SHUSHO ''WATU WENGI MAISHA YANGU HAWAYAJUI/KIMWANAUME GANI HIKI NAJUUTA/KUNIVUA NGUO''
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2020
- #mchezakwao #christinashusho #mahusiano
Fatilia mahojiano maalum yakwake Christina Shusho kupitia kipindi cha Mcheza kwao ambapo ameweka wazi juu ya taarifa zilizopo mitaani kuhusiana na ndoa yake pamoja na kile kinachoendelea cha ndoa na mahusiano ya waimbaji wa mziki wa injili ambayo yamekuwa yakiingia katika sintofahamu, Sasa hayo ni machache kati ya mengi ambayo Shusho yote katupa majibu yake.
Mshukuru mungu atauliolewa mdogo ni mungu alitaka iwe ivo naalikuwa na sababu pengine usinge kuwaapo alikupa mume watoto ukamjuwa mungu umekuwa sta sema mungu asate na mungu anasababu tena jivuniye wapo wazuri awana kitu atamungu awamjuwi muweshimu mume wakoo kunaneema sana mkiwa wawili utengano ni zaifu majina sikitu kitu ni yesutu
Huyo Alisha muasi Mungu kitambo sana tamaa yamafanikio imempoteza
Urudi kwa mmeo, acha kujiuza mitandaoni dada! Umelitukanisha jina la BWANA😢😢
Wewe tumekujua umalaya ,wako,mawaziri,wanaume mpaka mume kukukamata,leo unadai Mungu amekuita ,siyo Mungu ni shetani ,acha kudanganya.Amen
Dah😢😢😢😢 ctaki kuamn
Husiukumu husije kuhukumiwa
Kabisa huyu ni kahaba tu hana lolote afu muongo tuu
shusho tuimbie ..nimapito..tunayo pitia song..ii maisha ya siku hixi weeee.......
Sasa mm ushauri wangu mama nakuomba urudi kwa mumeo na watoto wako kwa kuwa ni sawa na kwamba umemvua YESU KRISTO Utukufu wake na kumkanyaga chini ya miguu yako
Christna umekengeuka sana kumuacha mmeo huna bei duniani rudi kwa shusho haraka umepotea tamaa za dunia zina mwisho ucje kufa kibudu mama
Kristina mnamlaumu tu Bure na kumtukana Ila ninachojua shetani Yuko nyuma yake sio yeye kabisa, Mimi na wewe tumuombee Mungu Sana, mwenzenu kakamatwa
Dada napenda sana nyimbo zako ila tabia yaco ya usaliti Mungu anakuona
Unapendeza Sana kuwa changu doa Una mwili mzuri utapiga hela Sana Kwa kina harmonia diamond
Nimekuelewa sana dada Christina, Mungu akutunze,napenda kukufuatilia sana, endelea kubarikiwa.
Mungu akusaidie nimambo yakutisha kama hujampa YESU maisha nivema ungeokoka Itakusaidia kutambua mema na mabaya YOHANA 1:12 wote waliompokea walifanyika Wana wa MUNGU
Yaani ukitimaza comments za wanawake wengi hapa , utapigwa na butwa. Yaani imani na neno la mungu nawaweka pembeni. Interview wanaielewa kiAkili za mwili tu . Neno takatifu linasema je ?
Christina Shusho big up yourself...unangonga facto tupu..nice words of encouragement🙏🙏👸
Christina ulianza vizuri, bt sasa hatubarikiwi na mziki wako.
Christina acha manjonjo kiukweri umetuangusha sana kina mama
Thanks alot shusho to me I accept u to be apart of being I singer I ❤ and accept u as a life coach. Out of this u taught me saaana
Dada kumbuka ndoa ni pingu ya maisha,sasa imekuwaje ww umwache mume,tunavumiliana kwenye shida na raha,rudi kwa mume unapotea
Kwenye Karia yangu nimegundua kua usimwamini mwanadamu watu ni wepesi Sana kusahau walikotoka sasa ndo umuacha mumeo kwasababu za kitoto hizo soma umepata kidume Cha bongo freva kimekupa jeuri ya kumuacha mumeo Sasa huko umetoka kwe mikono ya Mungu unamkimbilia shetani Rudi nyuma ujitafakari
🎉 kweli sababu hawezi endelea na mmewe ka ako kinyume na hzo chama chake lazima watengane ndio mambo yake yaende sawa light ed darkness can't stay 2getha
Shut up huwez kuipenda familia yake zaid yake yeye..ebu muache afanye maamuzi yake mwenyewe...
Hakuna kitu napenda kwako Mama kama HEKIMA.❤❤❤ forever Yaan
Ana hekima gani!!!!!
Asante Sana Dada Christina,namshukuru Sana mungu kwaajili yako Kwa jinsi mungu anavyokutumia,nimekusikiliza vyema kwenye mahojiano,umeongea kweli mungu akubariki.
Shusho napenda sana nyimbo zako,zinanijenga,zinaniko marisha asante
Wonderful interview,,, Intelligent woman of God,,, Endelea ku expect vitu vyote, Christina! Mungu anakupanulia wigo:-)
God bless you Lots Christina Shusho, the befitting answer potray the worth you hold
wewe mtangazaji wa startv upo vizuri Sana katika kututafutia taarifa zilizojificha,Asante Sana Ila tuachane masuala ya kusaparate saparate.
"Kazi ya Mungu imenijenga, imenipa kujitambua, kusitawi, kuweka mizizi ..." Heri mume wako, pamoja na wale wote ambao wamebahatika kutumia maisha yao kando yako! Bless!
Christina nimekupenda sana daima na nyimbo zako pia. Ungekaa kimya kidogo dada.
Thumbs up to Christina for inspirations .
She is positive to leadership
GOD blessings be granted.
Following her from Qatar Doha.
Usimdanganye....Musa kaitwa na familia yake
wah feeling inspired. May God bless you mum
Mrudie mungu dadangu...siku ni moja tu yakiama ...tena kumbu neno la mungu linasema tuiombee siku hiy isiwe ya barid Wala mvua
asante dada mi nimekwerewa sanaaaaa sanaaaaaa hakika umeumba kitu kwagu 🙏🙏🙏🙏
Christina Christina Christina nakuita mara 3 usijifanye mjuaji dada dunia hii duara ukihangaika utahara tuombe uzima Mungu aliekupa mdomo ataunyamazisha acha jeuri
❤
Sifa za mtu na ndo majaribu yake!!!! Wenye Akili hawana mali na wenye Mali hawana Akili ila wana wa Mungu wanazijua siri za mungu
Tatizo dawa hazirihusu mharo siku hizi.......
Nakupenda..Karibu Tena Zenji Kariakoo
Christina your wise,i enjoyed listening.
Umejaa hekima ssna Christina, yaani umejieleza kwa busara mpaka nimetamani hiyo hekima yako,Mungu akubariki sana
Kweli tupu my dear. Ubarikiwe saaana my dada
Aki kweli na mungu akupe macho uone unachokifanya
😂😂
Wonderful interview
nyimbo zako zaniongezea imani sana
Aki I really love this lady.forever
Christine shusho nakupenda sana
She is brilliant and blessed.
Mengi utaongea sana lakini dhambi ya uzinzi inakuhusu!! Acha tuone kama MUNGU ni wa dhihaka!
Diamond nomaaaaa sana siri imefichuka
Kumbe na wewe umepaona hapo eeeenh.....
Safiiii Sana christina
BWANA ASIFIWE Naomba Tuimbe Colable Wimbo Mmoja GOD BLESS YOU SHUSHO
Nani kakupa ubishop wewe jaman mungu Ana kazi ngumu
ametufanya tungareee😀😀 wimbo na maringo🥺dah..
@@elvzmak957😂😂😂😂😂😂 wacha nichekee😂😂😂😂😂😂
Napenda sana Christina she's always smart na nyimbo zake nzuri
Aiseee TINA Nina kupa (Hai) ukomakini kwa kujibu maswali ya mitego ya ulikuwaa ukihojiana naye hakika ninamegi yakukusifu LAKINI naatukuzwe Mungu unayemtumikia.Aliyekuhekimisha kwa kiwango ulichonacho utakachokuwa nacho kwakadri atakavyokukirimia AMEN
Nakupenda dada
nyinyi mnalaumu tu ila ndoa inachosha na wengi wamekimbia ila tu kwasababu wengine sio marufu
Neema ya Mungu Itoshe
Daa kweli watu wanabadilika,kweli leo unajua kuongea maneno mawili matatatu unajiona umefika?huyu mume alikubeba wakati ukiwa mweusi hujui kujipaka hizo cream,Huyo mume wako alikubeba sana mpaka umejulikana unamkimbia?kwanini usingemwacha zamani?Mrudie Mungu dada duniani tunapita,nyimbo unazoimba naomba jenga kwanza kwenye nyumba yako,umepoteza mwelekeo sana,Mungu anawabariki mnawakimbia waume zenu?sio ushuhuda kabisa 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Andiko lako zuri sana. Be blessed Esther
If 'Never-air-you-dirty-linen-in-public' was a person. Great interview
Akika kweli umurudiliye Mungu .Mungu umemufanya kuwa industry
Mbele ya mwana damu wote , mbele yaku jiunga na Relationship yote muhulize Mungu Baba. Uyu dada na muelewa sana . Gisi ulimwengu Una badirika ame Ona kwenye ame olewa siyo level yake . Ni mutihani mukubwa sana ume mufikiya . Katika maisha yaki roho uyu dada Ana Oprah ule aliye Musaliti Naomi. Ruth ame kubali kumu fuata Naomi. Aka barikiwa sana kutokana na maandiko Yesu kazaliwa katika kizazi cha Ruth na Boazi
Ukweli mtupu shusho wanguu
Mungu.akufungue.macho.ya.rohoni.ujue.wapi.ulitoka.wapi.upo.na.wapi.unakwenda.mchana.umekuisha.usiku.umekuja..ludi.nyimbani.kwa.baba.yako.wa.mbinguni
👏
Mungu atakusaidia ukikaa ktk neno lake
Mama sujaha mungu akuone
Acha kusema mingi Wewe Dada usipigwe na Mungu, kwanini amumu eshimu Mungu
Mungu akusaidie
Siwezi kusikiliza nyimbo zake huyo dada anamtumikia shetani kwasasa alianza na Mungu anamaliza nashetani atubu
Haya mama,maisha, niyako,utajijua
Nakupenda sana christina chucho
Ur so amazing full of postive vibes may God
Keep u shining na hujazeeka bado kijana kbsa
All my love from 🇷🇼
Huyu mama kwa maana siwezi kumwita mtumishi kama mwenyewe anavyojiita. Ameamua kuacha ndoa yake na sasa anawadanganya wengine hasa kwa wale wasiotaka kusoma Neno La MUNGU. HAWA watu walitabiriwa hapo mwanzo. Sasa, kwa watu wanaopenda kusomewa na watu kama huyu, wataangamia. Ukisoma ktabu cha Hosea 4-6 WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA..... Wamekosa maarifa na kuikataa sheria ya Mungu hasa swala zima la ndoa.
Huyu dada lazima mumchukie yupo levels nyingine.May God keep you dada angu kipenzi
Mungu......eehhh Mungu .....eeehhh Mungu
Nimefarijika sana na mausia yake, nampenda sana ni mama mwenye hekima na maarifa ya hali ya juu sana. Mungu azidi kukubarikia ktk yote yako. Neno linasema, tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu. Hallelujah Amen xx
Diamond kesha mnusa huyu mwanamke tayari,kesha nogewa
Love mom mungu akubariki sana💜💜
Amrehemu amsamehe alipoteleza
Ukiingiwa na roho ya uzinifu ufahamu mwema lazima ukutoke na ufanane na wapuuzi wengine tunaowafahamu hata kama unaegama kwenye NENO la Mungu.
Mungu akusaidie kama unaweza kufanya kazi na shetani umeisha
🎉
😂kaniacha hapa pakufanya kazi nashetani Madamu wakubaline,,Ila nilichokielewa amemaanisha nimti anayependa sn Mambo yaushetan anapoamua kumfuata MUNGU wakweli.
Huyu dada mimi binafsi ni mpenzi wa muziki wake sanaaa. Tena kiukweli kwa Tz nampa nafasi za juu kabisaa.
Ila suala la ndoa yake linanitatiza sana. Kama vile halina ushuhuda mzuri mbela za wanadamu na mbele za Mungu
💯👏
Hatasiku moja, sita sikia nyimbo zako.
Diamond anamega tunda.
Chezea Simba wewe
Dada Mungu alikupa kitu cha thamani sana hebu kitunze.
Da christina shusho haujazeheka bado ungali kijana dada Naipenda sauti yako nyimbo zako niko pamoja na wewe
Bado sauti ikingaliki ya kuimba mimi nikiwa na iyo sauti yako nita furahi sana
Mungu akubariki dada
Christine na kushukuru kwa ekima na busara na kuta kwako,mara ningi watu hapa congodr,kuona Shusho sawa Binti pasipo na position,endelea kumuogopa Mungu,na kuheshimu jamaa yako maana yake Mume se,na Mungu ata kufikisha hâta ono y'a pili,kuwa pastor shusho na kushukuru!
True fact:MUDA ni DAWA❤🙏
Achana na Shusho mtangazaji,ni Malaya wa kiroho na kimwili.Smen
Mama mda wote ulikua kwandoa ukuyaona wangapi wameolewa 15yrs wamezituza ndoa zao uzee umekaribia jirekebishe ikubuke kazi shetani
Ndoa,na iheshimiwe na watu wote,uliondoka kwa wazazi wako uliambatana na mumeo,nahuyo uliambiwa na MUNGU umtiii maishayako yoote,vipi mwenzetu,ukowapi
Jamaniii hats yeye ni binadamu tulikumbuke hili sio Malika anapitia maumivu mama sisi 😊
Kama siyo malaika, mkristo wa kweli akipotoka au kuanguka lazima akiri hilo kisha atubu na kumrudia Mungu.
Mungu wa Mbinguni amuhurumie
Ulianza Kwa roho,unamaliza Kwa mwili
We wayaona mapungufu ya wenzio na Yako vip...usituchoshe... Ushawai hubiria mtu hata moja akaokoka ?
Umenena vema kabisa
Nahisi alikutana na "mahaba niue" akafeli kukaa kwenye ndoa yake na "akadata". Kwa kiasi, habari zake tunazo!
Naona tatizo shusho ulikubali kuolewa na Mume mtu mzima sana kwa hiyo balance ilikosekana
Hapa umeongea brother hiki kitu muhimu sana katika mausiano
Hahahahaaaaaa!
Ooooooh eti sauti yangu haitoki. Umelaaaniwa wewe mwanake. Geuka jiwe
Wanawake wenye ndoa semani Ukweli hapa
Dada Shusho kwenye Swali la pete hapana unatudanganya Dada yetu mtangazaji kauliza swali zuri sana lkini naona umelikwepa kutoa majibu ya kweli.pete ya ndoa haiwez kubadilishwa badilishwa sjawahi ona .Tulikuzoe ukiwa nayo kidolen kwa ss wapenz wako tunaokufatilia.Hapo ilipaswa ujibu ukweli.
This is satanik, separation is no no no.
Uyu ni magumashi umalaya unamsumbua
Kweli kabadilika na muonekano wake unaonesha wazi, kakwepa swali la pete 😂😂😂
Christina Shusho nilikuenzi miaka ya mwanzo mwanzo lakini ukweli ni kwamba umebadilika.Pete iko wapi?
Ongea kiswahili TU,usichanye kiingereza, tunafatilia kusikiliza
Kweli Mtangazaji unajua unachokifanya, unauliza maswali yenye mantiki
Christian shusho,Mimi ni fun yako kutoka Kenya.nina kukaribisha kwa kanisa lango Kenya
Hamna kitu shusho unamdharau sana huyo mzee hakuna siku unatoka na mumeo umeshajulikana imekuwa tabu wabembe wote wanakujua
Nahisi Wewe Mtangazaji umemuhoji maswali Magumu sana Mrs. Shusho! Jitahidi siku nyingine Kuyalegeza kidogo
akuna kulegeza..
Unahubiria wana wa mungu so please don’t mixed up the words of god almighty and your family also who are important in your life you need to thanks lord for gracefully blessing and may god forgive you sister ❤
2022# Umekuwa mwalimu wangu wa kipekee mama.
Nimejifunza mengi kutoka kwako leo.
😳😳😳umejifunza kuachana!!!!!
Mwaandishi nimekupenda unajua kuhoji
Bella and shusho please drop one scriptural worship song
Wewe ni shida sana.
Maneno ya hekima
Pure wisdom 💪❤❤
Rudi kwa mumewako,unatuaibisha wanawake wa kikristu,hakuna Mungu anayemwambia mwanamke amuache mumewe ili amtumikie ,Mungu wetu hayupo hivyo,wewe ni wakala wa shetani,ombamsamaha kwa mumeo mzee Shusho na urudi ktk ndoa yako na pia omba msamaha kwa Mungu uliyemkosea.
Dada yetu hapa amehepa swali kuhusu yeye kujitenga na huduma ya mmewe. Bado hili litabaki swali zito, hata ahepe vipi. Jambo jingine ni kwamba huduma anayoifanya sasa ni Prosperity Gospel, badala ya huduma ya kuelekeza watu kwa Mungu. Wateule tuwe macho!
Huduma anayoifanya ni Gospel ya UFALME. Na haipingi Gospel ya Wokovu. Bali inaleta ujumbe ambao ulikosekana kwa miaka mingi. Na hiyo, dadetu anachokifanya ni Injili kamili:-)
Mungu wetu sio masikini, na anataka tufanikiwe ! Vinginevyo, asingezidisha mikate !!!
Na ukiwa unaangalia katika Biblia, the men of God walikuwa matajiri! Kuanzia na Ibrahim,...
As for the New Testament, Jesus made himself poor for us, rich he was, so that through his poverty, we maght be enriched
(2 Corinthians 8, 9).
Wateule, tuna haki ya kufanikiwa! Dhahabu na fedha ni mali yake Bwana! Let's ask God to take us into his treasure! Wengine tushushe nyavu! God shall provide!
wanafanya huduma pamoja wala hajakaa mbali na mume wake
Haswa umenena mpenz Catherine. Wateule tuwe macho. Ukweli wa mtu uko moyon mwake. Ahukumuye kwa haki ni Mungu
Nazani wanaume tuwe macho tumewekeza Sana Kwa wanawake tumewaanimi Sana.mngu mwenyewe amesema tuishinao Kwa akiri hao hawachelewi kubadilika
Ukishaanza uzinz wa injee lazma utaona mume akufai kabsaa madharau itaanza badae utatoka kwa hyo ndoaa
You are a blessing to me
Kila nyota angani inashine angani sio lazima wanawake wasisike ili wanaume waonekane,Its time we all fulfill our God given purpose,
Thank you lord
Marafiki wa Kenya waimbaji ndio wameharibia shusho ndoa I naitwa peer pressure iko mpaka na Akina mama iko kwa all stages
Umepotea sana japo ulianza vizuri ila usiporudi kwa mumewe jehanamu inakuhusu