenye marcedis benzi v 12 shukrani bro snash nakuomba hutufanyie revew ya smart toilet 2023 kwa luga azimu ya kiswahili big up snash
Mwaka 2002 nikiwa Bording Wakati huo shule yetu ilikua inatumia umeme wa tanesco lkn pia ulikua unachumba maalumu cha mitambo ya umeme, ndani yake kulikua na inverter with battery na umeme ulikua ukitok kw tanesco inverter inacharge battery kisha umeme ukikatik inverter inatupa umeme direct kutok kw battery na tulikua tunatumia kila kitu those days hata smartphone hakuna ni mwendo wa Motorola tu na Siemens 😅😅😅
Fundi napata shida kidogo , maelezo yako nafikiri hayajatosheleza (1) Solar panel zinachaji bettri kwa sababu umeme wa betri ni DC , kupitia kwenye chaji controler (2) invetor inabadilisha umeme wa bettry ulio katika mfumo wa DC (Direct current) kuwa AC (alternating current). ili uweze kutumika kwenye vifaa vya nyumbani kama vile ulivyo umeme wa TANASECO..unapoongelea Hybrid una maana kwamba mteja wako anaweza kutumia mifumo yote miwili kwa wakati (YAANI SOLAR uliobadilishwa kuwa AC) na umeme wa Tanesco,kulingana na matumizi yake
Ina maana katika vitu vya majumbani kinacho kula umeme zaidi ndio jiko au naomba kujua mfano Nika tumia jiko la umeme kwa dakika 45 nta tumia unit ngapi
Hybrid inverter ni aina ya inverter ambayo unaweza kutumia source tofauti za umeme, mfano unaweza kutumia solar, national grid “tanesco” au generator! Inverter ikipata source ya umeme kutoka kwenye jua, yaani solar panels umeme unakuwa AC then inverter inaubadilisha na kuwa DC.
Mbona hamzungumzii gharama za huo mfumo? Kuanzia kununua vifaa mpk gharama za installation yake? Halafu siyo hybrid kwakuwa unategemea chanzo kimoja cha umeme ambacho ni solar!
Tatizo mpak sasa hivi bado hakuna kampuni ambayo imejizatiti kwenye biashara hii ya sollar, Project nyingi za sollar zinafanyika lakini baada ya muda unakuta hazitumiki, maintainance yake inakuwa shida sana, mimi ni shahidi # 01. Utakuta mtu anatumia sollar lakini baada ya muda unakuta amerudi kwenye umeme. Kama kuna watu mnafanya biashara ya sollar weka hapa mawasiliano yako then nitakutafuta kukupatia changamoto ambazo wateja wanakutana/tunakutana nazo
HAPO NI HYBRID ELECTRIC SYSTEM KWA VILE KUNA MFUMO WA TANESCO NA MFUMO WA SOLAR, PIA VIWE VINAFANYA KAZI KWA KUSHIRIKIANA. MFUMO WA SOLAR WENYEWE UKIWA NA INVERTER AU HAUNA INVERTER HATUWEZI KUUITA HYBRID!! UNAITWA MFUMO WA SOLAR AU SOLAR PV SYSTEM VIKIJUMUISHA---SOLAR PANELS, WIRING REGULATOR, BATTERIES , INVERTER (kupata umeme wa AC), bila inverter kupata umeme wa DC.
Jamaa ame jikanyaga kwani jiko lisiusike kwenye mfumo wao wa umeme alafi ita pampu ya maji navitu vingine viusike kuchensha maji inausika 😂😂😂 jibu shelia zetu zaulipaji Kodi zinatubana nilazima utumie umeme wa tanesco natamani nieleza kwaulefu ila ngoja mwanashelia wangu apone.
