Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Brother una kadi sawa HATUJAKATAA,wewe mwanasimba kindakindaki sawa HATUJAKATAA ila tunaomba UJIUZULU.... Kwasababu hatujihisi tupo salama ku-share dawati la mbinu na wewe wazungu wanasema "we don't feel safe with all our hands on the deck with you".....Ondoka tu brother ili tuuhisi huo usalama kaka....Tunakuomba sana😢
Yah tatizo ni kufeli kwa uongozi kwenye usajili na kupata timu ya ushindani na kupata vyanzo vya uhakika vya fedha inapotokea mwekezaji kakausha kutoa fedha .simba inahitaji kurudisha heshima kwa miaka mitatu kutengeneza timu shindani ndani na nje kumefeli
@@johnsonbernald11shida sio uongo shida haongei vitu anavyotakiwa kuongea.. kiufupi tu angetuambia zipi sababu zilizopelekea simba Okakosa kikosi chenye ushindani kwa kipindi alichokuepo halafu kwenye hizo sababu atushawishi kwamba yeye hakuuhisika kwenye sababu hata moja! ana zunguka zunguka tu anapingana mpk na wajumbe wake anaowaongoza wajumbe wake wanamsema mo vingine ye anasema vingine sasa hizo sio tabia za uongo uongo na unafki?
Kinachomnyonga Mangungu ni ujanja janja wake alioufanya kwenye uchaguzi alileta siasa kipindi hicho Manzoki alitakiwa asajiliwe simba ikashindikana akaenda china Cku ya uchaguzi akamlipia ndege toka china ili ambust kwenye kampeni na tokea hio siku akapoteza waaminifu kwa watu japo hajajua kama alijichombia kaburi mwenyewe
Jee mo apouza wachezaji kina miqson wakati alikuja hazarani kusema hashida ma pesa ya kuwauza wachezaji yeye shida yake kuleta ubingwa wa cuf haya mwezi tu katupiwa hela kauzaa bila wachezaji kutaka ni nani tapeli mimi simba ila hapo magungu hawezi kuitoa timu kwa hao wapigaji na kujificha juu ya mgongo wake kama huna taluma mimi nisomea usalama na nigundua hilo nasimama na magungu simba ni yawanachama hawezi kuziwa mtu akeze tu na sheria ni wakezaji watatu haya nambie kuhusu uzamini kwann mo hataki company za njee zizamini@@user-rp1ly4xc8k
Yani huyu kweli mwanasiasa anachoongea hata hakieleweki yeye na wajumbe wake wenyewe wanapingana 😅 haya basi kwa ufupi angetuambia nn kimefanya simba isiwe na kikosi kizuri chenye ushindani? Simple kabisa bila kuzunguka zunguka atupe sababu za simba kutokua na kikosi cha ushindani alafu humo kwenye hizo sababu atushawishi kuwambwa yeye hakuhusika kwenye sababu hata moja ili tuone kwamba hajashindwa kazi na hana sababu ya kujiuzulu
Wewe Mangungu sio mtu wa mpira ww unatuletea siasa kwenye soka na ujanjaunja mwingi unaenda kutuletea manzoki na bado hukuona aibu ukaenda kutuletea na Mayele siasa na mpira havindi pamoja, kwa masilahi mapana ya simba maana simba sio yako kaa pembeni hatukutaki yan ungekua na mapenzi mema na simba kwanza ungekua umesha achia ngazi ila ww ......??
Hatuna mtu anashidwa kuwa na KADI ya Simba we na kipara chako umeshindwa kuweka mifumo mzuriii ili wetu wachukue hizo KADI na kuwa wanachama rasmi.Ww hapo Simba hutoshi mzeee Simba Kubwa kuliko ww. Kama kweliii ww ni mwamba itisha mkutano wa dharura ili tujadili kwa nn viongozi wa boards upande wa wadhamini wanajiudhuru.
