MSWAHILI : MUME ANAPIKA KULIKO MKE WAKE/ WANASEMA NI LIMBWATA LIMEHUSIKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 127

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 3 ปีที่แล้ว +11

    Yaan baba shebi hongera kwa wazazi waliokuzaa na kukulea vyema pamoja na kukufunza ukawa mwanaume bora kwa mkewe

  • @dottokulwa9145
    @dottokulwa9145 3 ปีที่แล้ว +12

    Mungu wazidishie Amani na upendo wazazi wangu

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 ปีที่แล้ว +8

    Ukiona mwanaume anajua kupika' mafinzo alipata kwa Mzazi wake. Hongera kina Mama wetu duniani. Hakuna limbwata hapo' watasubiri sana.

  • @hamadali5062
    @hamadali5062 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah Allah. Haya ni mapenzi na kutafuta maisha

  • @dj26number2
    @dj26number2 3 ปีที่แล้ว +9

    Safi sana Baba Shebi na Mama Shebi na mmbarikiwe🤲🏾🙏🏽

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว +11

    Mashallah Allah awasimamiye leo na kesho . waTzn wapenda kujudge hata ufanye nini utasemwa tu . wao wanashindwa kushirikiana km mke na mume wenzao wakifanya utasikia karogwa ndio tabia zao , nimuipenda hii couple na ukifanya kaxi na mumeo huna wasi wasi km yuko saa hizi yuko nyumba ndogo .

  • @sirmwangangi4497
    @sirmwangangi4497 3 ปีที่แล้ว +5

    Shabiki mnene wa shoo hii ya Wasafi Tv na Zembwela kutoka Kenya.
    Napenda sana, kwanza, upendo walionao Baba na Mama Shabani kwenye kazi yao. Wanaifanya kwa dhati na moyo wa umoja, kwa kweli nimewaonea fahari sana na wanavyopokezana shughuli nzima ya kazi yao hii ya mapishi na kukubali hali yao kama baba na mama lishe. Asante sana Zembwela kwa kazi nzuri unayoifanya, aisee nimejifunza mengi kutokana na makala haya. Masha Allah, Mungu na awazidishie hata zaidi baba na Mama Shabani kwenye kazi yao

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza7509 3 ปีที่แล้ว +8

    Zembwela kipindi kimefundisha,kimeelimisha,kimechekesha na kufurahisha....Big up sana zembwela

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 3 ปีที่แล้ว +6

    hongera sana mzee hiyo ndio kazi yahalali.

  • @hassansalam5920
    @hassansalam5920 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashalha Alha Awajarie Kazi yenu Yaa Halali Amin

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 ปีที่แล้ว +11

    Masha Allah mabrook baba shabani na mama shabani,wa LLAHI nimependa ndoa yenu hadi naiyonea choyo ,masha Allah

  • @calacoswailer629
    @calacoswailer629 3 ปีที่แล้ว +3

    Zembwela kama Zembwela salute!!! Hongera Kaka kwa kuwa mitaani.

  • @abdallasaleh2303
    @abdallasaleh2303 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Allah awabariki wazee hawa mama shebi na baba shebi maisha yenu mazur sana.

  • @salmahamza3614
    @salmahamza3614 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa kipindi kizuri sana, hongera Baba shsbsni na mama shabsni, ningependa kutoa ushauri, watumie ndoo za chuma( bati) ndoo za plastik sio nzuri kuchemka na katika maji ya moto, inasababisha ugonjwa wa saratani.

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah sio wanaume wa kiswahili isiyojuwa life ikifika office ya wakezao inanuna yaani umaskini ndio wanaupenda wivu kwenye kutafta ni dhiki tuuu lkn nyie wapendwa mbalikiwe sana ndoaynu idumu maisha kusaidiana na mungu azidi kuwapa maisha marefu afya njema na Baraka tele 🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +2

    Awesome mashalllah mashalllah mashalllah 👌🏽

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 ปีที่แล้ว +5

    Mashallah family 👪❤iyi family ni 1allah awazidishiye kwakweli amazing

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 3 ปีที่แล้ว +4

    Yaan inapendeza sana wawili wakishirikiana namna hii, yaan big up sana kwenu baba shebi n mama shebi. Mko busy kuitafuta riziki ya halal

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah Mungu awazidishie mwisho mwema.

