🔞KWA WAKUBWA TU❤️: BI CHAU AWAFUNDA WANANDOA, MASAJI, MSUNGO, MAFUTA ya NAZI | KATIKATI YA KOKO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 229

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +16

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

    • @nyembomajid907
      @nyembomajid907 ปีที่แล้ว +1

      walekhum salam wa mama zetu mi KUTOKA Congo mkoa wa mambasa, hapa kwetu mambasa bado Mila ziko hapo hapo wa kungwi wetu wanafanya kazi vizuri Wanaelimisha wakina dada vizuri watoto waume bado wanatairiwa nyandoni vizuri kwa hivo Mila ziko sawa

    • @munaali7862
      @munaali7862 ปีที่แล้ว

      Mona

  • @NajmaBarry04
    @NajmaBarry04 11 หลายเดือนก่อน +10

    Mleteni tena bi Chau anamafunzo mazur Mungu amzidishie inshaAllah

  • @idrisaaliy9847
    @idrisaaliy9847 ปีที่แล้ว +28

    Bi chau mashaallah mama huzeeki Allah akueke zaidi na zaidi ishlah

  • @SaumuLuvuno-s6w
    @SaumuLuvuno-s6w 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ntakutafuta bi Chau. Ila mbona ulikua ukimtura mzee small vile😂😂😂. Big ❤ bi Chau. umegusa ndipo, cc wa sasa ndoa hazidumu coz hatutaki kujishusha kisa twafanya kazi sote na vilevile tumejaa viburi na twaendeshwa na udigitali

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 ปีที่แล้ว +16

    Utamkuta somo hata kuolewa hajaolewa hata mara moja eti somo!! Anagunda kitu gani?!! Hongera sana bi Chau kwa maneno yako mazuri,

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 ปีที่แล้ว +3

    Maashaalah tupatie namba za b.chau❤Atupe mafunzo zaidi 🙏🥰

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 ปีที่แล้ว +8

    Bi chsu nakukubali sana. Hayo unayosema ni mambo ya zamani hivi sasa zimepotea. Kwanza mwanamke wa kizamani kwa sasa hivi unaonekana mshamba. Na wanaume wa kizanzibari hata usugue kea hawawi. Na na anakudharau ukimfanyia hivyo. Wanaume wa siku hizi wanaonaowa sio mke inakuw mfanyakazi wa ndani.

  • @maryamsimai6263
    @maryamsimai6263 ปีที่แล้ว +7

    mashaallah bi chau nikiiipenda sana michezo yako na mzeee small sijui ata inapatikana wapi kwa sasa

  • @HawaMwanga-b1k
    @HawaMwanga-b1k 7 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah,, npe npe nitekeleze inshaallah, nkiolewa

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 ปีที่แล้ว +16

    Maashaaallah bi chau uko vizuuuri👌👌madini adimu na adhimu ❤️watu kama nyie wachache Allah awaweke tunawapenda sana, utandawazi umetuharibia watoto na jamii kwa ujumla! Msiba mkubwa!ya KALE NI DHAHABU!!!kipindi muda ni mfupi lkn kitaaamu ajabu😍😍👌🙌🙌

  • @Raissaabdoul
    @Raissaabdoul หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana bi Chau kwa ajili ya Allah tatizo ya watoto wazisiku awasikiyi ushauri nakupenda sana bi Chau naomba namba za bi Chau

  • @mohammedibimkubwa4947
    @mohammedibimkubwa4947 ปีที่แล้ว +5

    Ahsante bi Chau , umenikosha, unaelezea bila ubaguzi

  • @begamnafaj8743
    @begamnafaj8743 4 หลายเดือนก่อน

    Shukran madam nimeongeza maarifa mengi hasa ktk somo la msuaki na umuhimu wa kusafisha miguu baada ya bafu. ❤

  • @mariamtezo8092
    @mariamtezo8092 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani bi chau mm nauombea Allah akupe maesha marefu uzidi kututoa ujinga ulio ganda ndani yavichwa vetu

