USHUHUDA WA WAZIRI MPANGO: "RAIS MAGUFULI ANA AKILI YA KISAYANSI YA KUDADISI na KUHOJI KILA JAMBO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- USHUHUDA WA WAZIRI MPANGO: "RAIS MAGUFULI ANA AKILI YA KISAYANSI YA KUDADISI na KUHOJI KILA JAMBO"
WAZIRI wa fedha na mipango, Dkt Philip Mpango, leo Juni 11, amewasilisha Bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2020 - 2021, Bungeni jijini Dodoma... na kutoa ushuhuda wake kuhusu rais Magufuli....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kweli waziri mpango Raisi wetu ni jembe Hapa Kazi Tu😍😍😍😍
Mungu mlinde raisi wetu. Tunakupenda sana Raisi wetu
Hongera Mh Mpango,kwa Rehema za Mwenyezi Mungu utaludi ktk kitengo chako.
Yess MWENYEZ MUNGU aendelee kumpiganiaa saana rais wetu
Umeua mpango.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tunakpnda sana rais wetu jpm, mungu akulinde na mabaya yote, ameen
Tanzanians, be proud of your president, he is the right one , not only in in Tanzanians but in this world.
Yes
Hongera waziri kwa otuba yako nzuri mungu agulinde
Na mm nampongeza rais ya jamuuri ya muungano wa Tanzania kwazi nzuri anae fanya
Are you still there or did you disappear with shame🙄
Mh! Waziri speech imetulia hongera 🇹🇿🇦🇷
One of the best speech ever! JPM is a Cast Iron nothing impossible to him
Aamani si kitu cha mchezo,mungu ibariki Tanzania,mungu simamia sawasawa,mungu tanguliza na peleka jeshi lako mbele ya magufuli,mbele ya mahakama, mbele ya bunge na ukasimame ukaweke usawa na utulivu katikati ya watu wa Tanzania,aamen
Mimi anipe kazi nifanye nae. Ninapenda sana matendo yake maana na mimi nipo kama yeye. Siamini katika kushindwa na siogopi mtu kwenye ukweli na hati.
Hongera baba karibu buhigwe
Hongera Mheshimiwa, unastahiki kuwa mkuu wa kampeti zetu !
kwa kweli . kelele nyingi zinatoka kwa wale wanaotaka kujijazia mifuko yao kwa kweli. long live president. tulisali sana na kuomba tupewe raisi wa namna hii . na tumejibiwa. wenzetu wana tuonea wivu jamani. na baada ya hii PANDEMIC yaani. ndio kaonyesha kabisa. kungekua na lockdown hakika maisha yangu yangekua matatani kwa kweli. ahsante Magufuli
Kweli safi.
wengi ANDY JK
Mungu ibariki tanzania dumisha uhuru na umoja🎶🎤
Mh Mipango unmesahau mengineee flyover,Tausi wameongezeka ikulu, yaani huyu baba aneletwa na Mungu hakika Mungu anatupenda Tanzania Uishi milele Raisi wangu Magufuli anayekubeza Ni chiziiiiiii
Safi sana.
Mwenyezi mungu amhifadhi yarab, Ameen Ameen Ameen yarab
Mimi kudra nimeshapanga folen tokea sasa kumpigia kura magufuli rais Wangu ,asante mungu kwa kutupa rais mzalendo
Dr umeongea kwa ustadi wa hali ya juu
Nakubaliana nawe Mh. 100%
Hongera kwa Mh. Raisi M/Mungu amlinde🇹🇿🇦🇷
HAKIKA MH. Makamu wa Rais Phillip Mpango,uliona mbali Sana. Pia, HONGERA SANA KWA hotuba uliyotoa katika bajeti yako ya 2020/2021. Mungu azidi kukupa Afya njema katika KAZI yako. Asante. Amina.
