Wazazi wanakosa mawasiliano thabiti na watoto wao. Baba na na mama kukinzana mbele ya watoto haifai.Wazazi kosoaeneni mkiwa wawili. Watoto wajifunze kuwakubali wazazi vile walivyo. Ukimzaa mtoto anakutambuwa wewe kwa nasaba uliyompa, hakuna jitihada ili akutambuwe. Mtoto anatakiwa awasogelee wazazi wake. Hakuna jambo kubwa sana unaloweza kumfanyia mtoto wako zaidi ya kumzaa . Mzazi hupaswi kufanya jitihada zozote ili mtoto akutambuwe Nimejifunza asante Chomoza, pongezi Dr Ellie. ❤❤❤❤🎉
sisi watazamaji wa youtube Tunaomba msihide baadhi ya masomo (private)tunashindwa kufungua na tunapenda sana kujifunza tunapitwa tusipoona ata nusu somo.tafadhali tunaomba.
Mafundisho Yako ni mazuri sana,ila mama yako alikosea sana pia na baba yako alikosea sana kwa sababu kumpiga mgonjwa kwa sababu ya samaki imeliwa ni makosa pia na baba yako alikosea sana kukaa kimya alifanya makosa, kukaa kimya wakati wa kuchukua hatua ni makosa pia,ukimya unaweza ukawa ni mzuri au mbaya kulingana na mazingira,je mtoto kwa kipigo kwa kosa ambalo hajafanya akafa je wewe baba sio muuaji bora useme mke wangu usiwaazibu watoto samaki nimekula mimi ubaya upo wapi?
Tunawacheki kwa upendo wa dhati tafadhal baba tunaomba uandae mkutano tuje tukutane tule tunywe tucheke tuonane macho kwa macho mi napenda hivyo tutachangia baba
God keep u Dr elie,🙏🙏
Wazazi wanakosa mawasiliano thabiti na watoto wao. Baba na na mama kukinzana mbele ya watoto haifai.Wazazi kosoaeneni mkiwa wawili. Watoto wajifunze kuwakubali wazazi vile walivyo. Ukimzaa mtoto anakutambuwa wewe kwa nasaba uliyompa, hakuna jitihada ili akutambuwe. Mtoto anatakiwa awasogelee wazazi wake. Hakuna jambo kubwa sana unaloweza kumfanyia mtoto wako zaidi ya kumzaa . Mzazi hupaswi kufanya jitihada zozote ili mtoto akutambuwe Nimejifunza asante Chomoza, pongezi Dr Ellie. ❤❤❤❤🎉
Great Knowledge
Doctor Ubarikiwe sanaa2
Hongera team Chomoza kwa kipindi chenye kuelimisha jamii njia sahihi ya maisha
Amina,ashukuriwe Mungu baba anaetupa neema ya kujifunza, msamaha na namna ya na kuratibu mambo🙏🙏
love is life and life is love thank you Dr Ely
Wow what an excellent lesson . Thanks all 🇬🇧🙏🙏
Nampenda doctors mungu amtunze
Nashukuru Kwa masomo team chomoza
Nampenda sana Dr Elly na wabeba maono wa kipindi hiki..nafaidikaga sana
Somo zuri Asante chomoza Mungu awa bariki sana🙏
Wow I was waiting for it ❤❤❤ thank you so much
Thank you Dr and team chomoza.
Team Chomoza tunaomba muandae semina ya kukutana live na DR ELLIE na sisi tuchangie tukiwa tunaonana, tunawaomba sana jamani
Amina,najifunza
🙏🙏🙏🙏🙏
🙏
Anko jimmy, nahitaji vitabu vya Dr eli, naomb unisaidie jinc y kuvipata, niko wilaya y Serengeti mkoa wa mara
sisi watazamaji wa youtube Tunaomba msihide baadhi ya masomo (private)tunashindwa kufungua na tunapenda sana kujifunza tunapitwa tusipoona ata nusu somo.tafadhali tunaomba.
Zitoe bhana
Mafundisho Yako ni mazuri sana,ila mama yako alikosea sana pia na baba yako alikosea sana kwa sababu kumpiga mgonjwa kwa sababu ya samaki imeliwa ni makosa pia na baba yako alikosea sana kukaa kimya alifanya makosa, kukaa kimya wakati wa kuchukua hatua ni makosa pia,ukimya unaweza ukawa ni mzuri au mbaya kulingana na mazingira,je mtoto kwa kipigo kwa kosa ambalo hajafanya akafa je wewe baba sio muuaji bora useme mke wangu usiwaazibu watoto samaki nimekula mimi ubaya upo wapi?
Tunawacheki kwa upendo wa dhati tafadhal baba tunaomba uandae mkutano tuje tukutane tule tunywe tucheke tuonane macho kwa macho mi napenda hivyo tutachangia baba
Kweli dorethmselem
✍✍✍
GD dokita
Umenifanya nisijifunze kwa mwingine
Umerudi na ndevuu kaka Jimmy 😅😅