Wahuni wote wa kudanganya watu kwa ngozi ya kondoo lazima wakuchukie lakini wanamchukia aliyekuita. Usiwaogope wauwao mwili halafu hawana cha kufanya kwa roho. Mwogopeni auawaye mwili na kisha roho kuitupa jehanamu. Hawa wa kuuwa mwili nao hawajui watakufa lini. Is just a difference of time.Keep it up man of God. Matapeli acha watoe mapovu yao.
Am from Kenya have been following you Pastor Pascal ur a superbrand ambassador of God no weapon formed against you shall prosper in Jesus name 🙏 ur covered and protected by the blood of Jesus Christ ..... They will never defeat you your spiritual words from God who is above all we need be covered
Basi watu wote wakulao wataliwa;na adui zako wote watakwenda kufungwa;kila mmoja wao; na hao waliokuteka nyara watatekwa;na wote waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo. YEREMIA 30:16-17 Mungu yupo nawe usiogope.
Bwana Mungu Yuko pamoja na wewe tangu mwanzo Sasa na milele kwa kweli umeugusa moyo wangu neno na lidumu milele.pia mambo hayo ni mhuri na Kila mwenye sikio na asikie neno Hilo. Amen
nimekuwa nasukumwa sana nkuombee toka nilipo skiza huu wimbo..MUNGU akulinde sana akuekee ulinzi kama yebesi...wao wako na ulinzi unao onekana kwa macho lakini wana wa MUNGU tunalindwa kuliko wafale wa dunia hii
Paschal sharoom,Mungu aendelee kukupa neema na kibali walio kinyume cha haki ya Mungu wasikutishe Mungu yupo pamoja nawe.nakupata vizuri, bwana AZIDI kukupa neema.
Dah? Kumbe ukweli unawauma mpaka wanakushitaki Ila awataweza labda MUNGU aluhusu wewe uzulike kwa maana bado anahaja nawe mtumishi na tunakushuru Sana kwa kutufumbua macho kuusu kanisa zetu na Mambo yanayo fanyika MUNGU akubaliki mtumishi paschal🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi nimekuwa nikikufuatilia sana nilichojuwa unaroho wa mungu ndani yako hivyo bas usiogope binadamu yeyote yule maana hata unayo yatenda kwenye bibilia yapo mungu akutunze na kukulinda
MUngu ashie milele atakufa hadi umalize kazi ulio itiwa na bwana wewe nilikua kina ni sauti ya mtu aliae nyikani Amina Mungu awe nawe hata nafasi tupo nyuma yako KIIMANI. Ukijua watu viongozi wa madhehebu wanahubiri mapokeo.tofauti na mafundisho ya YESU KRISTO na mitume.uwe mwaminifu hadi mwisho wa kazi ulio times kufanya hadi kifo Amina mie Ayubu MAGULO.
Mimi ni AYUBU nilimwita jina sauti ya mtu aliae nyikani Amina tulioitiwa jina lipasalo kuabudiwa lazima tutafika Injiri hivi ndio njia. Hakuna uhusiano wowote katika tawala za dunia hivi na YESU KRISTO hakuna. Swali sanamu na KRISTO YESU mnaendana.?au akisali na YESU KRISTO tunae mhubiri? Kwani tawala zote duniani zipo chini ya 666. Yaani chini ya mnyama. NIWAULIZE mnalala kanisàni kuombea watawala swali 666 itabadilika imekiri KRISTO YESU?hapo ni kwa uchache Tu
Ni kweli kabisa KANISA limefika pabaya kiasi cha kutuchanganya tuabudu Nini !! Naamini wakijitokeza wapinga shetani wengi kama ww Basi KANISA linaweza kurudi kwenye misingi ya kibibilia
Mungu akupe nguvu mtumishi usiogope hata yohana aliunguzwa hakufa,na pia mtumishi usiogope yesu kristo hawe nawe Kila saa na akufiche usiogeme Mimi nipo nawe mpaka ukamilifu wa dahari
