Mbarikiwa live kwenye ibada. Leo amefafanua kwa upole kuhusu Christina Shusho na ndoa yake?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 161

  • @isakamwambenja7397
    @isakamwambenja7397 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ahsante mtumishi wa Mungu. Umesema kweli. BIBLI NI NENO LA MUNGU

  • @tobiasolando4467
    @tobiasolando4467 4 หลายเดือนก่อน

    Mafundisho nzuri Ngugu. Aki nmeombea sana dada Christina. Mungu amfungue macho aki. Amen!

  • @johngerald4739
    @johngerald4739 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ni vema ukahubiri Toba kwa wanaopotea kuliko kuhubiri kumsema mtu sioni kama hiyo ni sawa mbele za Mungu wapo Watu hawamjui Mungu wanahitaji injili sio busara mahubiri ya kumsema mtu binafsi watumiahi siku hizi mnatafuta umaarufu kuliko kufanya kazi ya Mungu. Ee Mungu wa mbinguni tusaidie sana.

  • @stephaniakanka8178
    @stephaniakanka8178 4 หลายเดือนก่อน +1

    Amen Amen Amen baba yangu hubarikiwe sana kwa mafundisho na neno lake bwana. Nuru na giza haipatani kabisa baba 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nusu saa nzima unawahubiria wakristo wako habari za mtu badala ya Mungu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  4 หลายเดือนก่อน +3

      Ukimhubiri huyo Mungu hauhubiri watu? Kwani Biblia haijaandika makosa na mema ya watu ndio tunayoyasema ili wengine wajifunze?

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 4 หลายเดือนก่อน +2

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile kweli kabisa mzee tunahubiri kwa kusema watu wa zamani kwa uzuri wao au ubaya wao.

    • @tinajoe5487
      @tinajoe5487 3 หลายเดือนก่อน

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile hakuna cha kujifunza hapo

  • @DawsonDuma
    @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mstari wa 12 inazungumzia mzazi mwenzako siyo mke uliyokwishaoa. Yesu haiwezi kujipinga. Ukiwa na shaka Muulize YESU mwenyewe.

  • @edengospeltv4395
    @edengospeltv4395 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli Mtumishi yaani ukiingiliana sana na Dunia lazima uangukie pabaya. Mfano mavazi, misemo ...Natamani watu wa media tupate vipande vya ujumbe huu kuna Hekima zinahitajika watu wazipate ziwasidie. Maana wengi wanapima mambo kwa jicho la Dhambi au siyo dhambi wasijue kumbe kuna mambo mengine ni mtego wa shetani kupoteza IDENTITY ya Kanisa

  • @JimmyMwakatundu
    @JimmyMwakatundu 4 หลายเดือนก่อน

    Mmi ni mtu ambaye sisikilizi wachungaji ila wew nakusikiliza, that your incredible pastor we talk really and immediately

  • @nguzoyetugirlscentre6270
    @nguzoyetugirlscentre6270 4 หลายเดือนก่อน +1

    Utajifumaniaje we mtumishi ni mchanga kiroho watumishi wengi wanaume wameanguka mara nyigi.Usijitape jiombee Mungu akusaidie. Hivi unajua maana ya neno malaya au soma yakobo ulimi ni kiungo kidogo na mtakatifu utampima kwa ulimi.

  • @mosessiame7882
    @mosessiame7882 4 หลายเดือนก่อน

    Udumu ktk huduma hiyo mtumishi Mungu akubariki sana Ukweli daima unama God bless you

  • @consoassenga7153
    @consoassenga7153 3 หลายเดือนก่อน

    Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊

  • @DawsonDuma
    @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mathayo 1:20
    [20]Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa RohMtakatif
    Ndoa ni agano na Mungu anaanza kuitambua wakati wa uchumba.

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 4 หลายเดือนก่อน +15

    Acheni kuhukumu watu,,,,,,,kazi ya kuhukumu sio yenu,,hakuna aliekamilika

    • @johnjohnkipokola5077
      @johnjohnkipokola5077 4 หลายเดือนก่อน +4

      Lazima aelezwe ukweli! Christina amekengeuka na arudi kwa Mungu akatubu na airudie ndoa yake.

