Wimbo unanikumbusha mbali sana kipindi cha maziwa na asali ukiingia kwenye ndoa wamekuchuja hasa mpaka kukubalika leo hii asubuhi mnakutana mwendo kasi jioni ndoa
Naelewa mazoeea….yana taabu…. Dimoso umenikumbusha mbali sana kipindi niko shule sina mke nausikia wimbo huu mpaka leo yaliyoimbwa humu nikayaona mwenyewe…..Wimbo mkubwa sana huu
Sijui dunia hii iliyokosa upendo yenye chuki kisirani na kila baya km huu wimbo unawahusu asante vijana jazz ni moja kati ya band kumi bora za moyo wangu mie hapo ninao pia dar international chini ya jabar la music wapo pia sikinde na mahasimu wao msondo namleta kwenu zahir aly zoro naileta sauti ya maana kabisa kutoka kwa mtu wa maana sana Ramadhani mtoro Ongala daaah maisha mafupi
Huu wimbo ukikaa pekeako then ukisikiliza unaweza kutokwa machozi aiseeeee dah...unanikumbusha mbali sana kipindi hicho Tanzania imetulia. Holiday unaijua, weekend unaijua, working days unazijua. Ukienda kujijini Raha ukienda mjini Raha dah...Mungu turudishie Tanzania yetu
Duuu unanikumbusha Morogoro jamuhuri Siku Rais Mandela naMkeo winnWanaingia nakupigiwa huo wimbo nikimuona laivi Kida wazili acha tu zamani rahaa bwana
This song takes me back 1993 when I was still home (Zanzibar). Our house girl, Tatu S. A. Mng'ombe used to sing that song every day. Where are you Tatu? I know you're from Gendagenda, Tanga. I didn't see you since then. I miss you!😢😢😢
2025 gather here ni kwa neema tu
2020 tuko wangapi? Tujuane tunaoskiza hii 2020
9:40 namkumbu mama angu nikiwa mdogo ananiogesha huku anaimba hiki kipande I love momy
Halooooo weeenuna mpaka upasuke mdomo Mimi nipo nakakaako iloooo wifi kijini.hongera kiida waziri kwa mziki
Naangalia hii nyimbo huu ni mwaka 2023
Umenikumbusha mbali sana
Midomo ya bata na hilo guitar la solo noma noma sana heshima yako shomari ally
Nakumbuka mbali cn kipindi hicho nipo iwalanje nalima kaloti
Way back kibaha ...kota (tanita) nikitoka shule hii nyimbo lazima ipigwe kipindi cha mchana mwema RTD .....KIDA WAZIRI
Wazamani wakuje jmn mawifi
Wachaaa weee zamani kulikuwa kutamu
Nipo shule darasa la tatu kule kisiwani Pemba ,,,
Wangapi bado tunaangalia 2018 🙋🙋❤❤
Wimbo unanikumbusha mbali sana kipindi cha maziwa na asali ukiingia kwenye ndoa wamekuchuja hasa mpaka kukubalika leo hii asubuhi mnakutana mwendo kasi jioni ndoa
Wewe acha mkuu Leta zingine sio za kanyaga zinatuchanganya
2019 tukowangapi tujuanee hatwaaaaaaaleee
Bado tupo wengi
Kama umeuona dimoso like here
kida wazirii ktk umahiri unaotisha Sana asante mungu kwa kunijaria kukuona live ukiwajibikaa
Huyu cyo kida waziri ni NURU MHINA baby white
Nipo hapa mdau najikumbusha
Ukweli wadau song hili linaigusa jamii mojakwamoja! Asante sana.
Mjo, Rashid, pembe, mjo, adara, mngona zeri,
Old is gold umenikumbusha mwaka huo nipo Bwiru boys sec,wapi juma muhina ,Jabes mayunga tupa tupa,
Wangapi bado tunaangalia huu wimbo 2023
2024😛
Heshemiya baba ,abudu maman ,sikiliza mkubwa , basi navyote Vina endeleya SAFI.
Nikisilizaga wimbo huu huwa najisikia Raha Sana
mbali sana sizani kama itarudi ya zamani yamekwisha eeeeenda niko kigogo ccm tunakura magimbi ya mama koba
Aloo nani wew ,Mimi niposouth lkn Kigogo kama yangu
Kida waziri wa nyumbani kabisa safi sana!🎉🎉🎉❤❤❤❤
Naelewa mazoeea….yana taabu…. Dimoso umenikumbusha mbali sana kipindi niko shule sina mke nausikia wimbo huu mpaka leo yaliyoimbwa humu nikayaona mwenyewe…..Wimbo mkubwa sana huu
Mambo ya zaman badowazihitaj
Kweli
Kila nikitazama na kusikia nakumbuka marehemu mama ang... Mungu mpumzishe kwa aman
Izi ndo nyimbo zazichujii
KIBAO KILIENDA SHULE KWA ASLIMIA100/
hoza
Aiseee nimelia sna nimemkumbuka kaka yangu ambae Kwa sasa ni marehem 😭😭😭
Daah wimbo huu nakumbuka kitambo sana hizi ndizo nyimbo zenye kueleweka
Kweli zina ujumbe wa mafunzo
Unakumbuka wapi??
Kweli kabisa yakua mapenzi yana dawa sio mchezo, Dimosso mwenyewe ndani ya nyumba
Kida waziri,,,,hatari sana
Safi Sana zilipendwa
bonge la wimbo
Nakumbuka mbalisana
Sijui dunia hii iliyokosa upendo yenye chuki kisirani na kila baya km huu wimbo unawahusu asante vijana jazz ni moja kati ya band kumi bora za moyo wangu mie hapo ninao pia dar international chini ya jabar la music wapo pia sikinde na mahasimu wao msondo namleta kwenu zahir aly zoro naileta sauti ya maana kabisa kutoka kwa mtu wa maana sana Ramadhani mtoro Ongala daaah maisha mafupi
mm natamani Julia kuikosa miziki kama hii kwa sasa
Wimbo unanikumbusha mwaka 1995 nikiwa sengelema butonga nikiwa kwenye kulima maarufu kibarua
Wangapi bado 2naangalia 2020
Safi sana.
Huu wimbo ukikaa pekeako then ukisikiliza unaweza kutokwa machozi aiseeeee dah...unanikumbusha mbali sana kipindi hicho Tanzania imetulia. Holiday unaijua, weekend unaijua, working days unazijua. Ukienda kujijini Raha ukienda mjini Raha dah...Mungu turudishie Tanzania yetu
Jamani Kida Wazir alikuwa anatufurahisha sana kwenye bendi hii ya Vijana, bado anaendelea na muziki?
Safii sana vijana jz
Nadhani huu ndio wimbo wa mwisho Hemed Maneti kushiriki. Sauti yake inaanza mwanzo pale.
Keeling Cape
inanikumbusha mbali sana hii nyimbo
Amina Loop
Naelewa mazoea yana tabu lakini nitajitahid kusahau r.i.p. kida waziri bado tuko pamoja 2019 nyimbo nzuri ujumbe mzuri nilikuwa mdgo sana enzi hizo
Kida waziri yuko hai bado
@@balozichalamila4034 yap.
Kida yupo hai mzee nasikia yuko Arusha ila wapenzi wa mziki tulimuomba siku moja ajitokeze kutupa hbr za zamani
Kida alifariki?
Mara ya mwisho nilimsikia ktk mahojiano ya TBC FM...akielezea changamoto alizopitia za ugonjwa.....