Alberto Valentino ni kipofu wa kiroho. Huenda ana majini na mapepo mengi sana lazima alalamike maana sindano imemwingia. Ndugu yangu nawe Valentino tangu sasa ukutane na mkono wa Mungu wetu MTAKATIFU, ANAYEWEZA YOTE, ASIYE NA MWANZO WALA MWISHO, ASIYEBADILIKA, WA MILELE, ANAYEJUA YOTE,
Lakini sinivizuritu unge ongea matendo wanayo yafanya kuliko kuwataja majina? Nakuhurumia kwasababu watakuweka ndani. nabado hauja maliza mishen ya Mungu
Nikupe shauri mutumishi wa mungu,wanaweza kukuondowa duniani,lakini abaweze kuondowa ujumbe wako,ao neno la mungu ❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mimi nakusupport asilimia Mia mtumishi kwa kunena kweli 🇰🇪 🇰🇪
Kabisa huu nyimbo imenibariki sana, mungu akubariki n'a akulinde
Asante Sana unafanya vizr mtumishi Mimi nakupongeza kwa huduma hi naomba mungu atuongezee watumishi Kama wewe
mtumishi wa mungu ninyi tuko nyuma yako juu ya kusema ukweli yesu christo akulide🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏
Wahuni wote wa kudanganya watu kwa ngozi ya kondoo lazima wakuchukie lakini wanamchukia aliyekuita. Usiwaogope wauwao mwili halafu hawana cha kufanya kwa roho. Mwogopeni auawaye mwili na kisha roho kuitupa jehanamu. Hawa wa kuuwa mwili nao hawajui watakufa lini. Is just a difference of time.Keep it up man of God. Matapeli acha watoe mapovu yao.
Mjo
O
Mooo
Mo
M
Mo.oo
Mungu wa mbinguni akutetee Mtumishi
Am from Kenya have been following you Pastor Pascal ur a superbrand ambassador of God no weapon formed against you shall prosper in Jesus name 🙏 ur covered and protected by the blood of Jesus Christ ..... They will never defeat you your spiritual words from God who is above all we need be covered
Very true
Ndugu yangu nakupenda sana tena sana kwa kazi utendayo vita ni kubwa lakini Sisi ni washindi tu kwa jina la yesu
Amen Ev.paschal BWANA YESU KRISTO WANAZARETH akusaidiye na uwe na moyo wa ushuujaa Amen.
God bless you you man of god May God continue to protect you🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Basi watu wote wakulao wataliwa;na adui zako wote watakwenda kufungwa;kila mmoja wao; na hao waliokuteka nyara watatekwa;na wote waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo. YEREMIA 30:16-17
Mungu yupo nawe usiogope.
Bwana Mungu Yuko pamoja na wewe tangu mwanzo Sasa na milele kwa kweli umeugusa moyo wangu neno na lidumu milele.pia mambo hayo ni mhuri na Kila mwenye sikio na asikie neno Hilo. Amen
Mungu akupiganie mtumishi wa Mungu tunakuombea maana niliposkia tu huo wimbo machozi yalianza kunitoka bila kujua imekuwaje God bless you so much
Mungu ni mwema songa mbele vaaa ngao ya imani japo si rahisi amina!!!
Aminaaa ubarikiwe mtumishi, kwa kutufumbua macho, Mungu akubariki sana
nimekuwa nasukumwa sana nkuombee toka nilipo skiza huu wimbo..MUNGU akulinde sana akuekee ulinzi kama yebesi...wao wako na ulinzi unao onekana kwa macho lakini wana wa MUNGU tunalindwa kuliko wafale wa dunia hii
Mungu akusaidie'''sio sawa kuhukumu watumishi wasio wako...Mungu ndie hakimu wa haki''
Huu wimbo umenibariki sana I say
Amen amen ile ni kweli Mungu atakutetea Mtumishi maana kwangu nabarikiwa sana nyimbo zako na mahubiri ❤❤❤🎉🎉🎉
Paschal sharoom,Mungu aendelee kukupa neema na kibali walio kinyume cha haki ya Mungu wasikutishe Mungu yupo pamoja nawe.nakupata vizuri, bwana AZIDI kukupa neema.
