Kikawaida unapokuwa kwenye mahojiano kama haya unapo tumia neno la kigeni basi anaye kuhoji anaweka sawa kwa kiswahili ni hivi. Hapa nashangaa, Maulid ameelezea wa kiswahili na tumeelewa, lakini buruhan anawela engliah "exposure" nini hii?
Changamoto kubwa ni unafiki wako wewe maurid kitenge. Tunakujua vzuri ni mtangazaji mwenye kushabikia kwa mitazamo ya mlengo flani. Tunakumbuka ulipokimbia pale st peters
Huyu mwamba askar kanzu kweli hakuna mtu anaweza mzuia afisa usalama tena ana mtutu?cyo rahis ukiangalia ile clip unaona kabisa yule jamaa alikua anamuogopa kitenge yani n kama vile ni mkubwa wake
@Saheed Ali shule yako ndogo. Kuna aina tofauti za vipindi. Kipindi hiki ni informative, yaani unajua mambo ya watu maarufu/ wenye ushawishi kwenye jamii ambayo pengine hayajapata kujulikana au kusikika sana
Napendezwa sana na sauti zenu maulid na baruan,mko safi sana kuliko under dog
Ahsante kwa kutuletea huyu mwamba namkubalia Kitege. Thanks Azam
#Chumviiii_mau_kitenge best sports journalist in Tz of all timeee
Tuletee ibrahim masud maestro
Nakumbuka tu ulivyoonesha ujasiri kwenye tukio la Nape, nilikukubali sana
Nzuri sana
Baruan, Uko vizr sana, kwenye nyundo yako
Ahsante
Hata mmi napenda mambo ya habari. Ila ndio hivyo hakuna wa kunishika mkono. Asante
Mimi ni simba damu lkn kitenge Mimi nakukubali utendaji wako wa kazi manjonjo unayoyaweka kwenye sports
Kitenge bwana...yuko fasta sana kuzungumza....nahisi kama ni undercover....ila mwamba yuko poa sana Na anauwezo
NYUNDOOOO
Mko vzr
Ok
Maurid kitenge wewe ni mtu mwenye maharifa sana kuwahi tokea ina napenda unavyo nyumbulisha habari zako za magazeti
Sasa ni wasafi tv na wasafi fm ndani ya sport Arena na Sport court
Napenda sauti ya kitenge uja America nitafute
Good napenda sanaa kua mtangazaji nisaidieni jamani
Usaidiweje?
Waukweli kitenge
MAJURA😂
Mtanhazaji mzuri ila anaonekana km mbinafsi binafsi hivi...
Naona Baruan yupo na askar kanzu😷😷😷😷😷😷
Kwenye habari za michezo uko vzuri lakini hard nyuzi usiende una Chembe ya unafiki
We nyang'au umemuandama
Mgogoro wa Manji na Mengi..mafahari wakigombana zinazohumia ni nyasi..!
Tangu lile tukio nina mashaka sana kuwa jamaa inawezekana ni kati ya wazalendo wa inchi ila sio mbaya
Nimefurahi Sana kupata kitu nilichokuwa nakitarajia hakika nyie mmeweza
We need mwana fa
Watu wa kigoma wamekutana mjini
Tunaomba umwalike na zembela
Mlete Masoud Masoud nae apige interview
Tafuta kashaojiwa
@@heartnsanya1182 asante lakini sikusudii masoud kipanya nakusudia masoud masoud ni legend sana huyu kwe media
Tuleteeni zembwela
Kikawaida unapokuwa kwenye mahojiano kama haya unapo tumia neno la kigeni basi anaye kuhoji anaweka sawa kwa kiswahili ni hivi.
Hapa nashangaa, Maulid ameelezea wa kiswahili na tumeelewa, lakini buruhan anawela engliah "exposure" nini hii?
tangu itv nakufatiliaga
jezy na 9...mau wa kitengeeee criiiiiiiiiiiiii
Changamoto kubwa ni unafiki wako wewe maurid kitenge. Tunakujua vzuri ni mtangazaji mwenye kushabikia kwa mitazamo ya mlengo flani. Tunakumbuka ulipokimbia pale st peters
Kwa apa mjini ukigombea ccm najua utashinda ila hautodum kwani magufuli atamaliza muda wake uko kunako endelea ciyon ccm ikitamba mjin apa
Huyu mwamba askar kanzu kweli hakuna mtu anaweza mzuia afisa usalama tena ana mtutu?cyo rahis ukiangalia ile clip unaona kabisa yule jamaa alikua anamuogopa kitenge yani n kama vile ni mkubwa wake
Huyo MTU SI NDIO YUSUPH MANJI
🙄🙄🙄🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Mangi cna
vip kitenge ivi hauwezi kuongea kinywa kitupu lazima na mikono i shake shake sio
Kila mtu ana stayl yake ambayo mungu amempangia usiingilie kazi ya mungu
hicho kipindi ni story za mtaani tu hatujifunzi kitu hapo
Mwamba huyo
Safi sana kipindi kipo vizuri.
@Saheed Ali shule yako ndogo. Kuna aina tofauti za vipindi. Kipindi hiki ni informative, yaani unajua mambo ya watu maarufu/ wenye ushawishi kwenye jamii ambayo pengine hayajapata kujulikana au kusikika sana