  • @abudhabiimarat8622
    @abudhabiimarat8622 ปีที่แล้ว +1

    Tunawasikiya makungwi bi chau mm nitakuja kutafuta inshaallah unipe darsa nzr nilikuona itv zamanii

  • @hamidarukingamarukingama7010
    @hamidarukingamarukingama7010 ปีที่แล้ว +4

    Shukran sana kwakunifunda na mim mtoto wenu ntayafanyia kazi

  • @mariamoman5057
    @mariamoman5057 ปีที่แล้ว +3

    Walkumsallam wa rahmatullahi wabarakatuhu ✔️ shukran Mom ❤️ 🌹 heshima kwako

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah mwenyezi mungu azidi kuwatunza wazazi wetu ili muzidi kutuelimisha tunapo koseya

  • @millermukhovi3284
    @millermukhovi3284 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana bibi.nitayatilia manani maneno yako

  • @dottohami
    @dottohami ปีที่แล้ว +4

    Tenaaaa wambie wana ndoa sijui wanakwama wapi ndoa hazidumu mtu wezi tu kaachika mpaka unashangaa mtu masha Allha b chau 😘🔥

  • @khadijamohanani6476
    @khadijamohanani6476 ปีที่แล้ว +7

    Tupo siri ya urembo bibi yangu huzeeki mashaallah. Bichau

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda sana bi chau mashallah ❤🥰🥰🌹🇴🇲👌

  • @nurukasunzu2711
    @nurukasunzu2711 ปีที่แล้ว +3

    uko vzr bi chau mungu akuweke

  • @hawaomar5814
    @hawaomar5814 3 หลายเดือนก่อน

    Waaleykum salaam warahmatullhy wabarakatuh

  • @Elesciahmdugo
    @Elesciahmdugo 2 หลายเดือนก่อน

    Nakupa kongole bi Amina, toa namba zako

  • @MakhaiAbdullahEuli-em6jj
    @MakhaiAbdullahEuli-em6jj ปีที่แล้ว +1

    mashaallah tumeisikia

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 ปีที่แล้ว +7

    Mi nilikua sijui kutengeneza mafuta ya nazi Asante sana

    • @saralusinde53
      @saralusinde53 ปีที่แล้ว +1

      hata mimi nimefurahi bi chau kanifundisha kutengeneza mafuta ya nazi

  • @muzdiddysultan
    @muzdiddysultan ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah bi chau uko vyema

  • @abdouaishafuzna2345
    @abdouaishafuzna2345 ปีที่แล้ว

    Asalam aleikum. tunashkuru sana bi chau.

  • @engelchilumba9381
    @engelchilumba9381 ปีที่แล้ว +1

    Asante bi chau nakupenda bureee

  • @aishaabdallah9550
    @aishaabdallah9550 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah bi Chau tunaomba namba

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 ปีที่แล้ว +2

    Asante bi chau kwanza kbs naomba ck ingine muzungumzie kuhusu kipin cha pua maana cc wenye vipin vya puani twaonekana ni malaya kwa dhama hz za smart phone pili bi chau na shangza yangu hpo pemben ck hiz kuna mafundisho ya ndoa kwenye mitandao yan was was hd kero mie naona kwann baadhi ya wanawake huwa wanafundisha mambo ya ndn ya ndoa hadharani kbs 😢

  • @mwajumakilobwa6237
    @mwajumakilobwa6237 ปีที่แล้ว +3

    Shanga zinatakiwa ziwe 3 na langimaalum na kilalangi inamaana yake

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 ปีที่แล้ว +2

    Mitandao imejaa upotoshaji wa tamthilia na maadili mabovu ya kigeni kwa vijana. Mazingira yamechafuka siyo rahisi tena kuwafunda vijana. Hata DINI zetu hazithaminiwi tena kutuongoza kimaadili.

