@@barnabasmalima4823sasa mbona Kaunda bodi wakati mchakato bado ? C akae pembeni akihitajika ataitwa 😂😂 .... Mbona mwenzake anatoka pesa ila hajanza kuunda bodi ?
@@barnabasmalima4823mo na madunduka wanaviziana tu 😂😂 ... Mchakato bado haujakamilika mtu ameshaunda bodi ...akatimua then akateuwa, Mara rais wa heshima kesho mwenyekiti wa bodi upande wa mwekezaji then mwekazaji ni mudi tea vyeo vyote vyake
Mzee kaduguda ulikia unapiga sana hela za MO sasa wamekutoa kwenye mfumo unaongea ujinga mitandaoni, kubali kukaa pembeni huwezi kua kiongozi wa Simba milele.
Kwani kaomba kuwa kiongozi? Acha umbumbuuuu. Mfano kasema wanachama wanasema wao wanataka furaha tu sa huo ni nn si ubumbumbu? Haya wanachama hawajui katiba wanakurupuka tu,,
Kwa mantiki hiyo wanachama wa simba ndio tatizo hawaijui katiba yao.ndio maana wamekuwa bendera hufuata upepo na ndio maana wamechagua mtu ambae hana sifa za uongozi wa mpira
@@HabasuFamily... Kwa mitazamo ya namna hii yanga Bingwa 😂😂😂 ..... Hiv madunduka wakat miaka 4 ya ubuntuu ile ya moto 🔥 pale juu kagere chama miquissone bwalya , kotei , wawa , joash ... Okwi ndo hii ya akina jobe , Fred na sawadogo 🤣 😂🤣... Halaf Rudi yanga ya yikpe , Molinga , sibomana , kindoki ... Halaf Rudi sasa pale Paccome Zouzoua, Aziz ki , Diarra , Max halaf bado mnakuja na mawazo barafu kweli ?? Mwambie muamed arudishe watu wa mpira pale msimbazi punguzen janja janja ndugu zanguni bhana Enzi zile unamkuta Hans Pope Evance Aveva Geoffrey Nyange Kaburu Mwamba mkubwa magori Sued Mkwabi ...... Halafu kule yanga kipindi Wana manji Alikuepo Bin kleb Seif magari David mosha
Kaduguda acha Kusumbua Wanasimba. Juhudi kila siku zinahitajika, kushindwa kufikia Lengo sio Hoja ya kulala. Wanachama na mashabiki hawana lawama. Hata Kaduguda ni Wanachama na pia ni Shabiki. Aache Upuuzu wake!
Tuachia yanga yetu sisi viongozi na timu wakizingua wote nje sisi ni taasisi kama hawalijui hili yanga tunataka ubingwa wa afrika na uwanja mengine watajua wao
Mzee unazunguka zunguka lkn point yako ni mangungu sio mtu wa mpira, ukija kwa wanachama wameshaelewa mtu waliomkabidhi hawezi kuwafikisha popote ndio maana wanataka ajitoe..sasa we tuambie mwanachama anatumia kipimo gani kujua huyu mtu atafanya hiki au hiki zaidi ya ahadi za mgombea wanachama wapo sahihi waliishi kwenye ahadi za mangungu ila ahadi hazijaenda kama walivyotaka sasa wanachama unawalaumu kwa kipi
Yanga mpeni Kadugida kibarua huyo, kelele zote hizo anatafuta sifa mumuone! Mzee mzim asiyekaa akashaurina na wenzake badala ya kuzunguka kwenye vyombo vya habari!
Kaduguda "Amesema mashabiki njanja, blaablaa, elimu ndogo, wanashabikia vitu vya kuhunihuni!!! Wanachama mbumbumbu, halafu oyaoya!!!!" Huu ndo ukweli mchungu!!!!
Tatizo kubwa linaloikabili Simba ni udalali unaofanywa na baadhi ya wanaohusika na USAJILI Wakala wa mchezaji asipokubali komisheni (kutoa cha juu)basi mchezaji wake huyo hata awe Bora kiasi gani. HAWAMSAJILI Na endapo watakubaliana kwa ahadi ya uongo(asipowatekelezea)baada ya kusajiliwa, humfanyia sokomoko alimradi mchezaji huyo aweze kufukuzwa ADUI WA SIMBA NI SIMBA WENYEWE!!!
Kweli mzee mashabiki wa Simba mbumbu wanafuraiya kitu chakijinga mo kaongea mtandaoni wao wanafuraiya mwiteni mo aje mkae kikaopamoja siokuongea mitandaoni mnajifanyamnajuwa hamjuilolote ndiomaana mnapingwa namtapigwa kilasiku Sasa mo kaludisha viongozi walewale mnafuraiya ligi ikianza hatumtaki furani hamuoni hapo mashabiki mnashida kazi mnakaa kwenyemidia mnatukana viongozi huu Sasa ndiowakati wakukutana na viongozi kwapamoja nakuongea ukweli
naitwa Mudrick !!! napenda sana kumsikiliza Mzee kaduguda maana anaongea point sana mungu akupe afya njema na maalifa makubwa
Uyu sio mangungu ni kaduguda
Mzee ana hoja nzito sana.Anafaa kutangazwa kuwa mtakatifu
Namkubali sana huyu Mzee
Umesomeka
Uko vizuri Mzee sasa tunauwekezaji lakini malengo sahihi bado hayafanyiki kabisa,
Mwamba upo sahii sanaaa
fire 🔥 ukweli hautakuwi kwenye mpira wa bongo..big up brother
Safi sana kaka
Nimekuelewa vizuri mzee uko sahihi
Safi sana Mzee kaduguda
Kaduguda uko sahihi kabisa
Hatutaki maneno tujenge Simba yeti
Safi sana kaduguda waambie hao wanachama na mashabiki ni mbumbumbu na njaa😂😂😂
Akili zako na zake zinafanana maana nyote vigeugeu
Kaduguda shida haiko kwa mangungu bali kwa Mo kwa sababu haja kamilisha uwekezaji wake kwa simba. Kifupi Mo hadi leo ni mfadhili sio mwekezaji!!
na MO anawekaje pesa wakati mchakato haujakkamilika?
@@barnabasmalima4823sasa mbona Kaunda bodi wakati mchakato bado ? C akae pembeni akihitajika ataitwa 😂😂 ....
Mbona mwenzake anatoka pesa ila hajanza kuunda bodi ?
@@barnabasmalima4823mo na madunduka wanaviziana tu 😂😂 ... Mchakato bado haujakamilika mtu ameshaunda bodi ...akatimua then akateuwa, Mara rais wa heshima kesho mwenyekiti wa bodi upande wa mwekezaji then mwekazaji ni mudi tea vyeo vyote vyake
@@mwanangusanaTOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂 MACHOGO FC WEWE
Mzee kaduguda ulikia unapiga sana hela za MO sasa wamekutoa kwenye mfumo unaongea ujinga mitandaoni, kubali kukaa pembeni huwezi kua kiongozi wa Simba milele.
Kwani kaomba kuwa kiongozi? Acha umbumbuuuu. Mfano kasema wanachama wanasema wao wanataka furaha tu sa huo ni nn si ubumbumbu? Haya wanachama hawajui katiba wanakurupuka tu,,
Mashabiki wwengi ni njaa mjaa pigia mstari hapo
Umesema sahihi sana Mzee wangu wanasimba kunachakujifunsa
Uyo mzee anaongea kweli sana na mwuelewa sana
Mwanafunzi mwenzangu Udsm ,mzee anapiga kitabu cha michezo hana mzaha na yuko full time tuko nae Mabibo hostel, anaishi Simba mda wote.
Mimi siyo mbumbumbu mzeee, wanangu wanakula kupitia mimi, hao unaotuita mbumbumbu inawezekana tukawa tumekupita maisha palefu Sana na umbumbumbu wote.
