Salama Na Baraka Ep 21 | FAHARI TOKA ITETE Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
Mimi ni kama wewe tu juu ya ufahamu wa huyu mtu ambaye ameibeba Itete iliyopo kata ya Isuto tarafa ya Isangati, wilaya ya Mbeya vijijini mkoani Mbeya na Tanzania kwa ujumla, jina ni Baraka Adson Mpenja.
Wengi humuita sauti ya radi, utamshi wake wa maneno na majina ya wachezaji na viongozi ni wa namna ya kipekee haswa, na bila ya shaka hiyo ndo tofauti kuuubwa kabisa kati yake yeye na watangazaji wengine wa kabumbu ikiwa pamoja na mimi hapa Tanzania. Ni kijana na ni maridadi na pia hajasahau wapi ametoka na ndoto zake ndo hizi ananoziishi sasa kwa mujibu wa maongezi yetu haya.
Umaarufu wake si wa kulazimisha wala si wa skendo, kazi yake maridadi aifanyayo kwa ustadi wa hali ya juu ndo imemtambulisha kwetu hapa nyumbani na kanda nyengine za Afrika ambapo king’amuzi cha Azam kinafika. Burudani ambayo anaitoa huku akipeperusha umaarufu wa ligi kuu ya Tanzania bara na mashindano ya kimataifa ni ya mfano wa kuufuata hasa. Yangu hakika katika sajili bora ambazo AzamTV walishawahi kufanya basi ya Baraka Adson Mpenja inaweza ikawa ya kuokota dodo chini ya Mvinje.
Basi umaridadi wake huo ndo ulotusukuma haswa sisi kumuita kwenye meza yetu, na akaja bila ya kusita. Tuliongea kuhusu chimbuko lake, ndoto zake jinsi anavyojifunza kila siku kutoka kwa wazoefu walomzunguka, masomo, ndoa, maisha kwa ujumla na mapenzi yake kwa mpira wa miguu. Ilikua matani na ung’amuzi mwingi wakati naongea naye na yangu matumaini uta enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Baraka ni hodar sana na nimependa jinsi ambavyo anazungumza uhalisia wake Mungu atazd kkufungulia zaid
5 mins into the interview and I already like this guy.
Very humble guy interview bora unacheka mda wote na kujifunza mambo mengi
watu wenye majina ya BARAKA always ni unique in their own way n always stand out
Baraka mpenja,nje ya utanzaji ukifanya standup commed,utashika mioyo ya wengi.Hii kitu iko ndani yako niamini mimi
Wakati wa Mungu ukifika, hakuna mlango utakao zuia 👏👏
Nimeipenda sana, na imenigusi kama Mutangazaji wa michezo nchini Burundi. Big Up Salama Jabir na Baraka.
Hii ni nzuri, kila kitu ni pure' na cream ideas zimesemwa kutoka kwa baraka.
Wow!! I love everything about this interview 💥💥💥
Baraka ni hodar sn mung amkuzi vzr ili wabaya wasije kumuona
Naruhusiwa kuangalia 😂😂😂😂😂 jamaa kanichekesha mpaka nimejamba
Mpenjaa🤣🤣🤣 nampenda sana huyu mtu.... Cheupe tuletee mzee wa mambo 10 Ali kamwe
I’m sure your dad is Very happy listening to his son in the Radio 📻. Hongera sana Baraka
Oooh my God they guys is very funny and very intelligent nimepanda iyo interview !good job again sister love you
Baraka you are so funny. ila ndo nimekujua leo 😂😂😂
😂😂😂😂😂 Baraka utaniua mbavu zangu bana hata mm Jessica huwa namuangalia sana
Hii interview ni tamu bhana dah natamani isiishe
yani leo mnifurahisha mno even though sipendi mpira wala sisikilizagi. dimples za Baraka sasa hadi raha
Ya kibabe sana hii
Hongereni watu Wang salama na baraka😘
Huyu jamaa kanifanya nicheke sanaaaa dah kwa mahojiano haya mda mdogoo😂😂😂
Very humble guy! Keep it up Sauti ya radi
Big up my dear,ww ndio mtangazaji pekee pekee ambaye sichoki kukutazama unapohoji watu ,be blessed Kwa kazi yako nzuri.
😅😅😅 kama unatokea Mbeya Fanya ku like tujuane😅
Salama unafanya vyema kabisa , uko kwenye uboira wa juu sana sana .
Best in His Own Way BIG UP MPENJA ✊🔥
Mgeni wa leo moto! Asanteni.
Uko pw
Salama +Baraka big up sana
Hongera salama naona ushauri wa nikki mbishi unaufanyia kazi... Kwa nn jamaa nae usifanye nae kipindi
Baraka is Amazing 🤣😂🤣🤣😂😂
Anajua uyo
Huyo baba lao sauti ya radi
Safi sana
marhaba alhabib
Kwa Baraka hapa Salama umepata mgeni Baraka anaongea toka shule, ila hongera sasa amekua naona kaacha kunata hongera sana,
Jamaa Yuko vizur Sana
wow the guy is really funny
Jesica salimia mpeja bana🤣🤣🤣
safi xna mpenja
Nimecheka sana leo
Sauti ya radi baraka mpencha
Nice
Mpenja 🔥🔥🔥🔥🔥
Nice 🔥💯
Asee we kaka unatokea kwetu kabisa
Kwenu wapi ndugu mm wa Isuto pale kabisa kata,
Tumewanyonyoa nyonyo bro nakukubali
Dope
😂😂😂😂😂😂 you made may day baraka
Hadi raha
Namkubal Sana jamaa
Naenjoy😁😁😁😁😁
Daah salama!
Nice 💪
Jesca tusalimiane vp hali ako mama 😂😂
🤣🤣
Daaah mpenja matataa Sana daah,😀😀
Wa kumwituu
19:11 😃🤣🤣
Asee mtuletee dudu baya.. tunahitaji madini yake
Japo sifahamu Kiswahili ila napenda sana kufatilia kipindi chako Salama
Eboo nani kakuandikia comment 😜😃
Wacha kutu zenguwa wewe kuandika wajuwa lakini ujuwi kiswahili weeee
Uliandikaje kama hujui
@@asiajuma8330 🤣🤣🤣🤣🙌
Apo kaandika kichina🤣
👍👍👍
Yaapp Ukweli hii interv mbaya kwasabb yaathari ya anae fanyiwa interv anaongea Sana nahatupi madinii anayotakiwa kutupa.
Ushauri wangu endapo atakuja m2 mwenye maneno mengi na falsafa basi agongwe maswali magumu ili atupee anachotakiwaa kutupaa 🙏
Huyu anaongea hatari tumesoma secondary moja na utangazaji ndio panamfaaa,
😆😆😆
Salama Nakuomba Uni Unblock Insta @eliasakitasa
🤣🤣🤣 ulifanya nini mkuu.
Hahaha alimkosea nn😀😀😀
Hahahaha
😂😂😂😂😂😂
TULIA DAWA IKUINGIE!