Asante roho mtakatifu kuniongoza kusikia haya maombezi Yani nilikuwa sipati wateja kabisa lakini kupitia maombi haya ya biashara MUNGU amenitendea Yani jana nilipata wateja wengi sana mpk wengine nikashindwa kuhudumia. Nimeona ukuu wa MUNGU Kwenye biashara yangu 🙏 Asante sana pastor GODWINI MUNGU azidi kukubariki na akuweke kwaajili yetu 🙏 Amina
Asante mtumishi wa mungu kwa maombi yako mungu akubariki naomba uniombee Juu ya kazi yangu mungu akaniweke Juu zaidi na anipe wateja wengi nikawe wa viwango vya Juu kwenye kazi yangu mshara ukaongezeke kwa jina la yesu amen
Baba bariki biashara yangu nipe kibali katika biashara yangu na unipe neema ya kuwapata wateja watakao jiunga na mm wape wepesi wa moyo nakataa roho ngumu kwao katika jina la yesu Amen 🙏
Naomba Mungu unipe wateja wengi kama mchanga wa mahari kwenye biashara yangu na Kila bidhaa ipate wateja .....naona wakimiminika bila kukatika kwa jina la Yesu kristo Amina🙏🙏🙏I believe🤲🤲
Asante bwana yesu kwa siku ya Léo nimeweza kuomba kwa nguvu zako nitazidi kukuomba kwa Kila siku uweze kunipa Baraka njingi kwa nguvu zako asante bwana yesu❤
Praise God pastor,niko na deni nyingi inafika millions niombee inanikosesha amani kabisa
Amen, roho za mdeni, roho za kichawi, roho za kufirisika, roho za magonjwa nakataa kwa jina la yesu
Naomba mungu anifungulie njia niweze kusaidia familia yangu katika jina la yesu kristo
Mungu bariki kazi za mikono yangu funguwa milango ya baraka iliofingwa juu yangu ikafunguke kwa Jina la Yesu Kristo Amen 🙏
Asante roho mtakatifu kuniongoza kusikia haya maombezi Yani nilikuwa sipati wateja kabisa lakini kupitia maombi haya ya biashara MUNGU amenitendea Yani jana nilipata wateja wengi sana mpk wengine nikashindwa kuhudumia. Nimeona ukuu wa MUNGU Kwenye biashara yangu 🙏 Asante sana pastor GODWINI MUNGU azidi kukubariki na akuweke kwaajili yetu 🙏 Amina
Mungu ulie mjibu huyu na mimi unikumbuke kwa jina la yesu
Nami mungu unitembelee kwenye maombi yangu
Mungu bariki ka ya mume wangu Amen
Asante mtumishi wa mungu kwa maombi yako mungu akubariki naomba uniombee Juu ya kazi yangu mungu akaniweke Juu zaidi na anipe wateja wengi nikawe wa viwango vya Juu kwenye kazi yangu mshara ukaongezeke kwa jina la yesu amen
Baba bariki biashara yangu nipe kibali katika biashara yangu na unipe neema ya kuwapata wateja watakao jiunga na mm wape wepesi wa moyo nakataa roho ngumu kwao katika jina la yesu Amen 🙏
Amen naomba mungu niongoze niweze kupata kazi leo hii zije kazi 2 ivi tuweze kuondoka mm na mwenzangu kwa jina la yesu amen🙏
Napokea Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 amen
Amen baba Mungu nifunguwe mimina uzaowatumbolangu wabitiwangu wakapate mandowa n’a visa y’a Canada naungine apate cotret kwakazi anayofanya kwadamuya yesu naMungu abarikikazi yamikono yangu kupitiya jinala yesu crsto
Mungu nakuomba ukanionekanie wikii hii ni itwe kazini naomba nikiamin amen
Naomba Amani katika jina Safi la Yesu
Ashanti kwa maombi ungu Mungu afungue milango ya Baraka tubarikiwe.Amen
Naomba Mungu unipe wateja wengi kama mchanga wa mahari kwenye biashara yangu na Kila bidhaa ipate wateja .....naona wakimiminika bila kukatika kwa jina la Yesu kristo Amina🙏🙏🙏I believe🤲🤲
Bwana Yesu bariki kazi yangu baba naomba Unikubuke namie jehova🙏🙏🙏
Amen Amen nachukuru kwamaombi mutumishi waMungu rohozakigaga nakichawi ziniachiliye mimi nawatoto wangu kwa damuyayesu
Baba Mungu naomba ubariki kazi za mikono yangu kwa jina la yesu kristu wa nazareti
Namuomba mwenyez mungu anipe kazi nzuri boss mzuri na mshahara mzuri
Amen baba Mungu nikumbuke Namimi nafamille yangu
Napokea kufunguliwa kibiasha Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameeni Mungu nahitaji ulinzi wako katika kazi nitakayoifanya kesho na keshokutwa nimalize salama
Amen napokeya kwa jina la Yesu chriti
Roho za madeni nazikataa katika jina la yesu
Mungu wangu bariki kazi ya mukono yangu,manyiyo iendeleye Siku zote
Ahsante kwa maombi
Mungu anisaidie
Amen
Bwana YESU asifiwe sana mtumishi wa MUNGU naomba nifaulu bilan kurudia mitihani wowote
Mungu afungue milango ya pesa naawalete watenja kwenye Dukan langu Amen
Mungu naomba ubariki biashara yangu nipate wateja nakila ninaye mdai asiwe amani mpaka amenilipa kwa jina la yesu
Amen mtumishi wa mungu mungu akubariki kwa maombi yako
AAmen Amen barikiwa mtumishi wa Mungu
Napokea kufunguliwa kwa biashara kwa jina la yesu amen
Naomba kibali kikubwa Juu ya kazi yangu na nikawe Nuru ya bwana yesu kila mahali amen
Mungu Wangu na Baba Yangu Bariki Kazi ya Mikono yangu
Thank you pastor for your night prayer. Pray for my marriage we can't sleep together. God bless you.