Shida hujaelewa kile ambacho anazungumza, wameelewa waliosoma cuba
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo mbumbumbu
Hujamwelewa mzee, unaweza ukawa una elimu kubwa ila kweny mpira ukawa zero yaaan mbumbumbu hajasemea maisha
Simba wa Yuda waambie sambusa na nlopokaji unwell
Nguvu nyingi kupambana na watani badala ya kucheza boli uwanjani
Kwa mantiki hiyo wanachama wa simba ndio tatizo hawaijui katiba yao.ndio maana wamekuwa bendera hufuata upepo na ndio maana wamechagua mtu ambae hana sifa za uongozi wa mpira
Ulivyosema hati inamlikiwa na mpangaji ni sawa na ccm seriali inaiwajibisha ccm
Tatizola. Simba. Wanachama. Hanapesa. Ndiyo. Sababu. Wanachama. Wanamtaka. Moo
Tafadhali sana kaduguda mbumbumbu ni hao Simba usichanganye hapo,
Kweli kabisa, anyooshe maelezo huyo mbumbumbu
Hayo kaongee kwenye vikao, tatizo wewe mzee unapenda kusifiwa kwa kuiponda simba
Kumhoji mtu mwenye Elimu kubwa kuna kazi sana,unafanya nn hicho mwandishi wa Habari 😮😮
Simba wa yyuda
Mzee mwenyewe amekaa jujuu TU kama kabanwa na mavi😂😂
Sasa mlimpaje upngozi jamani nanyie sindio mpiga lira kadugida
Hamkuwa na wachezaji wenye uwezo wa kuwavusha robo we mzee. Mlikuwa wa kuwavfikisha robo tu
Hiyo aya alieitoa inaingiaje hapo? 😊😊😊😊😊😊
Mzee anapita kila siku media anataka nin , hii timu ni ya public, anapita kila media anataka nin mi hata sielewi
C anapewa chochote kitu na gsm ili avuruge makusudi sbb kakoseshwa kula
😂😂😂 kwani yeye sio sehem ya iyo public au wewe unaelewa Nini kuhusu iyo public ?? Au ni makosa kuwa na mtazamo tofautiii tofautiii?
@@HabasuFamily... Kwa mitazamo ya namna hii yanga Bingwa 😂😂😂 ..... Hiv madunduka wakat miaka 4 ya ubuntuu ile ya moto 🔥 pale juu kagere chama miquissone bwalya , kotei , wawa , joash ... Okwi ndo hii ya akina jobe , Fred na sawadogo 🤣 😂🤣... Halaf Rudi yanga ya yikpe , Molinga , sibomana , kindoki ... Halaf Rudi sasa pale Paccome Zouzoua, Aziz ki , Diarra , Max halaf bado mnakuja na mawazo barafu kweli ?? Mwambie muamed arudishe watu wa mpira pale msimbazi punguzen janja janja ndugu zanguni bhana
Enzi zile unamkuta
Hans Pope
Evance Aveva
Geoffrey Nyange Kaburu
Mwamba mkubwa magori
Sued Mkwabi ......
Halafu kule yanga kipindi Wana manji
Alikuepo
Bin kleb
Seif magari
David mosha
Huyu ndio kadugiguda wa mashabik Sema sisi nao Tunazingua kweli
mzee umeongea point
mpira unahitaj ueled
Simba wa yuda
Simba ni Giant kwa sasa kinachotakiwa ni kusajili vizuri
Kwl mzee wanachama wengi ni mambumbumbu ndio maan tuliletew Manzoki kwenye uchaguzi halaf wakawachagua leo wanaanza kulialia
Kaduguda anajua mpira sanaaaaa na anaongea mpira. Hivi huo ukubwa wa Simba Africa uko wapi? Hawajachukua kombe lolote la Africa.