Vijana jazi tu sio nyingine
mambo ya wahenga hayo saafi sana siyo sawa na miziki ya sasa isjyokuwa na kichwa wala miguu
Zilipendwa ni noma sana jamani
Zilipendwa ndio miziki bora, ila bas tu
Haaaa.hakuna miguu wala kichwa
Duuu unanikumbusha Morogoro jamuhuri Siku Rais Mandela naMkeo winnWanaingia nakupigiwa huo wimbo nikimuona laivi Kida wazili acha tu zamani rahaa bwana
Nipo hapa 2023 jamani mawifi uwiiiii wapunguze jamani
hahahaaaaaaaaa
Nawakumbuka mama zangu wote mungu awalaze pema
This song takes me back 1993 when I was still home (Zanzibar). Our house girl, Tatu S. A. Mng'ombe used to sing that song every day. Where are you Tatu? I know you're from Gendagenda, Tanga. I didn't see you since then. I miss you!😢😢😢
KKK4k
Kk?(kk.3a(na?4ak?LA(kakk
K4a
(K
4a
(K
Ak?k
Ak?k.a(
k3ak?k
Am sure you made her pregnant 😂😂😂
Poor you 😢😢
@@johnmasungansolezi576😂😂😂😂
Duh mawifi acheni
Hiligoma siomchezo
Hakika
2024 naangalia
Hapo ndipo neno " kuachwa kwenye mataa ,lilikoanzia!,Kida waziri.
Kumbe
Kumbushia
Tanzania tuna utajiri mkubwa sana gone are the days kwakwel
Sumu imemwagwa na bongo fleva. hawajui kupiga chombo hata kimoja. ni makelele tu kuruka ruka na nywele utafikiri wametoka kwenye Mars.
Fantastic good job Vijana jazz,
Old is gold always
True
you sibongile where you come from
Vyema sana wajomba,ujumbe umefika.great song
Mawifi. Wenyekiereere
Waloimba ndio hawa kwenye video au hawa wamekopi tu maneti ni yupi hapo jamani msaada
Hapo hamna copy tu
Shomari omary kwenye solo
Nikweli anaitwa shomari Ally ktk solo Gitaa
nzuri sana hizi ndio nyimbo zenye maadili bhana
Kweli sio lamba sukari za zuchu
Ya kale ni dhahabu, hakika muziki huu unatamani mtu uzaliwe upya lkn ndo haiwezekani
James Mawila! Mtoto wa Kiwalani!
Hiki kibao bado kitamu sana
Hivi Fredy Benjamin yu wapi jaman
akika nyimbo hizi zina mafunzo mengi mazuri siyo kama za sikuizi, zawahuni
Saf sana
Ama. Kweli vijana jazz kiboko
Kweli kabisa
Shule ya hekima
Huu ndo muziki mpaka leo unsikia raha kuangalia 2018
Kweli kabisa
OLD IS GOLID
2020 tujuane tuliopita hapa 😂
2020 still watching this
KWELI old is gold, very ataiming
Hivi wa original wapo hapo kwa mnaowajua?
kuwasema naogopa nitakuja gombanisha asante dada pili
Sio pili. Ni Kida Waziri
Cyo pili wala kida huyu alikuwa anaitwa Nuruh Muhina ameshafariki
Yondo
very amaizing song. old is gold
Enzi za wahenga ajuae maana redio ya mkulima 77
Wif zangu kamiri
Daah zamani raha sana!!
Très bien comme percussions ,images, présentation ,waimbaji ,wacheza namke kitoko cheftaine ,Njoo bien ivo..
Tunaoangalia huu wimbo 2020 tujuane
Utajiri wa Tanzania namkumbuka mama yangu pale majengo Mbeya
2024 tupo
Pole sana ndo walivo mawifi asilimia kubwa. #Peacefull.+ old is gold. 🎄 🎅 👏👏👏
PABS T
nicesong
When music was music dah
2021
Vedio hii tulikuwa tunaangalia mwaka jana na bibi ang Nimemkumbuka bibi yangu kipenz magreti upumzike kwa amani bibi angu
2po
wakati muziki ulikua muziki, cku iz hamna kitu!!
Immah Fred
.vijana
nyimbo tambo japo mimi kijana wa leo