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 4 หลายเดือนก่อน

      @@johnjohnkipokola5077 kaka umesikiliza upande mmoja,,, behind ze scene,bint aliolewa katika umri mdogo ,na aliolewa na akiwa bado hajajitambua ,na nikama alilazimishwa ,kapata upenyo kasepa ,,Hana BAYA

    • @gabriellyadam9415
      @gabriellyadam9415 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa si amfate amwambie kwann anamhubir kanisan ​@@johnjohnkipokola5077

    • @user-fg4fj6lf5n
      @user-fg4fj6lf5n 4 หลายเดือนก่อน

      Pole lakini neno ni neno. Let's agree to let the Word to wash us... painful but essential.... lets move from glory to glory so that we become "cities set on a hill"...we are in a race

    • @beatricesamwel8161
      @beatricesamwel8161 4 หลายเดือนก่อน +2

      Tofautisha hukumu na maonyo.anapo potosha watu na kuukwepesha ukweli wa neno la YESU lazima akemewe ili asihalibu wanaotaka kuokoka.tofautisha hukumu na maonyo

  • @IpyanaPaul
    @IpyanaPaul 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mchungaji hakika mimi nime kuelewa sana

  • @patiencekalondji8091
    @patiencekalondji8091 4 หลายเดือนก่อน

    Hallelujah hallelujah baba nafikiri Mungu anataka kuzaa kiroho yaani kuaminisha wasio mujua Mungu

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fz 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona ma
    Mbonambona mnamponda mme mwenzemwenzenu mnazidi kumpoteza christina

  • @rachelmaina3476
    @rachelmaina3476 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sio lazima ufatane na mmeo.Lakini kama kulikua na mengine mungu aingilie kati.

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape1630 4 หลายเดือนก่อน +1

    Laiti kama Nyumba zingepewa vinywa, basi tungejua siri za wengi. Mungu na wao ndo wanaojua ukweli. Pengne siku ikiwa wazi tutakosa cha kunena. Tuweni na akiba ya maneno.

  • @MamasokoWahushi
    @MamasokoWahushi 3 หลายเดือนก่อน

    Pastor wafaa kuombea hii familia badala ya kuiponda juu ya madhabau na wewe ni mzazi

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304 4 หลายเดือนก่อน +3

    Baba,ninakushukuru Sana,niko Shinyanga,lakini ninatokwa na machozi kwa gharama ya ajabu ya huduma yako.
    UBARIKIWE NA BWANA.ninakupenda Sana,mch mwakipesile.

  • @jimmymasebo6642
    @jimmymasebo6642 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hii comment ni kwa wale tu wanao amini biblia ju ya ndoa naomba mjisomee Kwa mwanaume Malaki 2vs14 Kwa mwanamke Mathayo 19vs3-12 nawapendo wote ndugu zangu

  • @user-lc6te2pe2l
    @user-lc6te2pe2l 4 หลายเดือนก่อน

    Amen mtumishi kiukweli binadamu hapendi kuambiwa ukweli ubarikiwe kwa kusema kweli.

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 4 หลายเดือนก่อน

      Aliolewa akiwa na miaka chin ya 18 na alilazimishwa ,,,na aliolewa na mtu MZIMA aliaemzidi umrii pakubwa ,so kajitambua kapata pa kuanzia kasepa ,,Hana baya

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga 4 หลายเดือนก่อน +1

    Katika hizo sababu mbili tu naunga mkono kabisa hotuba hii
    1.Kumfumania mtu kwa sababu za uzinzi/uasherati
    2.Kuzuia imani

  • @dicksonmlelwa1762
    @dicksonmlelwa1762 4 หลายเดือนก่อน +2

    Binafsi nampenda sana huyu mchungaji

  • @HappyMsuya-og7ok
    @HappyMsuya-og7ok 4 หลายเดือนก่อน

    Ukimsema Sana mtu aliyekosea unajichafua muache mungu afanye kazi yake

    • @AllexNnko
      @AllexNnko 4 หลายเดือนก่อน

      Hii ni aina tu ya mfano wa watumishi walio itwa kipindi cha uamsho na msipo amka nyinyi viongozi vipofu wanakuja kaeni tyr upesi

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaidie ili tuishi na kutembea ktk Kweli Yake.

  • @agnessmrema8906
    @agnessmrema8906 4 หลายเดือนก่อน

    Lakini Cristina Shusho hajasema ameachana na mume wake wala mume wake hajakiri kuachana na mke wake mimi nina imani Cristina bado yuko na mume wake ila katika kumtumikia Mungu kila mmoja anawito wake

  • @DanielSaria
    @DanielSaria 3 หลายเดือนก่อน

    kazi ya watumishi ndio hiyo kuwasaidia kuona mabaya yanapokuja ili mjiepushe nayo .wewe ukiona hayakuingiii kaa kimya kwa maombi na mafunuo lakini kunawengine wanakombolewa.nadhan tuwe wasikikizaji kwanza Mungu atatupa hekima nanma ya kuyajua hayo.

  • @stephaniakanka8178
    @stephaniakanka8178 4 หลายเดือนก่อน

    Ame tuvunja moyo kabisa baba yangu tulikuwa tuna penda nyimbo zake kabisa baba yangu hubarikiwe 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 4 หลายเดือนก่อน

      Kwann uvunjike moyo ,Kila mtu Ako na mapito ya peke ake,,so kaa kwa kutulia ,,,,,,huyu mama aliolewa na kwa kulazmishwa na wazazi ,akiwaa na umri mdogo ,na akaolewa na mtu mzma,,,,sasa kajitambua kapata upenyo kasepa ,kosa lake liko wapi??????

    • @upendochiwa25
      @upendochiwa25 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@jeremiahcharles6027angekaa kimya tu ingesaidia, kuliko kumsema baba wa watu, mm mwenyewe Christina kaniumiza maana nyimbo zake nyingi nikizisikiliza zinanipa unyenyekevu wakuingia kwenye maombi, naumia sana na natamani christina arudi kwa mume wake itapendeza zaidi

  • @irenemuia2718
    @irenemuia2718 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisa ,Amina Amina 🙏

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 2 หลายเดือนก่อน

    Ni vyema ukahubiri nguvu ya msalaba kuliko kupambana na shusho wako watu wana hirizi viunono ,hawajui wanaziachaje we unahangaika na shusho ambaye anaujua ukweli

  • @carolinenyemba2412
    @carolinenyemba2412 4 หลายเดือนก่อน

    It's time to put someone in prayer,when the devil want to destroy he uses people,this woman doesn't know what she is doing,she is blinded she needs help please

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 4 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji umeongea ukweli mtupu baba, sema watu waelewe
    Alichounganisha mungu binadamu asitenganishe.

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 4 หลายเดือนก่อน

    Tunakatazwa kuhukumu mwacheni hana kosa maswala ya ndoa mwachie yeye na mume wake kitu ambacho amekifanya cha kutisha ni kipi? Hili si swala la geni christna christina swala hili likome tumechoka mahubiri hayo hawezi kulaaaniwa kwa hilo vitisho (ndoa ni siri ya watu 2) hawawezi kujiumbua (famili wana watoto watangaze ili iweje? (Mtumishi wa mungu huwezi kuyapanga maisha hata ww hujui la kesho

  • @chancealimasi1946
    @chancealimasi1946 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @CharlesKayungi
    @CharlesKayungi 3 หลายเดือนก่อน

    Lakini,Mtumishi.Wanandoa kama hawakuzaa moto, ndoa yao itakuwa feki?

  • @jimmymasebo6642
    @jimmymasebo6642 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kunaneno ameongea point ya kutuzana na kuwa wazi kwa vile unavyota mwezako aonekane hiyo kwisha mambo yote

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kristina amekuwa biblia ,waumini wa huyu jamaa ,nawaonea huluma mngehubila injili ingekuwa njema sana

  • @consoassenga7153
    @consoassenga7153 3 หลายเดือนก่อน

    Nyie viongozi wa dini kwani hamjui biblia inasemanye kuhusu kumuonya mtu aliyekosea kama mnahisi kakosea? Na je! Mmemsikiliza huyo dada akaeleza sababu ya yeye kusema alichokisema? Na je! Ninyi ndoa zenu ziko salama? Ninawashauri viongozi wa dini wafundisheni waumini yale yanayowapasa kuhusu Imani na Dini na sii mipasho.

  • @DawsonDuma
    @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน +1

    1 Wakorintho 7:8,10,12
    [8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.
    [10]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
    [12]Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely8740 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa kwan inakuhusu nn, ubrii injili tuu mwacheee afanye yake

  • @priscadanielscappuccinolov3925
    @priscadanielscappuccinolov3925 4 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa sanaa baba japo ukweli unauma usiogope kemea karipi na urudi

  • @judycheruiyot5414
    @judycheruiyot5414 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kwani mahubiri ni shusho tu? Bure kabisa

    • @abrahamnyagawa1304
      @abrahamnyagawa1304 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiyo bure kabisa, yaani,injili hiyo ilivyo bora na ya thamani.?
      Hovyo kabisa.

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 4 หลายเดือนก่อน

      Hana mahubiri huyu....empty debe

  • @CharlesKayungi
    @CharlesKayungi 3 หลายเดือนก่อน

    😊mtoto

  • @saidsanga3981
    @saidsanga3981 4 หลายเดือนก่อน

    Binafs nakuelewa mtumishi, mungu azidi kukalia kusema kweli siku zote,

    • @abrahamnyagawa1304
      @abrahamnyagawa1304 4 หลายเดือนก่อน

      Safi kabisa,wewe tuko Pamoja.nampenda sana mch mbarikiwa.

  • @ATHANASLUKEHA-ui7pq
    @ATHANASLUKEHA-ui7pq 4 หลายเดือนก่อน

    Kwamba Mungu anaitambua ndoa kama mumezaa mtoto!SIYO KWERI HATA KIDOGO.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 หลายเดือนก่อน

      Weka wewe hiyo kweli tujifunze kwako

  • @ceciliakongani9299
    @ceciliakongani9299 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisaa

  • @patiencekalondji8091
    @patiencekalondji8091 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni siri kwa sababu hatumuone kwa macho ila kwa imani tu

  • @charlesphilipo3533
    @charlesphilipo3533 4 หลายเดือนก่อน

    Acheni kurukia kila jambo ili kupata umaarufu,,huyo mwanamke anajua anachofanya siyo mtoto

  • @NiyizigamaClaudine
    @NiyizigamaClaudine 4 หลายเดือนก่อน

    Ana myaka 50 alizaliwa 1974
    Unembe

  • @lulumatawalo7805
    @lulumatawalo7805 3 หลายเดือนก่อน

    Haya ni mahubiri au ni umbea madhabahuni??!!

  • @gracesanga6489
    @gracesanga6489 4 หลายเดือนก่อน

    mchungaji nakupendaga sana ila nini Leo ibaada yako kumhubiri mtu wakati MUNGU anawajua walio wake habar za huyo dada ziacheni watajuana na MUNGU,au mfuateni mwambieni. yeye mwenyewe

  • @DawsonDuma
    @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน

    Uasherati na uzinzi ni tofauti.
    Uasherati ni tendo la ndoa la watu ambao hawajaoa /kuokewa na wachumba ambao hawajafanya tendo la ndoa na mmoja akafanya nje tendo hilo
    Uzinzi ni kufanya tendo la ndoa nje baada ya wanandoa kuwa wailiisha fanya tendo hilo..

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe uasherati ni kwa walio ndani ya ndoa, uzinzi ndiyo wale ambao hawajaoa au kuolewa

    • @DawsonDuma
      @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน

      Marko 10:11
      [11]Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa hali hii ni bora nokae bila zehebu usilu nikolaa nimtukze mungu na kumsifu kwa kuniuba na kunijaloa akili kufafanua

  • @vukasuvukasu9335
    @vukasuvukasu9335 4 หลายเดือนก่อน

    Baadala ya kusema mengi mbona usitafute ukweli tena hiyo vedio ya Christina kuondoka ni ya zamani IAM sure wako pamoja kwa sasa!

  • @tinajoe5487
    @tinajoe5487 4 หลายเดือนก่อน

    Ni mahubiri?

  • @gideonchipepo8405
    @gideonchipepo8405 4 หลายเดือนก่อน

    Je ukimtafuta ukamhuliza vizuri ukaongea nae ana kwa ana mi naona ingekua hekima sana kuliko kumhubili madhabahuni kila siku. Maana Biblia imesema mwite umuonye akikosea.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  4 หลายเดือนก่อน

      Wewe umemtafuta Mbarikiwa? Au nawe umeandika comment ya kumkosoa hadharani?