  • @aisharamadan3620
    @aisharamadan3620 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallaaa ndoa yenu iwe yakheri nabaraka

  • @nellyrhn4349
    @nellyrhn4349 3 ปีที่แล้ว +11

    Aya ndo maisha kwakweli Allah abariki ndoa yenu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 3 ปีที่แล้ว +10

    Mapenzi si vita l love this couple ☺️

  • @maryamsaid6534
    @maryamsaid6534 3 ปีที่แล้ว +2

    MaashaAllah MaashaAllah
    TabarakaAllah TabarakaAllah
    Baba shebe

  • @sankofaman4112
    @sankofaman4112 3 ปีที่แล้ว +4

    Big up sana zembwela kwa kazi nzuri. Haya ndio maisha yetu!

  • @flavianchuwa4370
    @flavianchuwa4370 3 ปีที่แล้ว +3

    Wallah nimependa sana 👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 3 ปีที่แล้ว +5

    I liked the babalishe , total confidence , totally experienced,

  • @rihannajackson7957
    @rihannajackson7957 3 ปีที่แล้ว +5

    Nimempenda Sana baba sheb mama sheb anabahati kapata mume pambeee👌👌👌👌👌

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 3 ปีที่แล้ว +6

    Kipindi chako kizuri na kina mafundisho mengi tu ndani yake. Kweli generation yetu ni ya mwisho kukaa kwenye mbuzi kukuna nazi. Busara tu malezi yetu Alhmdulillah

  • @impeccable6974
    @impeccable6974 3 ปีที่แล้ว +1

    It's something very interesting ,nimependa sana maisha haya ni ya furaha

  • @shumbanahafidh4304
    @shumbanahafidh4304 3 ปีที่แล้ว +4

    MashaaAllah hard work family

  • @rihannajackson7957
    @rihannajackson7957 3 ปีที่แล้ว +2

    Daah nimeipenda Sana hii family jamani kila mmoja aige mfano apo

  • @bdwel08705
    @bdwel08705 5 หลายเดือนก่อน

    Napenda mama shebi na baba Shebi sana , hongera sana

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 3 ปีที่แล้ว +14

    Hawa watu ndio wamepandishiwa miamala kweli duh serekali imejifunza kitu kweli apo,watu wanatafuta kwa jasho sio nyinyi mumekaa bungeni mnawaza upuuzi tu

    • @lengejohn8083
      @lengejohn8083 3 ปีที่แล้ว

      Kweli wengine wana ka tu kuiba sasa awa nijasho yawo kweli

  • @lengejohn8083
    @lengejohn8083 3 ปีที่แล้ว +2

    Wow that nice family GOD bless them all family

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว +2

    Nmeipenda hii familia ya wapambanaji

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda show Leo daaah

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 3 ปีที่แล้ว +4

    Zmbwela na baba shebi mmefunika thanaa 🤣🤣🤣 kukuna nazi kwahitji ujuzi Big up💪💪💪👏🤛🤛🤛🤣🤣

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 3 ปีที่แล้ว +1

    MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH

  • @jumalihumbo8937
    @jumalihumbo8937 3 ปีที่แล้ว +5

    Dah sisi nyumban tumezaliw wote wanaume Kwaiy izo habar z kukuna nazi kawaid t

  • @allytv6448
    @allytv6448 3 ปีที่แล้ว +5

    Nimependa familia hii

  • @bernardmallya2967
    @bernardmallya2967 3 ปีที่แล้ว +1

    Kizaz cha watoto wa 2000 ni balaa . Binti hatak kufanya kazi na mume mtarajiwa. Wakat baba na mama wanafanya kazi pamoja. Sema sio kesi Big Family

  • @yakaramayaka1456
    @yakaramayaka1456 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni baba na mama Shebi

  • @florachrist9602
    @florachrist9602 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamaniii jamn Mungu hawa wanaume kama hawa atakuolewa naolewa hat km hana pesa uwiiiu

