Hakuna kitu kama queen of gospel watumishi wote wameteuliwa na Mungu na wanatumika chini ya neema ya Mungu. Wasanii wapo wengi wanaimba vizuri sana na pia wamevuma be humble Guys,. I'm a big fan of Christina lakini Hilo hapana
Kabisaaa. Wengi wanaimba vizuri zaidi. Utukufu ni kwa Mungu, tuwachane na mambo ya kuwa queen na king. Hivyo ndivyo shetani anapata nafasi kupitia majina kama hayo katika Wana muziki.
Tena wajiangalie sana maana shetani alipewa hiyo nafasi ya uimbaji lakini kiburi kikamfanya kutaka kuwa juu ya Mungu ndio kashushwa chini..ndio kinachowapata waimba gospel saivi wanajiinua sana lakini Mungu atawashusha
Nmependa bishop alivyoulizwa mchango wake akaiju ni "Maombi" kwakweli watu walioitwa na Mungu utawajua tu. Kila kitu Mungu kwanza ndio maana wanainuliwa juu!
Amen. Knowing you are together we have been praying for your union. The negative vibes were blow to most of us Christians. The devil is defeated. Much love from Kenya
umemukosea saana mumeo nenda kainaame chin yamiguu yake uombe msamaha aachilie baraka zake kwako Ili muwe wamoja hata kama amefanya dhambi samehe endelea namaisha yenu coz hata we unamakosa mengi saanaa kutendo chakukaa mbali namumeo mda mrefu unamkosea mume pia unamkosea MUNGU but kumbuka hao wanaokutia akili mpya. hawawezi kufanana namtu aliyelea kipawa chako ukiwa hujulikana namtu mpaka wamekujua ukiwa tayari umeibuliwa acha dharau .
I say niliyoyasikia kuhusiano na ndoa ya Christina nimeamini sio kweli. Jinsi nili vyompata huyu B shop, mume wa Christina, najifunza zaidi watu. Wanaongea saana mambo wasiyoyajua na tuepuke kushiriki dhambi za wengine uongo ni dhambi inayotawala duniani tumuogope Mungu. Hongera watumishi wa Mungu, nawaombea mtimize kusudi la Mungu alililowekea duniani. Muda wa hapa duniani ni mfupi sana mbinguni ni milele. Mbarkiwe sana.
"Mchango wa Kwanza no maombi" jamaa Makini Sana..shusho alipojichanganya jamaa alitulia Tu..shusho akasema "amekaa pembeni nae coz eti ni assignment maalum" jamaa anendelea kusema kua ninkumsaidia kumjua mungu zaidi..wanawake waimba injili wengi wanarubuniwa na hao wanaowaita mameneja wasio na hofu ya mungu ndio wanaosababisha kudharau Waume zao..top 5 ya waimba injili wote wamekimbia ndoa zao..it's weird..huyu jamaa nilijua Tu kua no mchungaji wa ukweli sio kamawale wa mafuta na maji ya elfu kumi Lita moja..ngoja nikatazame nyimbo ya shusho inaitwa "NI KWA NEEMA" nimkumbuke hyu Baba mchungaji...
Wameona kitambo Sana wakiwa vijana kama ni pesa wametafuta wote uyo shusho akiwa ajui ata kuoga akiwa ajui ata kupaka kichwa ragi au mafuta kama ni pesa wametafuta wote kawaida ya mwanaume uzeheka araka kuliko mwanamke Mtoto wao wakwaza ana zaidi ya Mika 25 SASA jiulize kama divio sushi alikua zamani wacha kierehere
Hakuna kitu kama queen of gospel watumishi wote wameteuliwa na Mungu na wanatumika chini ya neema ya Mungu. Wasanii wapo wengi wanaimba vizuri sana na pia wamevuma be humble Guys,. I'm a big fan of Christina lakini Hilo hapana
Kabisaaa. Wengi wanaimba vizuri zaidi. Utukufu ni kwa Mungu, tuwachane na mambo ya kuwa queen na king. Hivyo ndivyo shetani anapata nafasi kupitia majina kama hayo katika Wana muziki.
