Mo alisema, yeye aliongoza miaka mitatu akaiona timu imesimama vizuri akaamua kuwakabidhi wewe na try again ikiwa na vikombe vyote, yaani kama ni biashara ilikuwa imeshasimama vizuri, mategemeo yake nyinyi mtaitoa pale alipoicha yeye na kiipeleka juuu zaidi, sasa mnatakiwa mjiulize biashara mliyoachiwa mnaikuza au mnaiua? Miaka 3 duka limebaki jeupe ata kipande Cha sabuni hakuna na timu imeshika nafasi ya tatu tuwaeleje? Tumia busara achia ngazi.
Magungu your best kuliko una vision sana mzee natamani ungekuwa Yanga but hawawezi kuhelewa KBs kwa sasa but watakuhelewa siku moja mo nikwasababu hana toa pesa kwa watu ndio maana unatakiwa usichoke hata kdg mzee wangu
Acha woga Mangungu, itisha mkutano wa dharura wa wanachama ueleze matatizo ya club . Sio kukimbilia mahojiano na waandishi. Hujiamini . Club iko I C U tunamuhitaji MO Kuinusuru , utaratibu utafuata baadae.
yaani huyu babu hajui chochote ni wazi anakaa tu ktk cheo chake anaulizwa wapi wanafanya kitu yeye anajibu venue au dah km ataendelea huyu tutasundana mangumi siku zijazo kwa kweli
Mangungu piga kaziiii sisi wana chama wa Tanzania tuko pamoja usitishwe na mapimbiii piga kazi sisi serikali na wanachama tuko pampja na mooo ukiondoka simba itashuka daraja 😢😢😢😢😢😢
Taasisi ikifeli mkononi mwako ...kujihudhuru ni mojawapo mwa alama ya kutokuwa msaliti..uking'ang'ania maana yake unatamani yanayoendelea yaendelee.ili tuendelee kufeli na kuwa na kadi siyo sababu ya kutokuwa msaliti.pandikizi hawezi pandikizwa jujuuu tuu..ili tukuelewe jihudhuru tuweke mwingine.
Hao wote wanaosapoti kukupongea hao ni yanga yanga, tunachotaka mangungu ondoka tutakufanya vibaya, kama ni vita naive vita, mama samia hatutakuelewa kama usipoingili kati kutuondolelea mangungu,
Mangungu Uliikuta Simba Sports Club ikiwa na Heshima Zake KITAIFA na KIMATAIFA. Leo Mikononi Mwa Uongozi Wako Mbovu Sasa Hivi Simba Sports Club Imedodora KIUUNGWANA JIUUZULU Usijekuondoka kwa Aibuuuuu.
Mangungu jipange pamoja na wenzio tunataka simba.bora achana na wapiga kelele watanyamaza TU kinacholeta shida ni matokeo ya uwanjani hicho ndiyo tunachohitaji mashabiki
Hujamaa hana jioya aondoke tu kama wenziwe wanasimba hatumuamini kwanza kiingia hapo kwwnye uongoI kaingia kwa fedha kwamsikiyizo aondoke hatakiwi kuwepo hapo hana analoliganya
Kiuunqana tu mmninqekuwa ndo huyu mzee Ninqejiuzulu mapema sana. Unaweza jiuzuu.kwa hwahima yako ukabakia mwanachama wa kawaida inqekuwa.safi saba
Wewe mangungu Toka bwanaa,, HATUKUTAKI
Kwa nn haumtaki?
Kawakosea nn uyu babu,, Kwan yeye ndo anasajili wachezaj?
Alafu tumuwekee bibi yako awe mwenykitii???
NYIE VIBARAKA WA MANGUNGU MNAFIRWA NYIE SHENZISTAN KABISA
Jaman ivi mnamuojije uyo atoke tu atumtaki
Mangungu aondoke
Acha mihemuko
Mzee shida transformation mbna inakuwa haifikii mwisho
Mo alisema, yeye aliongoza miaka mitatu akaiona timu imesimama vizuri akaamua kuwakabidhi wewe na try again ikiwa na vikombe vyote, yaani kama ni biashara ilikuwa imeshasimama vizuri, mategemeo yake nyinyi mtaitoa pale alipoicha yeye na kiipeleka juuu zaidi, sasa mnatakiwa mjiulize biashara mliyoachiwa mnaikuza au mnaiua? Miaka 3 duka limebaki jeupe ata kipande Cha sabuni hakuna na timu imeshika nafasi ya tatu tuwaeleje? Tumia busara achia ngazi.