Fund ata si wengne mafund umeleta mbwe mbwe ming ila hyo ipe majin kibao ila ni solla tu na uckatae kua ni solla. Ata mm nikiwa na sola ya wat 1000 na betr na inveta nawez washa vyumb vitatu kwa mfumo wa umeme kbsa bila usumbufu yan ac
Bado haya sema vizuri kuhusu hybrid.kitu gani ni hybrid. Kwa sababu Mimi nikiwa na solar panel inverter na battery nina uwezo wa ku convert umeme. Sasa tofauti hakusema vizuri
Ila hapo metupiga hiyo ni SOLAR System yenye invertor ya hadi 5kw, solar nyingi zinaishia 1kw. Hiyo sio HYBRID system.. Solar panels ina chaji betri ambapo ni DC then betri zinakua converted to Ac power
@@WilbardMakoi normal kaka, ila kwa sisi mafundi tunategemea platform kubwa kama hiyo , itafute watu ambao kidogo wanaeza weka siasa kimtindo hata watudanganye
Fundi unabadirisha majinantu kuonekana tofauti,lkn mifumo ya Solar hapo ni basic tu. Hiyo hybrid just multiple control tu kuweza kufanya switching kwa source zaidi ya moja ama mbili.
1) Ningependa kujua sababu ya kuwekwa kwa panel nyingi zaidi ni Nini kwa kitaalam. 2) Kwa Nini uwo mfumo wao hauna power bank japo kuwa Kuna batteries? ( Apa nazungumzia kwa nyakati za mvua ambapo jua ni la shida Sana?
Kipindi kizuri ila muuliza maswali unauliza maswali ya kitoto sana hukujipanga umeharibu utamu wa interview, next time uwe wajua unachouliza au kaa na utakae mhoji ili mjue mtaulizana nn
Tatzo la uyu jamaa ajib txt na aulizi maswal ya maan kalipwa kama tangaz unashndwa kugusia mvua kabx na kingine izo panel za jua znaozesha bat zkikaa muda mlef ayo ndio maswal ya kuulza sio input/ output sjakuelew bdo
Kwanza fahamu kua hyo inventor ina inputs ya Dc na Ac (sola na umeme) Kwenye inventory kuna option ya AC input jamaa lazima waweke umeme wa tanesco kwaajili ya kuchaj battery (kama backup sola ikizingua)
System hii ni nzuri sana but uzuri huu inabid mteja awe na pesa zake nyingi ndio ataenjoy kwa mlala hoi ni changamoto sana. Mm ni fundi nina experience na wateja wa kitanzania ndipo pale wanaishia kufunga sola tu badala ya hi brid system
Smash vipi kuhusiana na mvua hasa kipindi cha masika hizo betri zitafanyaje kazi nadhani haukumuuliza hilo swali? Nimemsikua akisema betri zitafanya kazi kwa masaa 24 bila kuchajiwa sasa itakuaje kipindi cha masika maana mvua hunyesha hata siku 3 mfurulizo pasipo jua kutoka Kuna uwezekano wa breti kuwa na chaji na ikiwa ni za saa 24 kama alivyosema?
Jibu halijitoshelezi,, mpeelim vizuri,,,,solar system bila jua inacharge ilimrad kuwe na mwanga tu hata Kama jua alieaki,,na maanisha kwanzia saa 12asbh mpaka saa12 jion 😊😊😊😊😊
Lazima utakosa umeme ila Hata lisipotoka naona huu mfumo ni nzuri kwa sababu kwa kwetu Tanzania tuna vipindi virefu vya jua kuliko mvua ivyo utainjoy sana kuiko maumivu
Mimi nahisi ukaa siku moja kama utatumia vitu vyote kwa pamoja kwaiyo ukipunguza vitu kama feni na frij ukawasha taa na kuchaji sim tu na kutizama video inaweza fika diku3,
Ah bongo bwana watu huku wanafunga solar system mpaka kwenye viwanda watu washafika kwenye Mega Watts nyinyi munaleta mbwembwe za 5kW bongo shida kweli
Hiyo ni solar power buckup system sio hybrid system,ilo neno hybrid sio jina la inverter ni neno linatumika technically kumjulisha mtumiaji kwamba hiyo inverter inaweza kufunction kupitia sources mbeli mbali za power mfano solar panels,umeme wa grid generator n.k sasa wewe hapo hiyo system chanzo chake cha umeme ni solar panels tu hujaconnect na umeme wa grid ndiyo maana imeondoa hilo neno hybrid japo inverter inao huo uwezo🚶🏻
Kwanza fahamu huyu anatoa tangazo tuu. Wafwate hao umeme_fundi_decor_design watakuelewesha kila kitu. Mimi wamenifungia hybrid, inaconnect solar, umeme na generator, inverter ipo connected na WIFI popote ulipo unaamua wewe tu
Sauti ya Fundi anafaa sana kua mwandishi wa habarii 😂😂😂
Mmmh hiyo sio hybrid system (kama tu solar ndio zinatumika kuzalisha umeme hapo). hybrid system inatumia mifumo mingi ya umeme mfano (umeme wa tanesco, upepo au generator) ambayo itaunganishwa pamoja na solar , hii kumaanisha kwamba mfumo wa solar ndio kipaumbele na mifumo ningine inakuja kujazilizia pale ambapo solar itakapo kuwa Inafanya kazi kwenye performance ndogo. Huo mfumo ni off grid stand alone solar system ( yaan mfumo wa solar usio tegemea umeme mwingine kama wa tanesco).
