Wewe, unapigia kampeni saccos. Na hata Mkishida watafit wa maharufu wa dunia yetu watakuja kufafanya utafit ili wajue ni jnsi gani tofali la barafu linatumika kujenga nyumba. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Watu upeo mkubwa hujadili mada, watu wenye upeo was kati hujadili matukio na wenye upeo mdogo kama wangu hujadili watu. sasa sjui jamaa huyu yuko upande gani wa uelewa (I.Q)
Ndomaana wanasema cdm ni wahuni MTU timamu anasimama anasemasera sake na mambo utakayofanya alafu unaomba kura nyiemnatukana wavutabangi wanawashangilia mtapata sana tabu
Edwin uliwahi kuona wapi upinzani haina msaada wowote wa jeshi la polisi usalama wa taifa wala FFU halafu wana Viti kibao bungeni?Je wangesaidiwa na hizo taasisi nilizozitaja unafikiri ingekuwaje?
Ahaaaaaaa Mh unatembea na maelezo mfukoniiii?? Ahaaaa
Wewe, unapigia kampeni saccos. Na hata Mkishida watafit wa maharufu wa dunia yetu watakuja kufafanya utafit ili wajue ni jnsi gani tofali la barafu linatumika kujenga nyumba. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Wewe nae kichaa unasema hakuna kilichofanyika huna macho utaibika wewe nawezako siku hio
Wewe mashine salum mwalim
pole sana
Watu upeo mkubwa hujadili mada, watu wenye upeo was kati hujadili matukio na wenye upeo mdogo kama wangu hujadili watu. sasa sjui jamaa huyu yuko upande gani wa uelewa (I.Q)
Ukweli mtupu
Ndomaana wanasema cdm ni wahuni MTU timamu anasimama anasemasera sake na mambo utakayofanya alafu unaomba kura nyiemnatukana wavutabangi wanawashangilia mtapata sana tabu
Edwin uliwahi kuona wapi upinzani haina msaada wowote wa jeshi la polisi usalama wa taifa wala FFU halafu wana Viti kibao bungeni?Je wangesaidiwa na hizo taasisi nilizozitaja unafikiri ingekuwaje?
Bangi unavuta wewe sio sisi boya wewe
Mnashindwa kusema Sera zenu mnawasema walinzi wenu mkiachwa bila ulinzi mnalalamika mkishindwa mmeibiwakura kwani hamuwezi jizuia kutukana?
Je kuna jipya au ni yale yale
Eti ana mdomo mchafu
Majungu hayo ujue
Kijana mkomavu kaza but
CCM ushindi mapemaaaaaaaa,,,
Wew ubunge ulishindwa kinondoni
Mbona unaongea ujinga alafu mnasema mnaonewa
sema babaa
chadema kwelimakamanda wotewamekunja aula mutapatatabusana
Safi
Dogo hujielewi
√100%
Hawa jamaa huwaga siwaelewi
Hivi Chadema mnamdanganya nani? Mlishindwa mpaka sanya juu nyumbani kwa Mbowe, ilala wewe Salum ukashindwa WAPI MTASHINDA??
Mdomo mchafu