ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Itakugarimu ngapi zote kabisa maalim
Good work,,am watching from Kenya,,,,can i get attachment place in your Company next year may?
Sawa nashukuru kwa kujibu.
Mnapatikana wapi kaka
Fundi wangu jisi yakujua kama zimekufa au zinafua moto mdogo inakuwaje
Bei gani zinsuzwa solar kama hizo complete
Umefunga solar bila kutumia fremu Hii sio sawa Kwa sababu ya overheating on the ironsheet
Kazi chafu, mwl amevaa kama yupo kijiweni😅😅😅😅😅😅
leo sijakuelewa kabisa darasa hili hujatuonesha nyuma ya pannel waya zinawekwaje, pia kwenye kuunga betri inakuweje vile vile kwenye charger control hukumalizia kuunga, unekwenda so faster binafsi sijafahanu kitu kabisa!
Hiyo kampuni ya LITAR nichukue lead acid battery au dry battery? Ipi itakuwa Bora kwenye matumizi yangu ya solar
Jambo nataka sola
Mwalimu zingatia mawasiliano hutukufii ss huku +254
Aiseee sawa
24v mwisho isome ngapi
Kwa maelezo ya Mwalimu inveta ya Vlt 24 isizidi 25 ukiona inafika mpk 30vt bc Kuna hatari ya kuunguza mashine
Ivi earth kwenye solar inawekwaje
Betri za solar kutoka kwenye campuni gani ni bora? Maana betri za Sundar hazifiki hata mwaka.
Lita
Hii no yke mtema mbona haikubali kw wasp yasema invit
Ipo mbona ndugu
Mr number yako ya whatapp ni gani mbona hii haitaki
Mnapatikana wapi mwalimu
Mimi nipo Dar
Itakugarimu ngapi zote kabisa maalim
Good work,,am watching from Kenya,,,,can i get attachment place in your Company next year may?
Sawa nashukuru kwa kujibu.
Mnapatikana wapi kaka
Fundi wangu jisi yakujua kama zimekufa au zinafua moto mdogo inakuwaje
Bei gani zinsuzwa solar kama hizo complete
Umefunga solar bila kutumia fremu
Hii sio sawa Kwa sababu ya overheating on the ironsheet
Kazi chafu, mwl amevaa kama yupo kijiweni😅😅😅😅😅😅
leo sijakuelewa kabisa darasa hili hujatuonesha nyuma ya pannel waya zinawekwaje, pia kwenye kuunga betri inakuweje vile vile kwenye charger control hukumalizia kuunga, unekwenda so faster binafsi sijafahanu kitu kabisa!
Hiyo kampuni ya LITAR nichukue lead acid battery au dry battery? Ipi itakuwa Bora kwenye matumizi yangu ya solar
Jambo nataka sola
Mwalimu zingatia mawasiliano hutukufii ss huku +254
Aiseee sawa
24v mwisho isome ngapi
Kwa maelezo ya Mwalimu inveta ya Vlt 24 isizidi 25 ukiona inafika mpk 30vt bc Kuna hatari ya kuunguza mashine
Ivi earth kwenye solar inawekwaje
Betri za solar kutoka kwenye campuni gani ni bora? Maana betri za Sundar hazifiki hata mwaka.
Lita
Hii no yke mtema mbona haikubali kw wasp yasema invit
Ipo mbona ndugu
Mr number yako ya whatapp ni gani mbona hii haitaki
Mnapatikana wapi mwalimu
Mimi nipo Dar