"NILIFUNGWA MIAKA 30 BILA KOSA, NIKAPATA KISUKARI, RAFIKI ALINIPONZA" | TESTIMONY
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- "NILIFUNGWA MIAKA 30 BILA KOSA, NIKAPATA KISUKARI, RAFIKI ALINIPONZA" | TESTIMONY
Ushuhuda wa kijana aliyehukumiwa miaka 30 jela kutokana na makosa ya rafiki yake na baadaye kutoka kwa ruhusa ya Rais John Magufuli.
Ushuhuda wake unamafunzo mengi hasa kutokukata tamaa katika safari ya maisha.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_y...
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globa...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusiv...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Hiyo ndio nchi yetu ilivyokua, uonevu mpk basi, kwa ss tumshukuru Mungu mzee baba yuko makini Muheshimiwa wetu mr Magu💪
Simnge weka hata mawasiliano yake ili hata tumchangue kidogo za dawa na hata biashara kidogo😞
Daaa🙆jera kwakwer Uskiye Tu 😭pole Sanaa kaka Angu kwachangamoto 🔥Mungu Atakupigania🙆
Maskeen pole sana kaka yangu Mungu Mkuu
Pole Sana
Pole Allah akufanyie wepesi
Pole sana kaka
Kaka pole sana serekali ikulipe tu.hahna hatya.
Inauma snnn
Pole kaka Allah atakulipaa kwa kila jambo
mtihani mkubwa sana
Pole sana sjahawahi kuona😥 mwenye haki ameachwa na MUNGU🙏
⁰ppĺ⁰⁰⁰ said ĺ⁰⁰l⁰⁰0⁰lpl0p⁰pp0l0
Wamekudhulumu na mungu atawahukumu wote walokudhulumu
Sooo sad 😔 😭yani inauma sana kwakweli angekuwa ulaya asingefungwa hivo na wangemlipa muda wake wote aliopotezea jela pour africa pole sana
Mtihani mkubwa sana 😢😢😢
Sass apo mmemsaidia nn angeyoa namba ya Simu
Dunia hii dah!
Ad nimetokwa na machozi
Ulizaliwa 1976 kwa hiyo ulifungwa na miaka 14 kama ulifungwa miaka 30 Sasa unassmaje ulipofika miaka 20 ukaanza biashara?
Amefungwa 2000
tanzania sheria mbovu uchunguzu wa police mbovu
Tanzania hii...huna hela u can't survive..keai ya kijinga namna hii auntakuwa mzalendo kwel na nchi hii??