Soko la mabibo kwa kweli ni basi tu mpaka leo hakuna kinachofanyika miaka yote soko chafu sana tena sana kwa kweli hata vipi lingefungwa lifanyiwe marekebisho .
Kama mapato yanakusanywa na soko lenyew bovu chafu, mazingira hayana mpangilio sasa hela hizo wanakula akina nani na wanafanyia nn yaan afrc mafisadi ndio wanakatisha maendeleo yaan soko halina quality zuri hao viongz wanaokula mapato kamata pelek jela wanakula jash la wananch wanajali maslha yao na family zao ukiwaona ni matumbo marefu kama yanataka kupasuka loh yaan tunarudishwa nyuma na viongz wachache hasa ktk ngazi za chini serikali fatilieni hizi ngaz cha chini ndip zinarudisha maendeleo nyuma,
Kiongozi safi mwenye uweledi wa kutosha tunashukuru maboresho yameanza asanteni kwa kutujali.🥰
Mkuu wa wilaya ngangari mkuu wa mkoa nganagari mnatuwakilisha vizuri sana
Kazi nzuri mheshimiwa
Kumbe bado wapo viongozi kama hawa wajasili hivi ,hongera sana mheshimiwa ,
Huyu jamaa Ni wa haki kuliko chal
Safi sana
Soko ra mabibo ni chafu sana na miundominu mibovu wakusanya ushuru wara wao tu
Kazi indelehe
Pole sana mkuu! Pambana Mungu Atakusimamia.
Kwa kweli…soko la Mabibo linahitaji marekebisho
Naenda viongozi wanaofwatilia mambo ya wananchi.
Hiyo ripoti ya Mapato imeanza Kuchezewa Baada ya MAGU kufariki.... Sahv sio Soko la Mabibo tu, Kila sehemu Kumeozaa
Ila bahati mbaya wakati huohuo wa magu licha ya makusanyo lilikua bovu na chafu
Mama ebu jaribu kumuangalia kwa jicho la pili huyu mkuu wa Wilaya ya Ubungo ni mtenda haki,anachapa kazi kweli kweli!yupo vizuri saaana!
Anapambana yaani anakuja mpk uchochoroni huku anatembea mno kwenye vituo vya watoto yatima.Huyu Dc Mungu amuongoze.Pia ukitoka huko na mbezi mwisho.
@@mariachristian3585 Kabisa!ukiwa na hofu ya Mungu lazima utende haki!huyu jamaa amebarikiwa sana ana hofu ya Mungu
Soko la mabibo kwa kweli ni basi tu mpaka leo hakuna kinachofanyika miaka yote soko chafu sana tena sana kwa kweli hata vipi lingefungwa lifanyiwe marekebisho .
Alhamdulillah Mashaallah mie nikona Sigda tu kwa mwanaume mie hoiiiiiii❤🙈🙈🙈🤲🙏🌹
wewe Fetty weweee
@@rayisadesigns2646 Nini tena Jamani ?
Km hujualewa simu 2000 uliza we ulie nje y dar
Mje soko la Tegeta nyuki maji ya choo yanatiririka barabarani hapohapo ndio damp hapohapo ndio mizigo inashwa njooni muone
Kama mapato yanakusanywa na soko lenyew bovu chafu, mazingira hayana mpangilio sasa hela hizo wanakula akina nani na wanafanyia nn yaan afrc mafisadi ndio wanakatisha maendeleo yaan soko halina quality zuri hao viongz wanaokula mapato kamata pelek jela wanakula jash la wananch wanajali maslha yao na family zao ukiwaona ni matumbo marefu kama yanataka kupasuka loh yaan tunarudishwa nyuma na viongz wachache hasa ktk ngazi za chini serikali fatilieni hizi ngaz cha chini ndip zinarudisha maendeleo nyuma,
Daaaa wewe unastaili kuwa mkuu wa mkoa
Mama oyeeeeeee😂😂