Kwa kweli huyu mzee kachoka sana hawezi kuendana na Kasi ya timu na malengo yake. Kwa asili tangu enzi Mangungu hawezi kufanya kazi na MO na ndiyo maana Mo alimwachia Try Again. Ni miongoni mwa viongozi wanaokwamisha mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa Timu. Kama wanachama tutamwacha NGUNGU boy aendelee kuwa m/kiti wa KLABU basi tutakuwa tumetengeneza vita ya ndani kwa ndani kati ya Mo na yeye. Tuendelee kupaza sauti Hadi atoke kabisa kwenye Bodi ili MO afanye kazi na Kiongozi mwingine anayeendana naye.
wwe mzee su utoke Kwan simba ni familia Yako huyu mzee mbn ni mtu wa ajabu saaana kweny Dunia hii hata haoni aibu embu Toka uachie ngaz umefeli mzeee mangungu hauna jipya
Mimi sio simba ila huyu mzee sijamuelewa kabisa kwa sintofahamu ilioko kwa wana simba na majibu yake ni kama kula ugali na asali kha!kwanza hana uchungu yuko kawaida kabisa huyu kuna kitu anapata pale
Nina Imani na Mangungu oyaaaa oyaaa oyaaaa simamia msimamo wako Baba 😂😂😂😂😂
mangungu mzewang unajua kabisa wewe upo upande wa pili na unashirikiana nawo ili tupote naomba toka jina la yesu
Mzee njoo uwatulize wanachama huku mitaani kubaliana na mwekezaji tujenge jeshi vita haipo mbali msimu ujao ni wakwetu Kwani baada ya dhiki ni faraja
Kwa kweli huyu mzee kachoka sana hawezi kuendana na Kasi ya timu na malengo yake. Kwa asili tangu enzi Mangungu hawezi kufanya kazi na MO na ndiyo maana Mo alimwachia Try Again. Ni miongoni mwa viongozi wanaokwamisha mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa Timu. Kama wanachama tutamwacha NGUNGU boy aendelee kuwa m/kiti wa KLABU basi tutakuwa tumetengeneza vita ya ndani kwa ndani kati ya Mo na yeye. Tuendelee kupaza sauti Hadi atoke kabisa kwenye Bodi ili MO afanye kazi na Kiongozi mwingine anayeendana naye.
Mangungu achia simba bhana wew ndo gizaa sasa
Muulizeni hyo mzee manzok alifuata nn mkutanoni
Huyu mzee hatoshi maelezo yake hayana matumaini. Misimu mitatu hakuna kitu.
Ulikuwa wapi kutekeleza hayo kabla hujatiwatiwa jambajamba.
Ondoka mzee achia vijana mchawi ww
Wewe mzee tuachie timu yetu kwani ya baba yako hiyo kila mwaka unatuumiza tu mbwa ww
Ana kad la mwaka 93 wewe ukiwa ujazaliwa nan mwenye timu yake apo😅
Sasa ww ndo giza ondoka uje mwanga
Wewe mzeeee ondoka hatukutaki
Ivi ww mzee unaelewa kweli ondoka acha njaa
Akibaki na wengine warudi.
RAIDA WA BODABODA MACHIMBO ya TANZANITE MERERAN, tuko pamoja cloud fm
Hatukutaki,sepa acha siasa ktk mpira
Kwann huondoki madarakani naweunajuwa hutakiwi
Aondokeee asilazimishe uyo jamaaa aondoke watu hawamtaki wamemchoka. Huwezi rudisha furaha ya mtu ikiwa tayr amekuchukia
wwe mzee su utoke Kwan simba ni familia Yako huyu mzee mbn ni mtu wa ajabu saaana kweny Dunia hii hata haoni aibu embu Toka uachie ngaz umefeli mzeee mangungu hauna jipya
We siuachie madalaka kwann unang'ang'ania hatukuelewi sisi mashabiki
UKITUKANA MTU,, YA KIPANYA NA MWIJAKU YATAKUKUTA ,TUMIA BUSARA KUREKEBISHA.
Mimi sio simba ila huyu mzee sijamuelewa kabisa kwa sintofahamu ilioko kwa wana simba na majibu yake ni kama kula ugali na asali kha!kwanza hana uchungu yuko kawaida kabisa huyu kuna kitu anapata pale
Ushaanza kutungia mashairi hapa
Jaman waachie wengine
WW mzehe munitu mujinga kweli tuachie Simba yetu
Yenu ww nanan😅
Ww achia timu hatukuaki
Kwanza we mbona mbishi sana Toka mjinga wewe
Achia timu huna lolote wewe ndo ulileta kina sawadogo ukaleta Manzoki hewa jiuzuru mzee
MANGUNGU NI YANGAA DAMU, DAMU BILA KUMTOA MADARAKANI SIMBA WAJIANDAE KUPOKEA 5G ZINGINE KUTOKA KWA YANGAA
Tokaata wewe honarorote