Hii ndimu anayo isema 😂😂😂😂 bila D mbili utoboi 😊
Huu ndio kiongozi Sasa anaona mbali sanaa lkn pumbupumbu hawatawez kuelewa huyu mwamba
Hizi Tim Za Simba na Yanga Mpaka Ziachiwe na Serekari Ndio Zitafanya Vizuri huo uwekezaji Unacheleweshwa na Serikari
Kaduguda acha Kusumbua Wanasimba. Juhudi kila siku zinahitajika, kushindwa kufikia Lengo sio Hoja ya kulala. Wanachama na mashabiki hawana lawama. Hata Kaduguda ni Wanachama na pia ni Shabiki. Aache Upuuzu wake!
Hiyo Simba aliyoitaja Mwina ilikuwa sio poa
KADUGUDA UKO SAHIHI PIA USIACHE KUSEMA SAID IS KUIOKOA SIMBA MO DEWIJI NI TATIZO SIMBA
Kajula , Mangungu hawafai
Mwandishi hujui kuuliza maswali.
Shida ni tajiri,umsajiri vizuri,halafu unauza wachezaji fedha kibindoni tajiri hamna hapo
Mo anawaburuza 😂😂
Kuna wanaoburuzwa na gsm lkn cc kimyaaa walifanya uchaguzi mtu na ukuta lkn cc kimyaa
RAGE ALIKUWA RIGHT KUWAITA WANACHAMA WETU MAMBUMBUMBU...KADUGUDA.
Mashabiki MBUMBUMBU....😂😂😂
Kaduguda upo sahihi mangungu haujui huo mpira wenyewe leo anapewa timu huyohuyo alishindwa kukaa muda mrefu kwenye ubunge
Wakati yeye ni mwenyekiti aliifikisha wapi simba?
Kweli baba tunaomba utusaidie kuling'oa lile lizee
Sasa kwani Kaduguda si aliwai kuwa kiongozi pale Simba alifanya nini cha maana
Mtangazaji ana 'bore' sana...anaidharirisha taaluma kwa kutojipanga wala kuelewa mantiki ya hoja za anayemuhoji!
Yeye mwenyewe alikuwemu humo ni mkundu tu huyo ana lolote Kuma huyo
Tuachia yanga yetu sisi viongozi na timu wakizingua wote nje sisi ni taasisi kama hawalijui hili yanga tunataka ubingwa wa afrika na uwanja mengine watajua wao
Mzee unazunguka zunguka lkn point yako ni mangungu sio mtu wa mpira, ukija kwa wanachama wameshaelewa mtu waliomkabidhi hawezi kuwafikisha popote ndio maana wanataka ajitoe..sasa we tuambie mwanachama anatumia kipimo gani kujua huyu mtu atafanya hiki au hiki zaidi ya ahadi za mgombea wanachama wapo sahihi waliishi kwenye ahadi za mangungu ila ahadi hazijaenda kama walivyotaka sasa wanachama unawalaumu kwa kipi
We mtangazaji mjinga hujui maswali huna
Acha wivu amejitahidi
Mzee wangu kwa heshima yako ayo mambo ungeachana nayo tu wew kwenye uongozi wako umefanya nini?
"Mbumbumbu inaendelea"
Hao viongozi Ni brabra.lakini unasema sio tatizo.mbona ujielewi?
Liverpool imekaa miaka mingapi hata kuchukua tu ligi
Huyo alikua kiongozi alifell zaidi mpaka ka fukuzwa akosa ubunifu amebaki kutamani nafasi yakazi hawezi pata
Hakika Kaduguda unaongea ukweli kabisa!! Wanachama wa Simba ndo Mapoyoyo kabisa!..mgombea anawaletea Manzoki na kulishwa pilau bila hata kufikiria, mnampa uongozi...upuuz kabisa!!
Anadhani kuingia nusu ninkazi nyepesi, nenda ulaya arsenal mpaka leo hana kombe la champions league
Mashabiki NJAA na kina MZARAMO,,,,KISUGU,,,😂😂
Mbna Kuna Tim kubwa zinaixhia robo acha njaa
Huyu mzee njaa inamsumbua sasa anaweweseka anatembea kwenye vituo vya redio kuichafua Simba.