  • @druumarley2159
    @druumarley2159 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @biubwaalbahry4094
    @biubwaalbahry4094 3 ปีที่แล้ว +2

    I like it
    Zembwela unavoishika hio nazi

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 3 ปีที่แล้ว +10

    Hao hata vizazi vyao vitakuwa sio vile vyakuchomana moto getto wallahi mpaka Raha.. 😂

  • @nicholausmwakalobo484
    @nicholausmwakalobo484 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaaa! brother umefanya kitu cha tofauti sana Zembwela, hadi Camera man kuja infront huu ni ubunifu mkubwa sana

  • @davallamchambe5275
    @davallamchambe5275 3 ปีที่แล้ว +7

    Wasafi mm napenda kipindi cha huyu mwamba tu Zembwela

  • @MohamedAli-ho5fq
    @MohamedAli-ho5fq 3 ปีที่แล้ว +3

    Dah Yani nimeimisi nyumbani kweli
    Ubwabwa na marage nyama kwa mbaali

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice couple

  • @rehemambito7989
    @rehemambito7989 3 ปีที่แล้ว +5

    Cheka tu ulikuwa serious sana kumbe huku ndio huwa kuna kuchekesha😂😂😂today I see how you laugh😂😂😂

  • @nininahazwepascalinemutoni4193
    @nininahazwepascalinemutoni4193 3 ปีที่แล้ว +2

    Karibuuuuu 💞🇧🇮😘

  • @Siasia209
    @Siasia209 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba sheby mwanaume na nusu na mkewe pia pambaneni kutafta rizik ya halali

  • @maumaulid1452
    @maumaulid1452 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kipindi kizuri sana

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว +4

    munafanya vizuri wenyewe munasomesha watoto wenu fresh hamna wasi wasi .

  • @habimanayasin4223
    @habimanayasin4223 3 ปีที่แล้ว +1

    Jimbooo liko huluuu 😂😂😂😂😂 #zembwela Love from Rwanda

  • @mwanawetuamiri6747
    @mwanawetuamiri6747 2 ปีที่แล้ว +1

    Zembwela unakuna Nazi vizuri Ila kidole hicho

  • @anoldmanamba759
    @anoldmanamba759 3 ปีที่แล้ว +8

    Utajuta kusomea camera😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shabanifp8711
    @shabanifp8711 3 ปีที่แล้ว +5

    Familiya ya nguvu

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa kapo jmn

  • @ibrahimchatila4945
    @ibrahimchatila4945 3 ปีที่แล้ว +2

    mama bhana sasa anajuaje km mzee anaishinda mitihani. Wkt anaenda mpk ndani.

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn 3 ปีที่แล้ว +2

    Wanaume km hao ndy wanatakiwa kwenye jamii

  • @bdwel08705
    @bdwel08705 5 หลายเดือนก่อน

    Baba Shebi na Zembwela mna ni furahisha sana

  • @deditocastorey6940
    @deditocastorey6940 3 ปีที่แล้ว +2

    #Kifuu Nakimaliza Baba shabani😂😂

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 3 ปีที่แล้ว +1

    Jaman maharage ayo😋

  • @najmasoudnaj8211
    @najmasoudnaj8211 3 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah mabrouq 😂😂😂🥰

  • @thirdkhalifa9146
    @thirdkhalifa9146 ปีที่แล้ว

    Tanzania is a happy place people just get along

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว

      Si uongo, mimi mkenya na nawapongeza sana watanzania...kila sehem kuna amani ...

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba shabani amefunzwa kweli kweli na wazazi wake

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 3 ปีที่แล้ว +2

    nani kaona Paka mweupe karuka 20:20

  • @stellamwakatulile3202
    @stellamwakatulile3202 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 ปีที่แล้ว +5

    Hii ndo kali kuliko Ile ya kwampalange

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 3 ปีที่แล้ว +3

    Nakubali sana hichi kipindi na namkubali sana Zembwela

  • @nikyhassan9394
    @nikyhassan9394 3 ปีที่แล้ว +1

    Maisha khalisi ya watanzania

  • @FatmaAlly-x5h
    @FatmaAlly-x5h หลายเดือนก่อน

    Safi

  • @shabanhamza6814
    @shabanhamza6814 3 ปีที่แล้ว

    Mama na baba hao! Dah hadi raha

  • @bongomovieplanet2370
    @bongomovieplanet2370 3 ปีที่แล้ว

    babu unapenda kitonga😂...nakukubali jembe

  • @saumurashid5232
    @saumurashid5232 3 ปีที่แล้ว +3

    Zembwela bhana unanichekeshaga

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah5680 2 ปีที่แล้ว

    Zembwela hiki kipindi unakiwezea sana daaaah hadi raha

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 ปีที่แล้ว +2

    Wewe zembwela ulipe 😁😁

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli hii ni limbwata

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 ปีที่แล้ว

      Wabongo mmekalili maisha viwanjani watu wanaishi hivyo nenda ata Kenya huone unashanga nini maisha sio poa

    • @Saidkhel
      @Saidkhel 2 ปีที่แล้ว

      @@Mpakauseme so kenya tu waje Zanzibar waona mbona mambo ya kwaida tu kwetu mwanaume kukuna nazi kufua kupika kuchota maji kwenda sokoni ni kazi za mwanaume hizo mwanamke kazi yake ni kulea watoto na ndiyo Dini inavyo taka hamna libwata wala nini

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 3 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaha zembwela bhanaaa😂😂😂😂

  • @salumsaid8223
    @salumsaid8223 3 ปีที่แล้ว +1

    mi5 mingine kwa zembwela

  • @abumoyo5341
    @abumoyo5341 3 ปีที่แล้ว

    Maisha ya sasa n kusaidianaa ongeraa mjombaa a.k.a baba sheb

  • @nasirikuzigile9228
    @nasirikuzigile9228 3 ปีที่แล้ว +6

    Alafu baada ya miaka mitano mume anasema hamtaki mke ndomana mnachomwa moto🤣🤣🤣🤣

    • @kidjhdf7568
      @kidjhdf7568 3 ปีที่แล้ว

      Wewe muna mm nipo huku saudia ila nanyinyi mna shida

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 ปีที่แล้ว +1

    Zembwela na vidole juuu 😁😁😁😁

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzembwela anacheka na aziweka ndani 🤣🤣🤣🤣

  • @elsnyng6815
    @elsnyng6815 3 ปีที่แล้ว +1

    Utajuta kusomea camera🤣🤣🤣

  • @calacoswailer629
    @calacoswailer629 3 ปีที่แล้ว

    Hapa Pana darasa kubwa kwa vijana wa Leo.

  • @rihannajackson7957
    @rihannajackson7957 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeona mpaka paka mweupe daaahh kweli uko uswahilin aka kariako ndogo😅

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahhahah zimbwela alivo weka kidolee

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 ปีที่แล้ว +2

    Kweli uchawi upo.Sio mapenzi ni limbwata tu hiyo😁😅

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 ปีที่แล้ว +1

      libwata wapi wewe maisha uchukulie poa

  • @christophertz
    @christophertz 3 ปีที่แล้ว +1

    #MTAANI_KWETU_USWAZI

  • @nestorymapunda3988
    @nestorymapunda3988 ปีที่แล้ว

    Mwanzo kipind nilikua siki elw.ila saizo ndo na elw.zembelwa nin.una.fany bigap.kwako

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza kitu muhimu kutoka kwa baba shabani

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 3 ปีที่แล้ว +1

    👍👊💪😎🇹🇿

  • @mbwanakonk453
    @mbwanakonk453 3 ปีที่แล้ว

    Kutajuta kusomea camera

  • @denistemba284
    @denistemba284 2 ปีที่แล้ว

    Utajuta kusomea Camera..hahahaa

  • @mbwanakonk453
    @mbwanakonk453 3 ปีที่แล้ว

    Vp hapo na weza pata ugali wa 200/=

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 ปีที่แล้ว

    Utajuta kusomea camera

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂Zembwela kudole icho cha mwisho