Kwa kifupi ww umefeli kuiongoza Simba,haiwezekani tokea uanze kuiongoza Simba imekuwa ikiboronga tu,nyi yi mnaendekea kulipana posho za jasho la wanasimba,ivi mnachong,ng,nia hapo ni nn?Acheni ulimbukeni wa ki uongozi,.km ni riziki ni popote na sio Simba tu ,jifunzeni kuwa na aibu msilazimishe bakora kuwafuata
@@johnsonbernald11 nawe pia tokaaaaaaaaaaaa wanasimba tumesema atokeeeeeeeeeeeeeee ingia mitandao yote na matawi yote wanachama hatumtakiiiiiiiiiiiiiii Toka nae kama unaumia tokeniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
HAPO ULIPO UONGOZI WA SIMBA SIO KUTUMIA SHERIA BALI HEKIMA NA KUACHIA MADARAKA kwa manufaa ya TIMU.IKIWA Uongozi ni kwa Maslahi ya timu kiongozi ubaki kufanya nini ikiwa HUNA MASLAHI BINAFSI?
Kweli Kabisa Mangungu lakini wewe hutakiwi Simba na kinachokuponza huna Hela na mo haguswi kwa sbb ni Tajiri lakini Makosa yapo kwa Mo timu inaboronga anaangalia tu sio kwa Bahati Mbaya ni makusudi ili wewe akuangushie jumbo Bovu utolewe kafara na ndicho kilichotokea na kinachoendelea wewe hutakiwi na Boss na hao waliojiuzuru upande wa Boss anaowataka atawarudisha tu kujiuzuru kwa Jaribu Tena ni kiinimacho tu ili wewe ujiresi wao warudi kwa kivuli tumeludiswa na Boss
Mangungu wewe uliye na mamlaka ya kuitisha mkutano unangoja nini wakati huu wa kuiokoa Simba? Heri huyo anayethubutu kuiokoa club. Wewe hujali kuzima migogoro , umebakia tu kung’ang’ania taratibu zifuatwe. Hujuma hiyo Mzee.
Hakuna Mfumo huo Simba. Maamuzi yote yanafanya na Mkutano Wa Bodi ya Wajumbe. So Mangungu hawezi Kufanya Maamuzi yoyote Hadi MO ateue Wajumbe wake 7Ndio waitishe Mkutano na ndio Management itatangaza Mkutano kupitia Kwa Mtendaji Mkuu
mangungu Baki mpaka muda wako uishe! Wanachama walipitisha katiba mbovu inayokufunga mikono anayetakiwa kuwajibika ni bwana mo bahati mbaya wenye njaa ndo wapo upande wa mo! Huwezi kusikia wanasema kuhusu mapungufu ya mo kupiga b20! Hawa m pesa zao zimetumia pesa kuchafua hali ya hewa ili mangungu utokee kwa sababu umegoma kupitisha msaada wa mo kuwa mtaji!
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
He is a smart leader
Simba hatukutaki achia Simba yetu tokaaa
Huyuuu mangungu anajiaminii nini Toka bwana tuachieee timu yetuuu😂😂😂
Wewe unatimu?
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Mangungu mtata sana
Huyo ni mtu fitina sana. Mangungu tuachie simba yetuu!!!
Mangungu uko vizur ila wachezajii tuuu waidadi Yuko shilikisho
Mimi timu😅 Mangungu wewe je!?
Mangungu ni tatizo
Mzee wangu kwaeshima yako unge ondoka
Actions speak louder than words........football and politrix is like left and right...
Hatukutak mangungu Hatukutak mangungu Hatukutak mangungu
Hamtaki kawakosea nini
Brother una kadi sawa HATUJAKATAA,wewe mwanasimba kindakindaki sawa HATUJAKATAA ila tunaomba UJIUZULU.... Kwasababu hatujihisi tupo salama ku-share dawati la mbinu na wewe wazungu wanasema "we don't feel safe with all our hands on the deck with you".....Ondoka tu brother ili tuuhisi huo usalama kaka....Tunakuomba sana😢
Basi mangungu ondoka tu kila mmoja hakutaki tu. Wanasimba hawakutaki.
