RC ANDENGENYE MGUU KWA MGUU AKIKAGUA BEI YA CEMENT, WAFANYABIASHARA WAFUNGUKA TATIZO BEI KUONGEZEKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ย. 2020
  • #MillardayoKigoma

ความคิดเห็น • 22

  • @eyumededu2948
    @eyumededu2948 3 ปีที่แล้ว +4

    Hii ni nzuri sana sababu inarahisisha kujua changamoto za wafanyabiashara nimeipenda hii

  • @yasiniselemani9318
    @yasiniselemani9318 3 ปีที่แล้ว +2

    mh nimekuela Sana umeziona kiundani Keri za wafanyabiasha na sio kuwakandamiza wafanyabiasha mungu aendelee kukupa busara hizo mkuu 🙏🙏🙏

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 3 ปีที่แล้ว +3

    Kulimaliza tatizo ni kufungua kiwanda tu karibu na mikoa hiyo basi,,siyo kusubiri mzigo toka dar es salaam

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana🤝🏻. Nimemuona Kirahumba

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 ปีที่แล้ว

    Iyo haisaidii mzee watu tumeshapigika mnakumbuka shuka wakati kumekucha amko sirious na hizi mambo

  • @smolletmwakamele4275
    @smolletmwakamele4275 3 ปีที่แล้ว

    Busara mku RS

  • @lugaziarutta3367
    @lugaziarutta3367 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @saidbakari1127
    @saidbakari1127 3 ปีที่แล้ว

    Wanasiasa mungu anawaona.

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @mwilemwasenga7066
    @mwilemwasenga7066 3 ปีที่แล้ว +1

    ccm oyeee

  • @daktar_kapaku_natural529
    @daktar_kapaku_natural529 3 ปีที่แล้ว

    Daah muone uyo Muha nahuo msaraba hahahahaha eti mwisho wa relikwani hyo ndio sababu Muha na tukisema mwanzo wa reli

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya6423 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani jamani Cement imekuwa changamoto mnoo hadi mifko Erf 25000 mmmmmm

  • @athumanitanuke6795
    @athumanitanuke6795 3 ปีที่แล้ว

    Tuliipenda wenyewe tupambane na hali yetu
    Ni sawa na mpishi yuko jikon , chakula kiko tayar ila hafikish mezan ukiuliza tatizo ni nn eti hata yeye mwenyew hajui
    Kumbe mkuu wa nyumba amefunga mlango
    Hiyo ndiyo
    Cement
    Nondo
    Mabati
    Mafuta ya kula
    Hii ndiyo nchi ya uchumi wa kati

  • @leecode6135
    @leecode6135 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaani ukitizama hata huo uwekaji wa cement ni very local duuuh yaani kma 1970 duuuuh

  • @solemba595
    @solemba595 3 ปีที่แล้ว

    Waache soko huru la cement kutoka nje kama zamani, kama wanaachiwa local supplier Lkn Bei 25000 mwananchi wa kawaida atajengaje?

  • @geraldgm1217
    @geraldgm1217 3 ปีที่แล้ว +1

    Cement Kenya Tsh.12K...karibuni

    • @geraldgm1217
      @geraldgm1217 3 ปีที่แล้ว

      @Change Mindset Tsh.12k

  • @omaniworker548
    @omaniworker548 3 ปีที่แล้ว

    * mhhhhh

  • @sabrimohammed2799
    @sabrimohammed2799 3 ปีที่แล้ว

    Tunaisoma namba sasa na tutaisoma sana mitano hii

  • @abuumusabukolo814
    @abuumusabukolo814 3 ปีที่แล้ว

    Na sukari na mafuta ya kula pia jamani

  • @baragatimaingu5623
    @baragatimaingu5623 3 ปีที่แล้ว

    Kwenye sukar mngeenda namna hii wala isingekuwa 2800