  • @TamimaKhamis-i6d
    @TamimaKhamis-i6d หลายเดือนก่อน

    Jamani kweli unayo yasema ni mazur lakn waaume wanasababisha

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว +2

    Kwa watoto wa sahivi hatauwe mkufunzi kiasibgaji hata uwe kungwi kias gani.dujia hii ya sim za kupangusa kilaanapoenda diamond wapo nyuma ndowa haziwezi kukuwa wakat wenu kulikuwa na heshima ujirani ndugu balehe wa nyumba fulan kijiran anaogopa kumtongoza mtoto wa kike wa jiran yake kwasab wazee wako kidugu halafu watoto walikuwa wanahaya sahivi hakuna haya hatamkirud jandoni bure

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda sana bi chau

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si ปีที่แล้ว +7

    Cku izi hata mikeka makawa vipepeo hawatumii ila kwetu tanga bado vipo na tunaenjoy mahaba

  • @rizikichamosi7551
    @rizikichamosi7551 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah mama kazi safi

  • @swahibasaidi4669
    @swahibasaidi4669 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallh thanks allah

  • @FatimahAl-f1d
    @FatimahAl-f1d 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah Bi chau ❤❤❤💯

  • @salmasulleysh7101
    @salmasulleysh7101 11 หลายเดือนก่อน

    Mbn raha jmn ila waume wengine walishindkna mjuee

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 11 หลายเดือนก่อน

    Jamani watu sasa kwenda kusafisha miguu, kucha na massage huko nje ati ndio maendeleo hayo. 😮😮

  • @keyla3641
    @keyla3641 ปีที่แล้ว +14

    Jamani vijana tu sikilize wazee wetu hizi hadisi wanasimulia unahisi kabisa walikuwa na furaha waliishi kwa kujali hisia zao waliishi kwa adabu mashallah jamani tujifuze tuwafundishe na watoto wetu asilizetu wazee wetu walifanikiwa kwa kujishusha kubembelezana awakuwa kufika hapa sisi tulipo tu jitahidi I turudi kulikotoka

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 ปีที่แล้ว +2

      Kurudi ulikotoka unaona ni rahisi ee? Haya anza wewe. Wewe unarudi ulikotoka mmeo anaenda mbele kwa mbele na digitali hapo ndo utaona rangi zote. Ya kale yalishapita dear ni kuendana na mazingira tu yaliyopo

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 ปีที่แล้ว

      Ngoja kwanza nizaliwe upya haya yameshanipita

    • @noorynmohammedy6063
      @noorynmohammedy6063 ปีที่แล้ว

      @@fettiemaganza1484 🤣🤣

    • @amanimyolo1478
      @amanimyolo1478 ปีที่แล้ว

      Allah akbar

  • @ApiaGervas
    @ApiaGervas 27 วันที่ผ่านมา

    Sasa mama zangu mume hakupi hela ya kula alafu anakukwaza kila wakati mm mke namuomba ladhi kwa makosa yake ndoanaongeza kukukwaza akijua hutofanya chochote je huyo nae mwaniambiaje hapo? Lazima huyu mama au dada atachoka ndipo dhalau kwa mumewe inaanza wanaume Leo hawapo

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mama nampenda alafu hazeeki maasha Allah

    • @rajabjuma277
      @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

      Hazeeki nani kakwambia

  • @missjudy7294
    @missjudy7294 ปีที่แล้ว

    Wakenya twaitaji kusikiliza bi Chau hata kama kiswahili kigumu

  • @remaz-tf6zh
    @remaz-tf6zh ปีที่แล้ว +1

    Bi chau nataka namba za cm

  • @Mrs.Mumewangu
    @Mrs.Mumewangu 5 หลายเดือนก่อน

    Namtafta bi chau jamani nampatapi. Ni shangazi yangu. Nipo America

  • @MarthaAlbano-l1q
    @MarthaAlbano-l1q 6 หลายเดือนก่อน

    Tuna omba namba ya bi chau ❤️🥰🙏

  • @neemaalpher8798
    @neemaalpher8798 ปีที่แล้ว +1

    Nime penda jamn kina mama zangu nikiolewa nitafanya ivi kabisaa mbalikiwa sana na MUNGU

  • @annamnyazi8206
    @annamnyazi8206 ปีที่แล้ว +1

    Thanks

  • @sarrahmsao3212
    @sarrahmsao3212 ปีที่แล้ว +1

    Cheko la ni Chau tu linasisimua je mengine huko si haubanduki 😀😀😀😀

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 ปีที่แล้ว +45

    Nyie mnaongelea mambo ya 50s dunia hii ya leo! Mjue zamani mwanamke alikuwa hafanyi kazi so muda anao wa hayo yote. Leo hii kila mtu anachakarika kutafuta pesa akirudi home hoooi huo muda wa kuchokorana masikio unatoka wapi?

    • @neemamzande8547
      @neemamzande8547 ปีที่แล้ว +4

      🤣🤣🤣🤣🤣kuchokorana masikio join 😆😆😆

    • @mwakahassan7685
      @mwakahassan7685 ปีที่แล้ว +1

      😄😄😄

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 ปีที่แล้ว +11

      Ndy maana mnaachika hamuna mahaba mmeendekeza kutafuta hela 🤣🤣🤣

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu ปีที่แล้ว +9

      MAADILI hayapitwi na wakati ndugu yangu

    • @khadijamgambo9382
      @khadijamgambo9382 ปีที่แล้ว +8

      Si lazima kila siku taguta siku ya kufanya surprise mumy ukiendekeza sana pesa hotokuwa na maisha ya furaha maisha ndio haya

  • @MuniraAbdallah-tv6gs
    @MuniraAbdallah-tv6gs 5 หลายเดือนก่อน

    Acnt 🙏 Mama ❤❤❤

  • @reminamkunda6474
    @reminamkunda6474 ปีที่แล้ว +1

    Kweli BChau

  • @mwanjumajongette8187
    @mwanjumajongette8187 ปีที่แล้ว +1

    Nice Bi Chau

  • @Waseme-f7y
    @Waseme-f7y ปีที่แล้ว

    Mashaallah mashaallah

  • @mwajumaahmadi5533
    @mwajumaahmadi5533 ปีที่แล้ว +1

    Cjaolewa lakini najifunza jaman kazi nzuri mama zangu

  • @munaali7862
    @munaali7862 ปีที่แล้ว

    UnapatikaniwaWapiBiChau

  • @zuhurasuleiman4986
    @zuhurasuleiman4986 ปีที่แล้ว +1

    Bichau.nakupenda

    • @mamanaa9352
      @mamanaa9352 ปีที่แล้ว

      Bichau 💕💕💓💓💓💓💓🍎nakupenda sana mungu akuweke sana

    • @mamanaa9352
      @mamanaa9352 ปีที่แล้ว

      Namb ya cm tunataka

  • @Niyiturinda
    @Niyiturinda ปีที่แล้ว +2

    Nakumbuka buchau na mzee small....walinifurahisha....ningezipata kabisa....

    • @lattifajohn2235
      @lattifajohn2235 ปีที่แล้ว

      Jamani 🥰 anapendeza avyovaa mashallah tuambie nasisi mavazi yako jamani nimependa Sana ilo kuberi ♥️♥️♥️♥️

    • @alittlemoretime
      @alittlemoretime ปีที่แล้ว

      Swa baba

  • @عزيزةمرجاان
    @عزيزةمرجاان ปีที่แล้ว +2

    Nna mwari wangu namtaka bi chau aje anifundie

  • @Layla_Sulaiman88
    @Layla_Sulaiman88 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah mama

  • @mohamedhussein-qb5sg
    @mohamedhussein-qb5sg ปีที่แล้ว +1

    Bi Chau ni kweli jando la unyago lirudi , sio wengi katika waume wana mafunzo ya ndani katika unyumba .Mia fil Mia Jando la unyago lirudiiii

  • @FarouqSalmin-q3v
    @FarouqSalmin-q3v 6 หลายเดือนก่อน

    Jinsi ya kufanya wake wenza wapendane

  • @fatmaamissi7251
    @fatmaamissi7251 ปีที่แล้ว +1

    Nakumped mma yang chau shikamoo

  • @munaali7862
    @munaali7862 ปีที่แล้ว

    NapendaSanaHiliDarasaLakoMami

  • @ekyongemiseeleco2459
    @ekyongemiseeleco2459 ปีที่แล้ว +9

    kwa nini Wakufunzi wengi ni wale walio achika?, Je! elimu hiyo ya ndoa walipata baada ya kuachika ao kabla ya kuachika, na kwa nini waliachika pindi wanayo elimu ya kumpeti petit mwanaume

    • @Iragibarune1.
      @Iragibarune1. ปีที่แล้ว +1

      Hili mie pia hua najiuliza sana sijawai pata jibu

    • @Niyiturinda
      @Niyiturinda ปีที่แล้ว

      @@Iragibarune1. nawaza na bahati kwa kujenga inakuwemo....ao mwanaume amekuwa mbaya ao,Familia,...kuacika....si mpqka hujuwi kitu..na kujenga sio lazima ijuwe kitu....hatari kabisa

    • @devidnongwa4042
      @devidnongwa4042 ปีที่แล้ว

      Kwasababu wanawakae wa aina hiyo blaablaa sana utekelezaji hawana na wanaume wengi hawapendi wanawake wa aina hiyo mwanamke mzuzi mkimya na mwenye utiifu.

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 10 หลายเดือนก่อน

      Kwan bichau nae kaachikaa

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 ปีที่แล้ว +1

    Kuna wanaume awakubali makosa yao yaani kila siku wewe ndio mwenye makosa.khee 😂😂sio wanaume wa leo

  • @HusnaIdrisa
    @HusnaIdrisa 10 หลายเดือนก่อน

    hivi bi chau nakupataje unifunde jamani

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq ปีที่แล้ว +2

    Nipo hapa niwasikiliza moja baada ya jengine

  • @ناصرالمطيري-م6ع
    @ناصرالمطيري-م6ع ปีที่แล้ว

    😅😅napenda mnavyo cheka

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 ปีที่แล้ว +1

    Bi Chau mbona ITV?

  • @joycemakungwa1307
    @joycemakungwa1307 ปีที่แล้ว +1

    Bi chau umeongea mengi lakini mm yamenikuta nilipata mume lakini alikuwa mchawi badala ya kupendana kwa dhati akaniwekea limbwata la kunifunika nisiende popote iyo ni haki b chau.

    • @joharijj2164
      @joharijj2164 ปีที่แล้ว

      Kumbe tupo wengi 🤣🤣🤣pole natumai ulijikwamua

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      Duhh

  • @najmaaa6548
    @najmaaa6548 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @EsterJonas-ii4do
    @EsterJonas-ii4do ปีที่แล้ว +1

    Yani niwaze hela niwaze nahayo yakum bembeleza ivi😅😅😅😅umefeli

    • @AminaKassim-ni9wd
      @AminaKassim-ni9wd 5 หลายเดือนก่อน

      Shida mmeshindikana na ata adabu amna kwasababu wamama kama awa anaelekeza darsa zuri ww unaongea nn ndoa zitawashinda asa pale mume akichepuka na akimpata wakuwafanyia aya kwisha abali yako

  • @zena6203
    @zena6203 ปีที่แล้ว +1

    Kuachwaa ndio habari yamjini

  • @ruu6592
    @ruu6592 ปีที่แล้ว +5

    Wanakinai haraka wameumbwa na miyoyo minne yote utamfanyia hakuacho kwa hayo ila ata owa tuuuuuuu ni vimbe walio shindikan

    • @mkatungu7457
      @mkatungu7457 ปีที่แล้ว

      Kabisa Ndugu yangu. Kwa wanaume wa kiafrika hufanye kazi saana.

