SIMULIZI FUPI YA LEO: VITA YA MAPENZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2022

ความคิดเห็น • 116

  • @user-yk6dg4kl3s
    @user-yk6dg4kl3s 3 หลายเดือนก่อน +6

    Kama unampenda anko jay gonga like

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 ปีที่แล้ว +23

    Nzuri sana pia nimejifunza ushirikina hauna nguvu mbele za mungu pia visasi si kitu kizuri tujifunze kusamehe naomba like zenu japo nimekuwa wa mwisho🤗🤗🤗

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 ปีที่แล้ว +12

    Thanks anko jay much love nikiwa🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
    From🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 ปีที่แล้ว +7

    Nice story😘😘😘 mala nyingi ujana unatudanganya unadufanya tuahidi bitu bila kujuwa kwamba anaepanga ni Mungu

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 ปีที่แล้ว +5

    Simulizi nzuri lnafundisha uaminifu unapendaje watu wawili hongera lmanuel kwa subira maana sikwa subira hiyo asante Anko J kwa simulinzi nzuri

  • @josphinesagina6909
    @josphinesagina6909 ปีที่แล้ว +7

    Barikiweni na mungu tusiache kumutumikia mungu joni kwake na mutakombolewa❤❤❤❤

  • @user-ki1uv4eb7m
    @user-ki1uv4eb7m 5 หลายเดือนก่อน +2

    kaka nakubali sana naitwa mwibu kakaeunajua sana kusimulia

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 ปีที่แล้ว +5

    Ama kweli ni vema kumkabithi mungu maisha yetu ila ktk kila jambo tunapaswa kuwa waangalifu ktk maneno siku zote yanayo tokana na ndimi zetu kwani ulimi ni kiungo kidogo lkn kinauwezo wa kulaani ama kubariki haswa kwa upande wa kiapo na cha zaidi ya damu

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 ปีที่แล้ว +6

    Iyo ya kutumiana barua kwa njia ya Basi daaah hata Mimi niliitumia xana enzi izo nikisoma secondary!nikisoma upareni mpenzi akisoma Old Moshi!acheni tu jamn maisha haya!

  • @mishymorgani5828
    @mishymorgani5828 ปีที่แล้ว +3

    Mungu nimwema Jamani, nimejifunza Sana kwenye simulizi hii Asante Sana Anko Jay... Twendele kumwamini Mungu katika Maisha yetu yote Jamani, Mungu yupo Daima

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 ปีที่แล้ว +5

    Asante Anko Jay kweli Allah n mkubwa

  • @elizabethmburu2210
    @elizabethmburu2210 ปีที่แล้ว +2

    Shukrani anko j Kwa kutupa burudani hii nzuri na pia auther MUNGU awatende mema kwani sio tuu burudani tunapata Ila mafunzo mengi tuu

  • @carolinekasha9396
    @carolinekasha9396 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa simuliz ilio jaa mafundisho

  • @jabuali5739
    @jabuali5739 ปีที่แล้ว +3

    Naamini kwa mungu hamna lisilowezekana

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 ปีที่แล้ว +5

    Anko jay mwenyewe asante kwa simulizi mpya leo ipo poa asante anko jay tunainjoi na voice 🥰🥰🥰

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akipanga hakuna wa kupangua mwengine aliowa mcchana amepooza

  • @user-be2nx5ks2l
    @user-be2nx5ks2l 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika nguvu ya shetani inaukomo lakiniMUNGU wetu Hana ukomo na kiingilio ni Imani pekee.

  • @conslataadhiambo774
    @conslataadhiambo774 ปีที่แล้ว +3

    Asante Anko jay kwa simulizii mix umuzuri ya mafufunzo naisikiliza nikiwa
    Kenya 🇰🇪🇰🇪 huyo mwanaume alionyesha uwaminifu wake kwa mupenzi wake

  • @mezeaali4559
    @mezeaali4559 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana Kwa simulizi nzuri na yenye mafuzo