Kuwepo kwa inverter hauufanyi huo mfumo kuwa hybrid. Kazi ya inverter ni kubadilisha umeme mnyoofu DC current kutoka kwenye solar na kuwa Alternative current AC ili uweze kutumika na vifaa vingine vinavyo tumia umeme kama wa tanesco.
Mafund wengi mbwembwe hapo mchawi ni inverter tu zingine kelele
Yani fundi bwana bwebwe nyingi lakini mchawi ni inverter to used to change DC current into Ac current 😂😂😂
Ni kwelii solar ni solar tuu no matter ukubwaa wake. Yeye anaita hybrid ila ni solar fundi anatudanganya. Solar inapokuwa kubwaa haina haja ya kufunga vitu vya kutumia solar. Mchawi inverter hata kwenye solar ndogo vi inverter vipo. Ila fundi anatudanganyaa
hakika huyu fundi anajarbu kucheza na akili zetu dadek zake sas kuna utofaut gan hpo jmn
Amesema Umeme wa tanesco upo na ndio umeunganishwa na jiko la umeme kwa sababu linakula sana umeme. Kwa hiyo kama umeme wa tanesco pia upo basi inahaki ya kuitwa Hybrid system ikimaanisha vyanzo vya umeme ni viwili, umeme wa tanesco na umeme wa solar.
One day nitamiliki inshallah
Hii nzuri sana
Bro snash sola kali hi brid maisha yamekuwa raisi sana kama sisi hapa nyumbani tuna kisima cha maji kwa siku inatumia uniti 30 kwa ajili ya kunyeshea bustani garden bro hiyo tutaitafuta tutakuwa tunasevu 12000 kila siku itakuwa poa sana bro snash juzi ulnipa like kwenye marcedis benzi v 12 shukrani bro snash nakuomba hutufanyie revew ya smart toilet 2023 kwa luga azimu ya kiswahili big up snash
Bro snash tunasubiri revew ya smart toile kwa lugha azimu ya kiswahili big up bro
Hii system ndo ile ile tunayoijua, waseme ni solar tu, na kila mtu anatumia inverter, asikwepe neno solar coz bado inatumia mfumo wa jua
Mwaka 2002 nikiwa Bording Wakati huo shule yetu ilikua inatumia umeme wa tanesco lkn pia ulikua unachumba maalumu cha mitambo ya umeme, ndani yake kulikua na inverter with battery na umeme ulikua ukitok kw tanesco inverter inacharge battery kisha umeme ukikatik inverter inatupa umeme direct kutok kw battery na tulikua tunatumia kila kitu those days hata smartphone hakuna ni mwendo wa Motorola tu na Siemens 😅😅😅
True wasikifanye kitu special San wakat gharam zake hapo mlalahoi anatoa room tatu
Yeah hii kitu kama ulikua hujui tunaita back up source
Balaa motorola
kaka nakufatiliaga sana uko vzr sana sema itatakiwa anza kufanya mazowez ka mwili kamekubali 😅 kaka ila uko pow sana na utafka mbali
Fundi napata shida kidogo , maelezo yako nafikiri hayajatosheleza (1) Solar panel zinachaji bettri kwa sababu umeme wa betri ni DC , kupitia kwenye chaji controler (2) invetor inabadilisha umeme wa bettry ulio katika mfumo wa DC (Direct current) kuwa AC (alternating current). ili uweze kutumika kwenye vifaa vya nyumbani kama vile ulivyo umeme wa TANASECO..unapoongelea Hybrid una maana kwamba mteja wako anaweza kutumia mifumo yote miwili kwa wakati (YAANI SOLAR uliobadilishwa kuwa AC) na umeme wa Tanesco,kulingana na matumizi yake
Kipind wanasoma wenzako wew unakuna pumbu af unakuja kusumbua watu huku.