Umeulizwa swali badala ya kujibu wew unaleta ungesa fakin sana we mzeee
Mangungu hatumtaki mangungu mwambieni
Hata wewe unaweza kumwambia
Kama watu hawana Imani na were si utoke
Mangungu toka toka toka hatukutaki jaman duh!
Mangungu aendelee lkn wakae na wajumbe waweke mambo sawa
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai
We mangungu huna unalolifanya hapo simba umekaa tu kama bumunda tu
Huyo Mzee ni mwanasiasa t
We mzee ni mupumbazi sana we ndy mwanasiasi kama ukibaki kwenye timu ya simba inakufa we siyo mzee wa mpira , we ni mutapeli mzee we
WE MZEE SIMBA NI TEAM KUBWAA, INAONEKANAA UNASHINDWAA KUIONGOZA MISMU MITATU UMEFELI NI VIGUMU SISI KUKUELEWA TUNAOMBA UTUACHIE TEAM YETUU
Yah tatizo ni kufeli kwa uongozi kwenye usajili na kupata timu ya ushindani na kupata vyanzo vya uhakika vya fedha inapotokea mwekezaji kakausha kutoa fedha .simba inahitaji kurudisha heshima kwa miaka mitatu kutengeneza timu shindani ndani na nje kumefeli
Acha siasa zako toka bhna
Wewe unayesema ajiuzulu wew unaweza kuiongoza Simba
Mashabiki hatukutakiiiiiii
We mzee achia timu ondoka mashabiki na wapenz wa simba hawakutaki. Ondoka , toka nenda kaendeleee na siasa kilwa , toka
Yani wewe mangungu upo katika maojiano unaonekana una SEMA uongo alafu sura yako inaonekana tapeli ondoka tuu Simba
Uongo wake upo wapi hapo?
Alafu tumpe bibi yako awe mwnyekitii
@@johnsonbernald11shida sio uongo shida haongei vitu anavyotakiwa kuongea.. kiufupi tu angetuambia zipi sababu zilizopelekea simba Okakosa kikosi chenye ushindani kwa kipindi alichokuepo halafu kwenye hizo sababu atushawishi kwamba yeye hakuuhisika kwenye sababu hata moja! ana zunguka zunguka tu anapingana mpk na wajumbe wake anaowaongoza wajumbe wake wanamsema mo vingine ye anasema vingine sasa hizo sio tabia za uongo uongo na unafki?
Mimi binafsi sioni sababu za kumwondoa Mangungo
Kinachomnyonga Mangungu ni ujanja janja wake alioufanya kwenye uchaguzi alileta siasa kipindi hicho Manzoki alitakiwa asajiliwe simba ikashindikana akaenda china
Cku ya uchaguzi akamlipia ndege toka china ili ambust kwenye kampeni na tokea hio siku akapoteza waaminifu kwa watu japo hajajua kama alijichombia kaburi mwenyewe
Jee mo apouza wachezaji kina miqson wakati alikuja hazarani kusema hashida ma pesa ya kuwauza wachezaji yeye shida yake kuleta ubingwa wa cuf haya mwezi tu katupiwa hela kauzaa bila wachezaji kutaka ni nani tapeli mimi simba ila hapo magungu hawezi kuitoa timu kwa hao wapigaji na kujificha juu ya mgongo wake kama huna taluma mimi nisomea usalama na nigundua hilo nasimama na magungu simba ni yawanachama hawezi kuziwa mtu akeze tu na sheria ni wakezaji watatu haya nambie kuhusu uzamini kwann mo hataki company za njee zizamini@@user-rp1ly4xc8k
