Mangungu: "Issa Masoud Hana Mamlaka ya Kuitisha Mkutano | Ni Mchochezi"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มิ.ย. 2024
  • Murtaza Mangungu akizungumza kuhusu usaliti ndani ya klabu ya Simba na maoni ya baadhi ya viongozi na mashabiki #SportsXtra
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 91

  • @mosesregnald7117
    @mosesregnald7117 28 วันที่ผ่านมา +3

    He is a smart leader

  • @amanimfinanga7321
    @amanimfinanga7321 26 วันที่ผ่านมา +1

    Simba hatukutaki achia Simba yetu tokaaa

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619 29 วันที่ผ่านมา +2

    Huyuuu mangungu anajiaminii nini Toka bwana tuachieee timu yetuuu😂😂😂

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelis 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde

  • @Jimmsuva-be5dc
    @Jimmsuva-be5dc 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mangungu mtata sana

  • @mashakaramadhani8665
    @mashakaramadhani8665 20 วันที่ผ่านมา

    Huyo ni mtu fitina sana. Mangungu tuachie simba yetuu!!!

  • @user-vm8pg4yj6u
    @user-vm8pg4yj6u 23 วันที่ผ่านมา

    Mangungu uko vizur ila wachezajii tuuu waidadi Yuko shilikisho

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi timu😅 Mangungu wewe je!?

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 21 วันที่ผ่านมา

    Mangungu ni tatizo

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100Kilindu 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee wangu kwaeshima yako unge ondoka

  • @saynomore7906
    @saynomore7906 28 วันที่ผ่านมา

    Actions speak louder than words........football and politrix is like left and right...

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tc 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hatukutak mangungu Hatukutak mangungu Hatukutak mangungu

  • @gkaniel87
    @gkaniel87 29 วันที่ผ่านมา +1

    Brother una kadi sawa HATUJAKATAA,wewe mwanasimba kindakindaki sawa HATUJAKATAA ila tunaomba UJIUZULU.... Kwasababu hatujihisi tupo salama ku-share dawati la mbinu na wewe wazungu wanasema "we don't feel safe with all our hands on the deck with you".....Ondoka tu brother ili tuuhisi huo usalama kaka....Tunakuomba sana😢

  • @user-xl4io3or7r
    @user-xl4io3or7r 29 วันที่ผ่านมา +1

    Basi mangungu ondoka tu kila mmoja hakutaki tu. Wanasimba hawakutaki.

  • @hamisipande7253
    @hamisipande7253 23 วันที่ผ่านมา

    Umeulizwa swali badala ya kujibu wew unaleta ungesa fakin sana we mzeee

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mangungu hatumtaki mangungu mwambieni

    • @johnsonbernald11
      @johnsonbernald11 28 วันที่ผ่านมา

      Hata wewe unaweza kumwambia

  • @KhamisKitwana-xi8sr
    @KhamisKitwana-xi8sr 24 วันที่ผ่านมา

    Kama watu hawana Imani na were si utoke

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741 28 วันที่ผ่านมา

    Mangungu toka toka toka hatukutaki jaman duh!

  • @trustboy6419
    @trustboy6419 28 วันที่ผ่านมา

    Mangungu aendelee lkn wakae na wajumbe waweke mambo sawa

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4sv 28 วันที่ผ่านมา

    Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 29 วันที่ผ่านมา +1

    We mangungu huna unalolifanya hapo simba umekaa tu kama bumunda tu

  • @user-xd4wj6sn3q
    @user-xd4wj6sn3q 23 วันที่ผ่านมา

    Huyo Mzee ni mwanasiasa t

  • @shijamusilikale4731
    @shijamusilikale4731 23 วันที่ผ่านมา

    We mzee ni mupumbazi sana we ndy mwanasiasi kama ukibaki kwenye timu ya simba inakufa we siyo mzee wa mpira , we ni mutapeli mzee we

  • @franccoz94
    @franccoz94 29 วันที่ผ่านมา +1

    WE MZEE SIMBA NI TEAM KUBWAA, INAONEKANAA UNASHINDWAA KUIONGOZA MISMU MITATU UMEFELI NI VIGUMU SISI KUKUELEWA TUNAOMBA UTUACHIE TEAM YETUU

    • @MichaelMayemba-pc5cp
      @MichaelMayemba-pc5cp 28 วันที่ผ่านมา

      Yah tatizo ni kufeli kwa uongozi kwenye usajili na kupata timu ya ushindani na kupata vyanzo vya uhakika vya fedha inapotokea mwekezaji kakausha kutoa fedha .simba inahitaji kurudisha heshima kwa miaka mitatu kutengeneza timu shindani ndani na nje kumefeli

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741 28 วันที่ผ่านมา

    Acha siasa zako toka bhna

  • @cleophacemasole
    @cleophacemasole 29 วันที่ผ่านมา

    Wewe unayesema ajiuzulu wew unaweza kuiongoza Simba

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 25 วันที่ผ่านมา

    Mashabiki hatukutakiiiiiii

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214 28 วันที่ผ่านมา

    We mzee achia timu ondoka mashabiki na wapenz wa simba hawakutaki. Ondoka , toka nenda kaendeleee na siasa kilwa , toka

  • @HamisiMichael
    @HamisiMichael 29 วันที่ผ่านมา +3

    Yani wewe mangungu upo katika maojiano unaonekana una SEMA uongo alafu sura yako inaonekana tapeli ondoka tuu Simba

    • @johnsonbernald11
      @johnsonbernald11 28 วันที่ผ่านมา

      Uongo wake upo wapi hapo?

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu 28 วันที่ผ่านมา

      Alafu tumpe bibi yako awe mwnyekitii

    • @sinemazakorea
      @sinemazakorea 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@johnsonbernald11shida sio uongo shida haongei vitu anavyotakiwa kuongea.. kiufupi tu angetuambia zipi sababu zilizopelekea simba Okakosa kikosi chenye ushindani kwa kipindi alichokuepo halafu kwenye hizo sababu atushawishi kwamba yeye hakuuhisika kwenye sababu hata moja! ana zunguka zunguka tu anapingana mpk na wajumbe wake anaowaongoza wajumbe wake wanamsema mo vingine ye anasema vingine sasa hizo sio tabia za uongo uongo na unafki?

  • @cleophacemasole
    @cleophacemasole 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi binafsi sioni sababu za kumwondoa Mangungo

    • @user-rp1ly4xc8k
      @user-rp1ly4xc8k 27 วันที่ผ่านมา

      Kinachomnyonga Mangungu ni ujanja janja wake alioufanya kwenye uchaguzi alileta siasa kipindi hicho Manzoki alitakiwa asajiliwe simba ikashindikana akaenda china
      Cku ya uchaguzi akamlipia ndege toka china ili ambust kwenye kampeni na tokea hio siku akapoteza waaminifu kwa watu japo hajajua kama alijichombia kaburi mwenyewe

    • @ibrahimabdullah1887
      @ibrahimabdullah1887 23 วันที่ผ่านมา

      Jee mo apouza wachezaji kina miqson wakati alikuja hazarani kusema hashida ma pesa ya kuwauza wachezaji yeye shida yake kuleta ubingwa wa cuf haya mwezi tu katupiwa hela kauzaa bila wachezaji kutaka ni nani tapeli mimi simba ila hapo magungu hawezi kuitoa timu kwa hao wapigaji na kujificha juu ya mgongo wake kama huna taluma mimi nisomea usalama na nigundua hilo nasimama na magungu simba ni yawanachama hawezi kuziwa mtu akeze tu na sheria ni wakezaji watatu haya nambie kuhusu uzamini kwann mo hataki company za njee zizamini​@@user-rp1ly4xc8k

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef 28 วันที่ผ่านมา

    Dah yan huyu mzee Kama ankuwa serious na simba ni mtu katili San Kwenye misimamao ila hatujui ana usiri gani yani yupo kihitlahitla Sio poa

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 27 วันที่ผ่านมา

    hatukutaki wew nenda zako wew

  • @HassaniJuma-wq3qb
    @HassaniJuma-wq3qb 24 วันที่ผ่านมา

    We mzee siku tutakuja kukupiga wewe ondoka jamani ondokaaaaaaaaaaaaa

  • @user-ny6xw4ps4r
    @user-ny6xw4ps4r 23 วันที่ผ่านมา

    Mangungu tukimwona huku kwetu chamoto atakiona

  • @BoniphasLukas
    @BoniphasLukas 27 วันที่ผ่านมา

    Kwann unang'ang'ania kwann kwan siuondoke achia mwizi ww

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100Kilindu 27 วันที่ผ่านมา

    Mzee sasa uta muongoza Nani nahatukutaki

  • @sinemazakorea
    @sinemazakorea 28 วันที่ผ่านมา

    Yani huyu kweli mwanasiasa anachoongea hata hakieleweki yeye na wajumbe wake wenyewe wanapingana 😅 haya basi kwa ufupi angetuambia nn kimefanya simba isiwe na kikosi kizuri chenye ushindani? Simple kabisa bila kuzunguka zunguka atupe sababu za simba kutokua na kikosi cha ushindani alafu humo kwenye hizo sababu atushawishi kuwambwa yeye hakuhusika kwenye sababu hata moja ili tuone kwamba hajashindwa kazi na hana sababu ya kujiuzulu

  • @YahyaKhalfana
    @YahyaKhalfana 28 วันที่ผ่านมา

    Ata ikimaliza taar ubingwa 😅😅

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4sv 28 วันที่ผ่านมา

    Acha siasa achi engo mzeee hutufai

  • @righitkileo
    @righitkileo 28 วันที่ผ่านมา

    Kwan ukijiuzulu itakuqalimu nn?? Si ni kotendo cha kiunqwana tu kama watu wamepoteza Iman haina haja .unaheshi maamuz ya wenqi.

  • @JumaAlly-fb3xq
    @JumaAlly-fb3xq 27 วันที่ผ่านมา

    Wee mzee nae hilo jina lako linachangia tukuchukie wewe nenda mzee hatukutak

  • @PaskoSambo-pz7oy
    @PaskoSambo-pz7oy 28 วันที่ผ่านมา

    Atoke uyo mwongo mwongo Yani ulivo sema wanachama wengi wanamwamini mo kuliko uyo mangungu atumtaki mangungu ajiuzuli tu

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 28 วันที่ผ่านมา

    Aaaaah,, kumbe ubasubiri wiki ijayo ndo ujiuzuru eee! Jpili ndo tunakuondoaa

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 27 วันที่ผ่านมา

    Haka kazee cjui kanataka nini

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x 25 วันที่ผ่านมา

    Unang'ang'ania Nini achia ngazi hatukutaki

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741 28 วันที่ผ่านมา

    Wewe Mangungu sio mtu wa mpira ww unatuletea siasa kwenye soka na ujanjaunja mwingi unaenda kutuletea manzoki na bado hukuona aibu ukaenda kutuletea na Mayele siasa na mpira havindi pamoja, kwa masilahi mapana ya simba maana simba sio yako kaa pembeni hatukutaki yan ungekua na mapenzi mema na simba kwanza ungekua umesha achia ngazi ila ww ......??

  • @ignasamando9593
    @ignasamando9593 29 วันที่ผ่านมา

    Hatuna mtu anashidwa kuwa na KADI ya Simba we na kipara chako umeshindwa kuweka mifumo mzuriii ili wetu wachukue hizo KADI na kuwa wanachama rasmi.Ww hapo Simba hutoshi mzeee Simba Kubwa kuliko ww.
    Kama kweliii ww ni mwamba itisha mkutano wa dharura ili tujadili kwa nn viongozi wa boards upande wa wadhamini wanajiudhuru.

  • @DashAhmad-mp7ne
    @DashAhmad-mp7ne 28 วันที่ผ่านมา

    Toka bhana wwe unazingua

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 28 วันที่ผ่านมา

    Unatafuta huruma ya watu ili iweje, ita mutant tukuhukum wenye simba yetu

  • @alitante4279
    @alitante4279 29 วันที่ผ่านมา +1

    Alf hk kizee kinajeur sanaa na kiburi bt dawa yke ipo jikoni

    • @johnsonbernald11
      @johnsonbernald11 28 วันที่ผ่านมา

      Dawa gani hiyo au unajichekesha wewe mwenyewe?

    • @alitante4279
      @alitante4279 28 วันที่ผ่านมา

      @@johnsonbernald11 ya kujiuzuluu kwa lazma

  • @chancelorharubu2731
    @chancelorharubu2731 26 วันที่ผ่านมา

    Kama sio msaliti mbona huambatani na team inapokwenda kwenye mechi zake,au wewe ni mwwnyekiti w mpira wa kikpu

  • @user-zf2kf3ik5z
    @user-zf2kf3ik5z 28 วันที่ผ่านมา

    Unapenda vyeo si ubanduke? Moyo wako unajua kwenye umma unaweza kudanganya toka kwenye uongozi

  • @Rafaeltuli-gw8ii
    @Rafaeltuli-gw8ii 28 วันที่ผ่านมา

    hatukutaki toka

  • @user-hi5hi7nt3b
    @user-hi5hi7nt3b 29 วันที่ผ่านมา

    Wewe tunakwambia wazi hufai unapoteza muda tu unalazimisha ila hatukutaki

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 22 วันที่ผ่านมา

    Kwa kifupi ww umefeli kuiongoza Simba,haiwezekani tokea uanze kuiongoza Simba imekuwa ikiboronga tu,nyi yi mnaendekea kulipana posho za jasho la wanasimba,ivi mnachong,ng,nia hapo ni nn?Acheni ulimbukeni wa ki uongozi,.km ni riziki ni popote na sio Simba tu ,jifunzeni kuwa na aibu msilazimishe bakora kuwafuata

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 29 วันที่ผ่านมา

    Nyie mwaka huu mme sajili nan? Ambae yupo bora

  • @NoelVitalis-xe6hb
    @NoelVitalis-xe6hb 29 วันที่ผ่านมา

    Mangungu we sepa tu maana anaekwamisha maendeleo simba ndo wewe

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 29 วันที่ผ่านมา +1

    Wanasimba tunasema kikubwa ni wewe kutoka tokaaaaaaaaaaA

    • @johnsonbernald11
      @johnsonbernald11 28 วันที่ผ่านมา

      Usitujumlishe, sema wewe ndo unataka sio sisi wote

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 28 วันที่ผ่านมา

      @@johnsonbernald11 nawe pia tokaaaaaaaaaaaa wanasimba tumesema atokeeeeeeeeeeeeeee ingia mitandao yote na matawi yote wanachama hatumtakiiiiiiiiiiiiiii Toka nae kama unaumia tokeniiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 24 วันที่ผ่านมา

    HAPO ULIPO UONGOZI WA SIMBA SIO KUTUMIA SHERIA BALI HEKIMA NA KUACHIA MADARAKA kwa manufaa ya TIMU.IKIWA Uongozi ni kwa Maslahi ya timu kiongozi ubaki kufanya nini ikiwa HUNA MASLAHI BINAFSI?

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 29 วันที่ผ่านมา

    Wewe mangungu jifanye msani tu kichachako kitapona ondoka araka atukutak

  • @HillaryMasheyo
    @HillaryMasheyo 23 วันที่ผ่านมา

    Ondoka wewe mzee timu siyo ya baba yako

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 28 วันที่ผ่านมา

    We mzee na uwalaza lako,yan makelele yote haya na bado umèkomalia madaraka SI UTOKE KWANI TIMU NI YAKO AU YA FAMILIAR YAKO OVYO KABISA

  • @franccoz94
    @franccoz94 29 วันที่ผ่านมา

    SHIDA YA MANGUNGU N MWANA SIASA, HUWEZI KULETA SIASA KWENYE MPIRA

    • @brunomchalla4439
      @brunomchalla4439 29 วันที่ผ่านมา

      Hata hiyo siasa haijui, angeweza kuwaunganisha wana Simba badala ya kuleta mpasuko

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 29 วันที่ผ่านมา

      Kweli Kabisa Mangungu lakini wewe hutakiwi Simba na kinachokuponza huna Hela na mo haguswi kwa sbb ni Tajiri lakini Makosa yapo kwa Mo timu inaboronga anaangalia tu sio kwa Bahati Mbaya ni makusudi ili wewe akuangushie jumbo Bovu utolewe kafara na ndicho kilichotokea na kinachoendelea wewe hutakiwi na Boss na hao waliojiuzuru upande wa Boss anaowataka atawarudisha tu kujiuzuru kwa Jaribu Tena ni kiinimacho tu ili wewe ujiresi wao warudi kwa kivuli tumeludiswa na Boss

  • @alitante4279
    @alitante4279 29 วันที่ผ่านมา

    Mchawi ni usajil tu na mashirikiano mazr uwandaji wa mechi bc hyo mengn ata hatujl sana kulen pesa mtakavyo bt sisi tunatk furah tu ushindi

  • @mtangag774
    @mtangag774 29 วันที่ผ่านมา

    Kumbe

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 29 วันที่ผ่านมา

    Mohamed Mo tuna matumaini Na wewe

  • @bensonmwakipexle8960
    @bensonmwakipexle8960 28 วันที่ผ่านมา

    Unajielewa wewe

  • @brunomchalla4439
    @brunomchalla4439 29 วันที่ผ่านมา

    Mangungu wewe uliye na mamlaka ya kuitisha mkutano unangoja nini wakati huu wa kuiokoa Simba? Heri huyo anayethubutu kuiokoa club. Wewe hujali kuzima migogoro , umebakia tu kung’ang’ania taratibu zifuatwe. Hujuma hiyo Mzee.

    • @iddkabange1573
      @iddkabange1573 29 วันที่ผ่านมา

      Hakuna Mfumo huo Simba. Maamuzi yote yanafanya na Mkutano Wa Bodi ya Wajumbe. So Mangungu hawezi Kufanya Maamuzi yoyote Hadi MO ateue Wajumbe wake 7Ndio waitishe Mkutano na ndio Management itatangaza Mkutano kupitia Kwa Mtendaji Mkuu

  • @kakururubambula7270
    @kakururubambula7270 29 วันที่ผ่านมา

    mangungu Baki mpaka muda wako uishe! Wanachama walipitisha katiba mbovu inayokufunga mikono anayetakiwa kuwajibika ni bwana mo bahati mbaya wenye njaa ndo wapo upande wa mo! Huwezi kusikia wanasema kuhusu mapungufu ya mo kupiga b20! Hawa m pesa zao zimetumia pesa kuchafua hali ya hewa ili mangungu utokee kwa sababu umegoma kupitisha msaada wa mo kuwa mtaji!

    • @edgarmbegu1974
      @edgarmbegu1974 28 วันที่ผ่านมา

      We jamaa mpumbavu kweli. Mbona utopolo mnamkumbatia GSM?

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4sv 28 วันที่ผ่านมา

    Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelis 29 วันที่ผ่านมา

    Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelis 29 วันที่ผ่านมา

    Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelis 29 วันที่ผ่านมา

    Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4sv 28 วันที่ผ่านมา

    Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai