Nzuri sana pia nimejifunza ushirikina hauna nguvu mbele za mungu pia visasi si kitu kizuri tujifunze kusamehe naomba like zenu japo nimekuwa wa mwisho🤗🤗🤗
Ama kweli ni vema kumkabithi mungu maisha yetu ila ktk kila jambo tunapaswa kuwa waangalifu ktk maneno siku zote yanayo tokana na ndimi zetu kwani ulimi ni kiungo kidogo lkn kinauwezo wa kulaani ama kubariki haswa kwa upande wa kiapo na cha zaidi ya damu
Iyo ya kutumiana barua kwa njia ya Basi daaah hata Mimi niliitumia xana enzi izo nikisoma secondary!nikisoma upareni mpenzi akisoma Old Moshi!acheni tu jamn maisha haya!
Mungu nimwema Jamani, nimejifunza Sana kwenye simulizi hii Asante Sana Anko Jay... Twendele kumwamini Mungu katika Maisha yetu yote Jamani, Mungu yupo Daima
Kweli viapo vingine sio vizuri Ila MUNGU ni mwingi wahuruma maana yeye hutusamehe makosa yetu yote nakutupa Amani na kutujalia maisha mapya .Ila pia kulipa kisasi sio vyema heri kusamehe na kusahau makosa tulio kosewa na wenzutu.jamani huyu mapenzi mapenzi ni shida tu Ila zaidi pia nimatamu Kwa wakatiwingine
Mapenzi nikitu chaajabu Sana jaman is a Tena Sana... Katika hili swala LA mapenzi Hapa Mungu alijua kutukomesha yani hata uwe baunsa kiasi gani, lazima ulie😂😂😂...... Shikamoo!! Mapenzi
Jamani Pastor akupata ata nguvu ya Roho Mtakatifu akaanza kumuombea uyo Lucy?au ndo hakuwa na karama na maono hayo?angeomba labda nguvu za MUNGU zingemuokoa Lucy na nguvu izo za Giza!macho ya rohoni Apo yangetawala angepona Lucy!
Hapo ndipo mnaponichosha, uwongo waziwazi, hivi kweli kuna no za kuzimu, kwanza maana ya kuzimu waijua, jaribu kupitia simulizi yako mtunzi kabla kuileta humu rekebisha mambo ambayo hayana uhalisia, jifunze kwa Lisaa Mwalla simulizi zake hakurupuki ni mambo halisi yanayokabili binadamu
Hiyo ahadi na Ile damu Yao ndio utakao wauwa cdhani kama watapona huko hocpital hiyo ndio ahadi walioyoiweka atakae msaliti wenziwe aishi kwa mateso na kufa ss Ile cm ni chanzo tu lkn kubwa ni ahadi yao
Kama unampenda anko jay gonga like
Nzuri sana pia nimejifunza ushirikina hauna nguvu mbele za mungu pia visasi si kitu kizuri tujifunze kusamehe naomba like zenu japo nimekuwa wa mwisho🤗🤗🤗
Hii simulizi. Nzur kwakweli
Thanks anko jay much love nikiwa🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
From🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
0
Ww y5yýt put 00005 re
Nice story😘😘😘 mala nyingi ujana unatudanganya unadufanya tuahidi bitu bila kujuwa kwamba anaepanga ni Mungu
Simulizi nzuri lnafundisha uaminifu unapendaje watu wawili hongera lmanuel kwa subira maana sikwa subira hiyo asante Anko J kwa simulinzi nzuri
Barikiweni na mungu tusiache kumutumikia mungu joni kwake na mutakombolewa❤❤❤❤
kaka nakubali sana naitwa mwibu kakaeunajua sana kusimulia
Ama kweli ni vema kumkabithi mungu maisha yetu ila ktk kila jambo tunapaswa kuwa waangalifu ktk maneno siku zote yanayo tokana na ndimi zetu kwani ulimi ni kiungo kidogo lkn kinauwezo wa kulaani ama kubariki haswa kwa upande wa kiapo na cha zaidi ya damu
Iyo ya kutumiana barua kwa njia ya Basi daaah hata Mimi niliitumia xana enzi izo nikisoma secondary!nikisoma upareni mpenzi akisoma Old Moshi!acheni tu jamn maisha haya!
😀😀
Mungu nimwema Jamani, nimejifunza Sana kwenye simulizi hii Asante Sana Anko Jay... Twendele kumwamini Mungu katika Maisha yetu yote Jamani, Mungu yupo Daima
Asante Anko Jay kweli Allah n mkubwa
Shukrani anko j Kwa kutupa burudani hii nzuri na pia auther MUNGU awatende mema kwani sio tuu burudani tunapata Ila mafunzo mengi tuu
Asante kwa simuliz ilio jaa mafundisho
Naamini kwa mungu hamna lisilowezekana
Anko jay mwenyewe asante kwa simulizi mpya leo ipo poa asante anko jay tunainjoi na voice 🥰🥰🥰
Sahii
@@bashirimaketa3559 umeonaeee 🥰🥰
@@shadyasalum192 ndiooo
@@bashirimaketa3559 haya sawa pamoja 🥰🥰🥰🥰
Mungu akipanga hakuna wa kupangua mwengine aliowa mcchana amepooza
Hakika nguvu ya shetani inaukomo lakiniMUNGU wetu Hana ukomo na kiingilio ni Imani pekee.
Asante Anko jay kwa simulizii mix umuzuri ya mafufunzo naisikiliza nikiwa
Kenya 🇰🇪🇰🇪 huyo mwanaume alionyesha uwaminifu wake kwa mupenzi wake
Halafu analipwa vibaya anaonekana adui..eti
Asante sana Kwa simulizi nzuri na yenye mafuzo
Asante anko j kwa simulizi tam
May the LORD be with you anko jay good work
🔥🔥🔥🔥 SmixApp inaendelea kufanya vzr
Asante kwa simulizi nzuri Anko J,from UK 🇬🇧
Moyo wa kisasi ni moyo wa mapepo Allah atunusuru
Aaaaah ank j mbn m nakupend kama Emmanuel 😘😘fanya kama kwel unipend bas🤣🤣THC u so much ank j na mtunz😘😘💯
Kweli viapo vingine sio vizuri Ila MUNGU ni mwingi wahuruma maana yeye hutusamehe makosa yetu yote nakutupa Amani na kutujalia maisha mapya .Ila pia kulipa kisasi sio vyema heri kusamehe na kusahau makosa tulio kosewa na wenzutu.jamani huyu mapenzi mapenzi ni shida tu Ila zaidi pia nimatamu Kwa wakatiwingine
Hongera na asante kwa simulizi nzuri anko j nimejifunza mambo mengi kupitia simulizi hii
Napenda sauti yako anko jay
Mim saaana
Shukuran sana simulizi 🙏🙏
MSUKUMA KAWA WA KWANZA 🤔
Mmmmmmm uuuiiii jamani kitu kumoyo hasa
Ankojay l lovely from🇧🇮🇨🇨
Simulizi nzuri sana
Msaliti ni msaliti mja ni mwenye kauli ya kweli na anae timiza ahadi mbali na ushirikina tuweke Kado
LOVE IS VERY WICKED MOST OF THE TIME... AMAZING ANKO JAY YOUR VERY VERY TALENTED 🔥🔥🔥🔥🔥
Nimefika kumbee sijachelewa kusikia sauti ya anko jay simulizi❤❤❤❤🎉🎉
Mapenzi nikitu chaajabu Sana jaman is a Tena Sana... Katika hili swala LA mapenzi Hapa Mungu alijua kutukomesha yani hata uwe baunsa kiasi gani, lazima ulie😂😂😂...... Shikamoo!! Mapenzi
Jaman asante anko jy kwa simulizi nzuri sana
Kweli mungu anabadilisha mtu
Haya mambo yapo Jamani, Tena tunaishi nayo
Nasikiliza simulizi nzuri na tamu kutoka Qatar , , Thanks Anko jay may Allah reward you for make us happy always
O p.....m.mmmmmmmpmm.mm .o
Mmmmm
😆😆😆😆
Anko j na kingereza mna ugomvi mkali sana😂😂😂😂😂😂 anyway nakupend naomba tu hadija asione hii
Atakuchamba na kukushia makonde kama alivyozoea
Jamani Pastor akupata ata nguvu ya Roho Mtakatifu akaanza kumuombea uyo Lucy?au ndo hakuwa na karama na maono hayo?angeomba labda nguvu za MUNGU zingemuokoa Lucy na nguvu izo za Giza!macho ya rohoni Apo yangetawala angepona Lucy!
Asante
Amen ❤❤❤❤
Hapo ndipo mnaponichosha, uwongo waziwazi, hivi kweli kuna no za kuzimu, kwanza maana ya kuzimu waijua, jaribu kupitia simulizi yako mtunzi kabla kuileta humu rekebisha mambo ambayo hayana uhalisia, jifunze kwa Lisaa Mwalla simulizi zake hakurupuki ni mambo halisi yanayokabili binadamu
Thanks anko J
Nakubali
Hiyo ahadi ilifanya mpk shangazi akaishi na mtoto wa mpenzi wake alochanjiana damu
Jamani Patric wewe 🙄🙄🙄
Asate sana simlizi fupi by ako j hakika subila jambo LA heli
shukrani sana
🤔🤔weeeee makubwa❤❤❤
Luciana hakumfanyia Patric sawa,ni msaliti
Kwakweli mm ank jy mm siwenzi kupingana na mwanamke mwenzangu kisaa mwanaume ambae ataa kwetu hawamjui namwachaa 2 maana kama ananipendaa asingefanyaa hivy namuacha 2 hamna ataa haja ya kupingana Kwakweli
Hata cc Kenya Tulikuwa tukipigiwa na ndugu kutoka Tanzania Kenya hatushiki mpk mtu atume msg ndio utajua ni ndugu
Nimejifunza iziahad za kisengesenge staki mie namuahid mungu pekee ndio sitomuacha baas
Anko j we muongo..twajuwa we anko mapesa😅😅😅
Wew anko j ungeweza kuoa kichaa kama emmanuel?😀😀😀😀😀
Na waliwekeana alama akuweko mtu yoyote isipo kuwa wao wawili na mbuyu na awakujuwa ubaya wa mbuyu
Kwa fufahamu wangu nilivyo elewa patrik alitimiza ahadi yake alikuwa na penzi la kweli
Ndio
anko jay wwnoma
Anko Jay wew hayo maelezo ya doctor unayatamkaje jaman?
Reo nimekua wa 24
Nilivyo fahamu mapenzi ayakuwanza kwa ushirikina na walikuwa na walikuwa wakikutana kwenye mbuyo na wakawekeana ahadi hapo
Ndio ni kweli
Hahaha unachekesha anko J kumoa kichaa
Asnte mtunzi na mtanga zaji Anko kwa cmulizi tamu ya kuccmua na yenye mafunzo kisasi ckizuri na uclipize uby kwa uby
Walifanya makosa kuchanganya damu hicho ni kiapo cha damu hata wacngejikata ahadi hiyo ni mby hata kama mwapendana vp binaadamu hugeuka wakati wowote
Kweli
ANKO JAY NITAKUCOMENT VIZUR NIKIMALIZA KISIKILIZA ILA TU NAJUWA WW HUNA MBAYA ✌️✌️❤️
Anko jey mi nataka namba yako wastap ❤️❤️💋🇧🇮🇧🇮
Na hajawahi kuwa nayo hiyo mbaya
Hiyo ahadi na Ile damu Yao ndio utakao wauwa cdhani kama watapona huko hocpital hiyo ndio ahadi walioyoiweka atakae msaliti wenziwe aishi kwa mateso na kufa ss Ile cm ni chanzo tu lkn kubwa ni ahadi yao
Sumulizi poa mimi nimechoka kuwa single
Mm kwanza cwezi kupigania pnz nipigane kisa mume kwani wamekusha
Brooo unatisha
ama kweli ahadi Ni deni
Anko j wanatusingizia tu alafu wanatuchokoza asa tufanyeje tunawanyoosha tu Ila tusipo chokozwa aku
Tu tumieni na cc hiyo namba jmn tucje tukapigiwa bila kujua tukashika
Kuna umuhimu kusigiza kwa makini na akili ili upate yakini
Hii nayo mbn yatisha jmn mbuyu waaina gani
Kama mume wangu sawa ilasio kwakupigana bwana
Luciana ni miongoni mwa watu wanaotakiwa kulaumiwa
Ss kwani huyo padri hawezi kufanya maombi wakaondoa nguvu za giza
Labda hand ujiunge na uwata wamama waombi lakin Kaz ngumu 4:40
Daaaah,Patric kisasi sio kizuri ,mapenzi hayalazimishwi,lucia aliamua kuvunja agano mliloagana kwa kuchanjiana damu ungeachana nae tu
Anko j ss watudanganya huwezi owa kichaa awezae ni Emmanuel tu
Haswaa
❤❤❤❤❤❤❤❤
Niutoto tu ata me nilishawahi kugombaniwa na wasichana tukiwa darasa la 6 maisha aya so ni utoto
Na waka ufanya mbuyu kuwa dio shahidi yao
hapana apo utaachwa tu
Siwezi pigana namwanamke mwenzangu kisa mwanaume
Mchungaji anko j duh 🙄🙄
Wanaume kama emanuel hakuna kabisa dunia ya sasa
Weachatu anko j
Jamani hadhija kicha
Patrick pole sana ukiacha achika
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Bampa tu bampa adi tamati