Unaweza kumpongeza mtu aliyefeli
Ngungu Boy tokaaaa
Mzee wa hovyo sana
Hatukutaki mzee acha maneno mengi
Magungu your best kuliko una vision sana mzee natamani ungekuwa Yanga but hawawezi kuhelewa KBs kwa sasa but watakuhelewa siku moja mo nikwasababu hana toa pesa kwa watu ndio maana unatakiwa usichoke hata kdg mzee wangu
Tokaaaaaaaaaa
Wewe banaaa ni Yangaa banaaa, acha kutuzugaaaaa banaa
Mangungu now kaa nabibi tu nyumbani tuachie Simba yetu
We mangungu umetumwa nn😮
Acha woga Mangungu, itisha mkutano wa dharura wa wanachama ueleze matatizo ya club . Sio kukimbilia mahojiano na waandishi. Hujiamini . Club iko
I C U tunamuhitaji MO Kuinusuru , utaratibu utafuata baadae.
Mangungu atokeeeeeeeee
Hawezi kua sahihi Tim imeshindwa vikombe vyote ni sahihi yeye kuondoka hiyo ndio kawaida
Mangungu yupo vizuri Sana piga kazi
Ww Yanga
Madrid ilishawahi kusajili wachezaji wote wazuri, miaka ya 2000 mpaka 2004.
Tangu Simba umechukuwa mwenyekiti unatufelisha hakuna maendeleo yyt
Jamaa hadi.amekonda toka
MANGUNGU tuna imani kubwa sana na ww
Saana
Huyu ni tapeli tu😂
Ulikuwa wap mzee at kwenye mech huonekan
Mangungu tokaaa hapo Simba hatukutakii
Tena aondoke hatumtaki
Mangungu usiondoke , yaani ww ndio mtu muhimu hapo
yaani huyu babu hajui chochote ni wazi anakaa tu ktk cheo chake anaulizwa wapi wanafanya kitu yeye anajibu venue au dah km ataendelea huyu tutasundana mangumi siku zijazo kwa kweli
Mangungu tuachiye Tim yetu kwani Simba imekuzaa
Hatuitaji siasa katika mpira,tuachie simba yetu,we ni kirusi,siasa kafanyie kwako.
Wewe mzee nikiongozi unaona mupo sawa tulitengemea munaleta mabadiliko umekalia malubano naupiga dili
Mangungo aondoke tu
Liningaww toka
Unalazimisha nini hapo Simba kwann unatufelisha alafu unafaida gani hapo Simba tumekuchoka sana Mara unamleta mazoki
Kujivisha umwenyekiti unafanya wanachama tukutoe Kwa nguvu.
Huyu Mhuni alileta Manzoki kwa ajili ya Kampeni
We Mangungu kwani huna kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuing'ang'ania nafasi ya uenyekiti wa Simba? Unachokitaka Hapo Simba ni kipi?
huyo ni mamluki wa watu huyo ila atajuwa mwenyewe mungu yupo
Mangungu mxenge ww
Wewe uli sitahili ukaongoze mashoga siyo Simba huna sura ya kuongoza
We
Sema tu sisi atukutak
Mangungu anajibu maswali kisiasa tuu
Tuoneshe iyo kadi ya 93
Mwamba karudi povu linawatoka
Kwani ngunguz huna kwenu
Tuachie Tim yetu
A
Nikisikia hata sauti nakereka kabisa
Magugu acha ujinga kwanini ukatarie kiti
Mangungu Yuko smart sana aisee sikujua hilo
HANA LOLOTE MWIZI HUYO
Wewe achana na kadi usitagulize kadi kadi yako ni yamchogo ondoka
kumbe yupo uyu ali kuwa wapi uyu toka apa
Mangungu piga kaziiii sisi wana chama wa Tanzania tuko pamoja usitishwe na mapimbiii piga kazi sisi serikali na wanachama tuko pampja na mooo ukiondoka simba itashuka daraja 😢😢😢😢😢😢
ATOKE TUONE KAMA SIMBA ITASHUKA DARAJA
Nyinyi mbwa ndio mnaokula pamoja
Toka mbona mnang'ang'ania yapo maisha dhidi ya hapo
Wahuni wapo kazini kumsafisha muhuni mwenzao yaani mnatamani tuharibikiwe
Sisi wananchi wazalendo kabisa tunamuunga mkono mangungu...hana baya
Lile swali la 20bn, halikuulizwa why?
