Dada wakanisa awastua wakristo alisema uisilamu ndio dini ya ukweli kumewaka leo waleta maswali

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 82

  • @abdallahnassor2945
    @abdallahnassor2945 ปีที่แล้ว +6

    Mashaallah Sheikh Salim Na Team Yako Allah Awajaalie Umri Mrefu Wenye Manufaa Awajaalie Khusnul Khatima. Hyo Elimu Yenu Inatupa Manufaa Sisi Waislamu Allah Amuongoze Rafiki Yangu Aingie Kwwnye Siratul Mustaqim Inshaallah.. Namsikilizaga Video Zako Alhamdulillah Anaelekea Kidogo Kidogo

  • @NANCYLAZARO-uc9fn
    @NANCYLAZARO-uc9fn ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Mwenyezi Mungu awabariki na awajalie kuongoza na kuokoa watu wasilimu,Yarabi hata wakristo wenyewe hawajui Bibilia yao,

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 ปีที่แล้ว +5

    JazakAllah khair. Labda hawaelewi Arshi maana yake nini, inaweza kuwa vyema ukiwafafanulia. Labda useme Throne, Dominion.

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 ปีที่แล้ว +15

    Karinbuni tena mashekhe wetu nilikuwa nasubiri kwa hamu kuwaona tena Allah awahifadhi❤❤

  • @chuliztexsasmedia124
    @chuliztexsasmedia124 11 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤❤ AllAH Awahifadhi

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p ปีที่แล้ว +5

    Allah amhifadhi mzidi kueneza dini yake ampe maisha mzr apa n kesho akhera

  • @hamisimkoma7380
    @hamisimkoma7380 10 หลายเดือนก่อน +2

    waislamu hatusemi mungu yuko ktk arshi bali hiyo ni imani ya masalafi na miwahabi

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  10 หลายเดือนก่อน

      Hawa unao wataja ni waisilamu au ni wakristo

  • @dominicwafula3997
    @dominicwafula3997 ปีที่แล้ว +3

    AsalamAleykum Mashekhe wetu tumewasubiria sana, Alhamdullilah Mwenyezi Amewafikisha. Dawaah izidi kama kawa InshaAllah.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah Allahu akbar leo wa kwanza kwa ajili ya Allah Alhamdulilah

  • @HassanRashid-fd1pw
    @HassanRashid-fd1pw 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallahu jazaakllahu lkhayra Allah akubarikini na pia mwanamke wa kiisilamu akifiwa na mumewe anarithi thumni na akiachwa anapewa kitokea nyumba

  • @HammerSulleh
    @HammerSulleh 10 วันที่ผ่านมา +1

    Allah awarahamu kwa kazi nzuri awajalie pepo firdaus.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  9 วันที่ผ่านมา

      Aamiin amiin amiin sote

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi1604 ปีที่แล้ว +2

    Asalam Alykum mashekh wetu Allah awape umri mrefu awajalie mwisho mwema na awape Kila lililo la kheri fil Dunia fil akhera

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote

  • @zohramariga6678
    @zohramariga6678 ปีที่แล้ว +4

    Asalamu alekumu warahama tulahi wabarakatu mashala kazinzuri Allah awalide nahusida siuti hakuna

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh iko sawa jaribu kufungua tena

  • @Aminedanisman76799
    @Aminedanisman76799 ปีที่แล้ว +4

    Waleikum salam warahmatullah wabarakatuh.

  • @abasskamanda7761
    @abasskamanda7761 11 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda sana midahalo kama hii

  • @b.funditv4781
    @b.funditv4781 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah mashekhe wangu nawakubali sana na tena nawafuatilia sana wafundisheni hao wamedanganywa sana

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah

  • @HukoWapi
    @HukoWapi ปีที่แล้ว +4

    Allah akupen Kila lililo la kher

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 ปีที่แล้ว +3

    Iko sawa shukran

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 ปีที่แล้ว +3

    Hata mm Leo ndio najua kua hawaa aliumbwa na udongo pia mm nilijua NI mbavu siku zote waah

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 ปีที่แล้ว +2

    ALLAHU AKBAR wakiristo wamekubali hawaja wai kuabudu Mungu siku zote

  • @fugakwamalengo707
    @fugakwamalengo707 11 หลายเดือนก่อน +2

    Isaya 66:1 Mbingu ni kiti changu cha enzi na ardhi ni mahali niwekapo miguu yangu