Dah yan huyu mzee Kama ankuwa serious na simba ni mtu katili San Kwenye misimamao ila hatujui ana usiri gani yani yupo kihitlahitla Sio poa
hatukutaki wew nenda zako wew
We mzee siku tutakuja kukupiga wewe ondoka jamani ondokaaaaaaaaaaaaa
Mangungu tukimwona huku kwetu chamoto atakiona
Kwann unang'ang'ania kwann kwan siuondoke achia mwizi ww
Mzee sasa uta muongoza Nani nahatukutaki
Yani huyu kweli mwanasiasa anachoongea hata hakieleweki yeye na wajumbe wake wenyewe wanapingana 😅 haya basi kwa ufupi angetuambia nn kimefanya simba isiwe na kikosi kizuri chenye ushindani? Simple kabisa bila kuzunguka zunguka atupe sababu za simba kutokua na kikosi cha ushindani alafu humo kwenye hizo sababu atushawishi kuwambwa yeye hakuhusika kwenye sababu hata moja ili tuone kwamba hajashindwa kazi na hana sababu ya kujiuzulu
Ata ikimaliza taar ubingwa 😅😅
Acha siasa achi engo mzeee hutufai
Kwan ukijiuzulu itakuqalimu nn?? Si ni kotendo cha kiunqwana tu kama watu wamepoteza Iman haina haja .unaheshi maamuz ya wenqi.
Wee mzee nae hilo jina lako linachangia tukuchukie wewe nenda mzee hatukutak
Atoke uyo mwongo mwongo Yani ulivo sema wanachama wengi wanamwamini mo kuliko uyo mangungu atumtaki mangungu ajiuzuli tu
Aaaaah,, kumbe ubasubiri wiki ijayo ndo ujiuzuru eee! Jpili ndo tunakuondoaa
Haka kazee cjui kanataka nini
Unang'ang'ania Nini achia ngazi hatukutaki
Wewe Mangungu sio mtu wa mpira ww unatuletea siasa kwenye soka na ujanjaunja mwingi unaenda kutuletea manzoki na bado hukuona aibu ukaenda kutuletea na Mayele siasa na mpira havindi pamoja, kwa masilahi mapana ya simba maana simba sio yako kaa pembeni hatukutaki yan ungekua na mapenzi mema na simba kwanza ungekua umesha achia ngazi ila ww ......??
Hatuna mtu anashidwa kuwa na KADI ya Simba we na kipara chako umeshindwa kuweka mifumo mzuriii ili wetu wachukue hizo KADI na kuwa wanachama rasmi.Ww hapo Simba hutoshi mzeee Simba Kubwa kuliko ww.
Kama kweliii ww ni mwamba itisha mkutano wa dharura ili tujadili kwa nn viongozi wa boards upande wa wadhamini wanajiudhuru.
Toka bhana wwe unazingua
Unatafuta huruma ya watu ili iweje, ita mutant tukuhukum wenye simba yetu
Alf hk kizee kinajeur sanaa na kiburi bt dawa yke ipo jikoni
Dawa gani hiyo au unajichekesha wewe mwenyewe?
@@johnsonbernald11 ya kujiuzuluu kwa lazma
Kama sio msaliti mbona huambatani na team inapokwenda kwenye mechi zake,au wewe ni mwwnyekiti w mpira wa kikpu
Unapenda vyeo si ubanduke? Moyo wako unajua kwenye umma unaweza kudanganya toka kwenye uongozi
hatukutaki toka
Wewe tunakwambia wazi hufai unapoteza muda tu unalazimisha ila hatukutaki
Kwa kifupi ww umefeli kuiongoza Simba,haiwezekani tokea uanze kuiongoza Simba imekuwa ikiboronga tu,nyi yi mnaendekea kulipana posho za jasho la wanasimba,ivi mnachong,ng,nia hapo ni nn?Acheni ulimbukeni wa ki uongozi,.km ni riziki ni popote na sio Simba tu ,jifunzeni kuwa na aibu msilazimishe bakora kuwafuata
Nyie mwaka huu mme sajili nan? Ambae yupo bora
Mangungu we sepa tu maana anaekwamisha maendeleo simba ndo wewe
Wanasimba tunasema kikubwa ni wewe kutoka tokaaaaaaaaaaA
Usitujumlishe, sema wewe ndo unataka sio sisi wote
@@johnsonbernald11 nawe pia tokaaaaaaaaaaaa wanasimba tumesema atokeeeeeeeeeeeeeee ingia mitandao yote na matawi yote wanachama hatumtakiiiiiiiiiiiiiii Toka nae kama unaumia tokeniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
HAPO ULIPO UONGOZI WA SIMBA SIO KUTUMIA SHERIA BALI HEKIMA NA KUACHIA MADARAKA kwa manufaa ya TIMU.IKIWA Uongozi ni kwa Maslahi ya timu kiongozi ubaki kufanya nini ikiwa HUNA MASLAHI BINAFSI?
Wewe mangungu jifanye msani tu kichachako kitapona ondoka araka atukutak
Ondoka wewe mzee timu siyo ya baba yako
We mzee na uwalaza lako,yan makelele yote haya na bado umèkomalia madaraka SI UTOKE KWANI TIMU NI YAKO AU YA FAMILIAR YAKO OVYO KABISA
SHIDA YA MANGUNGU N MWANA SIASA, HUWEZI KULETA SIASA KWENYE MPIRA
Hata hiyo siasa haijui, angeweza kuwaunganisha wana Simba badala ya kuleta mpasuko
Kweli Kabisa Mangungu lakini wewe hutakiwi Simba na kinachokuponza huna Hela na mo haguswi kwa sbb ni Tajiri lakini Makosa yapo kwa Mo timu inaboronga anaangalia tu sio kwa Bahati Mbaya ni makusudi ili wewe akuangushie jumbo Bovu utolewe kafara na ndicho kilichotokea na kinachoendelea wewe hutakiwi na Boss na hao waliojiuzuru upande wa Boss anaowataka atawarudisha tu kujiuzuru kwa Jaribu Tena ni kiinimacho tu ili wewe ujiresi wao warudi kwa kivuli tumeludiswa na Boss
Mchawi ni usajil tu na mashirikiano mazr uwandaji wa mechi bc hyo mengn ata hatujl sana kulen pesa mtakavyo bt sisi tunatk furah tu ushindi
Kumbe
Mohamed Mo tuna matumaini Na wewe
Unajielewa wewe
Mangungu wewe uliye na mamlaka ya kuitisha mkutano unangoja nini wakati huu wa kuiokoa Simba? Heri huyo anayethubutu kuiokoa club. Wewe hujali kuzima migogoro , umebakia tu kung’ang’ania taratibu zifuatwe. Hujuma hiyo Mzee.
Hakuna Mfumo huo Simba. Maamuzi yote yanafanya na Mkutano Wa Bodi ya Wajumbe. So Mangungu hawezi Kufanya Maamuzi yoyote Hadi MO ateue Wajumbe wake 7Ndio waitishe Mkutano na ndio Management itatangaza Mkutano kupitia Kwa Mtendaji Mkuu
mangungu Baki mpaka muda wako uishe! Wanachama walipitisha katiba mbovu inayokufunga mikono anayetakiwa kuwajibika ni bwana mo bahati mbaya wenye njaa ndo wapo upande wa mo! Huwezi kusikia wanasema kuhusu mapungufu ya mo kupiga b20! Hawa m pesa zao zimetumia pesa kuchafua hali ya hewa ili mangungu utokee kwa sababu umegoma kupitisha msaada wa mo kuwa mtaji!
We jamaa mpumbavu kweli. Mbona utopolo mnamkumbatia GSM?
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai