Poleni sana napia musiamini watu kiolelaolela vijana musikue na tamaa musilishiriki sana tumbo vifunze shida usijifunze raha wala usipende raha zadunia tafuta haki yako hata km ni kwashida iko siku mungua atakuokoa napia jifunze kumuomba mungu na pia moyo wa kusubiri subira uvuta kheri
Asante sana anko jay , , huwa nafarijika sana hasa ninaposikiliza simulizi kutoka kwako , , kwenye haya maisha tunaitajika kuwa wavumilivu sana hususan kwa ndugu wetu wakaribu, , , Adui sio mtu kando bali ni watu wetu wa karibu
Maisha ni magumu sana Njee lakini tumejifunza sote kwenye simulizi fupi hili. Basi ni bora kuliko kubakiya nyumbani na kuanza kujifunza WIZI, maunga na UJAMBAZI.. Tujifunze...na tusiwe na TAMAA..
Asante sana Anko J kwa hii simulizi nzuri yenye mafunzo tele, at the same time napenda kumpongeza kijan Adam kwa ujasiri wake,angekua muoga hawangetoboa. So God bls u so much n keep on keeping on🤗
Mtihan mzito sana shukran sana msimuliaji Anko Jay na Simulizi Mix yote kwa ujumla waandishi pia hongereni sana kwa kutuelimisha kujifunza na kuenjoy Kweli baada ya dhiki ni faraja AlhamduliLLah
Shukran anko j simulizi hii imebeba ujumbe mzito sana na kupitia simulizi hii nimejifunza mengi sana kukata tamaa ni mwiko subira ni ngumu lkn inamatunda mengi sana
Kiukweri vijana wengi au watu wengi tunatamani maisha ya mbele hakuna mtu asiye penda maisha ya majuuu 😂ila sasa tunaenda kwa njia gani 😢daaha hata mimi natamani niishi ughaibuni maisha ya tz 🇹🇿 ya kiwaki sana 😅
Kwangu nimejifunza kukaaanyumbani niuzembe nikutoka tu nakwenda kupambana maswaibu ndio seemu ya mafanikio maaana ata Adam asingepitia ayo asinge kutana na mafanikio tutoke tukapambane akuna mafanikio yanayokuja kilaisi
Yan unaweza ukamuona .anatembea kumbe moyon kabeba mengi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Lkn pamoja n hayo yote yame kutengenezea njia zuri n kuwa n maisha mema badaye n katika maisha haya lzm tupite njia zingine ndio tufie baraka zetu
Whaaah!...Ama kwa kweli ni story ya huzuni sana ila nimejifunza ya kuwa umoja wa kushirikiana ni jambo muhimu sana na pamoja na uvumilivu...😢😢😢😮❤
Poleni sana napia musiamini watu kiolelaolela vijana musikue na tamaa musilishiriki sana tumbo vifunze shida usijifunze raha wala usipende raha zadunia tafuta haki yako hata km ni kwashida iko siku mungua atakuokoa napia jifunze kumuomba mungu na pia moyo wa kusubiri subira uvuta kheri
😂😂😂😂😂😂😂 huyu ndo voice actor hajawai kukosea mahari much love 🥰🥰🥰🥰
Kila penye uzito na wepesi unakuja Mola akupe ujasiri na imani pia ila simulizi yk ni bombaaaaa👌❤
For sure nimeenjoy ,pakulianimelia 😭🇹🇿🇴🇲pakucheka nimecheka ila yote kwa yote nimejifunza Mengi sanaa hakika Dunia Duara.Asante sana simulizi mix
Hata mie hapa ila nimejipatia funzo kubwa kupitia hii simulizi .❤❤❤
Jay I will all ways take my time for you
I’m Congolese from USA
North calorina Charlotte Queen City
One love Samuel.. Much appriciating time you spend listening our stories..
Ffhg for gaDẞzxxbvvszxzbzxzvxcvzcxxxzZvzXcsczcCxczxxzxadXzdzgcdddsZfccdhszsaadzvvbbbbcbbbxdvxzvvzgfzfsßxffdßZhvsx FS cxzAD1WWWQSDSSR@@SIMULIZIFUPI
Asante sana anko jay , , huwa nafarijika sana hasa ninaposikiliza simulizi kutoka kwako , , kwenye haya maisha tunaitajika kuwa wavumilivu sana hususan kwa ndugu wetu wakaribu, , , Adui sio mtu kando bali ni watu wetu wa karibu
Story nzur saaaana inamafunzo, kila mafanikio lazima yawe na story ya misukosuko yuma, 😍😍👍🙏
😭😭😭Tupambane na matatizo yetu na sio kuyakimbia nimejifunza🔥♥️
Maisha ni magumu sana Njee lakini tumejifunza sote kwenye simulizi fupi hili. Basi ni bora kuliko kubakiya nyumbani na kuanza kujifunza WIZI, maunga na UJAMBAZI.. Tujifunze...na tusiwe na TAMAA..
@@awatifalghanim1106 nikweli
Kabisa
Nikweli na mm nimejifunza kitu sanna.
Napenda sana simulizi km hizi za kujifunza .
Kweli kwenye maisha unatakiwa uwe na subira ndio kitu nilichojifunza asante sana Anko j umenipa somo Mjomba sitokurupuka tena🙏🙏
Hongera saaana AANKO JAY
Asante sana ASHA.. Burudani iendelee
Asante sana kaka matatizo haya kimbiwi tupambane tukimuamini mungu usichoke kutupa elimu
Asante sana Anko J kwa hii simulizi nzuri yenye mafunzo tele, at the same time napenda kumpongeza kijan Adam kwa ujasiri wake,angekua muoga hawangetoboa. So God bls u so much n keep on keeping on🤗
Simulizi safi sana yenye elimu kwa wote ..asanteni sana
Asante sana storry inamafunzo
Simulizi nzuri yenye mafuzo kweli matatizo hayakimbiwi
😄😄 anko jay nakukubal mnoo, unajua san, simulizi bhna ukisimulia wew Anko jay Huwa naenjoy mnoo
Good story my brother, ''k''
Asante mr anko jay
Kwasimulizi nzuri na yenye mafunzo chem chem
Nimejirunza mengi kwakweli asante saana Anko jey one ♥ 👌
Mtihan mzito sana shukran sana msimuliaji Anko Jay na Simulizi Mix yote kwa ujumla waandishi pia hongereni sana kwa kutuelimisha kujifunza na kuenjoy
Kweli baada ya dhiki ni faraja AlhamduliLLah
Duh pole sana Adam na hongera Sana,🔥😍😍
Kwa kweli asant anko jay nimejifunza Mungu akubari amn🤲
Mmmmmh!Anko jay hunafarija nikiskia simuliz kutoka kwako🥰🥰🥰🥰🥰
Maisha. Safari ndefu kuna muda nawaza hata kufa. Kuliko mateso haya ya Duniani. 😢😢
Asante kwa simulizi nzuri Anko J imeniiiza na kunichekesha
This story is very educative. I like it. 🇰🇪
Asante Sana kwa simulizi nzuri 🙏
Anko ni mmoja tu ambay ni Ankojay a.k.a Anko pesa 😘
Nime jifunza sana kuteseka siyo kukufa.you are a hero Adam.expriiance is the best teacher ❤❤❤❤❤❤❤😂
"I really liked your work, you are very creative." Keep up the good work!
iko poa sana anko j
Daaah umetisha xaan anko simuliz nzurii mnoooo daah mung azid kukibariki kipaji chake🙏🙏🥰🥰🔥🔥✌️✌️
Waaa story nzuri yenye mafunzo walai nimekumbuka mpenzi wangu nilie mpoteza katika mazingira kama haya aki it's too pain😥😥
Pouleee kipenz. 😢😢😢
Kwa kweli simulizi zako Zinafundisha
Anko jei simulizi ni mzuri sana harafu icho kipaji chako cha usimuliaj yaani sijui ata nikisifie vp
Daaaah anko j hiii simulizi nimeitafuta xana
Hii hapa kaka... Enjoy
Nxuriiii nimejifunza
Ahsante ANKO JAY
Lífe😢😢😢
Simulizi nzury ila inauma cna hususan pale kwenye kupoteana na latifa inaliza 😢😢
Yani iyi simulizi nimejifunza kabisa 🙏🥰🥰 from 🇧🇮🏥
Eeee kweli ni yakusisimua Daah
Pole sn ADAM ilipangwa iwe hivyo ili ufikie lengo la kuishi maisha mazuri
Sehemu iliyo niuma zaidi ni walipo poteana mara ya mwisho baada ya boti kuzama aiseee daaah 😥 nikaisi kama ni mimi ivi nusu nilie 😅
Asante kwa simulizi nzuri sana nimejifunza
Pole kwa safari ya matatizo
Kweli matatizo hayakimbiii lkn kukimbia pia kumemsaidia pia ingawa amepitia changamoto nying sn🙏🙏😭😭🤣🤣 nice story 🙏 asntee uncle j
Nimeelewa matatizo hayakimbiwi lakini Adam niujasiriwake ndioumempa chavu jmn ankoj ni zaidi ya shule ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
So sad lkn nimejifunza san simuliz nzuri san saf sana ancle J
Amakweli ndunia nichugu unapo ifanya chugu lakini ndunia mwalimu mungu akikutaka utapitia yote lakini siku baada ya siku utaagukia mikononi mwa mungu
Hakika inafunzo kubwa lkn nilichojifunza mungu akupi mtihan pasipo na sababu hiyo ndio ilikuwa njia yk ya kutoka kimaisha asante anko j
Daah imenigusa😭😭😭
Mungu yup na ww .nijalibu lako umelipita
Kweli ukikaa kwenye Nchi za watu hata ukae miaka 1000 basi wewe utakuwa ni mgeni tuu...😥😥😥
Nimejikuta nalia tuu tunayo yapitia katika safari zamaisha Mungu mwenyewe ndio anajua usiombe yakukute mpaka ufanikiwe sio kazi rahisi
We acha tuu
Shukran anko j simulizi hii imebeba ujumbe mzito sana na kupitia simulizi hii nimejifunza mengi sana kukata tamaa ni mwiko subira ni ngumu lkn inamatunda mengi sana
Tam sana. hii.asante. anko j
Story of encouragement and confidence very interesting. ❤❤
Jmn ❤❤❤❤❤
Good man and strong man
Shukran sana Anko kwa simulizi nzuri yenye mafunzo na kusisimua
Pole sana mungu yupo ety
This story its so amazing but other side it's sad again all in all !we have learned something
Pole Adam kwel umepitia mengi 😪😪but mungu hajawai kukuacha🙏🙏🙏🙏
Asante sana Anko j barikiwa umenikumbusha kuto kata tamaa kwenye maisha nitazidi kupambana na si kukimbia 👌💪💪
Ongera sana broo
Dah iko poa sana asee
Hm Misha haya shida sanaaa
Inasikitisha ...Yote Nchi zenu Maisha ya TABU..🙈🙉🙊😢😢😢
Dah! Hv kweli unaweza kupita bila comment kwa story hii hapa! kwa kweli story zako ziko vizur sana dah! imeniumiza lkn imenifunza thanks
Aaaa mwanzo nimeumia nimelia lkn mwisho nimefarijika
Hii simulizi ni nzuri sana na yenye kufundisha
Super
Kiukweri vijana wengi au watu wengi tunatamani maisha ya mbele hakuna mtu asiye penda maisha ya majuuu 😂ila sasa tunaenda kwa njia gani 😢daaha hata mimi natamani niishi ughaibuni maisha ya tz 🇹🇿 ya kiwaki sana 😅
Okubonabona si kufa katonda wabanaku teyebaka sukaina musa ug
Very nice ❤️❤️❤️❤️❤️
Kwa kwel nu nzur❤❤❤
Mafudisho makali sana hiyi kweli
Baada ya dhiki faraja adamu amepata dhiki lkn mungu hatupi mja wake
Everything is possible Adam
Mchumia juwan ulia kvulin nipen like zangu
Ok nimepata jibu😊
Amazing story
Imenikumbusha kongowea Kwa siku njema.
Wqkwanza mimi jamn siogop kujaribu yani hata nisikie sehem ni yahatar mm naenda nasema liwalo na liwe haa
Asante sana ank j nimejifunza sana😭😭
Pore kaka nimeria sana pore
Sijaachwa nyuma kamwe...
Ama kweli mchumi juani
hulia kivulini.❤❤❤
Cimliz nzuri
Kwangu nimejifunza kukaaanyumbani niuzembe nikutoka tu nakwenda kupambana maswaibu ndio seemu ya mafanikio maaana ata Adam asingepitia ayo asinge kutana na mafanikio tutoke tukapambane akuna mafanikio yanayokuja kilaisi
Delila was not selfish she wanted Adam to ho home ( to get what he wanted). True love includes not denying others their happiness
Jamaika wanazungumza kiswahili au makosa ya mwandishii
Kwahiyo unamtt na delira Adam hongera
Matatizo hayakimbiwi ktk maisha maana yapogo tu sk zote tujifunze kulizika na kitu tunachokipata Kwa mda huo tuvumilie
Katik zote nilowahikuckiliz hii ni kiboko haina mwenzake
Ni kweli kabisaaa kiboko kweli
aise namejifunza kitu anko sante sana
Delila jamani ❤❤🎉
😭😭😭😭😭 mungu saidie wtu maisha mangmu
Kak we mkaliii sanaa
Asante sana kwa simulizi nzuli kama hii