Mangungu Awataja Wasaliti Wa Simba | Alikana Tawi la VIP

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • Murtaza Mangungu kwenye Sports Xtra ya Clouds FM akijadili kinachoedelea ndani ya timu hiyo ikiwa ni baada ya tamko la muwekezaji Mo Dewji #sportsxtra
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 299

  • @righitkileo
    @righitkileo 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kiuunqana tu mmninqekuwa ndo huyu mzee Ninqejiuzulu mapema sana. Unaweza jiuzuu.kwa hwahima yako ukabakia mwanachama wa kawaida inqekuwa.safi saba

  • @Nestorympika
    @Nestorympika 3 หลายเดือนก่อน +16

    Wewe mangungu Toka bwanaa,, HATUKUTAKI

    • @williamreuben4866
      @williamreuben4866 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa nn haumtaki?

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kawakosea nn uyu babu,, Kwan yeye ndo anasajili wachezaj?

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu 3 หลายเดือนก่อน

      Alafu tumuwekee bibi yako awe mwenykitii???

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      NYIE VIBARAKA WA MANGUNGU MNAFIRWA NYIE SHENZISTAN KABISA

  • @mwasunga
    @mwasunga 3 หลายเดือนก่อน +8

    Jaman ivi mnamuojije uyo atoke tu atumtaki

  • @rahplenyengerahplenyenge722
    @rahplenyengerahplenyenge722 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mangungu aondoke

  • @jamesmohamed4612
    @jamesmohamed4612 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee shida transformation mbna inakuwa haifikii mwisho

  • @AllyIssa-k5k
    @AllyIssa-k5k 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mo alisema, yeye aliongoza miaka mitatu akaiona timu imesimama vizuri akaamua kuwakabidhi wewe na try again ikiwa na vikombe vyote, yaani kama ni biashara ilikuwa imeshasimama vizuri, mategemeo yake nyinyi mtaitoa pale alipoicha yeye na kiipeleka juuu zaidi, sasa mnatakiwa mjiulize biashara mliyoachiwa mnaikuza au mnaiua? Miaka 3 duka limebaki jeupe ata kipande Cha sabuni hakuna na timu imeshika nafasi ya tatu tuwaeleje? Tumia busara achia ngazi.

  • @PaulMasolwa-ir4fp
    @PaulMasolwa-ir4fp 3 หลายเดือนก่อน +3

    Unaweza kumpongeza mtu aliyefeli

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ngungu Boy tokaaaa

  • @rwegoshoramichael3144
    @rwegoshoramichael3144 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee wa hovyo sana

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hatukutaki mzee acha maneno mengi

  • @mathayojoseph5228
    @mathayojoseph5228 3 หลายเดือนก่อน +1

    Magungu your best kuliko una vision sana mzee natamani ungekuwa Yanga but hawawezi kuhelewa KBs kwa sasa but watakuhelewa siku moja mo nikwasababu hana toa pesa kwa watu ndio maana unatakiwa usichoke hata kdg mzee wangu

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe banaaa ni Yangaa banaaa, acha kutuzugaaaaa banaa

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mangungu now kaa nabibi tu nyumbani tuachie Simba yetu

  • @S.Mwambapa
    @S.Mwambapa 3 หลายเดือนก่อน +4

    We mangungu umetumwa nn😮

  • @brunomchalla4439
    @brunomchalla4439 3 หลายเดือนก่อน +6

    Acha woga Mangungu, itisha mkutano wa dharura wa wanachama ueleze matatizo ya club . Sio kukimbilia mahojiano na waandishi. Hujiamini . Club iko
    I C U tunamuhitaji MO Kuinusuru , utaratibu utafuata baadae.

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mangungu atokeeeeeeeee

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hawezi kua sahihi Tim imeshindwa vikombe vyote ni sahihi yeye kuondoka hiyo ndio kawaida

  • @HusseinKalamba
    @HusseinKalamba 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mangungu yupo vizuri Sana piga kazi

  • @ramadhaniharuna5441
    @ramadhaniharuna5441 3 หลายเดือนก่อน +1

    Madrid ilishawahi kusajili wachezaji wote wazuri, miaka ya 2000 mpaka 2004.

  • @drankskhally7019
    @drankskhally7019 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tangu Simba umechukuwa mwenyekiti unatufelisha hakuna maendeleo yyt

  • @NoelKiwike-wc8wh
    @NoelKiwike-wc8wh 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa hadi.amekonda toka

  • @christopherjoseph9981
    @christopherjoseph9981 3 หลายเดือนก่อน +2

    MANGUNGU tuna imani kubwa sana na ww

  • @deniskaaya1117
    @deniskaaya1117 3 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ni tapeli tu😂

  • @EbenezerReuben-jx5sg
    @EbenezerReuben-jx5sg 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ulikuwa wap mzee at kwenye mech huonekan

  • @MohamedHassan-w6f9z
    @MohamedHassan-w6f9z 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mangungu tokaaa hapo Simba hatukutakii

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mangungu usiondoke , yaani ww ndio mtu muhimu hapo

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 3 หลายเดือนก่อน +1

    yaani huyu babu hajui chochote ni wazi anakaa tu ktk cheo chake anaulizwa wapi wanafanya kitu yeye anajibu venue au dah km ataendelea huyu tutasundana mangumi siku zijazo kwa kweli

  • @PichuMilingita
    @PichuMilingita 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mangungu tuachiye Tim yetu kwani Simba imekuzaa

  • @mafikrahamza-lm4yp
    @mafikrahamza-lm4yp 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hatuitaji siasa katika mpira,tuachie simba yetu,we ni kirusi,siasa kafanyie kwako.

  • @jonasbenaster
    @jonasbenaster 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe mzee nikiongozi unaona mupo sawa tulitengemea munaleta mabadiliko umekalia malubano naupiga dili

  • @shadrackkibona7178
    @shadrackkibona7178 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mangungo aondoke tu

  • @RashidMwasiposya-ck6py
    @RashidMwasiposya-ck6py 3 หลายเดือนก่อน +3

    Liningaww toka

  • @drankskhally7019
    @drankskhally7019 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unalazimisha nini hapo Simba kwann unatufelisha alafu unafaida gani hapo Simba tumekuchoka sana Mara unamleta mazoki

  • @ThomasMakarius-x9n
    @ThomasMakarius-x9n 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kujivisha umwenyekiti unafanya wanachama tukutoe Kwa nguvu.

  • @petermilol2104
    @petermilol2104 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Mhuni alileta Manzoki kwa ajili ya Kampeni

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 3 หลายเดือนก่อน +1

    We Mangungu kwani huna kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuing'ang'ania nafasi ya uenyekiti wa Simba? Unachokitaka Hapo Simba ni kipi?

  • @Ayubujallow
    @Ayubujallow 3 หลายเดือนก่อน +1

    huyo ni mamluki wa watu huyo ila atajuwa mwenyewe mungu yupo

  • @Raphaelchacha-wo6xq
    @Raphaelchacha-wo6xq 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mangungu mxenge ww

  • @LucasMalima-i9b
    @LucasMalima-i9b 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe uli sitahili ukaongoze mashoga siyo Simba huna sura ya kuongoza

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 3 หลายเดือนก่อน +5

    We
    Sema tu sisi atukutak

  • @jeromemmary9192
    @jeromemmary9192 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mangungu anajibu maswali kisiasa tuu

  • @RahimMahadi
    @RahimMahadi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tuoneshe iyo kadi ya 93

    • @ANTHONYDCOSTA-u5p
      @ANTHONYDCOSTA-u5p 3 หลายเดือนก่อน

      Mwamba karudi povu linawatoka

  • @azizajamary576
    @azizajamary576 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani ngunguz huna kwenu

  • @SijaliMkota
    @SijaliMkota 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tuachie Tim yetu

  • @drankskhally7019
    @drankskhally7019 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nikisikia hata sauti nakereka kabisa

  • @FracsisiSiwale
    @FracsisiSiwale 3 หลายเดือนก่อน +1

    Magugu acha ujinga kwanini ukatarie kiti

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mangungu Yuko smart sana aisee sikujua hilo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      HANA LOLOTE MWIZI HUYO

  • @khadijayusuph5815
    @khadijayusuph5815 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe achana na kadi usitagulize kadi kadi yako ni yamchogo ondoka

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 3 หลายเดือนก่อน

    kumbe yupo uyu ali kuwa wapi uyu toka apa

  • @mwajabuYusuph
    @mwajabuYusuph 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mangungu piga kaziiii sisi wana chama wa Tanzania tuko pamoja usitishwe na mapimbiii piga kazi sisi serikali na wanachama tuko pampja na mooo ukiondoka simba itashuka daraja 😢😢😢😢😢😢

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      ATOKE TUONE KAMA SIMBA ITASHUKA DARAJA

    • @UNKNOWN-np7qp
      @UNKNOWN-np7qp 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nyinyi mbwa ndio mnaokula pamoja

  • @bakaribakari167
    @bakaribakari167 3 หลายเดือนก่อน

    Toka mbona mnang'ang'ania yapo maisha dhidi ya hapo

  • @jumakalinga2812
    @jumakalinga2812 3 หลายเดือนก่อน

    Wahuni wapo kazini kumsafisha muhuni mwenzao yaani mnatamani tuharibikiwe

  • @benjjlifetechnologie435
    @benjjlifetechnologie435 3 หลายเดือนก่อน

    Sisi wananchi wazalendo kabisa tunamuunga mkono mangungu...hana baya

  • @victorgogadi55
    @victorgogadi55 3 หลายเดือนก่อน +2

    Lile swali la 20bn, halikuulizwa why?

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 3 หลายเดือนก่อน +2

    We toka usitusumbue usisubiri kutoka kwa aibu we ni msaliti na muaji wa simba yetu,
    Toka Bwana

    • @AliiMkobe-en7df
      @AliiMkobe-en7df 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli aondokeeee anatuwekea Usiku tu

  • @erickmasumbuko3841
    @erickmasumbuko3841 3 หลายเดือนก่อน

    Mangungu piga kazi😂😂😂 mie ni mwana Simba na kadi ninayo😂😂😂😂

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 3 หลายเดือนก่อน

    Mangungu piga kaziiiii"huyoo anae jiita cjui docta moo ni chawa na anatumwaaa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      KAMA WEWE ULIVYO TUMWA

  • @imanihassanisaidilumanga
    @imanihassanisaidilumanga 3 หลายเดือนก่อน

    Dr Mohammed ushauri wake unalenga kumponda mangungu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      HAKI YAKE AMPONDE MWIZI HUYO

  • @ernestmkila9356
    @ernestmkila9356 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo mzee hawezi kuachia ngazi hana pakushika

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 3 หลายเดือนก่อน

    Mangungu hana shida

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 3 หลายเดือนก่อน

    Tuna Imani na Mangungu oyaaaa oyaaa oyaaaa simamia msimamo wako Baba 😂😂😂😂 pambania kombe 😂😂😂

  • @ngomazetu1965
    @ngomazetu1965 3 หลายเดือนก่อน

    Hichi kipengele kina ukakasi ktk ufafanuzi wake. Alafu kumbe 1993 ndio kawa simba😂

  • @RodrickMwakalinga
    @RodrickMwakalinga 3 หลายเดือนก่อน

    Atuitaji mtu mwenye kadi tunaitaji mtu mwenye mapezi nasimba

  • @Taito-brand
    @Taito-brand 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mangungu mimi simba damu piga kaz iko siku watajua thaman yako

  • @RamadhaniDaudi-ui4wh
    @RamadhaniDaudi-ui4wh 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani unarazimisha nn. kubaki Simba si undoke. kafanye shunguli nyingine kasimamie ata basi rako uliro tuhibia

  • @AlbertNshunju
    @AlbertNshunju 3 หลายเดือนก่อน

    Mangungu wasikusumbue hao

  • @userwalterreal
    @userwalterreal 3 หลายเดือนก่อน

    Jaman cloud mwambien basi ajiuzulu atumtaki atoke

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 3 หลายเดือนก่อน

      Atokeeeeeeeeeeeeeee

  • @rashidiiddi2433
    @rashidiiddi2433 3 หลายเดือนก่อน

    Hizo siasa unaleta hunamafanikio yoyo the ulio yapata ndani ya misimu mitatu mfululizo

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 3 หลายเดือนก่อน

    Nanjie wanachama wasimba njaaimekutawaleni

  • @IsihakaAlly-fj4qo
    @IsihakaAlly-fj4qo 3 หลายเดือนก่อน

    Siku zote kajificha juzi Mo katokea na yeye ndio wanaonekana

  • @janesiame9779
    @janesiame9779 3 หลายเดือนก่อน

    Muungwana akivulia nguo uchutuma,ukweli Timu imefanya vibaya Kwa miaka 3,Hy tu inatosha kujiuzuru kubali uondoke.

  • @nadulabudodi1816
    @nadulabudodi1816 3 หลายเดือนก่อน

    Salim hajatumia neno "hujuma" ila Hawa ni waandishi hovyo

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 3 หลายเดือนก่อน

    Kama ufaii..uondokeee

  • @nkairforce5819
    @nkairforce5819 3 หลายเดือนก่อน

    Ha2kutaki we mzee

  • @AlfonceDaniel
    @AlfonceDaniel 3 หลายเดือนก่อน

    yote hoyo kwasababu mnaeta wachezaji wabovo km mngekua mnareta wachezaji wazuri hata mipigo yenu isingekua inakelele

  • @KiteteKitete-n2q
    @KiteteKitete-n2q 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo nyuma ya maiki ni kipara au

  • @mayaladominico2126
    @mayaladominico2126 3 หลายเดือนก่อน

    Taasisi ikifeli mkononi mwako ...kujihudhuru ni mojawapo mwa alama ya kutokuwa msaliti..uking'ang'ania maana yake unatamani yanayoendelea yaendelee.ili tuendelee kufeli na kuwa na kadi siyo sababu ya kutokuwa msaliti.pandikizi hawezi pandikizwa jujuuu tuu..ili tukuelewe jihudhuru tuweke mwingine.

  • @PhilipoNjalika
    @PhilipoNjalika 3 หลายเดือนก่อน

    Mangungu wewe si mtu wa mpira ni mwanasiasa ondoka Simba Hauna jipya

  • @AmePandu
    @AmePandu 3 หลายเดือนก่อน

    Tokawewe magugu😂

  • @FeliciaMdalime
    @FeliciaMdalime 3 หลายเดือนก่อน

    Atoke usumbufu hatutaki hatutaki siasa zako haya aibu halina

  • @khadijayusuph5815
    @khadijayusuph5815 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe msaliti sana acha ujinga

  • @nadulabudodi1816
    @nadulabudodi1816 3 หลายเดือนก่อน

    Waandishi wameishiwa hoja na wamenyamazishwa na majibu ya Murtaza Sasa wanaleta hoja nyingine za wanachama.

  • @superbillionairea5987
    @superbillionairea5987 3 หลายเดือนก่อน

    Jatukutoi kwa sababu ya kufanannisha na timu tano, Bali utoke kwasababu kwapamoja mmeshindwa kufanikiwa

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 3 หลายเดือนก่อน

    wewe na try again munaiangusha timu sanaaa.. yaani nyie majamaaa nyieee sijui.. hapa ymkwa watu hawa timu ubingwa hatuchukui tunzeni maneno yangu

  • @MishlaySulley
    @MishlaySulley 3 หลายเดือนก่อน

    We mbona ulitulia , na timu inafanya vibaya kwanini hukuitisha mkutano ,

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hao wote wanaosapoti kukupongea hao ni yanga yanga, tunachotaka mangungu ondoka tutakufanya vibaya, kama ni vita naive vita, mama samia hatutakuelewa kama usipoingili kati kutuondolelea mangungu,

  • @RahimMahadi
    @RahimMahadi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tuoneshe iyo kadi ya 93

  • @RahimMahadi
    @RahimMahadi 3 หลายเดือนก่อน +5

    Tuoneshe iyo kadi ya 93

  • @userwalterreal
    @userwalterreal 3 หลายเดือนก่อน +6

    Kwann hamkumuuliza alikuwa wapi mudawot mpaka aje saiv interview

  • @bakarimhina6437
    @bakarimhina6437 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mangungu Uliikuta Simba Sports Club ikiwa na Heshima Zake KITAIFA na KIMATAIFA.
    Leo Mikononi Mwa Uongozi Wako Mbovu Sasa Hivi Simba Sports Club Imedodora KIUUNGWANA JIUUZULU Usijekuondoka kwa Aibuuuuu.

  • @Valentinekainy
    @Valentinekainy 3 หลายเดือนก่อน +3

    Toka bwana nenda clab nyingine mbona inaingania Sana Simba babu toka

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mzee mpiga dili tu pale.. huyu mla pesa sanaaa za usajili

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mzee wa hovyo

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kikweli Sina Imani na huyu mzee aache tu timu atupishe

  • @MathiasNicolaus-ff1hy
    @MathiasNicolaus-ff1hy 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hv we Mzee unang'ang'ania nn hv ,ingekuwa Bure ucngeng'ang'ania madaraka yaaani elewa kuwa watu hatukutaki Tena Mzee achia hyo nafac we mzeee

  • @RahimHussein-oy5ks
    @RahimHussein-oy5ks 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hawa waondoke tu

  • @JohnGoryo
    @JohnGoryo 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mangungu toka acha siasa we mzee mshowe tutakutukana

  • @MussaHajikimwaga
    @MussaHajikimwaga 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mangungu jipange pamoja na wenzio tunataka simba.bora achana na wapiga kelele watanyamaza TU kinacholeta shida ni matokeo ya uwanjani hicho ndiyo tunachohitaji mashabiki

  • @ghoyelamhagama1504
    @ghoyelamhagama1504 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ngungu toka kwenye timu waachie wengine ulipo paongoza panatosha

  • @makamelila
    @makamelila 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hujamaa hana jioya aondoke tu kama wenziwe wanasimba hatumuamini kwanza kiingia hapo kwwnye uongoI kaingia kwa fedha kwamsikiyizo aondoke hatakiwi kuwepo hapo hana analoliganya

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kama watu wengi hawakutaki si uondoke tu mzee?? Unang'ang'ania kuna nini mzee??..uachie ngazi ukakae na wajukuu wako huko kijijini!