  • @khadija.kkhadija.k7885
    @khadija.kkhadija.k7885 ปีที่แล้ว +3

    Asante anko j kwa simulizi tam

  • @user-xp8pt3kv4t
    @user-xp8pt3kv4t 2 หลายเดือนก่อน

    May the LORD be with you anko jay good work

  • @bashirimaketa3559
    @bashirimaketa3559 ปีที่แล้ว +5

    🔥🔥🔥🔥 SmixApp inaendelea kufanya vzr

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa simulizi nzuri Anko J,from UK 🇬🇧

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si ปีที่แล้ว +4

    Moyo wa kisasi ni moyo wa mapepo Allah atunusuru

  • @bukuruasina427
    @bukuruasina427 ปีที่แล้ว +1

    Aaaaah ank j mbn m nakupend kama Emmanuel 😘😘fanya kama kwel unipend bas🤣🤣THC u so much ank j na mtunz😘😘💯

  • @elizabethmburu2210
    @elizabethmburu2210 ปีที่แล้ว +2

    Kweli viapo vingine sio vizuri Ila MUNGU ni mwingi wahuruma maana yeye hutusamehe makosa yetu yote nakutupa Amani na kutujalia maisha mapya .Ila pia kulipa kisasi sio vyema heri kusamehe na kusahau makosa tulio kosewa na wenzutu.jamani huyu mapenzi mapenzi ni shida tu Ila zaidi pia nimatamu Kwa wakatiwingine

  • @carolinemwakagali3909
    @carolinemwakagali3909 ปีที่แล้ว +2

    Hongera na asante kwa simulizi nzuri anko j nimejifunza mambo mengi kupitia simulizi hii

  • @OmanOman-ep7bw
    @OmanOman-ep7bw ปีที่แล้ว +3

    Napenda sauti yako anko jay

  • @aminajumaamina2720
    @aminajumaamina2720 ปีที่แล้ว +4

    Shukuran sana simulizi 🙏🙏

  • @sharifamohamedsaid515
    @sharifamohamedsaid515 ปีที่แล้ว +6

    MSUKUMA KAWA WA KWANZA 🤔

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis2924 ปีที่แล้ว +5

    Mmmmmmm uuuiiii jamani kitu kumoyo hasa

    • @janetgaaj2705
      @janetgaaj2705 ปีที่แล้ว +2

      Ankojay l lovely from🇧🇮🇨🇨

  • @asias8724
    @asias8724 ปีที่แล้ว +3

    Simulizi nzuri sana

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 ปีที่แล้ว +1

    Msaliti ni msaliti mja ni mwenye kauli ya kweli na anae timiza ahadi mbali na ushirikina tuweke Kado

  • @Adonai810
    @Adonai810 ปีที่แล้ว +9

    LOVE IS VERY WICKED MOST OF THE TIME... AMAZING ANKO JAY YOUR VERY VERY TALENTED 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 6 หลายเดือนก่อน

    Nimefika kumbee sijachelewa kusikia sauti ya anko jay simulizi❤❤❤❤🎉🎉

  • @mishymorgani5828
    @mishymorgani5828 ปีที่แล้ว +3

    Mapenzi nikitu chaajabu Sana jaman is a Tena Sana... Katika hili swala LA mapenzi Hapa Mungu alijua kutukomesha yani hata uwe baunsa kiasi gani, lazima ulie😂😂😂...... Shikamoo!! Mapenzi

  • @bisunirashidi2685
    @bisunirashidi2685 ปีที่แล้ว +3

    Kweli mungu anabadilisha mtu

  • @mishymorgani5828
    @mishymorgani5828 ปีที่แล้ว +2

    Haya mambo yapo Jamani, Tena tunaishi nayo

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 ปีที่แล้ว +15

    Nasikiliza simulizi nzuri na tamu kutoka Qatar , , Thanks Anko jay may Allah reward you for make us happy always

  • @dianamchami2720
    @dianamchami2720 5 หลายเดือนก่อน +1

    Anko j na kingereza mna ugomvi mkali sana😂😂😂😂😂😂 anyway nakupend naomba tu hadija asione hii

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 2 หลายเดือนก่อน

      Atakuchamba na kukushia makonde kama alivyozoea

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 ปีที่แล้ว +2

    Jamani Pastor akupata ata nguvu ya Roho Mtakatifu akaanza kumuombea uyo Lucy?au ndo hakuwa na karama na maono hayo?angeomba labda nguvu za MUNGU zingemuokoa Lucy na nguvu izo za Giza!macho ya rohoni Apo yangetawala angepona Lucy!

