Kwa mtazamo wangu Dj Sma upo smart sana huo utambulisho uliotanguliza kwamba ni mwanafunzi umeenda kujifunza binafsi nimekuelewa tena nimekuelewa kweli na napenda hiyo mentality.nice,nice,nice,kweli mwanafunzi lakini kila master wa kweli yupo hivyo,big up sana.
@@kevinmary7129 MJINGA WEWE UNAEITWA KONDOO NA UNAKUBALI NA WAKATI WEWE NI BINADAMU SASA VP USHAOLEWA?? AU UNANGOJEA NINI WAJANJA WANATAKA UWOLEWE RASMI NA NDEVU ZAKO KONDOO MWEUSI WEWE.
I like everything guys u say. This is very good show my people's. Dio vipindi tuna taka ivi. Tuna juwa ukweli wa dunia. Sio kila siku mambo ya umbeya atu saidiye kitu shoshote. Mambo niaya sasa. Ukweli kuhusu dini, mambo kuhusu siasa. Very nice🇧🇮🇨🇩🇷🇼🇳🇬🇸🇴🇿🇦🇹🇿🇿🇼🫵🏿👊🏿 let pray for Africa peace and love ❤️
Dj sma unaongea kwa fakti, ukweli na haki. Mungu akuzidishie hekma na busara. Halafu napenda uvyojishusha yaani sio mjuaji. Allah akuzidishie elimu yenye manufaa
Hongereni sn nimejiufunza mengi na fikiri kwenye ubongo wangu nimeingiza kitu kipya ilikua natamani kujua mambo hayo natamani kujua Dunia na nimpenzi wa history " leo nimefurahi mno kujua hivi vitu " nitanunua kitabu na Flash kama mnayo " Tanzania inajivunia nyie " naomba serikali iwatumie hasa kwenye masuala ya kidiplomasia na mikataba " mtasadia sn
Nashukuru sana Sky pamoja na Dj Smaa hakika nimeenjoy sana kuwasikiliza kutoboa masaa mawili sio kazi rahisi, pia operesheni Ukraine inabidi mrudi mezani bado hatujashiba nayo kabisa hongereni sana
Hengereni Sana sky Nyerere DJ Sma ila neno langu siku nyingine video kama hii muweke part 1 na 2 na 3 hata 5.itakuwa poa sana mkipost kama hivi watu wengi wana kimbia kusikiliza sababu ni ndefu Sana.
Mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imekuja msujudieni Yeye Aliye zifanya Mbingu na nchi na bahari na chemchemi za maji👉 Ufunuo 14:7 yote hayo nidalili zakuja kwa Yesu mara ya pili hivyo niwakati Wa kumwelewa Mungu katika alama yake ya Uumbaji nakujianda kumpokea Kristo Yesu ajapo mara ya pili Hebu tusikubali kubaki bila kuchukulia hatuwa kama maandiko yasemavyo Mungu anatutaka wote tuokolewe Hebu tumwendee🙏
Haya mambo ya ndoto ni uongo Mungu gani anakuahidi kukupa sehem ambayo tayari ina watu wengine.inamaana mungu hakuwapenda hao waliokuwepo akaigawa ardhi kwa watu wengine kwa njia ya ndoto?? Both parestina na islael wakae chini wakubaliane,watu wanapoteza maisha.
DJ SMA Umesema Palestina wanaonewa unaweza kutuambia alieanzisha uchokozi ni nani?, au ulitaka Israel wapigwe mabomu 2000 halafu wakae chini wacheke ili wasionekane wakatili?
aya madini yaliyoshushwa apa ata c elew niyaweke wap ii combination ni 433 🔥 dj sma proud of you broo 🙌💯
Kwa mtazamo wangu Dj Sma upo smart sana huo utambulisho uliotanguliza kwamba ni mwanafunzi umeenda kujifunza binafsi nimekuelewa tena nimekuelewa kweli na napenda hiyo mentality.nice,nice,nice,kweli mwanafunzi lakini kila master wa kweli yupo hivyo,big up sana.
Wana vitu vizuri
Zaid ya saaan
Jamaa alikua mwanafunzi wa dj tasi Savanah lounge, Sema huyo yericko mashauzi sana mbutu kwetu tumezLiwa leo pamekua uswahilini
@@charlesfrancisthomas4898sasa kama ni ni uswaihilini asiseme 😂😂😂 we vipi 😂
This is the best discussion I ever had in my life.... From Zanzibar
Upuuzi na ujinga wa kidini/ religious foolishness
waaarabu wanaujinga sanaaanaaa wahame warud makwao kwenye nchi za mababu zao wahame tu waislamu DJ ni mjinga sanaaa religious foolishness
Kabisaa
@@kevinmary7129 NA PALE PALESTAIN NI KWA BABU YAKO??? KONDOO MWEUSI WEWE
@@kevinmary7129 MJINGA WEWE UNAEITWA KONDOO NA UNAKUBALI NA WAKATI WEWE NI BINADAMU SASA VP USHAOLEWA?? AU UNANGOJEA NINI WAJANJA WANATAKA UWOLEWE RASMI NA NDEVU ZAKO KONDOO MWEUSI WEWE.
Great interview ever.! Thanks guys for opening up our minds.! Kaka Sky you are the best, thank you for bringing these guys together.!
Dj sma u really made me proud..u are indeed makes u point in a decent manner
Asante sana sky ,tunakupenda sana vipindi vyenu sns...I started following this Chanel since 2019.i love it 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
Dj sma shukran. Mungu azidi kukupa elimu yenye kher na manufaa. Unamadini yakutosha
Allahumma Amiin
Jamn hawa jamaa ni nomaah nmesubir tangu jana❤❤❤❤dj smaa ni noma pia
Very nice discussion , Heko nyingi sana Kaka Bundala huyu Dj yupo vizuri saana
Best conversation I never see 🙏 Asante mr nyerere,sky,and DJ Sma.
JAMANI COMBINATION YENU ❤ YA WATU WATATU, SKY, NYERERE NA DJ SMA DUH MTAFUNGUA WATU WENGI KIUFAHAMU MKIWA HIVYO HIVYO NDUGU 👍👍🇹🇿❤️
Wow! Marvellous 🙌 Sky, keep this guy, Y Nyerere, Madini yake ni muhimu sana kwenye jamii. Bravo 👍
Hapo amekoseka moja prof jamar April(wasafi tv) ❤ djsma yerico nyerere ingekuwa utatu mtakatifu hongereni kwa kazi nzuri
Wht a beatful discussion....I love this. Keep it up sky
DJ smaa and mr Nyerere well done thanks very much all the gays around the great story
Noma sana aisee..kuna watu wanaijua hii Dunia salute kwenu sns mko levels ya juu sana..
Nimenufaika sana na maongezi ya Ndugu Yericko Nyerere. Kitabu cha Ujasusi nakihitaji saaana ❤❤
I like everything guys u say. This is very good show my people's. Dio vipindi tuna taka ivi. Tuna juwa ukweli wa dunia. Sio kila siku mambo ya umbeya atu saidiye kitu shoshote. Mambo niaya sasa. Ukweli kuhusu dini, mambo kuhusu siasa. Very nice🇧🇮🇨🇩🇷🇼🇳🇬🇸🇴🇿🇦🇹🇿🇿🇼🫵🏿👊🏿 let pray for Africa peace and love ❤️
Dj sma unaongea kwa fakti, ukweli na haki. Mungu akuzidishie hekma na busara. Halafu napenda uvyojishusha yaani sio mjuaji. Allah akuzidishie elimu yenye manufaa
yani ndugu umeniongerea mawazo yangu .nkweli huyu jamaa anajua sana ila apendi kujikweza
Yeah, kwel hata namna anavyo approach hoja yuko smart kama jina lake
🤣🤣Yeriko angekuwa Muhaya, hakika tungepata taabu sana! Vinginevyo, 🙏👍👏!!!
😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Nimepata habari vizuri
Like 10k kwenye comment hii kwa ajili mwana wa SNS❤❤❤
like unazipeleka wapi kenge wewe ?
content aweke mwingine like upewe wewe ?
acha ushamba 😏
@@officialkamdudumbona povu sasa kwan lazima kama huwezi kausha
Mpe tu anachotaka huyo si ni Juma Mboga.
@@shenamtukufu1224 😁😁😁 kwa kweli ni juma mboga kenge huyo
interview imenoga balaa...very proffesional
Wayahudi ni Wayahudi, na wakristo ni wakristo
Alfu Redio fuln za jion zinawachambuzi Kama kina fuln Mungu wangu ona vichwa hv vinavyochambua vzuri hii kitu
Asante sana sky Dj sma
Dj smaa unanifurahisha sana hasa hapo ulivokutana na huyo jamaa Yericho Nyererw wallah ananikosha mie hasa kwa maandishi yake
imekuwa poa sana kuwakutanisha hao miamba wawili pamoja, it was very smarsh
Good wanafyuzi wakweli nimependa san iloveyou❤ from 🇧🇮👊❤️
Asee.. You guyz are great💪 Thanks much for yo time, you've really opened our thoughts 💯
waooooh,VIZURI SAAANA?HESHIMA YENU.FRUITFUL INTERVIEW
Hakika, huu makao umenishibisha! Ninatamani kuendelea kupata chakula kilichoandaliwa na wajumbe wa mkao huu. Hongera sana Sky!
Nice dj smaaa
Hapo kwenye kuabudu mizimu itakuponza. Mtafute MUNGU wa kweli kwa njia ya YESU
Yesu mwenyewe wayahudi hawamuelewi😂😂
Dj sma im your number one fun
Naam Huyu mr Yeriko yuko vizuri na wengine pia Mungu akubariki
Kama boss kubwa wetu kashasema kaja kujifunza, miee naaani hata nikose kuuelimisha ujinga, #wanafuse1 tupooo bro!.
Hongereni sn nimejiufunza mengi na fikiri kwenye ubongo wangu nimeingiza kitu kipya ilikua natamani kujua mambo hayo natamani kujua Dunia na nimpenzi wa history " leo nimefurahi mno kujua hivi vitu " nitanunua kitabu na Flash kama mnayo " Tanzania inajivunia nyie " naomba serikali iwatumie hasa kwenye masuala ya kidiplomasia na mikataba " mtasadia sn
Nyie vichwa ni noma kinoma Mungu awape maisha marefu,dhahabu sio dhahabu tu,kuna vitu au watu ni zaidi ya dhahabu
Nashukuru sana Sky pamoja na Dj Smaa hakika nimeenjoy sana kuwasikiliza kutoboa masaa mawili sio kazi rahisi, pia operesheni Ukraine inabidi mrudi mezani bado hatujashiba nayo kabisa hongereni sana
Kudos SnS
It was worth listening
Cant wait for next interview
Hengereni Sana sky Nyerere DJ Sma ila neno langu siku nyingine video kama hii muweke part 1 na 2 na 3 hata 5.itakuwa poa sana mkipost kama hivi watu wengi wana kimbia kusikiliza sababu ni ndefu Sana.
💯💯💯
Eriko big up brothers 💪
The Most Awaited Interview
One of the best best interview since mwaka umeanza.. Big up Sana SNS..
...sisi wanafuse tunaenjoy sana...hicho kitabu ninacho tangu 2021
Kweli kitabu cha Yeriko ntanunua..huyu jamaa ni smart
Sky $ Djsmaa na Nyerere safi sana tume enjoy xana mnatuludisha tarasani wazee kweli dunia pana xana DJ smaa 👍🏾
Asanten Sana Kwa Mafundisho haya mazur
Dj Sma anasema Leo nimekuja kujifunza uyu jamaa ni mtu smart sana
Eliko na dj mnatupa raha sana asanteni sana kwakuweka vitu wazi sana
Tupeni part 2 tafadhali......one of the best interview
Duuuh Hawa Jama nawakubali wanajuwa Historia, SALUT kwao
Nyie watu ni wakubwa sana MUNGU Awabariki sana.
Asante sana nimejifunza mengi na yenye faida kubwa sana
Wakwanza ku watch I love your content broh much love from Germany 🇩🇪 kenya girl loves your channel
Awesome! Thank you!
Mungu awabariki nimewaelewa Sana
Listening to this people I need to go for my memory check up. Memory yao iko juu xnaaaa.
...Big up sana Sky unajua kutafuta content..
Safi sana ...
Vipindi poa sana
Hii ni combination kali sana ya vichwa vitatu hivi irudiwe✊ila msimsahau mwnangu #jimmy_chansa
Dj sma upo vizuri, Shukran sana.
Big conversation Zaid y BBC
❤
Hakika yericko uko vizuri sana natamani kuwa kama ww elimu uliyo kua nayo@ Dj sma huyu msomi kwa nini asifungue chuo
Asante Sana Kaka zangu kwanielewacha 💯👌👌🇨🇩🇿🇦
Kama unamkubali uyu dj sma gonga like hapa,,
Maana kichwa chako ni kimejaa mavi
Sns Leo mnatisha sana.
Big up sana sky nipo pamoja na wewe
Nilichogundua Nyerere ni mzuri kiuandishi lakini kuelezea hapana....Huyo jamaa mweupe huyo mzuri kuelezea apewe sikio ana vitu....... Nyerere aendelee kutuandikia Fr Bundala aendelee kutusomea sie tuendelee kusikiliza SNS
DJ smaa mashaALLAH
Mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imekuja msujudieni Yeye Aliye zifanya Mbingu na nchi na bahari na chemchemi za maji👉 Ufunuo 14:7 yote hayo nidalili zakuja kwa Yesu mara ya pili hivyo niwakati Wa kumwelewa Mungu katika alama yake ya Uumbaji nakujianda kumpokea Kristo Yesu ajapo mara ya pili Hebu tusikubali kubaki bila kuchukulia hatuwa kama maandiko yasemavyo Mungu anatutaka wote tuokolewe Hebu tumwendee🙏
the best ever,based onTRUE STORY!!
Was worth listerning...really educating.will search from amazon...
Haya mambo ya ndoto ni uongo
Mungu gani anakuahidi kukupa sehem ambayo tayari ina watu wengine.inamaana mungu hakuwapenda hao waliokuwepo akaigawa ardhi kwa watu wengine kwa njia ya ndoto??
Both parestina na islael wakae chini wakubaliane,watu wanapoteza maisha.
I love this story god bless you all
Dj smaa👍👍👍
Mwenyezi Mungu awabariki
Ndugu zangu na wapenda wote nyie muko vizuri sana
Mtafute na jamaa anaitwa Fredy Nyaluchi na yeye anajua sana haya mambo
Mbutu block E,kwa mchawi yericko ,Fredrick bundala,na master djsma
Aslam alaykum ww dj sma unani furahisha sana tena sana nipo kigal
Sns mmetutendea haki sana sisi tunaopenda kufatilia mambo haya,Tutaendelea kukusupport
Salute sky
Madini yameshushwa sio mchezo. Bravo bro Sky👏🏽👏🏽👏🏽
🎉🎉
Asante sana kwa marlezo mulio itoa kuhuthu mgo golo wavita
Safi
Wow one of the best interviews. Kwakweli nimetoa matongotongo😢. Watching from America 🇺🇸
Daah dj sma na yericko nyerere ni watu na nusu mnajua Sana ninyi watu pongezi nyingi pia kwa sky
Big up brother
Ii channel ni number 1 tz inawatamaji smart sana sio umbea ujinga.
Pamoja sana wana Fuse na Sns
One of the Bigest Conversations I never heard b4. Hii Ni balaaaaa aiseeeww
Hatariiiiiiiiii sanaaaaaa n nomaaaa
DJ SMA Umesema Palestina wanaonewa unaweza kutuambia alieanzisha uchokozi ni nani?, au ulitaka Israel wapigwe mabomu 2000 halafu wakae chini wacheke ili wasionekane wakatili?
Nimependa mulichokiongerea❤
DJ sma hatare Saana
Hongereni tunasubiri muko vizuri
@Sky, keep these guys closer, wana madini adimu