Mwandishi mjinga hujui kitu
Kiukweli hata mimi nasema tatizo la simba ni wanachama na mashabiki
Kwa nini zisiwe clabuni, zinawekwa Ostabee
Mzee unatuvujia heshima kutuita mambumbu wewe ezizako umefanyann
Yanga mpeni Kadugida kibarua huyo, kelele zote hizo anatafuta sifa mumuone! Mzee mzim asiyekaa akashaurina na wenzake badala ya kuzunguka kwenye vyombo vya habari!
We mzee huna akil
Na yeye ni mwanachama so ni mbumbumbu
Kweli.kaduguda.mangungu.hana.uwezo.
Duuuu kwwelii ni mambumbu
BLAHH BLAHH...MASHABIKI NJAA.......😂😂😂😂😂
🙏🙏🙏
simba wamekosa watu wa mpira walifeli hata kusajili watu .nashauri body iondoe viongozi hao wote wasiokuwa watu wa mpira.
Kawekeze katika kutuelimisha maarifa uliyonayo wape basi na wengine
Kaduguda wewe si kiongozi ……? Mkarekebishe mambo ya Simba.
We uliongoza Simba na kuifikisha wapi?
Mtangazaji mpe muda wa kujieleza unakua kama mangungu wa media
Kaduguda "Amesema mashabiki njanja, blaablaa, elimu ndogo, wanashabikia vitu vya kuhunihuni!!! Wanachama mbumbumbu, halafu oyaoya!!!!"
Huu ndo ukweli mchungu!!!!
Huyu mzee mwanzoni sikumuelewa ila kaongea point sana
MBUMBUMBU 😂 TENA OYAA OYAA😂😂
Wewe mzee wivu wewe ushawai kua bingwa tatizo wewe mzee umeferi
Wanachama wana shilingi ngapi? Wewe mpigaji tu.
Tatizo kubwa linaloikabili Simba ni udalali unaofanywa na baadhi ya wanaohusika na USAJILI
Wakala wa mchezaji asipokubali komisheni (kutoa cha juu)basi mchezaji wake huyo hata awe Bora kiasi gani. HAWAMSAJILI
Na endapo watakubaliana kwa ahadi ya uongo(asipowatekelezea)baada ya kusajiliwa, humfanyia sokomoko alimradi mchezaji huyo aweze kufukuzwa
ADUI WA SIMBA NI SIMBA WENYEWE!!!
MO Mangungo Tray again wote wapigaji
Huyu mzee ananzaa anatafuta pakula...
pale simba tatizo ni moooooooooooo hawa wengine ni mbuzi wa kafara tuu
KADUGUDA ANAONGEA KWELI TUPU....
Kweli mzee mashabiki wa Simba mbumbu wanafuraiya kitu chakijinga mo kaongea mtandaoni wao wanafuraiya mwiteni mo aje mkae kikaopamoja siokuongea mitandaoni mnajifanyamnajuwa hamjuilolote ndiomaana mnapingwa namtapigwa kilasiku Sasa mo kaludisha viongozi walewale mnafuraiya ligi ikianza hatumtaki furani hamuoni hapo mashabiki mnashida kazi mnakaa kwenyemidia mnatukana viongozi huu Sasa ndiowakati wakukutana na viongozi kwapamoja nakuongea ukweli
UNALILIA KATIBA YA SIMBA BADALA YA KATIBA YA NCHI... NAWEWE NIMJINGA TU KAMA WAJINGA WENGINE
Hapa shabiki muelewa mchome pekeake kapinga maneno ya mo lakini waliobaki kilamtu anakwambia kafuraiya maneno yamo haya ngojainyeshe tuone panapovuja
Mo.hana.tatizo.si.anatowa.hela.zake
Kaduguda ww mwenyewe mwanachama kwa hiyo na ww ni mbuumbuu tuu si mwanachama
Kilomoni mwingine huyu hapa
Huyu mzee siku hizi mimi simuelewi
@@fredrickipembe8188😂😂😂 kama alivyokuwa hawaelewi mashabiki oya oya
Anasema ukweli mashabiki awajielewi