    • @aisharajimbo6784
      @aisharajimbo6784 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wasema walishindikana

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      @@aisharajimbo6784 kama una tako sawa

  • @neemagowi7692
    @neemagowi7692 ปีที่แล้ว +11

    Wengi wao wanaacha tamaduni kisa tu utandawazi

    • @mozasaid3869
      @mozasaid3869 ปีที่แล้ว +2

      Kweli kabisa! Huo utandawazi ndiyo unawaharibu,

    • @consolatamedard6593
      @consolatamedard6593 ปีที่แล้ว

      Nandyomana migogoro ya ndoa haiishi kila siku tunaona maajabu aisee

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah❤️

  • @salhabeautybashiru8393
    @salhabeautybashiru8393 ปีที่แล้ว

    Samahani nampataje bi chau

    • @peterkinga5937
      @peterkinga5937 ปีที่แล้ว

      @Salhabeauty Bashiru Wapata Taabu Ya Nini Wewe Hebu DondoshA Namba Zako humu Umpate Bi Chau Maana Ni Bibi YangU HuyO

  • @aishagakurya1964
    @aishagakurya1964 ปีที่แล้ว +1

    Wengine wakitaka kufanyiwa hawataki wasema wataka kuchukuliwa huchafu hupeleke kwa mnganga

    • @shaukatashiq137
      @shaukatashiq137 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂daah kali hii

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah bichao hajabadilika kicheko chake 🤣

  • @FakihiRajabu
    @FakihiRajabu 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba munitajie vitu gani vinatumika katik kumsinga mume

  • @SuzanneZuh
    @SuzanneZuh ปีที่แล้ว

    Bib namba yako naomb

  • @angle3600
    @angle3600 ปีที่แล้ว

    Zilipendwa,

  • @SelemaniMndai-ox8dy
    @SelemaniMndai-ox8dy 5 หลายเดือนก่อน

    Na kunyolewa wananyorewa pembe zote

  • @fridageorge2809
    @fridageorge2809 ปีที่แล้ว +3

    🤣🤣🤣🤣Chau weeeee nakukubali!

  • @munaali7862
    @munaali7862 ปีที่แล้ว

    MonaAli

  • @zawadiabdallah8342
    @zawadiabdallah8342 ปีที่แล้ว

    Kwahiyo haya mafundisho kwa watu waloolewa t kama mm sijaolewa hanaifai naomba jibu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +5

    Mambo mazito 😍😍

  • @munaali7862
    @munaali7862 ปีที่แล้ว

    KutokaKenya

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 ปีที่แล้ว +1

    Bi chau unasura ya kitandani kujibenua benua

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq 6 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂wa mama wanipunga mashaallah

  • @matesomoci6376
    @matesomoci6376 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq 6 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂majirani tukoooooo

  • @nurtoaliosman8303
    @nurtoaliosman8303 ปีที่แล้ว +1

    👍👍👍👌👌👌

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 ปีที่แล้ว +1

    Kama huna cha kupika 😅😅😅

  • @dehfirstlady12
    @dehfirstlady12 ปีที่แล้ว +1

    bi Chau yupi huyu tena🤔🤔🤔

    • @leilashume8826
      @leilashume8826 ปีที่แล้ว

      Bi Chau mbona ni msanii wa bongo movie famous snaa enzi izo za kina majuto na mzee small aliwahi kuact Dana miaka hiyo.

    • @dehfirstlady12
      @dehfirstlady12 ปีที่แล้ว +1

      @@leilashume8826 namjuwa ila tetesi kichwan nko na zile za zaman sasa nashangaa kumuona!!!

    • @gosberthussalvatory7992
      @gosberthussalvatory7992 ปีที่แล้ว

      Uko vizuri Sana ila utandawazi unatuhalibu sana