  • @heriettarazo5705
    @heriettarazo5705 4 หลายเดือนก่อน

    Inatosha mchungaji kwanini mnaendelea kumuongea kwanini msimuete .kuliko kuendelea kuongelea maana haibadilishi chochote

  • @mpingasaidi4493
    @mpingasaidi4493 4 หลายเดือนก่อน

    Sipendi tena nyimbo zake

  • @lovenessmtei2476
    @lovenessmtei2476 4 หลายเดือนก่อน

    Hakika mtunishi umenena kweli

  • @musatibeti
    @musatibeti 4 หลายเดือนก่อน

    Hata ww unaonesha ninamnagan kristo hayupo ndaniyako maana unazungumzia sana mamboyamwilini .mbonamtumishi hujatumwa kuwatangazia vituhivyo

  • @vukasuvukasu9335
    @vukasuvukasu9335 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yawezakana Mzee wa Christina ni violent Kuna kitu inaitwa emotional abuse

  • @user-wi4nb7fg8v
    @user-wi4nb7fg8v 4 หลายเดือนก่อน

    Bado ndoa ya mke wako itakavyoondoka ndio uchanganyikiwe zaidi

  • @nkhomagodfrey4789
    @nkhomagodfrey4789 4 หลายเดือนก่อน

    👏👏

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi wewe kazi Yako ni kumhubiri Christina au injili ni mchungaji Gani??? Injili utahubiri lini huna adabu umetamka matusi makubwa makubwa hadharini wewe si Nuru mkwazaji mkubwa

  • @princessjj8298
    @princessjj8298 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe baba...Huna biblia???. Maandiko ya kufundisha yameisha mpaka kila siku madhabahu yako unaitumia kuongelea watu. Hubiri Injili acha kujadili watu.

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 4 หลายเดือนก่อน

    Hata mkeo ipo cku.... matatizo ya ndoa hayana ujanja....

  • @BarakaSmollel
    @BarakaSmollel 3 หลายเดือนก่อน

    Iyo sio hukumu Bali kukanyana

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fz 4 หลายเดือนก่อน

    Wanaenda vizuri tu ila tukumbuke kuwa shetani yuko kazini na wewe mwenyewe ujiangalie hujui mke wako anakkufikiliaje

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 4 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @carolinenjoroge9092
    @carolinenjoroge9092 3 หลายเดือนก่อน

    Mahubiri ya neno yataanza saa ngapi?

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  3 หลายเดือนก่อน

      Kabla na baada ya hapa. Ingawa hata haya ni sehemu ya mahubiri ya neno la Mungu

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 4 หลายเดือนก่อน

    Pst ninaomba unijilishe hapo panasema kuhusu kufumania na kuachana plz

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 4 หลายเดือนก่อน

      Mathayo 19:3-

    • @DawsonDuma
      @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน

      Huyo wakumfumania ni katika uasherati mpendwa yaani mchumba. Usije jaribu kumuacha mkeo kwa uzinzi hata awe anajiuza huyo ni wako.
      Yesu amesema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asitenganishe.

    • @AzAz-sy6zp
      @AzAz-sy6zp 4 หลายเดือนก่อน

      Saw

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@DawsonDumawaalimu wako wamekupoteza

  • @patiencekalondji8091
    @patiencekalondji8091 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna andiko inasema Yesu ni bwana harusi atafunga ndoa na nani?

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 4 หลายเดือนก่อน

      Ayoo ni mambo ya kiroho zaidi ndugu autaolewa maana c dini yakoo heshimu iloo

  • @joachimchacha3228
    @joachimchacha3228 4 หลายเดือนก่อน

    Kumbukeni na Hera za nabii mkuu jodev alizoenda kupewa Arusha nalo ni anguko kubwa

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 4 หลายเดือนก่อน

      Ela ilikuwa suala la baaae,ila alianza kuomba nguvu,nanukuu maneno yakee"baba nipe nguvu"nabii akaamka akasema"nikupe nguvu"?akaimba wimbo wake na kumwambia aimbe hata beti moja kisha ndo akampatia milioni kumi.

  • @majaysjrmtitu5300
    @majaysjrmtitu5300 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana baba.

  • @DawsonDuma
    @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndoa ni agano hata mke umemfumania mara mia au haitaki imani Yako agano hilo halivunjiki. Ndoa inavunjika pale mmja anapokufa TU.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  4 หลายเดือนก่อน

      Shika wendawazimu huo uje ufe kwa kujinyonga.

    • @DawsonDuma
      @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน +1

      Je tubadili neno la Mungu kwaajili ya kuogopa kujinyonga?

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 4 หลายเดือนก่อน

      ​​@@DawsonDuma mathayo 19:9 ielewe vizuri hiyo usitafsiri kwa mihemko. Ukifumania unamwacha

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  4 หลายเดือนก่อน

      @@DawsonDuma neno la "wazungu" tunalibadili macho makavu (mchana kweupe). Hicho unachofahamu ni neno la wazungu. Yaani umetafsiliwa maandiko kama wazungu walivyolenga kumuangaisha Mwafrika. Ndio maana watu kama wewe huwa choka mbaya kwa kila kitu.

    • @DawsonDuma
      @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน

      Mtumishi, hili neno 1kor 7 : 12 nimefundishwa na Bwana Yesu mwenyewe kwa sauti kabisa. Uwe makini mtumishi maana km unashaka Muulize Bwana atakujibu tu km alivypnijibu mm.

  • @ceciliakongani9299
    @ceciliakongani9299 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hujawahi kuwa na lolote la maana la kumwambia yeyote yule...

  • @konexenon5051
    @konexenon5051 4 หลายเดือนก่อน

    mtu akiwa na dhambi huwa Mchungaji hasimami madhabahuni na kumsema ingekua hivo makanisan asinge baki mtu

  • @VunjabeiVunjabei
    @VunjabeiVunjabei 4 หลายเดือนก่อน

    Binti Gani anamezaa na anamabinti mtoto wake anaiaka20

  • @saruninaisministries1213
    @saruninaisministries1213 4 หลายเดือนก่อน

    Useless statement

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 4 หลายเดือนก่อน +1

    Fanya yako achana na Christina Shusho

  • @filbertkalenga
    @filbertkalenga 4 หลายเดือนก่อน

    Tutambue kuwa hata shetani alikuwa mwimbaji baadae akabadilika awa muovu

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 4 หลายเดือนก่อน

    Neno hapo amna

    • @abrahamnyagawa1304
      @abrahamnyagawa1304 4 หลายเดือนก่อน

      Katika hayo asemayo,huoni Neno hapo? Pole Sana,hovyo kabisa!

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 4 หลายเดือนก่อน

      Hana neno kabisaa huyu mchungaji...ana kiangazi Cha neno

  • @babadee4785
    @babadee4785 3 หลายเดือนก่อน

    Judging others doesn't make us perfect.

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mahali panasema mke akimfumania mme wavunje ndoa isipo kuwa inamlenga mke akifanya uasherati.toa andiko

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 หลายเดือนก่อน

      Hivi na wewe ni mkristo

  • @hatiagk4447
    @hatiagk4447 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hueleweki hata kidogo

    • @Yoram_Changala
      @Yoram_Changala 4 หลายเดือนก่อน +2

      Nadhani haujataka kusikiliza kwa sikio la kuelewa, mbona maelezo hayo yanaeleweka tu

    • @jacksonmkuye7739
      @jacksonmkuye7739 4 หลายเดือนก่อน +1

      Una matatizo binafsi

    • @ashelikilele167
      @ashelikilele167 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nazani unajini sharifu linakutesa

    • @Yoram_Changala
      @Yoram_Changala 4 หลายเดือนก่อน

      @@ashelikilele167
      Majini shariffu masumbufu sana
      🤣🤣🤣

    • @DawsonDuma
      @DawsonDuma 4 หลายเดือนก่อน

      Kama unaelewa zaidi ya nilivyoelezea kwanini usininieleze kwa upendio? Sisi ni viungo vya mwili wa kristo. Tafuta neno la Mungu na uelezee bila chuki.

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada hapungui miaka 53+

  • @SabastianRaymond
    @SabastianRaymond 4 หลายเดือนก่อน

    HAPO NAPO HAUKO SAWA.
    UZINZI NA UASHERATI NI VITU VIWILI TOFAUTI.

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 4 หลายเดือนก่อน

      Lakini vyote ni dhambi na vinahusisha kuingiliana kimwili kati ya ke na me

  • @neemarosedawson3154
    @neemarosedawson3154 4 หลายเดือนก่อน

    Mwache huyo dada wewe hubiri Injili tu.

    • @abrahamnyagawa1304
      @abrahamnyagawa1304 4 หลายเดือนก่อน

      Hiyo siyo injili? Hovyo kabisa.

    • @tinajoe5487
      @tinajoe5487 4 หลายเดือนก่อน

      Huo ni umbea

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂kweli kabsaaa

    • @ceciliakongani9299
      @ceciliakongani9299 4 หลายเดือนก่อน

      Tena wa Hali ya juu

    • @RebeccaAmisi
      @RebeccaAmisi 4 หลายเดือนก่อน

      Peya watu neno acha chouchou MUNGU ana juwa ya kesho please ama hauna neno?

  • @consoassenga7153
    @consoassenga7153 3 หลายเดือนก่อน

    Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