Nice to see cmng back to share and celebrate the roots.. Also I think if sultans of Oman had still ruled Zanzibar I'm sure by now Zanzibar would have one of the best and the top modern country in the whole east Africa ... ngekua kama Oman kabisa maendeleo ... but its unfounate our leaders hawana fikira hizo wao nikufkiria maslah Yao tuu waliobakia kaeni chini .. sad indeed ...having said that I'm so happy to see everyone is having a fantastic time! bless all
Zanzibar ni kwenu kama ulizaliwa na kukulia, si dhani kama ni sahihi kusema utarudi kwenu kwa sababu ya kauli za kibaguzi za viongozi wetu wa zanzibar, na kutojua umuhimu wa wananchi wao. Oman hata ujivune vipi utabakia kua mtu wa kuhamia tu.
Eeh mwenyezi Mungu tusaidie! Nikiwaona hawa roho yangu inachafuka kwa jinsi walivyowadhalilisha wazee wetu zamani au wanajikosha? Walitutoboa vicgino,kutufunga minyororo,wanaume kuhasiwa,kubakwa,kutumikishwa ovyo na ukatili mwingi halafu leo wamekuwa malaika? Siwachukii kwa sababu ni bin adamu ila tabia zao na mambo wanayotufanyia huko kwao hawana utu hata kidogo!
Waomani ni waomani tu bwana sifa zao zinajulikana waliijenga zanzibar wakaleta biashara pia kilimo na isitoshe walichanganya damu na mengi tu hayahesabiki
Mnajulikana kwa uvivi watz bara na visiwani mpk raisi Magufuli kawasema raiya wake hmn vya burebure kwa utapeli na punguzeni midomo!! anataka kl mtu afanye kazi ale jasho lake.! and his real..TRUE..!
Wananyabyasa Kwan uongo kinatukalisha ni umasikin tu of coz kula pekeyako kama nyau bguo yako aweza ishika na glops kwa kinyaa wazuri Kama sultan kabus ni wachache
Y6 Y6hg mwarabu akitaka afrika mashariki nzimaa anachukua..bada ni ardhi zake kwa ushahidi wa dqm ziko wengereza..ila hawataki.nani anataka kuhukum watu wasio elewa ....
Khalid Khalfan kwanza hilo jina lako hata halikufai ...khaled alikua mtu wa maana si wewe.pili mwarabu ni mtoto wa mtume wako mhd naona umesahau warabu ni watoto wa mitume ndo sababu wana kheri mmewauwa na bado wanaonesha upendo ama nyiyi hamba kheri hata kidogo .hasbiallla wanema alwakil..badilisha hili jina.kuanzia leo uitwe joni...
Zeyana Al-anbury dada usi panick bure wa tz kusema Nikawaida yao eti waarabu wanatutesa anavyo tutesa magufuli Ni kidogo ,? Nja nja hapa tunaitamani omani angalao tuweke familia zetu zina adhirika kwa shida mhhh
Hivi tupew heshima gan wa tanzania ndio turidhik oman kwa aliye oman anajua watz wanavyoheshimiwa kwa walio nje sowez kuwalaumu lakin itabak wazanzibar wanatembea kwa kujinafasi oman
Usitukane watu hao wana chuki.tu hazijawaisha mbona watu wana furaha tu wakirudi huko wanarudi oman kwani huko hakuna wanaoteswa ni oman tu.mbona kila siku tunaona huko.mateso na mauwaji
Raha adi koooni sante oman mnatuniua pia kimaisha huku kwenu ukhaibuni shukran Baloz
Nice to see cmng back to share and celebrate the roots..
Also I think if sultans of Oman had still ruled Zanzibar I'm sure by now Zanzibar would have one of the best and the top modern country in the whole east Africa ... ngekua kama Oman kabisa maendeleo ... but its unfounate our leaders hawana fikira hizo wao nikufkiria maslah Yao tuu waliobakia kaeni chini .. sad indeed ...having said that I'm so happy to see everyone is having a fantastic time! bless all
maashallah inapendeza sanaa
nice mungu atuunqanishe
فديت زنجبار وعمان 😗😗😗😗
safi sana zanzibar na oman allah Kareem
Mashalah inshalah tutaondka nao...tutard makwetu..Zanzibar by by...tumechoka mateso
Shuwekha Ally karibu sana Oman.
Shuwekha Ally dada umechoka kuteseka
Zanzibar ni kwenu kama ulizaliwa na kukulia, si dhani kama ni sahihi kusema utarudi kwenu kwa sababu ya kauli za kibaguzi za viongozi wetu wa zanzibar, na kutojua umuhimu wa wananchi wao.
Oman hata ujivune vipi utabakia kua mtu wa kuhamia tu.
انا احبك عمان❤
Nimefrahi sana wallah natamani ningekuwepo Tanzania wallah oman na Tanzania ni wamoja 😚😙😍😘
Aaa leo.hiii.mnataka kurejesha warabu sio
Waarabu pale kwawo
SIWAGENI KAMA MUNAVYOSEMA
Mefosi tuu side wazanzibar na oman
@@masoudmasoud8138 nenda ukoo
Hahaha oooo mashalah Zanzibar yetu
Mashalaah wamerudi watu wetu
Mashaallah....M/Mungu awarejeshe kwa Amani jamaa zetu..uzidi kufanana....nimefurahi sn
Mashaa ullah nzuri saana.
Woooow raha sana.
Duh
kabisa upo okky
Mashaallah band ya oman beautiful waaww
Ingekua so chuki y Wengereza na marecani kumtuma nyerere kuizamisha Zanzibar tungekua mbali n kukusanya watu wa mataifa mengi tafauti ❤❤🇴🇲🇴🇲
Nipo oman kikaz ila naipenda sana zanzbar yangu❤
Aaa Zanzibar Raha wallah Zanzibar na oman huwez zitenganisha
Nimependa wanawake katika band wamevaa vizur mashaallah
Walahh Zanzibar will be at top
Safi
Wooow mpo kwetu tupo kwenu umoja Ni nguvu utengano ni udhaifu
Hata msewe asili yake unatokana na Waarabu. ccm roho zinawauma wakiwaona waungwana. Natamani ningekueko Zanzibar nikashuhudia.
Rashid Seif unahashuo tupe sumu bas
Rashid Seif ha umeshinda!! msewe wa warabu ? Toka lini ? Apo umetuvuga
bora warudi hata masikini atakuwa na tv na gari
mashaallah balozi wetu wa omani
Hdhd Bdh mashaallah Rumh huyo
Mabasha,na mashoga kibao hapo
nassib mchana umesema kweli kabisa 👍
Seif Ali idd ,unasemaje iko poa?hao ndoo wenyewe,hawana wasi mtu kwao.
Hao ndio wenye kisiwa sio tanzania 😄😄😄😄❤❤❤
Wazanzibari msijisahau
yallah
Wow i mis home😂
mbona zachezwa kama zile za ...........
tunawakaribisha sana lakini wawakanye watu baadhi wanao taka kuchafua wa tz.
Muungwana lake rohoni
Eeee Mfalm Sultan ana back kidogo kidogo kwa zanzibar yake 😂😂😂😂 Mkalibishen kama otee yanii
Safi sana
Eeh mwenyezi Mungu tusaidie! Nikiwaona hawa roho yangu inachafuka kwa jinsi walivyowadhalilisha wazee wetu zamani au wanajikosha? Walitutoboa vicgino,kutufunga minyororo,wanaume kuhasiwa,kubakwa,kutumikishwa ovyo na ukatili mwingi halafu leo wamekuwa malaika? Siwachukii kwa sababu ni bin adamu ila tabia zao na mambo wanayotufanyia huko kwao hawana utu hata kidogo!
Mm nipo oman ila sijaona mateso yyte yle mpaka muda huu. Naishi kwa Amani.
Tena naweza kusema. hamna nchi yenye Amani kama oman.
Nice
Nimekumis vp usharud tz
y6 y6
Umeteswa wapi kma upo oman basi kitowe tena huna lazma kukaa kwenye mateso rudi kwenu tena upesi sana...
Undugu jina 😆😆😆woooy dooo karibun lkin sio mbaya ila wamenuna hao no kusmile😂😂
Hamna muomani alinayebagua watu! una hila zikakubagua.! hebu jitizame jichungue je upo sawa.? kabla hujasema watu.?
Warabuhao wana papatikiwa sanaa eti wanariali
Waomani ni waomani tu bwana sifa zao zinajulikana waliijenga zanzibar wakaleta biashara pia kilimo na isitoshe walichanganya damu na mengi tu hayahesabiki
wenye nchi yao wapo hapo hhehehe
❤️🇴🇲
Mumenawar waomani mashaallah
Mnajulikana kwa uvivi watz bara na visiwani mpk raisi Magufuli kawasema raiya wake hmn vya burebure kwa utapeli na punguzeni midomo!! anataka kl mtu afanye kazi ale jasho lake.! and his real..TRUE..!
Hawa siwaarabu ball ni watumwa wa kiengereza hii ni asali ya scotland
Waoman hawataiwacha Zanzibar kwauwezo wamungu kwasbb Zanzibar niyakwaooo ukipeleleza historia yote ya Zanzibar inamuhusu muomani sasa utasema Zanzibar mwenyewe nani wenye wivu wajinyonge muomani akirudi Zanzibar tunampokea kwamikono yote naupendo wakutosha
Oman ndugu zetu jamaa zetu zanzibar tu na pemba wabongo no sio
Nenda kwenu Oman.
Ndugu zenu ndio hira mbona mwateswa kwaho oman
❤
Ahmed Bob mashallah
Eiwaaa
Y6 Y6hg umeniacha nicheke kwa akili yako finyo tabu ya hapa kwetu huwezi ifananisha Na popote pale dudiani
Hahaa eti ccm mbona inarudisha ukoloni.? kweli asiejua maana ucmpe maana.! Kiboko yenu ccm imewaanyoosha hapo ni kazi tu.!
Nani wanachafua tz ? Waliomuua,shahidi Ali.
Naona watu waza wamekua watoto?
Lazma waje Zanzibar mana wanajua Oman Zanzibar ni ardhi yao sadkta
Kama namuona qaboos anavotamani kuwepo znzbr
Kweli waarabu ni watu amani karibuni tena
Mbon watangazaji wa zbc hawapo au wamepewa mikwala
Hahaha
Wananyabyasa Kwan uongo kinatukalisha ni umasikin tu of coz kula pekeyako kama nyau bguo yako aweza ishika na glops kwa kinyaa wazuri Kama sultan kabus ni wachache
hahahah yangu cheko.ni biashara tu lakin sio kutawala kama zamani muelele hivyo😂😂😂.mrudiiiii hapooooo hahahah
Wapeni nchi watutese kama wanavyotutesa kwao
Hatabara wanatesa wakowapi muwamsho makatili hasa nyamaza
Y6 Y6hg mwarabu akitaka afrika mashariki nzimaa anachukua..bada ni ardhi zake kwa ushahidi wa dqm ziko wengereza..ila hawataki.nani anataka kuhukum watu wasio elewa ....
Y6 Y6hg mwarabu hajui kuiba anajua kutoa nyie nini mmefanya cha maana mpaka sasa hivi karibu kiyama kitasimama na hamna mlicho fanya duniani...
inuyasha's girl smao Mambo mengi tuu tumeyafanya sio hao makafiri wa kiarabu
Wewe dawa yako Amar wagga😂
inapendeza kweli ila nenda Oman ww uone jonsi waarab walivyo na ubaguz
nassib mshana wa Oman usiwasemee uwongo hawana ubaguzi kwanza wengine wamezaliwa Na wa Africa ila Dubai Na saudia pale koma
nassib mshana wabaguzi ni nyiyi ...mitume walikua warabu na mgekua nyie mna kheri mungu angeleta mitume wafrika ...
inuyasha's girl smao 😂😂😂😂😂ahhh umeshinda 😂😂😂😂
inuyasha's girl smao kawaarabu wabaya mbona waafrica wote wamekuwa waarabu kwa mkorogo 😂😂😂😂
Hawsbuguwi watu
Yani waarabu wakicheza huwa nacheka 😀😀😀 mbavu zangu
CCM mbona mnawarudisha Masultani , au nchi imewashinda mnataka kuturudisha enzi za ukoloni?
Khalid Khalfan wewe wacha maneno ya kijinga Oman hana hajaa na znz sisi ni ndugu
Khalid Khalfan afadhali kuliko utawala wa makafiri.
Khalid Khalfan amka Kaka Sasa sio wakati wa ubaguzi muhimu anaekufaa waarabu Hana haja Na tz nchi ina watu mamilioni waarabu wataiweza wapi ?
Ahmad Musa heko umezungumza kidiplomacy
Khalid Khalfan kwanza hilo jina lako hata halikufai ...khaled alikua mtu wa maana si wewe.pili mwarabu ni mtoto wa mtume wako mhd naona umesahau warabu ni watoto wa mitume ndo sababu wana kheri mmewauwa na bado wanaonesha upendo ama nyiyi hamba kheri hata kidogo .hasbiallla wanema alwakil..badilisha hili jina.kuanzia leo uitwe joni...
Anosema anateswa hakulazimishwa kuja oman mbona watu wanakuja na kurudi unateswa ww tu wengine hawateswi
Zeyana Al-anbury dada usi panick bure wa tz kusema Nikawaida yao eti waarabu wanatutesa anavyo tutesa magufuli Ni kidogo ,? Nja nja hapa tunaitamani omani angalao tuweke familia zetu zina adhirika kwa shida mhhh
Zeyana Al-anbury Akuna anaekuja Oman na akarudia tena washenzi wakubwa siwapendi waarabu
Hivi tupew heshima gan wa tanzania ndio turidhik oman kwa aliye oman anajua watz wanavyoheshimiwa kwa walio nje sowez kuwalaumu lakin itabak wazanzibar wanatembea kwa kujinafasi oman
Salim Kassim wewe usidanganye kuna watu wapo Oman wanateswa na waarabu awana heshima ata kidogo hao
Usitukane watu hao wana chuki.tu hazijawaisha mbona watu wana furaha tu wakirudi huko wanarudi oman kwani huko hakuna wanaoteswa ni oman tu.mbona kila siku tunaona huko.mateso na mauwaji
nahisi tutarud katka enzi za ukolon mm siwapendi kabisa warabu
cauthar mhinte mmmmmmm na sie tunakupendaaaaaa ndio mushkila ulokuwepo
cauthar mhinte kama hatuna pa kwenda basi bora akhera
+Zainab Al Bahri ila ndo hivyo tufanyaje yote ni kumuomba tu mg
cauthar mhinte na sisi ndo kama weweeeeeeee unavyosema
Nani anataka apendwe na wewe kinyago wa kijijini