100% Kwa magufuri salute kwake tinafanyaga uchaguz ili tupate kilicho bora zaid. Binafs mbari na katiba raisi magufur ni chaguo bora zaid tumkabidhi hii nchi miaka mingine zaid atimize yote tunayoyahitaj wengine watuvumilie Kwa muda. Half tutaendelea na utaratibu Wa kawaid Wa miaka 5, mitano kumi kumi. Wengi wape magufur hana mpinzani wengine watajaribu lkn hawata weza
Mpango ni miongoni mwa mawaziri bora wa awamu ya tano
We feel proud having this man
USHUHUDA MKUBWA SANA HUU, DKT MPANGO UNAWEZA KUANDIKA KITABU KUMHUSU RAISI WETU, DKT JPM, UMEMUELEWA VIZURI KABISA, HUO NDIO UFUASI SAHIHI, HONGERA SANA .
Ni mengi mno mengine umeyasahau mkuu jamaa yuko poa
Sikuwah kuipenda CCM wala watu wake lakini jinsi Magufuli anavyo tutendea haki acha atawale mpaka kifo chake . Huyu jamaa ni Mungu kamleta.
Una akili sasa hongera
Umeongea kweli tupu, asante sana.
Nafurahi kuwaona viongoz wangu wakiwa na furaha namna hii
Mungu akulinde Rais wetu mpendwa JPM
Anasitahili kuwa Prof......
Safi sana kiongozi
Umeongea ukweli MUNGU akubaliki
Tunatakiwa tuzidi kumshukuru Mungu tangu tupate uhuru Mungu amekua akitupa viongozi bora mapungu madogo madogo tusiyabese maana ziko nchi hazina amani mpaka leo kutokana na viongozi kushindwa kuwaunganisha wananchi utajiri pasipo na amani sisi tuna amani tupewayo na Bwana YESU KRISTO
Umeongea point Mungu azidi kuwabariki hata marais wengine awam zote tano maana hakuna aliyetugawa wote walitulinda na kututhamini tynaomba Mungu ampe hekima zaidi JPM ili tufike mbali kwa wepesi
Buhigwe- kigoma tumekuelewa japo sipo pale kwa sasa, ila kura unazo 🙏
Aongezwe muda 20 inchi hii iwe kama mbele nasisi tukitaka visa za inchi kubwa watuheshimu magufuli oyee Tanzania oyee Africa oyee
Nyimbo mupya ya Raisi Magufuli iwa bariki ingiya kwenye TH-cam andika MOISE CHOMBO Magufuli ninyimbo nzuri sana
He is the best president ever under the earth
Yes! This is the President we have been seeking to for many years years.Glory be to God.
Nani angeyaweza hayo? Lisu! Thubutu!!!
Hapo penyetim
Big up JPM
Mh. Waziri kumbe Yanga😁😁🇹🇿🇦🇷
Tumuunge mkono mh. mpango huyu ana nia ya dhati ya kuungana kuleta maendeleo
Nimependa hotuba ata siyo ya kujipendekeza
Kweli.
Piga kaz rais wetu mpk nchi isonge mbele tuko na ww
ASANTE SANA DKT.P.MPANGO
superb president of ours we are blessed.. thanks our Almighty God
Mm kiukweli mwanzoni nioikua siamn kwa Jpm lakin sasa naamn na kiukweli hamna haja ya kuandaa wasifu mwingine was Jpm popote pale utakapohitaji zaidi ya huu wa Filip mpango. Safi sana mungu akupe ngvu raisi wetu jpm
Yaani umesheheni kwakweli
Magufuri 2035
jpm hapa Kaz tu
Nice one
Hakika nimeipenda sana hotuba hii isiyo na chembe ya uongo hata kidogo,,,ahsante
Tunatambua kazi ya raisi wetu magufuli yaani atapiga kura za kufuru naamini atapata asilimia 99 uchaguzi wa 2020
Kura yangu kwake ameshaipata mkuu
Waziri mpango Fanya mpango wazee waliostafu wakapunjwa mafao yao walipwe mungu anawaona et.