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu hakika mungu hajawahi kuacha mtumishi wake mungu yuko pamoja nawewe
Deus te protege o servo de Deus cada vez mais sempre e te dá vitória durante longa jornada 🇲🇿
Sema rafiki yangu usimuogope mtu yeyote zaidi ya Mungu tu❤
Dah? Kumbe ukweli unawauma mpaka wanakushitaki Ila awataweza labda MUNGU aluhusu wewe uzulike kwa maana bado anahaja nawe mtumishi na tunakushuru Sana kwa kutufumbua macho kuusu kanisa zetu na Mambo yanayo fanyika MUNGU akubaliki mtumishi paschal🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi nimekuwa nikikufuatilia sana nilichojuwa unaroho wa mungu ndani yako hivyo bas usiogope binadamu yeyote yule maana hata unayo yatenda kwenye bibilia yapo mungu akutunze na kukulinda
@@emmanuelmbaga2155 hakika🤝
Yesu walimua .lakini bado anaishi ndani yetu.watakua wewe Ujumbe wako hautakifa .Mimi siogopi kufa Kwa ajili ya Bwana.Mungu awe nawe
Mungu akusaidie ndugu yangu mungu wetu ni mkubwa
Mungu atakupingania muchunganji wa Mungu juu unasema kweri mtupu juu ya Neno la Mungu
Amen amen usiogope mungu wa mbinguni atakutetea na kukutia nguvu
Never give up wambie ukweli na damu ya yesu ikuzikire Kwa hayo yote 🙏🙏🙏
Hubarikiwe mtumixi wa mungu
Usihofu Wala usiogope maan mungu yuko pamoja nawe
Usiogope mtumishi mungu yupo pamoja nawe. Na hakika injili lazma isemwe
Mungu akulinde kaka
Mungu akubariki mutumishi wa mungu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hawawezi kushindana na nguvu ya Mungu katika jina la Yesu kristo
Mungu akutanguliye mtumishi
God will always stand with you no matter what, our God is faithful His name is indomitable worries
Mungu wetu yupo hai atakutetea usiwe na shaka 😭😭😭😭
Ubarikiwe mtumishi wa mungu unaongea ukweli kabisa
Mutumishi wa mungu usiogope sisi kama kenya 🇰🇪 tuko nyuma yako kwa maombi
MUngu ashie milele atakufa hadi umalize kazi ulio itiwa na bwana wewe nilikua kina ni sauti ya mtu aliae nyikani Amina
Mungu awe nawe hata nafasi tupo nyuma yako KIIMANI. Ukijua watu viongozi wa madhehebu wanahubiri mapokeo.tofauti na mafundisho ya YESU KRISTO na mitume.uwe mwaminifu hadi mwisho wa kazi ulio times kufanya hadi kifo Amina mie Ayubu MAGULO.
Mimi ni AYUBU nilimwita jina sauti ya mtu aliae nyikani Amina tulioitiwa jina lipasalo kuabudiwa lazima tutafika Injiri hivi ndio njia.
Hakuna uhusiano wowote katika tawala za dunia hivi na YESU KRISTO hakuna.
Swali sanamu na KRISTO YESU mnaendana.?au akisali na YESU KRISTO tunae mhubiri? Kwani tawala zote duniani zipo chini ya 666. Yaani chini ya mnyama. NIWAULIZE mnalala kanisàni kuombea watawala swali 666 itabadilika imekiri KRISTO YESU?hapo ni kwa uchache Tu
Watu hawamtaki mungu, wanafanya ya Dunia, wajuwe kwamba, baada ya maisha ya humu ulimwenguni, Kuna mbinguni
Ni kweli kabisa KANISA limefika pabaya kiasi cha kutuchanganya tuabudu Nini !! Naamini wakijitokeza wapinga shetani wengi kama ww Basi KANISA linaweza kurudi kwenye misingi ya kibibilia
Mungu akutie nguvu akupinganie na kushindie akutete namadui wakae kimiya kwajina laYESU
Mungu akulinde
Mungu akupe nguvu mtumishi usiogope hata yohana aliunguzwa hakufa,na pia mtumishi usiogope yesu kristo hawe nawe Kila saa na akufiche usiogeme Mimi nipo nawe mpaka ukamilifu wa dahari
Alberto Valentino ni kipofu wa kiroho. Huenda ana majini na mapepo mengi sana lazima alalamike maana sindano imemwingia. Ndugu yangu nawe Valentino tangu sasa ukutane na mkono wa Mungu wetu MTAKATIFU, ANAYEWEZA YOTE, ASIYE NA MWANZO WALA MWISHO, ASIYEBADILIKA, WA MILELE, ANAYEJUA YOTE,
Mungu akushike mukono, mutumishi , usi wa ogope wale Wana uwa mwili lakini. Hawa wezi kuuwa roh🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Fanya kazi ya Mungu, wanao kosea hadharani wakosolewe hadharani ili watu wajue kuwa wamekosea
Daaah Ebwanaeee Huyu Mwamba ni 🔥🔥🔥 unataja Hadi BURUDOZA 🤣🤣🤣
Nakupenda sana mtumishi umetufungua sana tuliokuwa timefungwa
Injiri iyendembeleee mungu muokowe mtu mishi wako amini
Amen mtumishi ubarikiwe sana kwa kutufumbua macho
Mungu atakupigania dakika zote ubarikiwe
I love and fill the strength you owe from God Amen
Usiogope mtu wa mungu mungu atakutetea
Mtumishi mungu atakulinda na atakupigania 🤝🤝
Mtumishi MUNGU akubariki.sana
Mungu akulinde mtumishi wangu
Mungu akulinde sana mtu ishi ansante kwa kutufungua maana tnadanywa sana mtu ishi mungu akulinde mtumishi
Uko mkweli kaka, mungu akufunike na damu yake
Kazakaza Sana mutumishi Mimi nakupenda wewe nakazizako natamani kuimbanawewe tafadhali nisaidie naombaako niweze kuwasiliana nawewe Nina Mambo nataka unishauli
mungu akutangulie kwa jina yesu. ushindi upo kwa nguvu ya roho wa mungu
God be with you
Ukweli ndouo watumishi wengine ni changa la macho
Kaka mungu mwema shetani yupo tumuombe mungu sana ssna
Mungu atakugankia🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Amina mtumishi
Mungu akulinde siku zote
PIGA KAZI MTUMISHI UKWELI LAZIMA USEME WATU WENGI TUWEZE KUOKOLEWA UNATHAWABU KUBWA SANA KWA MUNGU🙏🙏
may God protect you
Mimi nakuelewa wote kwenye picha hapo hakuna mkweli apo
Oya nyie huyu mwamba namkubali sana
Imagine mtu alikuwa bongo fleva amekombolewa na bado baadhi ya watumishi wanamuandama
Amen
Lakini sinivizuritu unge ongea matendo wanayo yafanya kuliko kuwataja majina? Nakuhurumia kwasababu watakuweka ndani. nabado hauja maliza mishen ya Mungu
Mtumishi usipge wao wataleta mambo ya kiuni.wanakaslika nn.shetan mbona ana jipya katika Dunia hii
Wanaona unawaharibia mambo Yao ya kusaka tonge.....ila roho za watu wanaona kama za panzi hatazikipotea hawajari
Msema kweri nimpezi wamungu kama makanisa wanaoshana niaibu
Yupo mungu mwenye nguvu anae jua mbinu za kumvusha mtumwa wake tutadumu kukuombea Wala usiogope ,,, tazama yoshua 1.5--9
MUNGU akutetee YESU wako yu hai anaishi atakusaidia
Ameeen 😢
Mtumishi wa mungu niliota kua sjakuelewa mwaxo 😂 Mungu akutunze sana
ONGEA KABISA WATU WA KUELEWA WATAELEWA, MBINGU SII MCHEZO, WENGINA WANAANGALIA MASLAHI YAO, NI BORA KUPOTEZA NAFSI KULIKO UFALME WA MBINGUNI
Mungu atakupigania .na mahadui zako🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Amina
Ukweli utakuweka huru ,usiogope kuwambia Ukweli. Soma Ezekiel 2
Mungu akulinde sikuzote ukweli unahuma tu
Nirahisi sana kufa Kwa ajili ya yesu Christo.hata mitume waliteseka kwaajili ya kweli! Sema ukweli mtumushi
Ubarikiwe sana pastor.
Mungu wa mbingini akulinde maana vita nivikali bali mungu yu pamoja nawe mtumishi. Mali ya tabu.
Mungu awe pamoja nawe kila ulifanyalo lipate kibar
Mungu akulinde mtumishi Wa Mungu
Keeping preaching men of god
Respect to God
Amen kaka mungu atakulinda
MUNGU Yuko nawewe
Pole sana Mungu akuteteye🎉🎉🎉
Dunia iko mtaroni...😢😢😢😢😢