Tena wajiangalie sana maana shetani alipewa hiyo nafasi ya uimbaji lakini kiburi kikamfanya kutaka kuwa juu ya Mungu ndio kashushwa chini..ndio kinachowapata waimba gospel saivi wanajiinua sana lakini Mungu atawashusha
Nampenda huyu bishop hekima yake IPO juu Sana👏👏👏
Nmependa bishop alivyoulizwa mchango wake akaiju ni "Maombi" kwakweli watu walioitwa na Mungu utawajua tu. Kila kitu Mungu kwanza ndio maana wanainuliwa juu!
Bishop yuko very smart na media, siko kila kitu ujibu. I like it.
Amen. Knowing you are together we have been praying for your union. The negative vibes were blow to most of us Christians. The devil is defeated. Much love from Kenya
But when compromise knocks...
MUNGU AKUPE MEMA ASKOFU
WANAUME WOTE WANGEKUWA
KAMA WEWE MBINGU MPYA
NA NCHIMPYA TUNGEIHITAJI
BADAYE MNOO, BARIKIWA
BABA.
Nina jambo la kusema ila siku yake ikifika nitasema.
Mengi yanasemwa. Mengi yametokea.
Kimya changu pia ni jibu
umemukosea saana mumeo nenda kainaame chin yamiguu yake uombe msamaha aachilie baraka zake kwako Ili muwe wamoja
hata kama amefanya dhambi samehe endelea namaisha yenu coz hata we unamakosa mengi saanaa kutendo chakukaa mbali namumeo mda mrefu unamkosea mume pia unamkosea MUNGU
but kumbuka hao wanaokutia akili mpya. hawawezi kufanana namtu aliyelea kipawa chako ukiwa hujulikana namtu mpaka wamekujua ukiwa tayari umeibuliwa acha dharau .
Sema bhas tunasubiri natamani sana kujua…..
Kabbisa mydear 😊😊🎉
Missed you mydear 😊
Love for Christina and Bishop all the way from kiambu kenya
Mungu azidi wainua mr &mrs Shush. Kazi nzuri sana mnazifanya kupanua Ufalme wa Mungu.
Utukufu apewe Mungu
Sauti ya Mme nzuri....ni ya kiume Kweli.... Hongera Sana Mtumishi wa Mungu....
Stop male masculinity
Ckuwah kumjua mume wake😘
Asante papa bishop juu ya kumuchukulia muke wako kimaombi mungu akuzidishe na akupe guvu
Ngoja yesu aludi mtaona,aliyetumwa na Mungu ni nani,mtumishi upo vizuri wengine watakuchelewesha mtu utamjua vizuri mwishoni
I say niliyoyasikia kuhusiano na ndoa ya Christina nimeamini sio kweli. Jinsi nili vyompata huyu B shop, mume wa Christina, najifunza zaidi watu. Wanaongea saana mambo wasiyoyajua na tuepuke kushiriki dhambi za wengine uongo ni dhambi inayotawala duniani tumuogope Mungu. Hongera watumishi wa Mungu, nawaombea mtimize kusudi la Mungu alililowekea duniani. Muda wa hapa duniani ni mfupi sana mbinguni ni milele. Mbarkiwe sana.
Loads of Wisdom from the Bishop. Blessings to You Sir and your wife. Much love from Kenya
The best presenter wa viwango vya kimataifaaaaa....Suzzet😍😍
I agree.
You will always be the Queen of the Gospel, Christina! Barikiwa!
Christina akiwa Queen Rose Muhando atakuwa nani?
"Mchango wa Kwanza no maombi" jamaa Makini Sana..shusho alipojichanganya jamaa alitulia Tu..shusho akasema "amekaa pembeni nae coz eti ni assignment maalum" jamaa anendelea kusema kua ninkumsaidia kumjua mungu zaidi..wanawake waimba injili wengi wanarubuniwa na hao wanaowaita mameneja wasio na hofu ya mungu ndio wanaosababisha kudharau Waume zao..top 5 ya waimba injili wote wamekimbia ndoa zao..it's weird..huyu jamaa nilijua Tu kua no mchungaji wa ukweli sio kamawale wa mafuta na maji ya elfu kumi Lita moja..ngoja nikatazame nyimbo ya shusho inaitwa "NI KWA NEEMA" nimkumbuke hyu Baba mchungaji...
Aiseee uliandika….nimekuelewa umeniongezea kufahamu zaidi
Ndoa isiyofanya vizuri unastahili kutorokwa. Ndoa isilazimishwe. Maana sio lazima. Mtu yeyote awe mwimbaji, siasa wakili, ikiwa ngumu wacha
Qeen of Gospo is Rose Muhando
So,.Both of them are stop differentiating Gospel singers,
Muhando is queen of kurukaruka na kupiga kelele na sauti kubwa.
@@africanqueenmo acha wivu
Rose jembe
Mmmh yaani mwashindanisha watumishi mmepungukiwa kila kitu
Wow Bishop for your lovely God's wisdom.
Napenda busara zako baba barikiwa sana
Wanazingua sana Mungu anaangalia mwisho na siyo mwanzo anamaliza vibaya
Napenda ville wahoji..also hongera Bishop.🙏🙏
Hongera Bishop
Bishop humble. Power couple. Mbarikiwe maadui washangae
Mungu alikupa mume mama jivunie
Sio Kila kitu ukijibu utachelewa katika safari yako❤
🙏hongera Sana baba kwa busara zako ubarikiwe
Barikiwa Sana Baba unahekima Sana hongera Sana
More grace to you Bishop
The blessed couple of Shusho! Love you! 🌻💐🌻💐🌻💐🌻💐
BABA SIKILIA MSIMAMO YAKO USIYUMBE MZEE UPO VIZURI MUNGU.ATAMSHUGULIKIA MKEO
Rose Muhando ndo queen of gospel
Both of them are vessels used by God that’s what is important.
Presenter anakipaji Cha kuzaliwa amazing!
But huyu .ni mzee saaana waaa😢
Blessing's baba pishop
Mungu hawatie Nguvu Sana Maana Neno linasema hatukufika Bali tunakaza Mwendo Jina la Bwana libarikiwe kwa kuwa pamoja
Kumjua mungu saidi
Wa TZ mkijua kizungu kidongo lazima mkifinye ndani ya sentesi.. haha..
Kuto kusoma pia ni mzigo pole sana.
@@filbertleonoratv1304 mm kujua kizungu ni ishara ya kusoma. 🤣🤣. Kutosoma kweli ni mzigo!
Pastor anakuambia poa😀😀😀
Use your hands less beautiful presenter
Mwanaume ni mwanaume tu lakini Shusho yeye karopoka huko htr
Kiswakingi, tusojua hiyo lugha tukaishi wapi
Mzee
😍
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏
Nisaidieyeko
Kalowa na mzee sana
Blessed
🤔if you use a language use it properly - no sense in mixing why the
Fake accent??? from the lady🤨
Kiswahili pls
Daaah!
Huyu mzee ndo anamiliki zigo, mmh shikamo pesa
Jamaaaani yaani wewe unaonaga zigo tu pale
Wameona kitambo Sana wakiwa vijana kama ni pesa wametafuta wote uyo shusho akiwa ajui ata kuoga akiwa ajui ata kupaka kichwa ragi au mafuta kama ni pesa wametafuta wote kawaida ya mwanaume uzeheka araka kuliko mwanamke Mtoto wao wakwaza ana zaidi ya Mika 25 SASA jiulize kama divio sushi alikua zamani wacha kierehere
Baraka tele
🌟🌟🌟🌟🌟
E
Blessed