Huyu rais magufuli ni rais wa pekee duniani watanzania tukimpa nchi aongoze miaka 30 mbele hili taifa litakua miongoni mwa mataifa tajiri duniani.
Hakika magufuri 2035
Atuwezi kukubali tumkoe
Atuwezi kukubali tumkose uyo ndo muokozi wa taifa letu
Mpango unesahau mazuri mengi alitofanya rais wwtu
We wish we had maghufuli in Kenya we will lead Africa but corrupt uhuru is with us.. GOD ONE DAY WILL GIVE US BETTER president
That nice one
Mh rais hana haja yakufanya kampeni
Hotuba hii imenisisimua sana kuhusu chuma chetu jpm
JPM tutampa kura bila kinyongo kabisaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
Yaan nakosa hata Cha kusema Kwan Leo hii watu wametambua Kaz za magufuli huku mwanzon huyo tundu aliwadiba kwa vitu vingi mno akili Kwanza porojo hazina maana tusisikilize maneno Bali tufafate action
Tanzania mungu kaichagua kwa mapenzi yake, asili yetu ni wabin adamu alisi kwa %.dunia itaelewa tu, jinsi tunavyoishi,nimafunzo kwa wengine.mungu wabariki watanzania,,wabariki viongozi wetu na ibariki afrika.
Hii ni moja ya hotuba bora kwangu kwa mwaka huu 2020.
Hayo yote atalipwa na Mungu wanadam ni wasahaukifu.
Hii ndio Tanzania tuliyoachiwa na Mwl Nyerere itunze Baba.
Mathayo 11:28
Watanzania tunampenda JPM ana mazuri mengi, umesahau hata wanyama wakiwemo Tembo wqnamshukuru rais Magufuli chini ya utawala wake hawauliwi ovyo wameongezeka
Kabisa,awalinwalikuw wanauliwa hovyo hovyo tu bila . 😢😢
Idiot
Mh mipasho mibaya sana
Amekuwa mfano bora, kuhusu Kiswahili Je mbuge limechukua hatua gani?
Rushwa bado ipo
Imepungua
USHUHUDA WA KWELI, UWEKE KTK KITABU UWE KUMBUKUMBU DAIMA.
Top 10 of the cabinet of our president Hon: Dr. Magufuli are: 1:Himself
2: Mama Samia
3: PM Majaliwa
4: William Lukuvi
5: Philip Mpango
6: Professor Kabudi
7: Ummi Mwalimu
8: Hussein Mwinyi
9: Seleman Jaffo
10: Dotto Biteko. Please vote for them in a general election on October 2020. I really Love you Mama Tanzania❤ Stay safe My Beautiful Country❤
daaaa kaamsha wabunge kwa simba na yanga🇹🇿😂😂😂😂
NI MUNGU BABA TU NDANI YAKE ANATUONGOZA NAKUPENDA MAGUFULI
Machozi yatakutoka tu kwa wewe mzalendo mpendwa, Eee Tanzania yetu
Hizo nisifa za mfa maji umsifu ili upate tonge kweli ana maonyo ndio maana nchi ameingiza deni si LA mchezo uchumi umeshuka ukulima umeshuka makontena ambayo hayalipiwi ushuru yamezidi hizo ni nyimbo tulizo zizoweya kutoka ccm tokea 64 mpaka Leo nikusifiana mwambieni nimejenga choo changu aje anifungulie twambie uchumi umekuwa kwa asilimia ngapi napato LA taifa nikiasi gani
Abdhihari watutaka kumsifu mkuu wa sacoss 😏😏😏 utakesha saaaaana. Tupo na JPM mpaka mwisho🇹🇿🇹🇿💪
Anatafta kumsifu mlevi alokuwa kulewa pombe na mademu wakanvunja muguu koma ww
@@sistajeremiakalinga5436 anaesifiwa tunamuona mwambieni aje anifungulie choo changu
Tumshukuru Mungu aliyetupatia Raisi JPM
Ata ujishtukii wewee....