    • @issaabdallah7660
      @issaabdallah7660 8 หลายเดือนก่อน +1

      Na ndio maana waislam tunasujudu ktk ardhi

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 ปีที่แล้ว +2

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @Idysalim
    @Idysalim 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani nimejifunza mengi pia mimi kama muislam, nashangaa kujuwa kumbe wakristo hawana sheria wala kitabu ndo maana wanapinga injili ya nabii issah A.s. (wapinga kristo) SubhannaAllah na makristo wa urongo

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kufwatilia elimu zenu tukingoja mvua ishe mashalla

  • @UzatHassan
    @UzatHassan 9 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akulinde shekh

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  9 หลายเดือนก่อน

      Aamiin amiin amiin sote

  • @Omusale-vw5te
    @Omusale-vw5te 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona haujamsome suraa yenye inasema wanawake hawana akili

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  11 หลายเดือนก่อน +1

      Iko kitabu gani tusome uongo wa kanisani usilete hapa tupe hiyo andiko tusome

  • @Sal.0
    @Sal.0 ปีที่แล้ว +3

    TabarakAllah Team.
    Huyu jamaa ACHI, ame uliza kama QURAN ziko na 66Books.
    QURAN ni Kitabu Ki MOJA tuu, with 114 Chapters.
    Revelations ZOTEE za MUNGU huwa ni Kitabu Ki MOJA tuu, kama ilivyo QURAN.
    Kama zilivo Vitabu za TORAT, ZABUR, na... INJEEL, alio PEWA Esa!
    Hizi VITABU zotee, zili kuwa ni Vitabu ViMOJA tuu!

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว +1

      Masha Allah kwa ukumbusho huo Allah akulipe

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa kachoka kweli anatuliza mungu yupo anachekesha

  • @BAUCHADAAWAH
    @BAUCHADAAWAH ปีที่แล้ว +2

    anasema afumba macho ungempa na hii aya Mithali 16:30
    [30]Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka;
    Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 ปีที่แล้ว +2

    Mashaalah mungu awazidishe ilmu, suratl Hud
    7. Na Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Na Kiti chake cha Enzi kilikuwa juu ya maji,

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Masha Allah shukuran kwa ukumbusho huo Allah akulipe na akuzidizie

    • @suleymanali431
      @suleymanali431 ปีที่แล้ว

      @@salimdaawah123 Amiin jazakumllaah kheyr nyinyi pia mwenyezi mungu awazidishe kheyri na elmu Amiin.

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 ปีที่แล้ว +3

    Safi

  • @Omusale-vw5te
    @Omusale-vw5te 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona nyinyi mwampunguza mungu ati wewe ni mguu na mikono miwili upande wa kulia how

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  11 หลายเดือนก่อน

      Aya gani au ni propaganda za kanisani kwenu

  • @kadiriosmam
    @kadiriosmam ปีที่แล้ว +3

    Asalam aleikum warakhmatullah ni simu yangu ilikua na shida, camera iko sawa.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

  • @MustakimaMustakima-i6q
    @MustakimaMustakima-i6q 14 วันที่ผ่านมา +1

    Asalamu aleykum warahmatullahi wabarakatu mwenyeezi mngu awape nguvu kutuilimisha

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  12 วันที่ผ่านมา

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @Somalifinest
    @Somalifinest ปีที่แล้ว +2

    Sheekh marco ni kitabu gani kwa English

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 ปีที่แล้ว +2

    💖💖💖💖💖💖💖❤️‍🔥❤️‍🔥

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah

  • @MkambaSaleh-kr7pi
    @MkambaSaleh-kr7pi ปีที่แล้ว +2

    Msieke picha za asnama kama 😮 hiyi haramu iliyo fichikana

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 ปีที่แล้ว +2

    Wine = mvinyo.

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 ปีที่แล้ว +2

    Sauti hamna

  • @NathanielNathan-m4o
    @NathanielNathan-m4o ปีที่แล้ว +1

    Mohamed nimtume wa kwanza wa kiislamu na wa mwisho.
    Yohana 14:6 Mimi ndio njia na kweli na uzima.Nobody comes to the Father except by me

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +1

      Umeupiga mwingi

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o ปีที่แล้ว +1

      @@faudhiasaidi3669 nini hiyo?

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +3

      @@NathanielNathan-m4o
      Umedanganya kusema mtume MOHAMMAD ni mtume wa kwanza
      Yeye ni mtume wa mwisho sio wakwanza

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o ปีที่แล้ว +1

      @@faudhiasaidi3669 Nikupe maandiko toka Kwa Qur'an?

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว

      @@NathanielNathan-m4o
      Lete

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 ปีที่แล้ว +2

    Bado hakuna

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Iko sawa jaribu tena inn shaa Allah

  • @linetkikin4023
    @linetkikin4023 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

    • @MohamedMeja
      @MohamedMeja 2 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah