AMPLIFAYA: 20 PERCENT ASIMULIA FREEMASON WALIVYOMFUATA AJIUNGE NAO “UKIACHA KUTESEKA HAUTATESEKA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 384

  • @simonheavenlightshoo1503
    @simonheavenlightshoo1503 9 หลายเดือนก่อน +55

    Moja ya msanii niliyekuwa namkubali kipindi nasoma primary Ni twenty per cent 👏👏👏😅

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 9 หลายเดือนก่อน

      20 percent anakubalika na kila mtu anaejua mziki mzuri

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 9 หลายเดือนก่อน +17

    Wewe ni Mwanamuziki wa kizazi kipya uliyeandika tungo nzuri sana zenye mantiki. Hongera sana kwa msimamo wako duniani tunapita tu. Hakika pambana utabarikiwa. Allah SW Anatosha .

  • @AhamadiMussa
    @AhamadiMussa 9 หลายเดือนก่อน +80

    Leo mimi wakwaza nipeni maua yangu

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 9 หลายเดือนก่อน +2

      Kuma wewe halafu mwanaume mzma unasema nimeni mauwa yangu

    • @EsaPoju
      @EsaPoju 9 หลายเดือนก่อน

      @@handenitakuru6696 kwaiyo mwanaume mzima atukane sio

    • @modekaijames
      @modekaijames 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@handenitakuru6696😮😮mbona mzee una hasira

    • @Dipeson700
      @Dipeson700 9 หลายเดือนก่อน

      Aaah kmk😂😂😂😂

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@handenitakuru6696😂😂😂😂😂

  • @madetetv6576
    @madetetv6576 9 หลายเดือนก่อน +21

    Pole sana 20% msanii uliyeni motivate sana

  • @mussasebatiano4787
    @mussasebatiano4787 9 หลายเดือนก่อน +5

    Sana Daddy kula jasho yako mtu wangu maana tamaa mbaya ulisema nimeshuhudia yakitokea kwa Sharo ngwea Kanumba na wakina recho nawengine kabis

  • @redpromediat.o.tstrongteam1679
    @redpromediat.o.tstrongteam1679 9 หลายเดือนก่อน +13

    We twende tu,kwani hao unaowatesa nimewaumba mimi. Asante sana 20% . Nimekuelewa sana.

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 9 หลายเดือนก่อน +13

    Mtu Tatu ndani ya Track Moja, Ebhana hii Team Ninawaelewa sana.. Ishini tu hamna baya.

  • @PhilipoMabula-ky9vs
    @PhilipoMabula-ky9vs 9 หลายเดือนก่อน +6

    Brother w mtangazaji unaakili sana unaelewa chap

  • @MfizoCrypto
    @MfizoCrypto 9 หลายเดือนก่อน +6

    Wale jamaa hua wanafuata watu wenye vipaji tu.

    • @DeusAmos-lt9bx
      @DeusAmos-lt9bx 9 หลายเดือนก่อน +2

      Umeongea kwel broo

  • @MamaFahady-wu4wk
    @MamaFahady-wu4wk 9 หลายเดือนก่อน +9

    Nmekuelewa twenty... Nimekuelew maisha ya dunia. Nimapito. Tu

  • @breymbasa3451
    @breymbasa3451 9 หลายเดือนก่อน +6

    Sema twenty mswahili sana kama hujui kutafsiri hauwezi kumwelewa

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 9 หลายเดือนก่อน +12

    Kaka 20 percent umenifundisha kitu nimekukubali nakushsuri mtafute YESU KRISTO kuwa ni mkombozi wa maisha yako

    • @jescameck7027
      @jescameck7027 9 หลายเดือนก่อน

      Mwenzio Muislam.. unataka asaliti dini ksa ww? Wamemshindwa Freemason utaweza ww... Mungu Ni mmoja.

    • @blandinajoseph1291
      @blandinajoseph1291 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@jescameck7027hee nguvu ya YESU KRISTO na freemason vinalingana?? Acha utani basi

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 9 หลายเดือนก่อน

      Ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri

    • @EzekiaMichael-jn5np
      @EzekiaMichael-jn5np 7 หลายเดือนก่อน

      Nimempa ushauri tu kaka 20 Wala siko kwenye utani alinielewa ameelewa kua namshauri amfuate alie shinda kifo na Yu hai kama ni mtazamo ni huo mtazamo wangu

  • @frankkitelugwa9261
    @frankkitelugwa9261 9 หลายเดือนก่อน +16

    Kusema na ule ukweli, nimemis ile amplifier ya zamani, ya habari 10...

    • @trapqueen7885
      @trapqueen7885 9 หลายเดือนก่อน

      ya clouds eeh

    • @peacemakune911
      @peacemakune911 9 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ndo ilikua yenyew

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 9 หลายเดือนก่อน +24

    Yesu Kristo azidi kumtunza Twenty percent

  • @hamzalipuye7198
    @hamzalipuye7198 9 หลายเดือนก่อน +16

    Tokea zamani nampenda sana 20, yaani huyu jamaa ni mkweli kuanzia uimbaji wake na hata kauli yake nje ya muziki na huko mkweli pia kwenye maisha yake,

    • @AmaniCosmetix
      @AmaniCosmetix 5 หลายเดือนก่อน +1

      Tunakwnda nawakati tupakulee

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 9 หลายเดือนก่อน +7

    Nimecheka kweli,,,et "unaweza ukacheka usimaanishe"😅😅😅😂😂😂

  • @juliethfrancis7799
    @juliethfrancis7799 9 หลายเดือนก่อน +8

    Life is spiritual
    20% Mkubwa Mungu mwite anaitika na yeye ni mwema sana kwetu

  • @floramsacky3929
    @floramsacky3929 9 หลายเดือนก่อน +5

    Maua yako 20% Mwamini Mungu atakupa kwa wakati wake, kiukweli nyimbo zako zina ujumbe mzito.

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 9 หลายเดือนก่อน +18

    Dunia ina mambo mengi sana mungu tulinde baba

    • @hot2music
      @hot2music 9 หลายเดือนก่อน

      th-cam.com/video/fEjoxeRyNKU/w-d-xo.htmlsi=0rz7ABFTq-HfEnJZ

  • @dashdiane
    @dashdiane 9 หลายเดือนก่อน +6

    Hv kuwa na gari ndo kuwa na maisha mazuri,twenty akili kubwa

  • @Intertainment_896
    @Intertainment_896 9 หลายเดือนก่อน +5

    Kimbilia kwa Yesu Kaka ndiko kwenye salama na uzima hawakupati ng'o ukiwa Huku ila ukiendelea kubaki huko asee Neema ya Mungu ikufunike shetani ameona kitu kwako

    • @petermalema5702
      @petermalema5702 9 หลายเดือนก่อน

      YES KWA YESU NI KUZURI SANAAAAAA

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 9 หลายเดือนก่อน +9

    Nyie mnapeleka maana kwenye utapeli, lakini sie tunajua jamii hiyo ipo na inaweza kufanya hayo, na ndivyo inavyofanya. Richa ya kuwa wapo matapeli wanaweza kufanya namna na wao. Ila binafsi siwezi kumpuuza 20 na hoja zake

    • @ScolaMwansasu
      @ScolaMwansasu 6 หลายเดือนก่อน

      Ungekuwa kwenye dunia yake ungemwelewa

  • @waragaronline578
    @waragaronline578 9 หลายเดือนก่อน +9

    Me nahisi kama kweli clouds wanataka kutoa msaada Bora wamdaidie 20 maana huyu jamaa ana akili kuliko chidi

  • @ainealazaro7321
    @ainealazaro7321 9 หลายเดือนก่อน +12

    Jamaa ana upeo mpana sana so wonderfull

  • @jamaliselemba
    @jamaliselemba 9 หลายเดือนก่อน +25

    Aseee😢😢 sema jamaaa namuelewa sana 20%

    • @LodvolaLameck-jl5vs
      @LodvolaLameck-jl5vs 9 หลายเดือนก่อน

      Jamali mzima ww,
      Nelson hapa

    • @jamaliselemba
      @jamaliselemba 9 หลายเดือนก่อน

      @@LodvolaLameck-jl5vs wawapi

    • @LodvolaLameck-jl5vs
      @LodvolaLameck-jl5vs 9 หลายเดือนก่อน

      @@jamaliselemba Mkabogo

    • @jamaliselemba
      @jamaliselemba 9 หลายเดือนก่อน

      @@LodvolaLameck-jl5vs sikukumbuki kwakweli

    • @LodvolaLameck-jl5vs
      @LodvolaLameck-jl5vs 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@jamaliselemba umesahau tu kidogo, kaka wa Kulu Nelson

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 9 หลายเดือนก่อน +13

    Mirlad mbona unazungumzia kiunyonge sana ikifika swala la kutaja Freemason yaani kama autaki kuongelea sana kama nafsi inakusuta hivi kuna nini kwani?

    • @epmzmusifiwar6694
      @epmzmusifiwar6694 9 หลายเดือนก่อน +3

      Unagusa Point Uyo Jama Mumja Wao

    • @MexiTanix
      @MexiTanix 9 หลายเดือนก่อน +1

      Mwenzao huyo, unafikiri hayo mafanikio yanakuja kiurahisi.

    • @ameenaameena422
      @ameenaameena422 9 หลายเดือนก่อน +1

      Huyo tunamjua ni free lichama la mashetani yumo

    • @HappyHangingGondola-zr7ke
      @HappyHangingGondola-zr7ke 9 หลายเดือนก่อน +1

      Na yeye yumo maana anahofu sana😢

    • @Orinnazaqar6939
      @Orinnazaqar6939 9 หลายเดือนก่อน +1

      Apo ukweli

  • @AlbertYangson
    @AlbertYangson 9 หลายเดือนก่อน +10

    Maisha ndivyoyalivyo chamana nikumcha Yesu

    • @ShabaniAdamu-j5s
      @ShabaniAdamu-j5s 9 หลายเดือนก่อน

      Kwan yesu anatoa hela

    • @NancyPatrick-il8zj
      @NancyPatrick-il8zj 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@ShabaniAdamu-j5skwani yeye kasema Yesu anatoa hela

    • @robertrobert563
      @robertrobert563 9 หลายเดือนก่อน

      Hapo umechanganya soda na chumvi, Bora ukae kimya.

  • @Suleiman99
    @Suleiman99 9 หลายเดือนก่อน +5

    Unaweza ukacheka usimaanishe nimeioenda Sana hii 20%

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 9 หลายเดือนก่อน +16

    Uku USA ni kanisa kabisa. Milan Ayo ukija Ohio Dayton nitakuonyesha uingie mwenyewe ila mimi nitabaki nyuma😂

    • @arafakiloli749
      @arafakiloli749 9 หลายเดือนก่อน

      Hahahahahahahahahahha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @shadrackdeogratius6760
      @shadrackdeogratius6760 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂🤣🤣🤣tutaingia wote

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt 9 หลายเดือนก่อน

      Isack tv

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt 9 หลายเดือนก่อน

      Kwahyo inakuwaje sasa wakristo

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 9 หลายเดือนก่อน +15

    Nawapenda sana nyie watu❤❤❤

  • @irengebarhabana12
    @irengebarhabana12 9 หลายเดือนก่อน +17

    hongera saana 20%.wewe ni mshindi ndugu yangu twenty..mema iko mbele Mungu ata kulipa tu,kwani Mungu ni mwaminifu kwa wanao muamini na kumutegemeya🇨🇩🇨🇩🇨🇩🤝🙏🙏

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 9 หลายเดือนก่อน +7

    Kuna pointi kubwa Sana ameziongea huyu jamaa 20% kuhusu freemason ndio msanii wa kwanza wa nyimbo za dunia kuweka kazi mambo ya freemason, YESU KRISTO ALIE HAI AMLINDE maana akina diamond,ali kiba wamejiunga uko na wasanii asilimia 90% wa sasa wapo huko na wanatoa makafara

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 9 หลายเดือนก่อน +1

      Una ushahidi wa hayo uyasemayo!shida yenu hamuamini uwepo wa Mungu!mnacho amini kuwa maskini akifanikiwa utaskia mara Freemason mara mchawi hayo ni mawazo mgando!Mungu umpa amtakae na ndoma huwa hamfanikiwa mana mshaamini bila ya shetani haiwezekani!hacheni hayo mawazo mgando Mungu anatosha mafanikio hayana mwenyewe!!

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 9 หลายเดือนก่อน +1

      umeongea pumba sana

    • @servantofalmightygoddranth2511
      @servantofalmightygoddranth2511 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@Max9_captain wewe ni shoga mwanaume huwezi kuwa mbeya nani kakuita kwenye comment yangu unafokonyolewa mkundu wewe

    • @servantofalmightygoddranth2511
      @servantofalmightygoddranth2511 9 หลายเดือนก่อน

      @@adaboychibu1659 HATA JEHOVAH MUNGU ANAJUA kuna freemason sasa wewe mshindia maharage kutwa kujamba mishuzi inayonuka unabisha nn au na wewe mmoja wao ndio maana hamna nguvu za kiume marinda mlishatolewaga nyie

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 9 หลายเดือนก่อน +1

      kwenye ubongo wako kuna tundu la kuma, hizi comment ni za public kama vip ungemtumia ayo inbox maelezo yako yakishoga frimason ya mamaako fanya kazi tafuta hela utafirwa kuma wewe

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 9 หลายเดือนก่อน +6

    From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hilmykassim903
    @hilmykassim903 9 หลายเดือนก่อน +4

    awa watu wapo wengi wa mtandao wa frmson , walishawai nifata adi maelekezo yote adi kuja kufata tuongee ili tufanikishe

  • @ASHAKHAMISMUSSA
    @ASHAKHAMISMUSSA 9 หลายเดือนก่อน +6

    Hana cha freemason bangi nyingi tu

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 9 หลายเดือนก่อน +3

    20% nakukubaliiii since day one mpk mwishooo

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 9 หลายเดือนก่อน +4

    Tusimame kwenye iman na tumuombe mungu atuongoze

  • @KAROKIATV
    @KAROKIATV 9 หลายเดือนก่อน +2

    Milladr ayoo ndo rolemodel wanguu namkubaliii sanaaaa naomba unipe sapoti kaka please

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 9 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂😂😂😂😂kwamba unawakomesha tu. 20 bana ila safi sana komaa na iman yako kaka

  • @msilangamusoma1502
    @msilangamusoma1502 9 หลายเดือนก่อน +7

    Mirady uko vizuri karibu sana geita

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 9 หลายเดือนก่อน +5

    20%ana madini hata kujibu maswali huwa anajibu kwa akiri ..

    • @Bushman000
      @Bushman000 7 หลายเดือนก่อน

      Yuko bright sanaaa

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 9 หลายเดือนก่อน +11

    Mungu awe nawe 20%.Ila Mungu ni Mungu tuuu.

  • @diclopar4687
    @diclopar4687 5 หลายเดือนก่อน

    20 PERCENT umengea ukweli leo kama ulivo nisimulia mimi live 🎉🎉🎉🎉

  • @patrickm1056
    @patrickm1056 9 หลายเดือนก่อน

    Dogo naona umeanza kukosa credibility na newszako, yan you buy this bullshit stories ili tu upate views nyingi, eti freemason, yan mnabuy stori za mgonjwa wa akili mnakuja kuwapa watanzania..

  • @patrickm1056
    @patrickm1056 9 หลายเดือนก่อน

    Dogo naona umeanza kukosa credibility na newszako, yan you buy this bullshit stories ili tu upate views nyingi, eti freemason, yan mnabuy stori za mgonjwa wa akili mnakuja kuwapa watanzania..

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 9 หลายเดือนก่อน +2

    20% ni msanii wangu bora wa muda wote na nyimbo zake zinaishi milele

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 9 หลายเดือนก่อน +6

    Nawapat Kutoka 🇺🇸, Nakubal Xan Ila Watanzania Msahidiyeni Twenty20 Anahali Ngumu Xan Kihukwel

    • @JumaJuma-fu7ji
      @JumaJuma-fu7ji 9 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa wamsaidie nn maisha ndivyo ya livyo nikupanda nakushuka kawaida tu 20 wew utamsadia nn kwaapo alipo kila kitu kakifanya uyo kamaliza kikubwa Aishi kikawaida

    • @JonathanNelson-l8h
      @JonathanNelson-l8h 9 หลายเดือนก่อน

      Wewe hutaki kumsaidia maana huyo mungu tu yupo mbinguni anatusaidia sasa wewe hapo marekani jirani kabisa mtumie hela hata kwa M pesa😂😂😂

    • @katibampya8442
      @katibampya8442 9 หลายเดือนก่อน

      Uwe marekani afu hujui kuandika?

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hayo mambo hamuwezi kuyaelewa mbaka muyakute mm nisha kutana nayo hayo na hao huwa hawa kulazimishi isipokuwa wanakushawishi ili ww mwenyewe na nafsi yako uingie😢😢

    • @daimavlog
      @daimavlog 9 หลายเดือนก่อน +1

      Siyo kweli wamejaa huku ulaya na hawafanyi kazi kiivyo. Hao ni fake wachawi tu

  • @JonasMasinde-x6r
    @JonasMasinde-x6r 9 หลายเดือนก่อน +4

    20percent mimi huwa ninakukubali sana wewe ni kijana uliyebalikiwa sana Mwenyezi Mungu akili na ujasiri na maneno ya hekima

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba 9 หลายเดือนก่อน +1

    Miradi ayo ni freemason mkubwa nandio maana ataki ata Kusikia.....yeye miradi ayo freemason ndio wamemuinua....wamempeleka mpka ugerumani nizaidi ya mara mbili kwaiyo miradi ayo ni freemason mkubwa sana uyo jamaa

    • @samiahJoseph
      @samiahJoseph 8 หลายเดือนก่อน

      ndo naelewa kwanini amepoa boss kubwa😮

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 9 หลายเดือนก่อน +1

    Oyaaa sijawahi kusikiliza interview ya akili ila hii...!! 20% n wamoto.

  • @trapqueen7885
    @trapqueen7885 9 หลายเดือนก่อน +4

    Hii interview inalugha ya kisanaa sana

  • @robertanold6846
    @robertanold6846 9 หลายเดือนก่อน +5

    Jamaaa anajibu vizuri sana

  • @aslam_musa4190
    @aslam_musa4190 9 หลายเดือนก่อน +4

    Kwanza cjawahi ona anaye tongozwa kueka jambo hadharani sasa hata kama kweli ukisema ndo nini, kikubwa aache bangi na ubishi atafanikiwa. Bila shaka alifuatwa tu na matapeli na si vinginevyo, vitu usivyo vijua na visivyo na maana kwako si vya kufikiri.

    • @mallemaOg
      @mallemaOg 9 หลายเดือนก่อน +2

      We nae freemason

    • @daimavlog
      @daimavlog 9 หลายเดือนก่อน +1

      Yes ni matapeli wa kibongo wanamcheza

    • @daimavlog
      @daimavlog 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@mallemaOgfreemanson wasikie wewe hawako hivyo.

  • @saiddimarley8445
    @saiddimarley8445 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali mia kwa % Acha tujenge ahera Duniani tunapita.Kula kidogo uridhike usije ukawa kama hao wengine.Big up to you bro

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 9 หลายเดือนก่อน +12

    Stori za utotoni😅😅😅

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 9 หลายเดือนก่อน

      Ww hujitambui ungekuwa ww ungejiunga unaonekana akili huna hata kanumba walimfata wao

    • @faabymusic
      @faabymusic 9 หลายเดือนก่อน

      Bado hujajua bro

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 6 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah hii kali mzee du

  • @Bushman000
    @Bushman000 7 หลายเดือนก่อน

    20% yuko bright sana kwenye tungo, the way anaongea tu unaona ni mwandish mzur

  • @einsteinchacha5797
    @einsteinchacha5797 9 หลายเดือนก่อน +2

    WaTanzania wengi hawajui maana ya Freemason, kila ushetani unatafsiriwa kama freemason.
    Freemason ni Taasisi ya kawaida tuu ambayo inasaidia sana katika sector tofauti tofauti Tanzania

    • @AbdulMichael-g4o
      @AbdulMichael-g4o 9 หลายเดือนก่อน +1

      Unaumwa mavi wewe eti taasis ya kawaida je Kama ni taasisi ya kawaida unajua nn kinaendelea kwenye mahekalu yao.

  • @ImeldaPetro-g8h
    @ImeldaPetro-g8h 9 หลายเดือนก่อน +3

    Binafsi Nmeierewa hii nasubiri pa2

  • @emanuelmichael5295
    @emanuelmichael5295 9 หลายเดือนก่อน +1

    20% nyimbo zake ni zenye ujumbe mzito ulioakisi maisha halisi ya watanzania. Na pia zenye adabu unaweza sikilizwa na watu wa rika lote sehem yotote sio hawa wasasa matusi matupu na videos za uchi

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 9 หลายเดือนก่อน +2

    Pole cn 20 zote ni changamoto za maisha kikubwa ni kumuamini mungu tu

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 9 หลายเดือนก่อน +4

    Anachoelezea ni 100% real

    • @DanielKipindo
      @DanielKipindo 9 หลายเดือนก่อน

      20%yuko sawa,maana hao jamaa wakiona nyota yako inang'ara lazima wafanye kila njia yakukutaka kuwa mwanachama.tamaa za muda mfupi zinakufanya uishi bila furaha na amani ya moyo.na ndio maana unaweza ukacheka lakini usimaanishe.

  • @AmosKasumu-fi4xe
    @AmosKasumu-fi4xe 9 หลายเดือนก่อน +8

    😂😂😂

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 9 หลายเดือนก่อน +16

    Wamemuona ana kitu ndiyo maana

    • @samwelrobeth7763
      @samwelrobeth7763 9 หลายเดือนก่อน

      Ukweli Uko hivo, hata wanatoa tuzo wako kwenye mnyororo wa rucifer ,na baadhi wanazan Ni matapel wake kwenye mitandao ya Sim Ila huyu jamaa anaficha baadhi ya maneno hawez kuwataja directly Ni fran.

  • @bestman8182
    @bestman8182 9 หลายเดือนก่อน +8

    Bange ni freemason siku hizi?😅

    • @hasanipoy3976
      @hasanipoy3976 9 หลายเดือนก่อน

      Tatizo wanadamu ndo tulivyo hila kiukweli freemason huwa wanafuatana na kama jamii hinakusikiliza huwa wanatumia mbinu nyigi sana hili wakupate ndomana hunaona wachugaji wengi waliaza vizuri hila mwesho wakahagamia

    • @kabikamussa2393
      @kabikamussa2393 9 หลายเดือนก่อน

      Hasan achana nae mpuuzi uyo watu hawajui ulimwengu wa roho ulivyo watu niwabish sana

  • @malkiakinyemi5282
    @malkiakinyemi5282 8 หลายเดือนก่อน

    Yn nilishawai kusikia awa fremason wakikupenda wanakufata wenyewe

  • @ScolaMwansasu
    @ScolaMwansasu 6 หลายเดือนก่อน

    Mirad unajifanya huelewi nn hapo ambacho anasema huyu kaka

  • @Gdjn974
    @Gdjn974 9 หลายเดือนก่อน +7

    Watu msichukulie poa mambo haya yapo dunian nmesoma comment naona mtu anasema Bangi mara nn ujue ukiwa katka mzunguko fulan wa kaz zako ndio utaona hasa chenye ufahari saana dunian lkn kwel hawa jamaa wanamtafuta mtu kama una nyota ya kuwashawsh watu kwa jambo fulan ishu izi zipo n kumuomba MUNGU azd kuepusha tu

    • @svt3
      @svt3 9 หลายเดือนก่อน +1

      Acha upuuzi Freemason wamutafute mtu sawa 20% ? Tuna ishi karibu na kanisa lao na hawatafute mtu mbona Africa tuna akili za chini? Labda waganga wachawi ndio mnaitaka Freemason

    • @faabymusic
      @faabymusic 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@svt3asa Freemason akufuate wewe utampa faida gani!!
      Freemason wanafuata mtu ambae ana talent,, au ana mkusanyiko wa wawatu,, ndomana wana fuata had wasanii,, kwaajili mxanii ana futwa na watu wengi xana,, aaya kaka niambie we unafuatwa au una angaliwa na watu wangapi😂😂
      We utafuatwa na babu wa tanga utajiri bila kafara

    • @svt3
      @svt3 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@faabymusic sio talent ya kimadkini ya afrika dunia ya tatu, hao wakunuka uchafu tz ndio unasema talent those you think they have talent ni talent ya njaa

    • @faabymusic
      @faabymusic 9 หลายเดือนก่อน

      @@svt3 apo una nipanga bro!!
      Kwaiy tz haina watu weny talent??

    • @svt3
      @svt3 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@faabymusic sijakataa talent ziko na level, talent za tz ni za hapo tz sio eti Freemason wanahitazi talent za tz wazifanye nini? Talent za tz zitasaidia Freemason na nini ?

  • @ISAACLEVIS
    @ISAACLEVIS 9 หลายเดือนก่อน

    Freemason hawana lolote

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mtu wa peponi InshaAllah 🙏🙏🙏🙏

  • @issahamisi674
    @issahamisi674 9 หลายเดือนก่อน +12

    nmewah skya kwa wale wakenya mtu na mkewe😢😢

    • @Upendo-gd6fn
      @Upendo-gd6fn 9 หลายเดือนก่อน +2

      Page yao TH-cam inaitwa life is spiritual

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@Upendo-gd6fnNgoja niitafute hiyo page

  • @patyropasa104
    @patyropasa104 9 หลายเดือนก่อน +4

    PATY ROPASA

  • @damianmachira7535
    @damianmachira7535 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe Katekela alisema kweli majamaa yalikuwa ya na mtafuta pole ila MUNGU nimwema mtumaainie Mungu

    • @AbibornAlex
      @AbibornAlex 8 หลายเดือนก่อน

      Hii ni kweli nimeikumbuka na mimi, katekela aliwahi kusema hata tuzo wao ndio walimpa, alipogoma wakamfuta kwenye music industry

  • @AmaniCosmetix
    @AmaniCosmetix 5 หลายเดือนก่อน

    Wambieni 20 paa cent aache mziki atafute kazi nyengine aache kiki

  • @felixmwangosi3233
    @felixmwangosi3233 7 หลายเดือนก่อน

    acha uongo wewe twenty wewe ni mwizi wadanganye wasio kujua lipa madeni ya watu mtaani

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 9 หลายเดือนก่อน +23

    Ndio maana Vanesa mdee alijiongeza. Nimekundua wasanii ambao sio matajiri wamekataa masharti Ya kuzimu. Lakini Hamonaiz amesha imba kwamba mziki ushetani

    • @behindzscenes3826
      @behindzscenes3826 9 หลายเดือนก่อน

      kwenye wimbo gani huo

    • @edsongamuga7375
      @edsongamuga7375 9 หลายเดือนก่อน +2

      Kushoto kulia

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 9 หลายเดือนก่อน

      Muziki ni ushetani kweli we huoni Mzee yusuph pamoja na kutubu na akaenda kuhiji lakini bado alirudi kwenye musiki , sababu tayari alikuwa ni member wa freemason na baada ya kuamua kuacha muziki walimpokonya kilakitu na kumuacha mweupeee.... Kwakuwa hakuwa tayari kuyaishi ya tabu na hakuwa na (YAKINI) moyoni ndiomaana akarudi tena kwenye muziki lakini maisha yake bado ni yatabu tu kama zamani

    • @onesmomelkiol813
      @onesmomelkiol813 9 หลายเดือนก่อน

      Wimbo unatwa dunia by harmonize

  • @rizzsafi9989
    @rizzsafi9989 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mmmmmmh jamaaaa kaongeza kweli na vitu vipo

  • @mgallahson3650
    @mgallahson3650 6 หลายเดือนก่อน

    Ukiwandoa wanamuziki wa zamani akina Marijani ,kizazi hiki 20% ndo mwanamiziki Bora wa hiki kizazi

  • @lusticabernad9982
    @lusticabernad9982 9 หลายเดือนก่อน +12

    Leo mimi watatu, nipeni likes zangu

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 9 หลายเดือนก่อน +1

    20 anacheka lakini haya mambo usiombe yakukute

  • @leonardaugustino4072
    @leonardaugustino4072 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mtu ukiwa na akili lazima uchelewe kulala hata ukilala saa mbili😮

  • @nasekawanga1737
    @nasekawanga1737 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sio kweli awajamfata uyo we unafikili wangemfata asinge kubali😅😅😅

    • @bigtengwemela3153
      @bigtengwemela3153 9 หลายเดือนก่อน +1

      We unafikili kila mtu ana akiri kama za kwako we vp wewe

    • @AbdulMichael-g4o
      @AbdulMichael-g4o 9 หลายเดือนก่อน

      Unadhan wote wanapenda kuishi na stress akiln

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa twente per ana akili mno

  • @waragaronline578
    @waragaronline578 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna haja ya wa tz kusikiliza kitu mpaka mwisho then ndo mtoe comment zetu siyo unasikiliza tuu mwanzo unatoa maoni ya kijinga tuu

  • @sundawnsmedia6659
    @sundawnsmedia6659 9 หลายเดือนก่อน +4

    Duh! Hii shughuli kweli kweli, 😢

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 9 หลายเดือนก่อน +3

    😅 20% huyu mwamba anamisamiati mikuu

  • @howardbillionaire
    @howardbillionaire 9 หลายเดือนก่อน +9

    kama waijua definition ya the real rastaman gonga like sema #wagwaan

  • @KudrahPembe
    @KudrahPembe 6 หลายเดือนก่อน

    Acha upuuz wewe unaesema bang unavutaga nae?

  • @Fadhili-gz6gb
    @Fadhili-gz6gb 9 หลายเดือนก่อน

    Milado ayo hhhhhhhhhhh tunakujua upo humoooooooooo bwege wanaichi wanajua kila star ninani sema ALIKIBA TU SIO FRMSON

  • @OlivierKayige
    @OlivierKayige 9 หลายเดือนก่อน +1

    Fire burn Dem ...meditation ya Hali ya juu toka kwa 20%..real rastaman

  • @AfroMedic
    @AfroMedic 9 หลายเดือนก่อน

    Hakuna freemason wowote kwa 20% , shida huleta mawazo na fikra za ajabu ajabu

  • @patrickm1056
    @patrickm1056 9 หลายเดือนก่อน

    Dogo naona umeanza kukosa credibility na newszako, yan you buy this bullshit stories ili tu upate views nyingi, eti freemason, yan mnabuy stori za mgonjwa wa akili mnakuja kuwapa watanzania..

  • @roswithernaaly1332
    @roswithernaaly1332 9 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda sauti ya vidoo

  • @hemedykayonko4109
    @hemedykayonko4109 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kwanini hamuamini sasa au hamuamini kama freemason wapo?

    • @svt3
      @svt3 9 หลายเดือนก่อน

      Freemason wako na ni dini kama dini zingine wafuasi wao kama tu wa dini zingine kuna matajiri na kuna watu tu wa kawaida tunafanya nao kazi kawaida tu,hawalazimishi mtu kuungana nao ,Africa pekee ndio wanasema Freemason isivyo

  • @gentiljabpretty
    @gentiljabpretty 2 หลายเดือนก่อน

    Majibu ya akili ❤❤

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 9 หลายเดือนก่อน

    miradiAyo 😂😂😂😂 nakuonaaa nakuzoooom 😂😂😂😂 kula chumaa hiyooo
    Ole wakooo..... Utie Neno hapo 🤣🤣🤣🤣 zuga zuga hivyo hivyo baba hatukamwiii kulalekiii

  • @Mafunzo116
    @Mafunzo116 9 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅

  • @calvenycachelu9778
    @calvenycachelu9778 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mirady ayoo anawajua yuko freemason

  • @mkukistore2816
    @mkukistore2816 7 หลายเดือนก่อน

    Utakufa maskini