@@juliuspatrice9951 Hujui unachokisema wewe endelea ku type hapa kwenye key board
Hakuna umeme mzur kam wa upepo iwe mvua iwe usiku ina install charg tatzo serikal yetu iliuficha waliona tanesco watakosa watumiaji ndo maana
Ina maana katika vitu vya majumbani kinacho kula umeme zaidi ndio jiko au naomba kujua mfano Nika tumia jiko la umeme kwa dakika 45 nta tumia unit ngapi
Ni technology nzuri sana ila wasogeze tuwetunatumia mpka jiko la umeme. Siku wakifikia hatua hyooo ntafunga kwangu
Hybrid inverter ni aina ya inverter ambayo unaweza kutumia source tofauti za umeme, mfano unaweza kutumia solar, national grid “tanesco” au generator! Inverter ikipata source ya umeme kutoka kwenye jua, yaani solar panels umeme unakuwa AC then inverter inaubadilisha na kuwa DC.
Inverter inabadil bwana Dc kuwa Ac na ambayo inabadilisha Ac kwenda Dc ni rectifier embu rekebisha hapo
Mkuu unaelewa ulichokiandika kweli? Dah
Soma vzr maelezo yake
Asnte kwa kutuerewa tatizo sio Kila mtu anaye juwa mifumo
Mbona hamzungumzii gharama za huo mfumo? Kuanzia kununua vifaa mpk gharama za installation yake? Halafu siyo hybrid kwakuwa unategemea chanzo kimoja cha umeme ambacho ni solar!
Tatizo mpak sasa hivi bado hakuna kampuni ambayo imejizatiti kwenye biashara hii ya sollar, Project nyingi za sollar zinafanyika lakini baada ya muda unakuta hazitumiki, maintainance yake inakuwa shida sana, mimi ni shahidi # 01. Utakuta mtu anatumia sollar lakini baada ya muda unakuta amerudi kwenye umeme. Kama kuna watu mnafanya biashara ya sollar weka hapa mawasiliano yako then nitakutafuta kukupatia changamoto ambazo wateja wanakutana/tunakutana nazo
HAPO NI HYBRID ELECTRIC SYSTEM KWA VILE KUNA MFUMO WA TANESCO NA MFUMO WA SOLAR, PIA VIWE VINAFANYA KAZI KWA KUSHIRIKIANA.
MFUMO WA SOLAR WENYEWE UKIWA NA INVERTER AU HAUNA INVERTER HATUWEZI KUUITA HYBRID!!
UNAITWA MFUMO WA SOLAR AU SOLAR PV SYSTEM VIKIJUMUISHA---SOLAR PANELS, WIRING REGULATOR, BATTERIES , INVERTER (kupata umeme wa AC), bila inverter kupata umeme wa DC.
Nimependa kazi zeni❤
Ah bongo bwana watu huku wanafunga solar system mpaka kwenye viwanda watu washafika kwenye Mega Watts nyinyi munaeta mbwembwe za 5kW bongo shida kweli
NOMA SANA 🔥🔥
I like it 🙌
Big up sana bro👉
Jamaa ame jikanyaga kwani jiko lisiusike kwenye mfumo wao wa umeme alafi ita pampu ya maji navitu vingine viusike kuchensha maji inausika 😂😂😂 jibu shelia zetu zaulipaji Kodi zinatubana nilazima utumie umeme wa tanesco natamani nieleza kwaulefu ila ngoja mwanashelia wangu apone.
