Penati | Azam FC 5-6 Yanga SC | CRDB Bank Federation Cup - 02/06/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 มิ.ย. 2024
  • Tazama penati zote zilizopigwa kwenye mchezo wa fainali ya #crdbbankfederationcup kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.
    Yanga imeshinda kwa jumla ya penati 6-5 na kutwaa kombe la Shirikisho la CRDB Benki kwa mara ya nne tangu lirejee mwaka 2015.
    Waliokosa penati kwa Yanga ni Stephane Aziz Ki, Joseph Guede na Ibrahim Abdullah Bacca.
    Waliokosa kwa Azam FC ni Iddy Nado, Gibril Sillah, Fuentes Mandoza na Lusajo Mwaikenda.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 689

  • @queenokambo9518
    @queenokambo9518 11 วันที่ผ่านมา +21

    Nani anaangalia tena Leo like hapa

  • @dianasabu6156
    @dianasabu6156 22 วันที่ผ่านมา +30

    Yanga yakunifanya mimi nipandishe joto kama mtoto mdogo...😢😢😢......I lOVE YOU YANGA💚🔰🔰

  • @mansuliusanga31
    @mansuliusanga31 22 วันที่ผ่านมา +27

    Mungu ameokoa roho za zetu walai tungekufa

  • @YNation255
    @YNation255 23 วันที่ผ่านมา +311

    LEO NDO NIMEJUA KUMBE NINA PRESHA 😢😢😢😢

    • @EmmanuelMachunte
      @EmmanuelMachunte 23 วันที่ผ่านมา +13

      😂😂😂😂😂

    • @ReemaMajan-pq9gu
      @ReemaMajan-pq9gu 23 วันที่ผ่านมา +4

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @LaurentMichael-un5pl
      @LaurentMichael-un5pl 23 วันที่ผ่านมา +5

      🎉🎉🎉🎉🎉

    • @idiidi-rq5gk
      @idiidi-rq5gk 23 วันที่ผ่านมา +7

      Ata mm k gwed walivyo Lisa nilienda nyumban

    • @EltonJohn-lh5ur
      @EltonJohn-lh5ur 23 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂

  • @user-ox4ox9jm8j
    @user-ox4ox9jm8j 15 วันที่ผ่านมา +4

    Aucho kaka big up kwako utawauwa

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 22 วันที่ผ่านมา +65

    Ahsante fey ulitufunga midomo tumekufunga bao sisi ndio yangaaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @AngelDastani
      @AngelDastani 22 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂

    • @tumsifuvicent4108
      @tumsifuvicent4108 21 วันที่ผ่านมา +1

      anamgogoro wa nafsi feisal

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 22 วันที่ผ่านมา +21

    Jamani nilikua mgonjwa ghafla kumbe nina mahaba mazito kwa timu yangu Alhmdulillah

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532 23 วันที่ผ่านมา +80

    Aisee Leo kdg to nitoke kibanda umiz Walai mpira itakija kutuua aiseeeee naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚💚 💚🇹🇿

    • @davidsebastian661
      @davidsebastian661 23 วันที่ผ่านมา +6

      Mpira ni shetani kk penda kiasi Mungu ni muhimu kuliko vitu vya Dunia😂😂😂

    • @AinessAmani
      @AinessAmani 22 วันที่ผ่านมา +5

      Hahahahahaha

    • @delphinusdonatus3563
      @delphinusdonatus3563 22 วันที่ผ่านมา +4

      Nilitoka baada ya penalt ya pili

    • @jacklinejohn552
      @jacklinejohn552 22 วันที่ผ่านมา +3

      Ase me niliishiwa paka nguvu yanga itaniuwa

    • @user-kr2zi7du7y
      @user-kr2zi7du7y 22 วันที่ผ่านมา

      Kwaiyo ulienda kushangilia nyumbani​@@delphinusdonatus3563

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 22 วันที่ผ่านมา +11

    Azami ni team nzuri na goal keeper wao pia. Hongera yanga

  • @habarinamichezo6427
    @habarinamichezo6427 22 วันที่ผ่านมา +22

    Ukute mechi ya jana iliandikwa ashinde Azam shida ikaja pale kwa kijana kunyamazisha Wakubwa nazani malaika wa nidhamu akaone abadilishe matokeo.

    • @LuthFuraha-rt2ps
      @LuthFuraha-rt2ps 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂 mecheka Kwa nguvu

  • @SuleimanRobert
    @SuleimanRobert 23 วันที่ผ่านมา +41

    Hawa yanga Leo wamenifurahisha sana kutoka nyuma ya penat za hao mbwa ❤ kumbe tunaweza mpaka kombe la dunia

    • @rahmaabdallah4514
      @rahmaabdallah4514 22 วันที่ผ่านมา +1

      Hao mnowaita mbwa wamewatoa kamasi nafikiria wengine wangelazwa ICU

    • @SuleimanRobert
      @SuleimanRobert 22 วันที่ผ่านมา +2

      @@rahmaabdallah4514 kwani wao ndo wamechukua ubingwa n huyo feisal Aache dharau bad mtoto ambaye kalelewa na yanga

  • @Happizo
    @Happizo 22 วันที่ผ่านมา +30

    Nani mwingine kalia Kama mimi😢😢...likes za Yanga wapiii

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja 22 วันที่ผ่านมา +28

    Muda wa penalti nimekojoa kama mara saba sijaelewa shida ni nini jamani huu mpira jamani duh.Namshukuru mungu nimelala vizuri love yangaaaa

    • @NkathaJuma
      @NkathaJuma 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kipima sukari yanga

    • @lepa3tv832
      @lepa3tv832 22 วันที่ผ่านมา +2

      hapana ni woga tu so presha ilikuwa juu ila jizuie hata mm nilikuwa kama wewe yanga ikicheza ntakojoa mpaka ila saizi akuuu nikasema nisije kufa kwa presha buure, sasa hata yanga ikifungwa mm wala siumii. jitahidi kuchukulia kama sehemu ya starehe usije ukaumia

    • @shayneee-hi9yw
      @shayneee-hi9yw 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@lepa3tv832kwakwel mi mwenyewe nilikuwaga kawaida tu yanga ikicheza lakin saiv ikiwa inacheza mech kubwa za maamuz nakuwa na presha sana kama jana nusu moyo utoke. Nimeamua kujiambia sasa inabid niwe na kiasi cha kushangilia au niwe kama zamani mana nitakuja kufa

    • @esterkessy6940
      @esterkessy6940 22 วันที่ผ่านมา +2

      Mshukuru mungu kama unakojoa hiyo ndiyo salama yako maana huyo ni presh

    • @user-cq2lt6ho5w
      @user-cq2lt6ho5w 22 วันที่ผ่านมา +1

      Hahhhhh

  • @cutemamuu
    @cutemamuu 23 วันที่ผ่านมา +27

    We yanga we tokea nizaliwe sijawahi shikwa na plesha yanga mtaniuwa mm🥰🥰🥰🥰🥰💚💚💚💚💚

  • @RopesPol
    @RopesPol 22 วันที่ผ่านมา +8

    Nakupenda diara tena Nakupenda sana

  • @MinhatAbdala
    @MinhatAbdala 22 วันที่ผ่านมา +11

    Naaazaje kwa mfano kuhama yanga yani nainjoi sana jamn ilove yanga mwaaaaaa

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 22 วันที่ผ่านมา +7

    Proffessor pacome z. Good job 💚🇹🇿. Yawakwasa

  • @BimamuosmanOsman
    @BimamuosmanOsman 23 วันที่ผ่านมา +81

    Hongera Sana yanga..mbona nilikuwa tu na presha mimi wallai Allah amenijibu duwa yangu..mimi ni Kenya natizama mpira nikiwa Qatar l enjoy the ball mashaallah.

    • @peternassari7634
      @peternassari7634 23 วันที่ผ่านมา +5

      ❤❤ 🇰🇪 🇹🇿

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 22 วันที่ผ่านมา +2

      Wewe ni Yanga pia

    • @BimamuosmanOsman
      @BimamuosmanOsman 22 วันที่ผ่านมา +3

      @godwinkileo7702 mimi ni yanga damu kabisa kweli wallai naipenda yanga Africa club. Diyo iko kwa damu sio utani...my late father he is the best football player in Kenya.. his name Ali kajo.

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 22 วันที่ผ่านมา +2

      Safi sana mtoto wa Ally Kajo

    • @SubiraSubira-mb7br
      @SubiraSubira-mb7br 20 วันที่ผ่านมา

      Hamn lolot

  • @nelicekelly6289
    @nelicekelly6289 23 วันที่ผ่านมา +20

    Aisee Kaz ilikuwa ngumu jmn duuuuu,hongereni sana yanga an proud of you,japo penat zenu hazikuwa na raha

  • @agapemahenge7731
    @agapemahenge7731 23 วันที่ผ่านมา +54

    Yan leo ndo nimemuheshimu mwalimu wangu wa kiswahili aliyenifundisha methali "kutangulia sio kufika" 😂

    • @rahimhamisi5298
      @rahimhamisi5298 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂kbsa

  • @IbrahimHassan-yc2nk
    @IbrahimHassan-yc2nk 15 วันที่ผ่านมา +2

    congraduration my beloved team young africans I love you forever❤

  • @amriiddy1972
    @amriiddy1972 23 วันที่ผ่านมา +41

    Kama auna D2 uwez ielewa Yanga Africa 💚💚💛

  • @BimamuosmanOsman
    @BimamuosmanOsman 23 วันที่ผ่านมา +26

    Alhamdulilahi nashukuru Alllah time language ya yanga imechukuwa ubigwa wa finali..yanga Afican club l love all the player keep it up.Nawapenda bureeèe....

  • @user-ox4ox9jm8j
    @user-ox4ox9jm8j 15 วันที่ผ่านมา +2

    Mkude nungu nungu master uko vizur kaka

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 19 วันที่ผ่านมา +2

    Asante pacome, ulirudisha matumaini mapya.

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 19 วันที่ผ่านมา +4

    Feisal: tukibeba kombe mtanijua
    Yanga fans: Yanga bingwaaaa❤❤❤❤

  • @hamisasaid3286
    @hamisasaid3286 23 วันที่ผ่านมา +31

    Hadi rahaaaa, yanga bingwa wa ligi mara tatu mfululizo, bingwa wa Shirikisho mara tatu mfululizo pia kamfunga Azamu kwenye fainali tatu yani Ni hatrick TU kila sehemu

  • @thisisfrancis689
    @thisisfrancis689 23 วันที่ผ่านมา +13

    Aisee leo Nimepata Presha zile Kosa mbili za Yanga za Mwanzo. Aisee Penati 2 tukakosa nimetaka kufa kwa presha.

  • @MgetabarakaBukori
    @MgetabarakaBukori 23 วันที่ผ่านมา +75

    Mie wa kwanza leo like zang kwa diaraa

  • @meddytoto93
    @meddytoto93 17 วันที่ผ่านมา +3

    Kumbe presha ndio ilivyo hivi😢😢😢

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 23 วันที่ผ่านมา +18

    Maajabu kweli leo mkude kawamkomboz wayanga🎉🎉🎉

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 23 วันที่ผ่านมา +2

      Kila mchezaji ana mchango wake ndomaana wanaingia wachezaji 11 kila timu

    • @vickhongole6611
      @vickhongole6611 22 วันที่ผ่านมา +4

      Hata kwa mamelod alitubeba sana tu

  • @luwanda03
    @luwanda03 23 วันที่ผ่านมา +19

    Kipa wa Yanga ndiye mwenye furaha kuliko wote..... Duuuhh...mpira hatari sana... Unakupa furaha kuliko kitu chochote aise💛💛💛💛💛😘😘😘😘😘😝😝😝😝😚

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 23 วันที่ผ่านมา +18

    Wakati penality zinapigwa Mimi tayali nimefariki Kwa mda nimefufuliwa na raia wema😅😅😅😅

    • @bockerNyarusahi
      @bockerNyarusahi 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @rosierajabu2280
      @rosierajabu2280 21 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂mimi mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda mbio huku nasali sala zote

    • @elizabethmtwale2719
      @elizabethmtwale2719 20 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 19 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga ninawapenda nilikuwa na masikitiko mwanzoni ila mliinua matumaini na kushinda.