We toka usitusumbue usisubiri kutoka kwa aibu we ni msaliti na muaji wa simba yetu,
Toka Bwana
Kwa kweli aondokeeee anatuwekea Usiku tu
Mangungu piga kazi😂😂😂 mie ni mwana Simba na kadi ninayo😂😂😂😂
Mangungu piga kaziiiii"huyoo anae jiita cjui docta moo ni chawa na anatumwaaa
KAMA WEWE ULIVYO TUMWA
Dr Mohammed ushauri wake unalenga kumponda mangungu
HAKI YAKE AMPONDE MWIZI HUYO
Huyo mzee hawezi kuachia ngazi hana pakushika
Mangungu hana shida
Tuna Imani na Mangungu oyaaaa oyaaa oyaaaa simamia msimamo wako Baba 😂😂😂😂 pambania kombe 😂😂😂
Hichi kipengele kina ukakasi ktk ufafanuzi wake. Alafu kumbe 1993 ndio kawa simba😂
Atuitaji mtu mwenye kadi tunaitaji mtu mwenye mapezi nasimba
Mangungu mimi simba damu piga kaz iko siku watajua thaman yako
Kwani unarazimisha nn. kubaki Simba si undoke. kafanye shunguli nyingine kasimamie ata basi rako uliro tuhibia
Mangungu wasikusumbue hao
Jaman cloud mwambien basi ajiuzulu atumtaki atoke
Atokeeeeeeeeeeeeeee
Hizo siasa unaleta hunamafanikio yoyo the ulio yapata ndani ya misimu mitatu mfululizo
Nanjie wanachama wasimba njaaimekutawaleni
Siku zote kajificha juzi Mo katokea na yeye ndio wanaonekana
Muungwana akivulia nguo uchutuma,ukweli Timu imefanya vibaya Kwa miaka 3,Hy tu inatosha kujiuzuru kubali uondoke.
Salim hajatumia neno "hujuma" ila Hawa ni waandishi hovyo
Kama ufaii..uondokeee
Ha2kutaki we mzee
yote hoyo kwasababu mnaeta wachezaji wabovo km mngekua mnareta wachezaji wazuri hata mipigo yenu isingekua inakelele
Hapo nyuma ya maiki ni kipara au
Taasisi ikifeli mkononi mwako ...kujihudhuru ni mojawapo mwa alama ya kutokuwa msaliti..uking'ang'ania maana yake unatamani yanayoendelea yaendelee.ili tuendelee kufeli na kuwa na kadi siyo sababu ya kutokuwa msaliti.pandikizi hawezi pandikizwa jujuuu tuu..ili tukuelewe jihudhuru tuweke mwingine.
Mangungu wewe si mtu wa mpira ni mwanasiasa ondoka Simba Hauna jipya
Tokawewe magugu😂
Atoke usumbufu hatutaki hatutaki siasa zako haya aibu halina
Wewe msaliti sana acha ujinga
Waandishi wameishiwa hoja na wamenyamazishwa na majibu ya Murtaza Sasa wanaleta hoja nyingine za wanachama.
Jatukutoi kwa sababu ya kufanannisha na timu tano, Bali utoke kwasababu kwapamoja mmeshindwa kufanikiwa
Mangungu hufai
wewe na try again munaiangusha timu sanaaa.. yaani nyie majamaaa nyieee sijui.. hapa ymkwa watu hawa timu ubingwa hatuchukui tunzeni maneno yangu
We mbona ulitulia , na timu inafanya vibaya kwanini hukuitisha mkutano ,
Hao wote wanaosapoti kukupongea hao ni yanga yanga, tunachotaka mangungu ondoka tutakufanya vibaya, kama ni vita naive vita, mama samia hatutakuelewa kama usipoingili kati kutuondolelea mangungu,
Tuoneshe iyo kadi ya 93
Alafu ukionaa"
Tuoneshe iyo kadi ya 93
Kwann hamkumuuliza alikuwa wapi mudawot mpaka aje saiv interview
Mangungu Uliikuta Simba Sports Club ikiwa na Heshima Zake KITAIFA na KIMATAIFA.
Leo Mikononi Mwa Uongozi Wako Mbovu Sasa Hivi Simba Sports Club Imedodora KIUUNGWANA JIUUZULU Usijekuondoka kwa Aibuuuuu.
Toka bwana nenda clab nyingine mbona inaingania Sana Simba babu toka
Huyu mzee mpiga dili tu pale.. huyu mla pesa sanaaa za usajili
Mzee wa hovyo
Kikweli Sina Imani na huyu mzee aache tu timu atupishe
Hv we Mzee unang'ang'ania nn hv ,ingekuwa Bure ucngeng'ang'ania madaraka yaaani elewa kuwa watu hatukutaki Tena Mzee achia hyo nafac we mzeee
Hawa waondoke tu
Mangungu toka acha siasa we mzee mshowe tutakutukana
Mangungu jipange pamoja na wenzio tunataka simba.bora achana na wapiga kelele watanyamaza TU kinacholeta shida ni matokeo ya uwanjani hicho ndiyo tunachohitaji mashabiki
Ngungu toka kwenye timu waachie wengine ulipo paongoza panatosha
Hujamaa hana jioya aondoke tu kama wenziwe wanasimba hatumuamini kwanza kiingia hapo kwwnye uongoI kaingia kwa fedha kwamsikiyizo aondoke hatakiwi kuwepo hapo hana analoliganya
Kama watu wengi hawakutaki si uondoke tu mzee?? Unang'ang'ania kuna nini mzee??..uachie ngazi ukakae na wajukuu wako huko kijijini!