Fund ata si wengne mafund umeleta mbwe mbwe ming ila hyo ipe majin kibao ila ni solla tu na uckatae kua ni solla. Ata mm nikiwa na sola ya wat 1000 na betr na inveta nawez washa vyumb vitatu kwa mfumo wa umeme kbsa bila usumbufu yan ac
Beiiii nadhanii hpo ttzoo
Hatari sana
Bado haya sema vizuri kuhusu hybrid.kitu gani ni hybrid. Kwa sababu Mimi nikiwa na solar panel inverter na battery nina uwezo wa ku convert umeme. Sasa tofauti hakusema vizuri
Kweli kabsaa wanaleta mbwembe hapo mchongo ni inveter tu
Unaitaji fundi
Ila hapo metupiga hiyo ni SOLAR System yenye invertor ya hadi 5kw, solar nyingi zinaishia 1kw. Hiyo sio HYBRID system.. Solar panels ina chaji betri ambapo ni DC then betri zinakua converted to Ac power
Akiliii kubwaa sanaaa
@@WilbardMakoi normal kaka, ila kwa sisi mafundi tunategemea platform kubwa kama hiyo , itafute watu ambao kidogo wanaeza weka siasa kimtindo hata watudanganye
tatizo shule afu mambo ya kudanganya yashapitwa na wakati
Eeenh bwana mapema sanaaa😅😅😅
gharama ndo kitu kikubwa naomba kijua..
kwamfano jumba kama ilo linakuhitaj kiasi gani cha pesa🙏
😂😂😂😂 Milioni 10+
Inakua angalau lkn kwasab nyumba kama hizo kwa mwezi umeme wa tanesco inaweza kufika hata laki 2
Viewer no 1😊
Unajua kaka
Je waweza install on small petrol station je how much it will cost
Fundi unabadirisha majinantu kuonekana tofauti,lkn mifumo ya Solar hapo ni basic tu. Hiyo hybrid just multiple control tu kuweza kufanya switching kwa source zaidi ya moja ama mbili.
Huu mfumo wake ni solar iliyochangamka
Upo hapo
Sio kutaka sifa bila kufanya kitu cha maana. Eti hybrid system oo nn nn..... Hii ni solar tu bob
Mimi nimefikiria je msimu wa Mvua inakuwaje sintakuwa nalala Kiza mm jmn😂
Nikajua jumba linatumia damu kumbe Sora🤣🤣
M nimefikilia iv mfano mvua ikinyesh wik moja je izo battery zinaweza ku2nza chaj wik moj
Kikubwa bei zao ziwe affordable.
Bro fundi! uku maenginia wa solar wamo ebu toa maelezo kitalaam
😂😂 jamaa kaz anayo
Gharama 🎉
Bei gani
Nimeelimika kabisaaa
kaka, huo umeme wa sh 10,000 inakuwaje, wakati ukifunga umefunga? au ni umeme wa tanesco wa kutumia jiko la umeme?
1) Ningependa kujua sababu ya kuwekwa kwa panel nyingi zaidi ni Nini kwa kitaalam.
2) Kwa Nini uwo mfumo wao hauna power bank japo kuwa Kuna batteries? ( Apa nazungumzia kwa nyakati za mvua ambapo jua ni la shida Sana?
hizo battery ndo power bank yenyewe, zikishajiwa ndo zinatumika hata kama jua hamna
Akunashida
Nyumba ya kigogo mmoja apa mjini
Unagharimu bei gani
Hivi iyo chaji inakaa muda Gani Hadi kuisha ktk betri
Inategemeana na matumizi ya mteja izo battery jumla ni 800Ah ambayo inazalisha 9.6Kwh hapo kwa matumizi ya kawaida inakaa mda mrefu sana bila kuzima
Kipindi kizuri ila muuliza maswali unauliza maswali ya kitoto sana hukujipanga umeharibu utamu wa interview, next time uwe wajua unachouliza au kaa na utakae mhoji ili mjue mtaulizana nn
Wakati wa season ya mvua inakuaje
kv 5 inatumia betri ngap za N 200
Hiyo ni solar system
Kwakipindi chamvua jua huwa linapotea ata week je hizo betri zinauwezo wakuoparet kilakitu week nzima au zaidi?
Brother mbona hujamuuliza vipi siku jua lisipotoka kwa muda wa siku tatu.
kivipi??
Ahahaha uliisha wahi kuona siku inapita bila ☀️ yaan giza tupu
Naongelea maeneo ya kaskazin huku siku inaweza pita bila kuona jua ni possible yaan.
Bongo kama ulaya
Mwanzo ulisema kua hi nyumba, doesn't use any Tanesco power 100% , lakini hapa wanatumia ume wa Tanesco kwa jimo? In that case it's not 100%
Kiswa English 😎
apo ujamuuliza kitu muhimu je kipindi cha mvua inakuaje sasa juwa sipo waka zaid ya siku 3
Solar sio mpaka jua mwanga tuuu
Garama ni shi ngapi?
Tatzo la uyu jamaa ajib txt na aulizi maswal ya maan kalipwa kama tangaz unashndwa kugusia mvua kabx na kingine izo panel za jua znaozesha bat zkikaa muda mlef ayo ndio maswal ya kuulza sio input/ output sjakuelew bdo
Hii nimeipata iko poa sana
Bei yake?
Gharama zake ?
Ina tegemeana na ukubwa wanyumba
snash muulize kipindi cha mvua hazizingui ??
Bei hajaulizia, please uwe unaulizia na bei
Je mvua ikinyesha siku kadhaa mfukulizo
Hizo pannel zinapata umeme kupitia mionzi ya jua, hata mvua ikinyesha bado jua lipo mawingu hayazuii mionzi ya jua
Kwanza fahamu kua hyo inventor ina inputs ya Dc na Ac (sola na umeme) Kwenye inventory kuna option ya AC input jamaa lazima waweke umeme wa tanesco kwaajili ya kuchaj battery (kama backup sola ikizingua)
@@Hassan-ig8od Nan kaa kwambia bettr zinachajiwa na umeme
@@Hassan-ig8od Panel ndo inachaj bettr
Rudia kusoma kwanza
kuna gari aina ya honda embu tujuze bhana tuifahamu zaidi
Bei gani amefungiwa uyo jama
System hii ni nzuri sana but uzuri huu inabid mteja awe na pesa zake nyingi ndio ataenjoy kwa mlala hoi ni changamoto sana.
Mm ni fundi nina experience na wateja wa kitanzania ndipo pale wanaishia kufunga sola tu badala ya hi brid system
3) Je, huo mfumo wao unaweza kuzalisha umeme kwa nishati ya mwezi?( Kwa upande wa usiku)
Mwezi hautoi nishati
mwezi hapana ni mionzi ya jua tu
Smash vipi kuhusiana na mvua hasa kipindi cha masika hizo betri zitafanyaje kazi nadhani haukumuuliza hilo swali? Nimemsikua akisema betri zitafanya kazi kwa masaa 24 bila kuchajiwa sasa itakuaje kipindi cha masika maana mvua hunyesha hata siku 3 mfurulizo pasipo jua kutoka Kuna uwezekano wa breti kuwa na chaji na ikiwa ni za saa 24 kama alivyosema?
Hizi battery zetu Zina kahana na chaji ya kutosha pia mfumo ni smart kipindi battery zikenda 40%itamfamisha mwenye nyumba
Jibu halijitoshelezi,, mpeelim vizuri,,,,solar system bila jua inacharge ilimrad kuwe na mwanga tu hata Kama jua alieaki,,na maanisha kwanzia saa 12asbh mpaka saa12 jion 😊😊😊😊😊
viwanda vingi ulaya vinatumia mfumo huo
Kimbembe ni kwnye jua lisipopatikana Kwa muda wa siku kadhaa
Lazima utakosa umeme ila Hata lisipotoka naona huu mfumo ni nzuri kwa sababu kwa kwetu Tanzania tuna vipindi virefu vya jua kuliko mvua ivyo utainjoy sana kuiko maumivu
ndo andaa ya Tanesco au Generator kama Emergency hamna sector haina changamoto hata hao Tanesco mvua zikipungua tu unaanza mgao
gharama ya mtambo kama huo ni ipi??
Milion 10+
Gharama ndo mchongo apo ...at least mngezunguzia gharama zilizotumika kwenye kuweka uo mfumo kwenye nyumba iyo
😂😂😂😂 Milioni 10+
Sasa snshi utunzaji wa moto mfano jualixipo waka ckumbili inakuaj
Mimi nahisi ukaa siku moja kama utatumia vitu vyote kwa pamoja kwaiyo ukipunguza vitu kama feni na frij ukawasha taa na kuchaji sim tu na kutizama video inaweza fika diku3,
C umeona kuna betri hzo? Ongezea betri ani kma power bank!!
Jua kutokuwaka haimaanishi solar haifanyikaz
Solar bado itafyonza nishat joto japo kwakiasi tofauti na jua likiwepo
Ah bongo bwana watu huku wanafunga solar system mpaka kwenye viwanda watu washafika kwenye Mega Watts nyinyi munaleta mbwembwe za 5kW bongo shida kweli