  • @JaccobRobert
    @JaccobRobert 23 วันที่ผ่านมา +11

    Fantastic yanga tamu xanaa wengine wanaiga tu

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 22 วันที่ผ่านมา +3

    Daaah Diara amenifanya nimkumbuke the true legendary peter manyika dhidi ya sport villa ya Uganda💚💛💚💛💚💛💚💚💛💚💛💚💛💚

  • @dorcaskimati547
    @dorcaskimati547 23 วันที่ผ่านมา +13

    Mungu wa yanga ni mungu kweli..kweli haijaisha mbaka iishe

  • @moreenbless-vr7oy
    @moreenbless-vr7oy 22 วันที่ผ่านมา +11

    Imenibid niamke kuangalia Nan alikua mshind maana nililala aiseeeh yanga wanajali fulaha za mashabiki 👏👏👏🎉🎉

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 20 วันที่ผ่านมา +2

    Ni kweli BARAKA MPENJA ,siku zote mototo mdogo halali na pesa,ukimsachi kwenye pampas zake,utakutana na " inya au nyea "

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 20 วันที่ผ่านมา +2

    Leo nd nmegungua Mkude ndo alitupa ushindi maan penalty yake ya mwisho alifunga nado akakosa😂😂😂😂 YaNGa 💚 oyeeee

  • @mashakalonka7767
    @mashakalonka7767 22 วันที่ผ่านมา +7

    But all in all both teams deserve to play African champions league cup,they have shown us the best!.

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 23 วันที่ผ่านมา +22

    SHIKAMOO MPIRA🙌🙌🙌🙌

  • @Munyama675
    @Munyama675 19 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂😂 Hashim Ibwe alidhani washachukua Kombe alipoona Yanga wamekosa Penalt 2 za kwanza.

  • @suzanakabatano6581
    @suzanakabatano6581 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hii siku ningekufa mimi jmani sio kwa mapenzi haya kwa timu yangu😢😢😢😢😢

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 23 วันที่ผ่านมา +17

    Nyodo za Feisal zimejibiwa chap

  • @nicholausmsangi
    @nicholausmsangi 23 วันที่ผ่านมา +20

    hii ndio mechi moja borq sana kwenye msimu huu

    • @shayneee-hi9yw
      @shayneee-hi9yw 22 วันที่ผ่านมา +1

      Umesahau na nusu fainal sis na ihefu

    • @nicholausmsangi
      @nicholausmsangi 20 วันที่ผ่านมา

      @@shayneee-hi9yw hii ilikuwa night of miracles hii mechi ilikua ni kivumbi na jasho

  • @elizerbethmichael2435
    @elizerbethmichael2435 22 วันที่ผ่านมา +3

    Daaaah hii mechi ckumaliza penat yaaan alipokosa Aziz na Guede nikazima redio nikajua tayar bye bye kumbe haiishi mpk iishe Ahsantee MUNGU yaan me wa kuvizia matokeo kwa group 😂😂😂

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 22 วันที่ผ่านมา +4

    Huuu ulikuwa uchawi tu❤❤❤❤🎉🎉🎉 ongera saaan yanga

  • @mariammussa9063
    @mariammussa9063 22 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga safi Sanaa 💛💛💚💚

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 22 วันที่ผ่านมา +4

    Sijawah kurudia penat highlight zaid ya mara moja zaid ya hii mechi.

  • @JuliasChikukura
    @JuliasChikukura 23 วันที่ผ่านมา +13

    Zaka za kazi wewe ni mtoto mdogo sana Kwa Yanga African sports club

  • @benjaminnanaadjekum9092
    @benjaminnanaadjekum9092 22 วันที่ผ่านมา +11

    YANGA went through Hell
    That makes the happiness unthinkable, congratulations 🎉🇬🇭🇬🇭🇬🇭
    Hey Simba, were you watching that??

  • @MateshoKhamis
    @MateshoKhamis 22 วันที่ผ่านมา +3

    Asanten wan yanga mung akubarukin❤

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kwa mara ya kwqnzaa naona diara akilia na kushangliaa ushindii kwa nguvuu zotee❤❤❤😢

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 22 วันที่ผ่านมา +1

      Hakutrgemea kabsa timu yake imekosa penat mbili za mapema

  • @Samwellaizer782
    @Samwellaizer782 22 วันที่ผ่านมา +2

    Thanks Young African 💚💚💚💚

  • @DavidMido
    @DavidMido 22 วันที่ผ่านมา +4

    Yaan ashim ibwe akabinua na mdomo kwa majivuno akiamni shugur imeisha

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 22 วันที่ผ่านมา +6

    Number oneon trending❤❤❤❤ wallahi Yanga ni Nouwmaaaa❤❤❤❤

  • @SaidyWahaby
    @SaidyWahaby 22 วันที่ผ่านมา +3

    Alooh yanga watupe kongole ani🎉🎉🎉

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 22 วันที่ผ่านมา +4

    Ila bacca mungu anamuona😂😂😂😂

  • @samsonyuves7923
    @samsonyuves7923 23 วันที่ผ่านมา +27

    Hii ni laana kwa Feisal mwambieni mashoga zake kolo mkubwa huwa hanyamazishwi❤❤ yanga

    • @Garrinchael
      @Garrinchael 23 วันที่ผ่านมา +2

      chuki hazijengi boya ww kivyovyote vile Fei anajuw ball, punda wa muembe makumbi ww 🤫🤫🤫

    • @HaniiKim
      @HaniiKim 22 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@Garrinchael sasa kwann akitufunga anatuziba mdomo na yy aache chuki laah ataendelea kuteseka 😂

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 22 วันที่ผ่านมา +1

      Mkubwa hakombi mboga😂😂😂😂😂😂

    • @Garrinchael
      @Garrinchael 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@HaniiKimKwaiy kisa kachez yanga ndyo sababu y kuw asiwafumb midomo au 😆 my friend umenishinda kw Kila kity 😅 🙌🙌🙌

  • @user-ox4ox9jm8j
    @user-ox4ox9jm8j 15 วันที่ผ่านมา +2

    Nyie azam hamuwez mziki huuuuuuuuu😢😢

  • @user-cl1ut6oq1v
    @user-cl1ut6oq1v 23 วันที่ผ่านมา +57

    Feitoto kuwa na adabu vinginevyo utateseka sanaaaa😅

    • @francissaka9713
      @francissaka9713 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂amuulize kibu uwii 😮

    • @JamalKanani
      @JamalKanani 22 วันที่ผ่านมา

      We mungu ndo unapanga riziki yake?

    • @PeterArron-qc1bx
      @PeterArron-qc1bx 22 วันที่ผ่านมา +2

      Feitoto kuwa na adabu vingine utaendelea kulia2
      Hiiiiiihiiiii

    • @hasanimohamedi279
      @hasanimohamedi279 22 วันที่ผ่านมา

      na atateseka saaan😂😂😂

    • @jkuser7593
      @jkuser7593 22 วันที่ผ่านมา

      Sanaaaa

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 22 วันที่ผ่านมา +2

    Aucho juuu sana 💚

  • @b.warron4631
    @b.warron4631 23 วันที่ผ่านมา +10

    Hicho kidole ulichoonyesha nyamazeni Feisal ndio kimewaponzaaa

    • @aidanselywen9644
      @aidanselywen9644 22 วันที่ผ่านมา

      Kumbe alikuwa anajinyamazisha mwenyewe 😁😁😁😁😁😁nyamaza 🙆🙆🙆

  • @SylvesterSafari-nf4fy
    @SylvesterSafari-nf4fy 23 วันที่ผ่านมา +9

    Viongozi ningeomba bacca aachane na mambo ya penalty

    • @eliasmaguru9632
      @eliasmaguru9632 22 วันที่ผ่านมา +1

      sijui kwa nn Huwa wanampa apige wakti tunajua fika hawezi funga penati basi hata ile kumpa golikipa akaudaka

    • @user-cs7wp9bz1h
      @user-cs7wp9bz1h 22 วันที่ผ่านมา +1

      Wachezaji wengi wanaogopa kupiga penalty sa unafikili itakuaje😢😢

  • @steyllahzacharia5588
    @steyllahzacharia5588 23 วันที่ผ่านมา +7

    Nyieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ZANZIBAR ya kijani ahsante MKUNDE a🎉🎉🎉

  • @user-eh5il7pw2f
    @user-eh5il7pw2f 22 วันที่ผ่านมา +3

    Idd nado ni mrangi wa Kondoa jirani yangu kabisa aliposhika mpira nikaongea kirangi ili akose na akakosa 😅😅😅😅😅😅

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mchezo ulikuwa mzuri sana mwanzo mwisho.

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 23 วันที่ผ่านมา +11

    Feisal ndoo amewagharim unatunyamazisha sisi tumekuonyesha mtoto halali na viatu

  • @salmagodfrey4043
    @salmagodfrey4043 23 วันที่ผ่านมา +8

    Yanga tamuuuu asikwambie mtu ututuuu yanga tamuuuu 💚💚💚💛💛💛💛🖐️

  • @user-ux3jj1er3e
    @user-ux3jj1er3e 23 วันที่ผ่านมา +18

    Nusu nifariki😂 aisee love you yanga

  • @Last...born28
    @Last...born28 15 วันที่ผ่านมา +1

    kweli hii ilikuwa fainal ya kibabe mpk inashika nmb 2 trending 😮😮😮

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 22 วันที่ผ่านมา +2

    Azizi Ki usijali Mungu yu mwema kuna siku utakuja kupata Penati sisi Yanga hao tunakuombea

  • @MysarahMohamed
    @MysarahMohamed 22 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi kwanin hili kombe linatuhenyesha hivi tuhare weee mwisho tunashinda nadhani mnakumbuka ile ya 3-3 tukaenda matuta🤣🤣🤣🤣🙌🙌

  • @sadrazungwe9564
    @sadrazungwe9564 22 วันที่ผ่านมา +2

    Sio Kwa pressure hii

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 23 วันที่ผ่านมา +12

    Mtoto halali napesa🎉🎉🎉

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 22 วันที่ผ่านมา +3

    Wachezaji wa Azam ni imara na wabora zaidi uwanjani na katika penati ila ukweli ni kua huu ni wakati wa yanga.Bahati ipo kwao.

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 23 วันที่ผ่านมา +4

    Nimeamin Kila binadamu anayepumua hapa Dunian ana presha kha!

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x 22 วันที่ผ่านมา +1

    Yani hawa azam kwa team hii, ndo wataweza kweli Club bingwa Africa 😢

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 22 วันที่ผ่านมา +3

    Alipoenda bakery nondo mwaminyeto sikuamini kilichotokea

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 22 วันที่ผ่านมา +1

    Moyo ulikuwa unaenda mbio wakati wa penati. Yanga asante sana 🇹🇿🇹🇿💚💚🌼🌼

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 23 วันที่ผ่านมา +4

    At all, the best match ever to watch katika mwaka huu nadhani.

  • @filbertntibasiga8093
    @filbertntibasiga8093 23 วันที่ผ่านมา +4

    Yanga hatukosei kusajili mkunde angeanzia yanga kitambo tungekuwa na kombe la africa

  • @Swaummbonde-kp9uh
    @Swaummbonde-kp9uh 23 วันที่ผ่านมา +43

    Yanga yangu jamn leo ndio nmegundua nina presha😂😊💛💚💛💚🙌

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 23 วันที่ผ่านมา +5

      Muone Daktari dada yangu
      Pile

    • @hawajohn749
      @hawajohn749 23 วันที่ผ่านมา +2

      Acha tu yaani mpira unauma jamani

    • @candymruma352
      @candymruma352 23 วันที่ผ่านมา +6

      Mm ndositaki shida nilizma tv badae nilipwasha😄😄😄😄

    • @ReemaMajan-pq9gu
      @ReemaMajan-pq9gu 23 วันที่ผ่านมา +3

      😂😂😂😂😂😂

    • @Shongonilekerere-br5ps
      @Shongonilekerere-br5ps 23 วันที่ผ่านมา +4

      😂😂😂😂😂😂 moyo ❤️❤️ imekudunda ,????

  • @mzakirumzamiru5125
    @mzakirumzamiru5125 23 วันที่ผ่านมา +9

    Sina maneno mengi wana yanga gather here by replying🍏💚💚

  • @bennyteve3871
    @bennyteve3871 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hii imeendaa

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 21 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu golikipa wa Azam alikuwa anawahi kutoka kwenye mstari kabla mpira haujapigwa

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 23 วันที่ผ่านมา +9

    Kipre jr kamchangany Mungu kasali ki kikristo na kiislam juu

    • @abubakaliyahaya2968
      @abubakaliyahaya2968 23 วันที่ผ่านมา

      Duuuuuuu

    • @Zubaiba
      @Zubaiba 23 วันที่ผ่านมา

      Hatari

    • @EvelynPhilimon-zz3ox
      @EvelynPhilimon-zz3ox 23 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌

    • @Mkoi_255
      @Mkoi_255 22 วันที่ผ่านมา

      Sikumuelewa au wakristo wanasujudu😅

    • @bone102
      @bone102 22 วันที่ผ่านมา

      Wakristo wanasujudu ndio nenda youtube andika orthodox​@@Mkoi_255

  • @nuruelmada2877
    @nuruelmada2877 23 วันที่ผ่านมา +8

    Me Leo nimejua kua Mungu Yupo make siyo kwa pressure nilivyokua nayo ilikua ya hatarii😂

  • @ZuhuraKibindo
    @ZuhuraKibindo 19 วันที่ผ่านมา +2

    Aiseee mi nilitaka kulia 😢

  • @christophergervas1409
    @christophergervas1409 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna watu kila siku utawasikia mm wakwanza nipeni like😂😂😂 yan sijui kwann

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu5810 23 วันที่ผ่านมา +4

    nimefurahi kuona mkude ana kiwasha

  • @user-nj2yb4dt8u
    @user-nj2yb4dt8u 22 วันที่ผ่านมา +1

    Siku kama hii mwaka mmoja uliopita, USMA ilishinda Kombe la CAF kwa gharama ya Young Africans

  • @faidha23
    @faidha23 23 วันที่ผ่านมา +8

    Ila yanga jamani tulianza vibaya ashikiliwe Mungu maana nilipata plesha

  • @aidanselywen9644
    @aidanselywen9644 22 วันที่ผ่านมา +2

    Wacha gozi litembee ⚽⚽⚽⚽😁😁😁😁

  • @MeshackmarwaKihengu-in3sn
    @MeshackmarwaKihengu-in3sn 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nimeteseka kwenye mchezo huu bas nikama nilkiwa nimebeba tani mbili kichwani jamani daah!

  • @Shebbytvs
    @Shebbytvs 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Ibrahim Bacca jaman hata kama tunampenda asiwe anapiga penati ATAKUJA KUTUUA😢😢😢

  • @zaudahalisi2241
    @zaudahalisi2241 22 วันที่ผ่านมา +3

    Ila penalty ya baka mpk saivi nacheka 😂😂

  • @RespinaSebastian
    @RespinaSebastian 18 วันที่ผ่านมา +2

    Hii highlight nimeirudia mara 7 sasa

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 22 วันที่ผ่านมา +2

    Azam haitokuja kupata kombe lolote tena hii ndo ilikua bahati yao ya mtende