MAKONDA AMKABIDHI MILIONI 10 JAMAA ALIYESHINDA MASHINDANO YA PIKIPIKI ARUSHA "SISI SIO WASHAMBA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 76

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mh Makonda God bless you unachachukubwa ya kuwajenga Vijana ndani na nje Ya Arusha Barikiwa kakaangu

  • @DaudiSiyame
    @DaudiSiyame 3 หลายเดือนก่อน +1

    May God give you better health and more strength

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 3 หลายเดือนก่อน +8

    Ahadi imekuwa kweli namuona yule mtendaji mwenye miwani uliyemwita aje afanyekazi office ya mkuu wa mkoa well done🎉

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂🫡🫡🫡

    • @Mainda-q5b
      @Mainda-q5b 3 หลายเดือนก่อน

      Sijamuona hapo ila namkumbuka jamaa yupo smart aisee

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akubariki Mheshimiwa Makonda kama Mkuu wa Wakuu wa Mikoa Tanzania Vijana wapambanaji tunakukubali Taifa zima. Hizi Sekta ambazo sio rasmi ndiyo zinagusa maisha ya vijana wengi ambao ni wapambanaji. Good job and Big up

  • @paulinaobiria9649
    @paulinaobiria9649 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera kwa waandalizi na hongera kwa mkuu wa mkoa kwa kuwaunga mkono wachezaji wa mchezo huu, umeonesha kuwajali na hii itaamsha ari ya washiriki na pia kitakuwa kivutio katika mji huu na itaongeza uchumi wa watu wa Arusha

  • @Nick16697
    @Nick16697 3 หลายเดือนก่อน +28

    Imekaa poa sana, lakini ningeshauri kwakua nia ni kukuza utalii basi jina la mashindano yangeitwa jina hata la mbuga za wanyama yoyote Tanzania, ili kukuza utalii

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yan wabongo kutajwa Samia mutoe makosa cjui mnaumizwa na nn haya jina tu ndo wataliii hawatokuja

    • @albertlaizer8464
      @albertlaizer8464 3 หลายเดือนก่อน +1

      Uko na akili sanaaa wwe joh

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@AliJuma-go4rckwani kakosea nini mbona unashida wewe

    • @innocentinyasi9198
      @innocentinyasi9198 3 หลายเดือนก่อน

      Maoni mazury sana kaka sema ni mwanzo maybe Races ijayoo watatumia

    • @JonathanNelson-l8h
      @JonathanNelson-l8h 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@AliJuma-go4rcwewe ndo kichwa mgando mwenzio katoa mawazo mazuri wewe unaleta upuuzi😂😂

  • @browntv1119
    @browntv1119 3 หลายเดือนก่อน +11

    makonda wewe sio mtu wa kawaida umeletwa na mungu endelea kupambana mkuu vijana tuko nyuma yako

  • @apostlemagdalenakongera1238
    @apostlemagdalenakongera1238 3 หลายเดือนก่อน +4

    Yesu Kristo azidi kukutetea na kukulinda daima hongereni sana Wana Arusha kwa kupata jembe kama hilo

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 3 หลายเดือนก่อน

      🥰🥰🥰👏👏👏

    • @khadi-z4o
      @khadi-z4o 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yesu Ninani yako wewe?Bwana Wamungu au Yeye Ndiye Mungu?😅

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@khadi-z4o kwani mtume ninani yako wewe mbona unakuwa jambazi wakuvamia Imani zawatu 🙃

    • @khadi-z4o
      @khadi-z4o 3 หลายเดือนก่อน

      @@JurbegMtume Nimtume na Mungu Ni Mungu Hakuzaa Wala Hakuzaliwa Na Hana Mfano wowote nakitu chochote ama mtu yoyote Duniyani.Ndomaana Akaitwa MUNGU.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 หลายเดือนก่อน

      Ujinga wa watu weusi mpaka leo tupo utumwani, Yesu hana mpango na sisi watu weusi, vijana wake wa ulaya ndio walitupa hiyo imani baada ya kutuswagwa utumwa. Labda vijana wake wa ulaya ndio anawatetea, we bakia hivyo hivyo

  • @OscarMathew-e2q
    @OscarMathew-e2q 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mr president makonda respect sana

  • @WardaFashion-n3y
    @WardaFashion-n3y 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ila wana Arusha sikuiz hatupumua kwa burudan tunazopata,ni back to back Alhamdullilah 😊

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

      Mmeperembwa kweli ili mtoe kura 😅

    • @Mainda-q5b
      @Mainda-q5b 3 หลายเดือนก่อน

      Inabidi uhamie uku kwetu arusha

  • @UshuaniMedia
    @UshuaniMedia 3 หลายเดือนก่อน +3

    asante ayo kazi nzuri kaka one day niwe kama ww..🤔

  • @AlbinusPeter-yw6oy
    @AlbinusPeter-yw6oy 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mh makonda wewe nomaaaaa sanaaa

  • @MariaFelician-p7s
    @MariaFelician-p7s 3 หลายเดือนก่อน

    Namuona John mdenye

  • @HumphreyNyiti
    @HumphreyNyiti 3 หลายเดือนก่อน +1

    Longer mdogo wangu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 3 หลายเดือนก่อน

    Mh makonda ni mbunifu sana kwa kweli

  • @winnyolesirikwa4477
    @winnyolesirikwa4477 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde Makonda ila wanawake mmeniangusha yaani hata mmoja wa kushiriki kwenye mashindano hapana 50/50 iko wap? Hebu tuache uvivu tunaweza tushiriki❤

    • @priverpriva4144
      @priverpriva4144 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😂😂😂😂😂

    • @priverpriva4144
      @priverpriva4144 3 หลายเดือนก่อน

      Mbona ww ujashiriki

    • @WardaFashion-n3y
      @WardaFashion-n3y 3 หลายเดือนก่อน

      We kuweza😂😂😂

    • @BabuGga-td3mg
      @BabuGga-td3mg 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @MarkSulle-yg5lt
    @MarkSulle-yg5lt 2 หลายเดือนก่อน

    Nimekuja kukuangalia mkuu nikiwa na huzuni mnooo😢

  • @ErastoOmari-ij1zs
    @ErastoOmari-ij1zs 3 หลายเดือนก่อน

    M/Mungu Akupe UmrinMrefu Makonda

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mambo mengi mnayapatia jina la Rais. Mambo mengi yasiwekwe kwenye siasa bali taifa. Kwakua 100% ni Rais Wa Tanzania, lakini kuna ambao hawampendi.

    • @michaelpengo8730
      @michaelpengo8730 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa kama humpendi rais vyake unavitakia nini?

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yan watu wote mwenye akili ya kufkiria ni ww tu? Acha wivu wa kijinga fanya kaz na ww jina lako liwekwe sehem kama hizo 😂😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

      Sio kumchukia ila too much is hurmfull yaani inachosha kujipendekeza kumekuwa kero kila kitu Mama ifike wakati ipunguzwe hii style. Hii tabia ilishika hatamu enzi ya Mwendazake ila sasa inachosha kila kitu ni Mama sijawahi kusikia wakisifiwa watanzania kwa ulipaji wa kodi utaskia zimetoka kwa dah

  • @abdulmniga8938
    @abdulmniga8938 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda oyee

  • @workmantiktok
    @workmantiktok 3 หลายเดือนก่อน

    hapo imekaa vizuri

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 3 หลายเดือนก่อน

    Jina la Samia sijalikubali

  • @jonakajigili6991
    @jonakajigili6991 3 หลายเดือนก่อน

    Wazo zuri sana ili lengo likuze utalii zaidi kuliko siasa

  • @ibrahimuabinala695
    @ibrahimuabinala695 3 หลายเดือนก่อน

    👋🙏🙏🙏

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 3 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa vyema mungewapa cheki hiyo cash haitoleta mauwaji mji wenyewe ni wa matukio jamani 😢😢

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 3 หลายเดือนก่อน

    Nchi ya matajiri ..muwape na ndege pia🎉... 😅

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba 3 หลายเดือนก่อน

    Hayo ndio maendeleo ya viongozi wa ccm,,kikombe kilicho jaa maji hakiitaji maji mengine

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda unahakili sana

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 3 หลายเดือนก่อน

    Daaaaa ila Makonda????

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 3 หลายเดือนก่อน

    Aangalie wahuni wa huko Arusha wasije wakamvamia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @arabisimwandaone5508
    @arabisimwandaone5508 3 หลายเดือนก่อน

    Saf sana

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 3 หลายเดือนก่อน

    Spining

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jiji la Arusha Jiji la Wajanja inafaa kuwa na Mbunge kama Makonda wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakikisheni Makonda anakuwa Mbunge wenu. Huyu akiwa Mbunge kisha Mungu akamsaidia akawa Waziri nakuambia hiyo Wizara watumishi watalala na viatu maana kazi itapigwa usiku na mchana.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 หลายเดือนก่อน +1

      ati watala na viatu..yaani nimechecka mpka nikaanguka kwa kiti aiii jmni wewe😂🤣

    • @ZUWENADELLOW
      @ZUWENADELLOW 3 หลายเดือนก่อน

      Sio masihara🎉🎉🎉.

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe 3 หลายเดือนก่อน

    Myteves😂

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda mpaka sasa kuna sehemu watu wanasema ww unastahili ata kuwa rais wa nchi nzima siyo mkoa tu

  • @madengejr
    @madengejr 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ingeitwa ,, utalii wetu na vipaji vyetu

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wabongo acheni wivu Samia ni rais wenu hata mumchukie kila mbongo utaskia analia na jina kwani si na ww ufanye kaz ili ufikie level ya kutajwa kila sehem tafuta hela ww acha mambo yaso na tija yoyote kwako

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@AliJuma-go4rc
      Kwani jina lina nini Mafia kaletwa DC mpya miezi 3 tu kuletwa ukaja mwenge pale pale akatayarisha uwanja wa kusheherekea mbio za mwenge na usiku ule ule ukatangazwa ule uwanja wa michezo uitwe Maposongo Alena jina la babu yake si basi na watu wote wapo happy kwani wamepita ma Dc wangapi mbona hawajaitwa hata majina ya barabara za mtaa

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 3 หลายเดือนก่อน

    Chugga km mbele

  • @ZuhuraTwaha-fs5ub
    @ZuhuraTwaha-fs5ub 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani kama ni mashindano ya Samia kwanini yako mkoa mmoja hii haiko Sawa kwa mtazamo wangu lakini kama ni Jambo la raisi Rais ni wawote ila haya tuone picha liendelee😢

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe jamaa ni mbunifu sanaaa mahisi ww ni mkuu wa wakuu wa mikoa yote tanzania

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 3 หลายเดือนก่อน

    Wakuu wa mkoa mjifunze kit

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna kitu kirahisi kama kuchezea akili za watanzania, ni wepesi wa kudanganywa kwa kupewa vitu vidogo vidogo. Wanaridhika kwa kudanganywa na vitu vidogo wanasahau mtaka cha uvunguni hawaoni mbali hawana upeo kabisa sijui nani kawaroga .Inashangaza kwamba hawaoni wanaperembwa ili wajisahau wawape nafasi wenye kula nyama wao wanaambulia mtori .Yaani wanaonjeshwa bali kula wanakula wengine. Ndio maana kila siku anabuni jambo jipya hapoi yupo kwenye mkakati maalumu wa kucheza na madhaifu yetu.Upinzani mkali upo Arusha kanda ya Kaskazini nimemaliza .

    • @yusuphtwaha8386
      @yusuphtwaha8386 3 หลายเดือนก่อน

      Unazingua haya mashindano yapo kila mwaka sio kwamba makonda ndio ameyaleta makonda ameyaongezea nguvu tu arusha sio mkoa wa kuuteka kirahs hvo vyote anavyofanya makonda vilikuwepo sema tu havikua na sapoti

    • @careemdulla1629
      @careemdulla1629 3 หลายเดือนก่อน +1

      Haya mashindano yanafanyika karibia kila mwaka hapa Arusha ila kwa alivyo yaanda muheshimiwa Makonda sasa ndio yamekuwa na mvuto hongera sana Makonda.

  • @Bquality
    @Bquality 3 หลายเดือนก่อน

    Namuona masoud hapo hahahahaha

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wakuu wa Mikoa wengine nawaomba waige mfano wa Makonda badala ya kukaa ofisini kujilipa posho na kufuga vitambi na matumbo makubwa wangemsaidia Rais Samia kwa kujiongeza na kuwa wabunifu tukawa na kina Makonda wengi nakuambia hili Taifa tungefika mbali.

    • @titongome3037
      @titongome3037 3 หลายเดือนก่อน

      Huyu Makonda ni damu yamagufuli tumuombe Mungu haje awe rais watanzania ila acha kumsifia mama

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@titongome3037Yupo kumpigia Mama abaki Madarakani wewe unadhani yupo kwa ajili ya nani ?😅

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wazungu tungewabagua tu! Tuwakate kwenye mashindano hata kama wameshiriki