Tuliipenda wenyewe tupambane na hali yetu Ni sawa na mpishi yuko jikon , chakula kiko tayar ila hafikish mezan ukiuliza tatizo ni nn eti hata yeye mwenyew hajui Kumbe mkuu wa nyumba amefunga mlango Hiyo ndiyo Cement Nondo Mabati Mafuta ya kula Hii ndiyo nchi ya uchumi wa kati
Hii ni nzuri sana sababu inarahisisha kujua changamoto za wafanyabiashara nimeipenda hii
mh nimekuela Sana umeziona kiundani Keri za wafanyabiasha na sio kuwakandamiza wafanyabiasha mungu aendelee kukupa busara hizo mkuu 🙏🙏🙏
Kulimaliza tatizo ni kufungua kiwanda tu karibu na mikoa hiyo basi,,siyo kusubiri mzigo toka dar es salaam
Ahsante Sana🤝🏻. Nimemuona Kirahumba
Iyo haisaidii mzee watu tumeshapigika mnakumbuka shuka wakati kumekucha amko sirious na hizi mambo
Busara mku RS
Safi sana
Wanasiasa mungu anawaona.
Safi
ccm oyeee
Daah muone uyo Muha nahuo msaraba hahahahaha eti mwisho wa relikwani hyo ndio sababu Muha na tukisema mwanzo wa reli
Yani jamani Cement imekuwa changamoto mnoo hadi mifko Erf 25000 mmmmmm
Tuliipenda wenyewe tupambane na hali yetu
Ni sawa na mpishi yuko jikon , chakula kiko tayar ila hafikish mezan ukiuliza tatizo ni nn eti hata yeye mwenyew hajui
Kumbe mkuu wa nyumba amefunga mlango
Hiyo ndiyo
Cement
Nondo
Mabati
Mafuta ya kula
Hii ndiyo nchi ya uchumi wa kati
Yaani ukitizama hata huo uwekaji wa cement ni very local duuuh yaani kma 1970 duuuuh
Tatizo nini unadhani
Waache soko huru la cement kutoka nje kama zamani, kama wanaachiwa local supplier Lkn Bei 25000 mwananchi wa kawaida atajengaje?
Cement Kenya Tsh.12K...karibuni
@Change Mindset Tsh.12k
* mhhhhh
Tunaisoma namba sasa na tutaisoma sana mitano hii
Na sukari na mafuta ya kula pia jamani
Kwenye sukar mngeenda namna hii wala isingekuwa 2800