Naomba nipe kibali kwa mkuu wangu mpya sehemu ya kazi kwa jina la Yesu
Naomba mungu anibariki kwenye kazi yangu niweze saidia nawengine
Napokea Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏
Asante Yesu nimepokea nguvu ya kumiliki na kutawala kiti
Mungu fungua biasharazangu rudisha biasharazangu zote zilizoibiwa na nguvuzagiza leo warudishe mara100 katika jinalayesu
Mungu a bariki kazi yangu ni pate watenja
Mungu naomba nijalia nipata kazi nikatunza familia yangu
I receive I receive I receive I receive I receive I
Mungu bariki kazi ya mikono yangu
Amen. Fungua watenja tangusasa eh Baba
Naomba mungu anifungulie milango biashara yangu aina wateja
Barikiwa sana mtumish wa Mungu
Bwana YESU asifiwe sana mtumishi wa MUNGU niombapo maombi hayo MUNGU kiukweri anajaza wateja wengi YESU asante mbarikiwe saana mtumishi wa MUNGU
Naomba mungu ainuwe biashara yangu amen
Mungu naomba nikamate utawala katika kiti ninachokalia
I receive I receive I receive I receive
Amen 🙏 God bless you
Asante Sana sijawahi kuombea biashara yangu Kama ivi,Nina Hali mbaya siuzi naomba uniombee,
Mungu niinuwe katika maisha yangu 🤲🤲🤲🤲
Amen Amen I receive I receive I
Aminaaa barikiwa mtumishi
Baba Mungu naomba nea ya kuwa na hekima
Amen 🙏 thank you pastor 🙏🙏🙏🙏
Asante babá yesu kwa kuomba na ninaaomba nifanyikiwe kwako AMe
Asateee mtumishii kwa maombii mery kyara
Ameen
Ameen mtumishi Asante
Asante sana pasta amen
Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe naitwa Elisha athuma mfuru Niko mwanza napatikana mtaa wa karuta
I receive I receive I
Mungu hanijali nipata kazi nilizomba nikafungulia mm makeba
Naomba mungu nipate wateja sahii wenye fedha
mungu baba naomba unibaliki na Mimi🙏
Amen mtumishi
Amen Amen Amen and amen 💖💖💖💖💖💖
Mungu abariki kazi yangu anipe kibali
Asante kwamaombi baba
Amen ireceive in jesu name amen amen
Amina na mimi napokea
Amen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Amen amen
Amina mtumishi
Amina
kwa Jina ni Ann asante kwa maombi mu
Nazidi kuomba mung u yupo utanitetea maisha yang u yakazi
Amina 🙏🙏🙏
Amene
AMINA
Baba niombee nfankiwe kwenye biashara yangu kilankipanda nashuka nabat yakupewa pesa ilasfanyichochote
Amen 🙏🙏
Glória a Deus
Asante bwana yesu kwa siku ya Léo nimeweza kuomba kwa nguvu zako nitazidi kukuomba kwa Kila siku uweze kunipa Baraka njingi kwa nguvu zako asante bwana yesu❤
Roho za madeni ziondoke katika jina la yesu
Amen🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba maombezi ya biashara yangu ya salon mery kyara
Amen amen bariki kazi ya mikono yangu
Ameni naomba uniombee nipate kazi
Amen ameni mtumishii
Pastor pray for me please
Napokea kwajina layesu nyota kaziyangu naitaji baraka zamungu
Mungu.akatende kwa ck yangu ya leo
Anashukuru
Power
Emen emen 🙏🙏
Asatee kwa maombi mtumishi
Ameen
Mm naomba uniombee ninauza sola lakini sipati wateja
Ameeeeen🙏🙏🙏
Ameeeeeen