  • @euniceumazi5143
    @euniceumazi5143 ปีที่แล้ว +2

    Asante

  • @user-so4gw1wz9b
    @user-so4gw1wz9b 9 วันที่ผ่านมา

    Amen ❤❤❤❤

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 ปีที่แล้ว +1

    Hapo ndipo mnaponichosha, uwongo waziwazi, hivi kweli kuna no za kuzimu, kwanza maana ya kuzimu waijua, jaribu kupitia simulizi yako mtunzi kabla kuileta humu rekebisha mambo ambayo hayana uhalisia, jifunze kwa Lisaa Mwalla simulizi zake hakurupuki ni mambo halisi yanayokabili binadamu

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si ปีที่แล้ว +1

    Thanks anko J

  • @raulentboma9537
    @raulentboma9537 ปีที่แล้ว +2

    Nakubali

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo ahadi ilifanya mpk shangazi akaishi na mtoto wa mpenzi wake alochanjiana damu

  • @REY_KATUNI1
    @REY_KATUNI1 ปีที่แล้ว +4

    Jamani Patric wewe 🙄🙄🙄

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 ปีที่แล้ว +1

    Asate sana simlizi fupi by ako j hakika subila jambo LA heli

  • @aseaaaa5812
    @aseaaaa5812 ปีที่แล้ว +1

    shukrani sana

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 6 หลายเดือนก่อน

    🤔🤔weeeee makubwa❤❤❤

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 2 หลายเดือนก่อน

    Luciana hakumfanyia Patric sawa,ni msaliti

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli mm ank jy mm siwenzi kupingana na mwanamke mwenzangu kisaa mwanaume ambae ataa kwetu hawamjui namwachaa 2 maana kama ananipendaa asingefanyaa hivy namuacha 2 hamna ataa haja ya kupingana Kwakweli

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +2

    Hata cc Kenya Tulikuwa tukipigiwa na ndugu kutoka Tanzania Kenya hatushiki mpk mtu atume msg ndio utajua ni ndugu

  • @user-ui6rf8yx7s
    @user-ui6rf8yx7s ปีที่แล้ว

    Nimejifunza iziahad za kisengesenge staki mie namuahid mungu pekee ndio sitomuacha baas

  • @user-ij1yh2ur8v
    @user-ij1yh2ur8v 8 หลายเดือนก่อน

    Anko j we muongo..twajuwa we anko mapesa😅😅😅

  • @carolinemwakagali3909
    @carolinemwakagali3909 ปีที่แล้ว +1

    Wew anko j ungeweza kuoa kichaa kama emmanuel?😀😀😀😀😀

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 ปีที่แล้ว +1

    Na waliwekeana alama akuweko mtu yoyote isipo kuwa wao wawili na mbuyu na awakujuwa ubaya wa mbuyu

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 ปีที่แล้ว +2

    Kwa fufahamu wangu nilivyo elewa patrik alitimiza ahadi yake alikuwa na penzi la kweli

  • @user-fz1cy9xt2y
    @user-fz1cy9xt2y 6 หลายเดือนก่อน +1

    anko jay wwnoma

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 2 หลายเดือนก่อน

    Anko Jay wew hayo maelezo ya doctor unayatamkaje jaman?

  • @rasterimani9055
    @rasterimani9055 ปีที่แล้ว +2

    Reo nimekua wa 24

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 ปีที่แล้ว +2

    Nilivyo fahamu mapenzi ayakuwanza kwa ushirikina na walikuwa na walikuwa wakikutana kwenye mbuyo na wakawekeana ahadi hapo

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha unachekesha anko J kumoa kichaa

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +1

    Asnte mtunzi na mtanga zaji Anko kwa cmulizi tamu ya kuccmua na yenye mafunzo kisasi ckizuri na uclipize uby kwa uby

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +3

    Walifanya makosa kuchanganya damu hicho ni kiapo cha damu hata wacngejikata ahadi hiyo ni mby hata kama mwapendana vp binaadamu hugeuka wakati wowote

  • @HuaweiY-wx7we
    @HuaweiY-wx7we ปีที่แล้ว +12

    ANKO JAY NITAKUCOMENT VIZUR NIKIMALIZA KISIKILIZA ILA TU NAJUWA WW HUNA MBAYA ✌️✌️❤️

    • @sandrinenishimwe4129
      @sandrinenishimwe4129 ปีที่แล้ว

      Anko jey mi nataka namba yako wastap ❤️❤️💋🇧🇮🇧🇮

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 2 หลายเดือนก่อน

      Na hajawahi kuwa nayo hiyo mbaya

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo ahadi na Ile damu Yao ndio utakao wauwa cdhani kama watapona huko hocpital hiyo ndio ahadi walioyoiweka atakae msaliti wenziwe aishi kwa mateso na kufa ss Ile cm ni chanzo tu lkn kubwa ni ahadi yao

  • @peninauae2309
    @peninauae2309 ปีที่แล้ว +1

    Sumulizi poa mimi nimechoka kuwa single

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +2

    Mm kwanza cwezi kupigania pnz nipigane kisa mume kwani wamekusha

  • @njirecheyo5114
    @njirecheyo5114 ปีที่แล้ว +1

    Brooo unatisha

  • @mezeaali4559
    @mezeaali4559 ปีที่แล้ว +1

    ama kweli ahadi Ni deni

  • @mwajumasaidi131
    @mwajumasaidi131 ปีที่แล้ว +1

    Anko j wanatusingizia tu alafu wanatuchokoza asa tufanyeje tunawanyoosha tu Ila tusipo chokozwa aku

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +1

    Tu tumieni na cc hiyo namba jmn tucje tukapigiwa bila kujua tukashika

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 ปีที่แล้ว +1

    Kuna umuhimu kusigiza kwa makini na akili ili upate yakini

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +1

    Hii nayo mbn yatisha jmn mbuyu waaina gani

  • @piligastoni5105
    @piligastoni5105 ปีที่แล้ว +1

    Kama mume wangu sawa ilasio kwakupigana bwana

  • @carolinemwakagali3909
    @carolinemwakagali3909 ปีที่แล้ว +1

    Luciana ni miongoni mwa watu wanaotakiwa kulaumiwa

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +2

    Ss kwani huyo padri hawezi kufanya maombi wakaondoa nguvu za giza

    • @user-im4px5zn2c
      @user-im4px5zn2c 7 หลายเดือนก่อน

      Labda hand ujiunge na uwata wamama waombi lakin Kaz ngumu 4:40

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaah,Patric kisasi sio kizuri ,mapenzi hayalazimishwi,lucia aliamua kuvunja agano mliloagana kwa kuchanjiana damu ungeachana nae tu

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 ปีที่แล้ว +2

    Anko j ss watudanganya huwezi owa kichaa awezae ni Emmanuel tu

  • @user-cb7tb8rj5w
    @user-cb7tb8rj5w 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-jf1hn3qs4n
    @user-jf1hn3qs4n 2 หลายเดือนก่อน

    Niutoto tu ata me nilishawahi kugombaniwa na wasichana tukiwa darasa la 6 maisha aya so ni utoto

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 ปีที่แล้ว +1

    Na waka ufanya mbuyu kuwa dio shahidi yao

  • @linetnyairabu9493
    @linetnyairabu9493 ปีที่แล้ว +1

    hapana apo utaachwa tu

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 ปีที่แล้ว +2

    Siwezi pigana namwanamke mwenzangu kisa mwanaume

  • @malkiawasauti1217
    @malkiawasauti1217 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji anko j duh 🙄🙄

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 ปีที่แล้ว +4

    Wanaume kama emanuel hakuna kabisa dunia ya sasa

  • @khadija.kkhadija.k7885
    @khadija.kkhadija.k7885 ปีที่แล้ว +2

    Weachatu anko j

  • @fatumamatano8216
    @fatumamatano8216 ปีที่แล้ว +2

    Bampa tu bampa adi tamati