MSWAHILI : MUME ANAPIKA KULIKO MKE WAKE/ WANASEMA NI LIMBWATA LIMEHUSIKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Yaan baba shebi hongera kwa wazazi waliokuzaa na kukulea vyema pamoja na kukufunza ukawa mwanaume bora kwa mkewe
Mungu wazidishie Amani na upendo wazazi wangu
Ukiona mwanaume anajua kupika' mafinzo alipata kwa Mzazi wake. Hongera kina Mama wetu duniani. Hakuna limbwata hapo' watasubiri sana.
Mashallah Allah. Haya ni mapenzi na kutafuta maisha
Safi sana Baba Shebi na Mama Shebi na mmbarikiwe🤲🏾🙏🏽
Mashallah Allah awasimamiye leo na kesho . waTzn wapenda kujudge hata ufanye nini utasemwa tu . wao wanashindwa kushirikiana km mke na mume wenzao wakifanya utasikia karogwa ndio tabia zao , nimuipenda hii couple na ukifanya kaxi na mumeo huna wasi wasi km yuko saa hizi yuko nyumba ndogo .
Shabiki mnene wa shoo hii ya Wasafi Tv na Zembwela kutoka Kenya.
Napenda sana, kwanza, upendo walionao Baba na Mama Shabani kwenye kazi yao. Wanaifanya kwa dhati na moyo wa umoja, kwa kweli nimewaonea fahari sana na wanavyopokezana shughuli nzima ya kazi yao hii ya mapishi na kukubali hali yao kama baba na mama lishe. Asante sana Zembwela kwa kazi nzuri unayoifanya, aisee nimejifunza mengi kutokana na makala haya. Masha Allah, Mungu na awazidishie hata zaidi baba na Mama Shabani kwenye kazi yao
Zembwela kipindi kimefundisha,kimeelimisha,kimechekesha na kufurahisha....Big up sana zembwela
hongera sana mzee hiyo ndio kazi yahalali.
Mashalha Alha Awajarie Kazi yenu Yaa Halali Amin
Masha Allah mabrook baba shabani na mama shabani,wa LLAHI nimependa ndoa yenu hadi naiyonea choyo ,masha Allah
Zembwela kama Zembwela salute!!! Hongera Kaka kwa kuwa mitaani.
Mashallah Allah awabariki wazee hawa mama shebi na baba shebi maisha yenu mazur sana.
Asante kwa kipindi kizuri sana, hongera Baba shsbsni na mama shabsni, ningependa kutoa ushauri, watumie ndoo za chuma( bati) ndoo za plastik sio nzuri kuchemka na katika maji ya moto, inasababisha ugonjwa wa saratani.
Mashaallah sio wanaume wa kiswahili isiyojuwa life ikifika office ya wakezao inanuna yaani umaskini ndio wanaupenda wivu kwenye kutafta ni dhiki tuuu lkn nyie wapendwa mbalikiwe sana ndoaynu idumu maisha kusaidiana na mungu azidi kuwapa maisha marefu afya njema na Baraka tele 🙏
Awesome mashalllah mashalllah mashalllah 👌🏽
Mashallah family 👪❤iyi family ni 1allah awazidishiye kwakweli amazing
Yaan inapendeza sana wawili wakishirikiana namna hii, yaan big up sana kwenu baba shebi n mama shebi. Mko busy kuitafuta riziki ya halal
Mashallah Mungu awazidishie mwisho mwema.
Mashaallaaa ndoa yenu iwe yakheri nabaraka
Aya ndo maisha kwakweli Allah abariki ndoa yenu
Ameen
Mapenzi si vita l love this couple ☺️
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 watu ss hiv full kuchoma nyumba tuu
MaashaAllah MaashaAllah
TabarakaAllah TabarakaAllah
Baba shebe
Big up sana zembwela kwa kazi nzuri. Haya ndio maisha yetu!
Wallah nimependa sana 👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
I liked the babalishe , total confidence , totally experienced,
Nimempenda Sana baba sheb mama sheb anabahati kapata mume pambeee👌👌👌👌👌
Mapenzi yao imebarikiwa
Kipindi chako kizuri na kina mafundisho mengi tu ndani yake. Kweli generation yetu ni ya mwisho kukaa kwenye mbuzi kukuna nazi. Busara tu malezi yetu Alhmdulillah
It's something very interesting ,nimependa sana maisha haya ni ya furaha
MashaaAllah hard work family
Daah nimeipenda Sana hii family jamani kila mmoja aige mfano apo
Napenda mama shebi na baba Shebi sana , hongera sana
Hawa watu ndio wamepandishiwa miamala kweli duh serekali imejifunza kitu kweli apo,watu wanatafuta kwa jasho sio nyinyi mumekaa bungeni mnawaza upuuzi tu
Kweli wengine wana ka tu kuiba sasa awa nijasho yawo kweli
Wow that nice family GOD bless them all family
Nmeipenda hii familia ya wapambanaji
Nimeipenda show Leo daaah
Zmbwela na baba shebi mmefunika thanaa 🤣🤣🤣 kukuna nazi kwahitji ujuzi Big up💪💪💪👏🤛🤛🤛🤣🤣
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
Dah sisi nyumban tumezaliw wote wanaume Kwaiy izo habar z kukuna nazi kawaid t
Nimependa familia hii
Kizaz cha watoto wa 2000 ni balaa . Binti hatak kufanya kazi na mume mtarajiwa. Wakat baba na mama wanafanya kazi pamoja. Sema sio kesi Big Family
Hongereni baba na mama Shebi
Jamaniii jamn Mungu hawa wanaume kama hawa atakuolewa naolewa hat km hana pesa uwiiiu
Mi nipo hapa 👆👆😂
Mashaallah
I like it
Zembwela unavoishika hio nazi
Hao hata vizazi vyao vitakuwa sio vile vyakuchomana moto getto wallahi mpaka Raha.. 😂
Kabisaa
Daaaa! brother umefanya kitu cha tofauti sana Zembwela, hadi Camera man kuja infront huu ni ubunifu mkubwa sana
Wasafi mm napenda kipindi cha huyu mwamba tu Zembwela
Dah Yani nimeimisi nyumbani kweli
Ubwabwa na marage nyama kwa mbaali
Nice couple
Cheka tu ulikuwa serious sana kumbe huku ndio huwa kuna kuchekesha😂😂😂today I see how you laugh😂😂😂
Karibuuuuu 💞🇧🇮😘
Baba sheby mwanaume na nusu na mkewe pia pambaneni kutafta rizik ya halali
Safi sana kipindi kizuri sana
munafanya vizuri wenyewe munasomesha watoto wenu fresh hamna wasi wasi .
Jimbooo liko huluuu 😂😂😂😂😂 #zembwela Love from Rwanda
Zembwela unakuna Nazi vizuri Ila kidole hicho
Utajuta kusomea camera😂😂😂😂😂😂😂😂
Familiya ya nguvu
Nimependa kapo jmn
mama bhana sasa anajuaje km mzee anaishinda mitihani. Wkt anaenda mpk ndani.
Wanaume km hao ndy wanatakiwa kwenye jamii
Baba Shebi na Zembwela mna ni furahisha sana
#Kifuu Nakimaliza Baba shabani😂😂
Jaman maharage ayo😋
MashaAllah mabrouq 😂😂😂🥰
Tanzania is a happy place people just get along
Si uongo, mimi mkenya na nawapongeza sana watanzania...kila sehem kuna amani ...
Baba shabani amefunzwa kweli kweli na wazazi wake
nani kaona Paka mweupe karuka 20:20
Safi sana
Hii ndo kali kuliko Ile ya kwampalange
😂😂😂😂😂
Mzee wa TH-cam
Nakubali sana hichi kipindi na namkubali sana Zembwela
Maisha khalisi ya watanzania
Safi
Mama na baba hao! Dah hadi raha
babu unapenda kitonga😂...nakukubali jembe
Zembwela bhana unanichekeshaga
Zembwela hiki kipindi unakiwezea sana daaaah hadi raha
Wewe zembwela ulipe 😁😁
Kweli hii ni limbwata
Wabongo mmekalili maisha viwanjani watu wanaishi hivyo nenda ata Kenya huone unashanga nini maisha sio poa
@@Mpakauseme so kenya tu waje Zanzibar waona mbona mambo ya kwaida tu kwetu mwanaume kukuna nazi kufua kupika kuchota maji kwenda sokoni ni kazi za mwanaume hizo mwanamke kazi yake ni kulea watoto na ndiyo Dini inavyo taka hamna libwata wala nini
Hahahaha zembwela bhanaaa😂😂😂😂
mi5 mingine kwa zembwela
Maisha ya sasa n kusaidianaa ongeraa mjombaa a.k.a baba sheb
Alafu baada ya miaka mitano mume anasema hamtaki mke ndomana mnachomwa moto🤣🤣🤣🤣
Wewe muna mm nipo huku saudia ila nanyinyi mna shida
Zembwela na vidole juuu 😁😁😁😁
Mzembwela anacheka na aziweka ndani 🤣🤣🤣🤣
Utajuta kusomea camera🤣🤣🤣
Hapa Pana darasa kubwa kwa vijana wa Leo.
Nimeona mpaka paka mweupe daaahh kweli uko uswahilin aka kariako ndogo😅
Hahahahhahah zimbwela alivo weka kidolee
Kweli uchawi upo.Sio mapenzi ni limbwata tu hiyo😁😅
libwata wapi wewe maisha uchukulie poa
#MTAANI_KWETU_USWAZI
Mwanzo kipind nilikua siki elw.ila saizo ndo na elw.zembelwa nin.una.fany bigap.kwako
Nimejifunza kitu muhimu kutoka kwa baba shabani
👍👊💪😎🇹🇿
Kutajuta kusomea camera
Utajuta kusomea Camera..hahahaa
Vp hapo na weza pata ugali wa 200/=
Hapan
Utajuta kusomea camera
😂😂😂😂Zembwela kudole icho cha mwisho
Kama anapaka Hina