#TAFSIRI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2019
  • Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!

ความคิดเห็น • 21

  • @goodluckroben6220
    @goodluckroben6220 5 ปีที่แล้ว +12

    Baba uko vizuri mno mungu aendelee kuwa pamoja na we we.

  • @malkiabintmfalme8682
    @malkiabintmfalme8682 5 ปีที่แล้ว +18

    Kwanini sikukufahamu mapema Baba, rafiki yangu juzi mwezi WA kumi na mbili alinieleza kuwa anaota Mara nyingi anakimbizwa na mfuu,, na kipindi hicho alikuwa analinda makabur ya mashujaa huko mtwara,alikuwa mwanajeshi,, basi mi nikamwambia kwa Hizo ndoto zinatokana na mazingira unayofanya kazi,, basi hyo ikapita,,, amini usiinimi juzi mwezi WA tatu alipata ajali akafariki,, rip Deo,, sijui ni pepo gani lilinifunga nisikushauri uende kwa maombi 😠😠 nimekumbuka mbali sana kupitia somo hili

  • @lameckysulumbi4727
    @lameckysulumbi4727 5 ปีที่แล้ว +11

    Nimebarikiwa sana kwa kusikilisa somo zuri kabisa la tafsiri ya ndoto. 💞💞

  • @magnifiquentkrtmna320
    @magnifiquentkrtmna320 5 ปีที่แล้ว +11

    Jameni kweri Mungu wetu anazidi kutufundisha kupitia wewe. Baba tunakusifu ututemberee burundi tupate uponyaji

  • @gracejulius5000
    @gracejulius5000 5 ปีที่แล้ว +6

    Aaaa,kwakweli namshukuru MUNGU sana kwa ajili yako Mh.Nabii,najifunza

  • @mengimussa2022
    @mengimussa2022 5 ปีที่แล้ว +5

    Kwa kweli huyu Mzee yuko vizuri haya ndio mambo yamafundisho tulikua tunayatafuta makanisani kwa muda mrefu lakini hatukusikia kwakina zaidi hata tukabaki NJIA panda ubarikiwe nabii wa bwana naamini umeandaliwa kulituliza kabisa katika roho yakutanga tanga kama yatima may God bless huduma hii izidi MWENDA mbali nakupenya mioyoni kwa watu wako.

  • @samwelmollel3376
    @samwelmollel3376 5 ปีที่แล้ว +6

    Nabarikiwa baba

  • @aidanongole9341
    @aidanongole9341 5 ปีที่แล้ว +10

    AMEN.

  • @eunicekimani2014
    @eunicekimani2014 5 ปีที่แล้ว +7

    Thanks I believe that dad

  • @bahatimtiesa8447
    @bahatimtiesa8447 5 ปีที่แล้ว +7

    Thanks so much prophet for this teaching am blessed

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 ปีที่แล้ว +2

    GEOR DAVIE UKO POUWA SANA KWENYE KICHWA .UNAFUNDISHA VITU VIKO POUWA SAWA

  • @nervawatson606
    @nervawatson606 5 ปีที่แล้ว +15

    wapendwa naomba msaada namba ya mtumushi na mahala anapopatikana tafadhari

  • @esperancentakwinja9344
    @esperancentakwinja9344 5 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akubariki sana

  • @malkiabintmfalme8682
    @malkiabintmfalme8682 5 ปีที่แล้ว +4

    Thanks Papa

  • @tumaininzunda4842
    @tumaininzunda4842 5 ปีที่แล้ว +5

    Mafunzo mazuri

  • @paulmbilu4004
    @paulmbilu4004 5 ปีที่แล้ว +5

    Nabii mkuu Tz ubarikiwe mno

  • @jumahahahaanihatarmabina724
    @jumahahahaanihatarmabina724 5 ปีที่แล้ว +3

    Major prophet.

  • @paschaltsaxara2474
    @paschaltsaxara2474 5 ปีที่แล้ว +4

    namwelewa nabii

  • @sailiceraphaelkomba790
    @sailiceraphaelkomba790 5 ปีที่แล้ว +8

    Naomba namba ya Mchungaji angalau nishiriki maombi naishi Kilosa

  • @GeorDavieTV
    @GeorDavieTV  5 ปีที่แล้ว +41

    WhatsApp/Piga namba: +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu. Kwa iPhone au Android Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com

  • @evanskevogo1502
    @evanskevogo1502 5 ปีที่แล้ว +4

    Nafraiah huduma