NABII MKUU AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KWA WATOTO, AWABARIKI NA KUWASAIDIA FEDHA - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2022
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
unanibariki sana Baba Yangu Nabii Mkuu naomba Mungu wako anipe moyo kama wako wa utoaji Na Mungu akubariki sana
Baba Ni Baba tu ana moyo wake wa kipekee Mungu akupe maisha marefu Nabii Mkuu Dkt GeorDavie
Mungu azidi kukubariki sana Nabii Mkuu Mungu azidi kukupa Miaka mingi sana ya kuzidi kuwasaidia watanzania na Dunia kiujumla
Wewe ndie nabii mkuu wa Mungu hakika ni mfano wa kuigwa Mungu azidi kukuinua siku zote za maisha yako
Binafisi nakuombea Mungu akupe maisha marefu na baraka tele 🙏
Mungu akubariki sana Nabii mkuu,aendelee kukutunza huyu Mungu aliyeziumba mbingu na nchi.
Amupe maisha marefu baba hatawanadamu watasewa vibaya mungu yupo matendo Yako baba nimazuri siyowote wanafanya kamahivo unavyosayidiya mungunjo atakuripa baba urivyo fanyiya duniyani utaripwa na mungu
Kazi nzuri sana hii...MUNGU AKUONGEZEE ZAIDI NA ZAIDI..
Kwel Baba Geordavie Mungu akubariki na uwe mfano kwa kila mtumishi wa Mungu.
Baba wewe ni Wajabu Kabisa. Hauna Pacha la lako. Wewe ni wa kipeke Sana. Wewe ni msaada wa Wanyonge na sisi wa Tumishi wa dogo. 🇧🇮🇧🇮 Tuko na wewe Baba Nabii Mkuu GeorDavie
Mungu akubariki Nabii mkuu wewe nimfano wakuigwa watumishi wengine wao kuangalia sadaka tu
So touching God keep you our dearest Father Hon Sn Prophet Dr GeorDavie 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🖊️🖊️🖊️🖊️
Hongera Kwa moyo wa huruma, na kutoa!
My super hero dady I love u unanifundisha mengi sana utoaji nikitu kikubwa sana Barikiwa Baba
Mungu aendelee kukubariki Sana na akuzidishie uwezo ulionao uzidi kutuomea nasisi baba
MUNGU anawatu na watoto wake na wewe ni MTOTO wakwanza ndiyo maana unatembea katika njia za BABA yako barikiwa sana sana
Asante sana mwenyezi Mungu kwa zawadi hii ya Nabii mkuu, God bless more brother,unafanya unique kindness
Nabii MUNGU akuzidishe kwa huduma hiyo kwakweli tena sana
Mungu aendelee kukutunza baba na kubariki huduma unayotoa kwa watoto wako baba hakika nauna mkono wa mungu kwako baba
Zawadi ya watanzania nabii mkuu mh Dr geordavie hajawahi tokea Tanzania huyu ndo wa Kwanza usipokumbukwa Kwa unabii utakumbuka hata Kwa sadaka 🥰🥰🥰🥰
Asante baba mungu azd kukubarik
Mimi sisali Kwa nabii lakin Mimi napenda anasaidia watu sanaaaa Arusha ndo nabii naona anajalii watu
Mungu akupe maisha marefu hapa duniani kwa utukufu wa jina lake takatifu 💪🇹🇿💐🇹🇿🌸 hakika wewe ni nyota inayong'aa Tanzania 🇹🇿🙏
🇰🇪 Uyu ndo Nabii wa MUNGU imeniguza Sana barikiwa Sana Nabii wa mataifa🙏🏿🙏🏿
Mtumishi wa MUNGU NABII mkuu MUNGU akubariki sana sana umekuwa ukigusa maisha yawatu sana hii nizaidi ya upendo wao uko tofauti sana
Nakushukuru sana BABA Umetufaa sana MUNGU akuepushe na mabaya wote tuzidi kukuona na kupata huduma kutoka kwako ,Nakushukuru sana BABA🙏🙏
Nakupenda sana nabii nimekosea nauri tu siku moja ningekuja kanisan kwako kupata ukombozi
Mungu akubariki sanaaaa nabii geodavie kwa kujali watoto
Mungu yupo naww kwel kwel
Asante sana mtumishi wa Mungu
Asante sana Nabi kazi munafanya mungu azidi kubariki
Asante sana Baba Nabii mkuu Dr GeorDavie. Kwa kuwahudumia watoto kifedha na kiroho pia. We are so blessed to have you.
I love you ❤️ Nabii I have never been to your church but you touch me in a different way
Hongeraa nabii unafanyaa kazi nzurii.mtumishi wa mungu
Viva mh nabii mkuu Baba yangu mungu akuepushie na mabaya yoooote akupe kila uzuri na kila jema ameen
MUNGU azidi kukubariki Mtumishi wa MUNGU,
Kuna watu watabeza sana ila huyu mtumishi wa Mungu ni baraka na mfano kwa watumishi wa Mungu
Mungu akupe maisha marefu nabii Mkuu uzidi kuwaudumia watu wa Mungu
Asante baba mungu akupe baraka tele
Be blessed father,.
Amen mkuu mngu aku bariki amen amen
Wau yote kwa Mungu wa baba yetu yawezekana ufadhiwe milele amina
Mungu akupe maisha marefu sana baba
Mungu akupe maisha baba
Mungu akupe maisha marefu sana🙏🇹🇿
Hongera mtumishi Kwa msaada!!
Mungu akuzidishie hekima
Nakukubali kwakweli Mungu Akuongozee sana kwakwel
Amen baba uzidishiwe
Merci papa
We love you dad ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️.... More life daddy
God bless you Papa,but sijui kwann kila nikiangalia video zako natokwa na machozi ya furaha.
Baba kama Baba ubarikiwe maradufu in Yesus Christ name
Great
Amina
Shalom 🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Namkubal sana Baba Daaah
Amen
Àsante sana jamani baba
Ndiomaana amekupandisha juu juu sana
Hakuna kama huyu BABA karne hiii❤️❤️❤️❤️
Mwambie baba nabii mkuu Namkubali na siku nikifika Tanzania Lazima nifike kisongo
MUNGU akubariki nabii mkuu kutoka serikali kuu mwenye mamlaka
🙏🙏🙏
🙏🙏🙏💯💯💯
🙏🙏🥰
Hakika wewe unatumika sana na mungu
Tena nisisikie mtu akimsema vibaya huyu baba .Wengi huwa tunajisahulisha wema aliletwa na mungu Magufuli tukabeza alipoondoka tukajilaumu wakati alipokuwepo tukambeza tubadilike mm naomba ndugu zangu Mungu katupa huyu baba tumuombee tumshukuru sana. Ahsante Mungu kwaajili ya mpakwa mafuta wako
Kweli"kaka
Real
👩🎓👨🎓👩🎓👨🎓
💞💞💞💞💞❤️❤️❤️❤️❤️❤️💕💕💕💕💕
So nice baba
MUNGU akupe nguvu Zaid baba
MUNGU ana kusudi kubwa na wewe kwawalio sahaulika
Gd
Baba naomba unilibie watoto wangu Kwa sai Sina kasi
Yaan mm sijawah mpenda mt kama nabii Joe Dev natama hata kufk kwake jaman
Naombeni.namba za nabii jamani
😲😲😲🤔🤔🤔🤔🤭🤭🤭🤭 BABA
MUNGU AKUBARIKI KWA KUANGALIA MAHITAJI YA WATU
Huu ndio utumishi uliotukuka kama TB Joshua wa Nigeria🙏🙏🙏
Wazazo wa hawa watoto jmn kumbukeni bure inauwa
Baba ukiwapa hao walimu wanakula
Kwa kuwa MUNGU AMEKUTUMA KWA HAWA watoto..naamini UTAZIDI KUBARIKIWA MTU WA MUNGU.NIMEJISKIA FARAJA SANA SANA JAPO NINA SHIDA
Huyu mwamba ni jiraniyangu,anapesa yakutisha
Biblia hakuna sehem. Iliyoandikwa nabii mkuu. Najua. Nabii. Mkuu. Ni mungu peke yake anaitwa mungu mkuu basi hakusi kuwa nabii mkuu wengine wote ni karama za kinabii .nawenine hupewa huduma ya dabii watendakazi wa yesu wote.hakuna aliyeitwa no nabii mkuu. .huku ni.kujikweza. ubarikiwe sana kwa utoaji .nabii
Wapi kwenye Biblia imeandikwa Mungu ni Nabii. Mungu ni Mungu tu hana sifa nyingine kama hujui Biblia kawadanganye wengine na ukafie mbali.
@Marco Kilale tafuta.palipoandikwa. Nabii mkuu. Wa. Manabii. Utuonyeshe
Yohana. 10;29. Yesu alimwita .baba mkuu hicho cheo an ni.cha.mungu. .hakuna biblia.iliyo.andikwa..nabii.. mkuu...nabii .ni .nabii ..huwezi.kuongeza.neno no tena..yanayoendelea. Yanatoka. Kwa. Ibirisi
Nabii mbona una bodigadi..?
Kwani hatakiwi kua naye?
@@Sheba4651 sina maana iyo ila mimi kwa uelewa wangu.nabii ana lindwa na mungu au wafuasi wake sasa bodigadi kweli..???labda kwa manabii wa sasa ivi.
@@erickjmgema3923 kaka ata wewe naamini unasali na unalindwa na Mungu....kwanini kuna mlango nyumban wenye komeo na uliondoka wafunga kwa funguo? Je huna imani?
@@kakanicodemus3632 🤣🤣🤣🤣mlango na nabii ni vitu 2 tofauti..kaka em tuishie hapo..maana kila mtu uwa ana mawazo yake..kazi njema kaka
@@erickjmgema3923 😂😂😂😂😂, dhana ni kuwa unahitaji ulinz pia wa mwili endapo unahic una vitu vya thamani kama fedha au una maadui wa kimwili ...... vya rohon Mungu anafanya , vya mwilin vilivyo ndan ya uwezo wetu kuvifanya tuvifanye sijaona ubaya
Hakika wewe ni baba
Amina